Mohamed,
Nina swali jingine la ziada. Usichoke na maswali yangu, tafadhali. Mara kadhaa umezungumzia Christian lobby, sasa sijui hii Christian lobby ni akina nani. Niliwahi kufanya kazi katika bunge la Marekani na malobbyist wote wakifahamika pale wanapokuja kukutana na wabunge. Utasikia huyu ni lobbyist wa farmers union, lobbyist wa jews, etc. etc. But you could identify them. Sasa wewe unazungumzia Christian lobby in Tanzania in the abstract. Can you at least put a name or a face on them? Kama ni akina Peter Kisumo, John Malecela, at least tujue hawa akina Christian lobby ni akina nani. Ni hilo tu.