Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mundungus Fletcher,

Nimesoma fikra zako kwanza siyo kweli kuwa Waislam wanachaguwa mtu wa kumlaumu Waislam wanasema dhulma walizofanyiwa na Nyerere kujenga mfumo Kristo.

Achana na Mohamed Said wasome kina Smith. P. Fr. Sivalon. J, Bergen Jan Pvan, kuhusu Kanisa na Nyerere.

Angalia "Ratio" kati ya Waislam na Wakisto katika wizara zote za serikali pamoja na mashirika ya umma unadhani ili limetokea bahati mbaya chunguza huone kazi ya mfumo Kristo.

Wakati wa harakati za kutafuta uhuru Wazee wetu Wazalendo walikuwa na Nyerere bega kwa bega pitia hotuba yake hapo juu msome Nyerere anavyowaelezea Wazee wa Kiislam.

Jiulize baada ya uhuru tu Nyerere aliwakamata Masheikh na kuwaweka vizuizini na wengine kufunga jela takutajia baadhi yao kama wafuatao.

Sheikh Ali Comoriam, Sheikh Nurdin Hussein, Sheikh Hashim Haji, Sheikh Abdulkarim Abdulwahid, Sheikh Shariff Mwinyibaba, Sheikh Al Aman Maftah, Sheikh Badawiy, Mufti Hassan Bin Amir, wapo wengi sana.

Sasa jiulize hawa Masheikh kama wangekuwa na chuki na Nyerere wangekuwa naye pamoja wakati hajawa rais.

Wewe kama huoni dhulma walizofanyiwa Waislam hakuna tatizo lakini Waislam wanafahamu dhulma walizofanyiwa na Nyerere.

Naomba utukumbushe Sheikh wa South Africa aliyefukuzwa nchini.

Ritz,

kwa nyongeza mwambie asome na post hii ya wimbi la mbele #11
 
Mzee Mwanakijiji,

Nafasi ni yenu sasa bahati nzuri wewe na wenzako ni waandishi wazuri sana jikusanyeni Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Mag3, Jasusi, na wengine ambao mtawaona wanafaa muandike kitabu mkiite hayo majina "Nyerere ni Shujaa kati ya Mashujaa" au "Nyerere Rafiki wa Waislam"

Mkifanya ivyo nadhani mtamnyamazisha kabisa Mohamed Said na kitabu chake.

Anzeni huo mchakato sasa hivi.

Thubutu!!!

Hawawezi hawawezi thumma hawawezi. Wanachoweza ni kupinga lolote la waislamu. Hawa ni watu wa ajabu sana, wakiambiwa uamsho ni magaidi wanakubali haraka haraka bila ushahidi, wakiambiwa padri mushi kauliwa na uamsho wanakubali bila ushahidi, wakiambiwa kikwete mdini wanakubali bila ushahidi, wakiambiwa watu wanatekwa na kuteswa na ccm wanakubali bila ushahidi, wakiambiwa radio imani ni wachochezi wanakubali bila ushahidi, wakiambiwa..... wakiambiwa..............wakiambiwa.....mambo yote ya waislamu ni mabaya kwao. Lakini ona upande wa pili sasa wakiambiwa nyerere alikuwa mdini mkubwa akiwapendelea wakristo hasa wakatoliki na akiwabagua waislamu hawaamini na hata wakipewa ushahidi, wakiambiwa nchi ina mfumo kristo hawaamini na hata wakipewa ushahidi na mkatoliki mwenzao (sivalon). wakiambiwa BAKWATA ni zao la kanisa hawaamini hata wakipewa ushahidi. Wakiambiwa NECTA ni machinjio ya waislamu hawaamini hata kama ushahidi upo wa wazi kabisa (jinsi somo la islamic knowledge lilivyochakachuliwa karibuni wakaumbuka) . Hawa watu wanaonekana ni wanufaika wakubwa wa mfumo kristo.

Nakupa mfano mdogo wa ubaguzi, juzi tu kama miaka 2 iliyopita, Dr. mmoja UDOM(nahifadhi jina lake) ni head wa department fulani ya master aliwajazia wanafunzi wa kiislamu maksi/alama kidogo ukilinganisha na zile walizopata. Ilikuwa hivi, Mwalimu wa somo alitoa maksi za wanafunzi wake. Mwalimu yule akapeleka maksi zile kwa head wa department. Maksi zilipokujatolewa na head ikaonekana zina kasoro kwa wanafunzi wa kiislamu. Wanafunzi wakaenda kwa mwalimu wa somo kulalamika. Mwalimu wa somo na wanafunzi wakaenda kwa head, kilichotokea ni mfadhaiko mkubwa kwa yule Dr. baada kupokea yale malalamiko mpaka aliiangusha chini computer yake. Ilikuwa ni aibu.
 
  • Thanks
Reactions: Ami
Mkuu Ritz
Sina uhakika na takwimu sahihi za Ratio ya waislamu na wakristo kwenye mawizara lakini kweli nameobserve kwa haraka haraka kwenye sehemu nyingi makazini (both private and Public sector) wakristo wengi sana kulingana na waislamu.

But hii inamaanisha kuwa kweli ilikuwa systematic plan ya kuwajaza wakristo makazini?

Inamana haiwezekani pia ikawa hii ni matokeo ya sababu nyingine lukuki zisizo zakupangwa ambazo kwa njia moja au nyingine matokeo yake ndo haya.

Mfano hivi wakristo wakisema Zanzibar kuna mfumo Muslim ambao uko systematic kusuppress wakristo kwakutumia kigezo cha Ratio ya kila eneo waislamu kwa wakristo ni 3:1, kuanzia Uongozi, serikalini, mpka idadi ya wakazi.

Waarabu-watanzania wa hapa tanzania, 95% ni waislamu, ingawa wao ni minority katika nchi lakini ni matajiri sana kulingana na watanzania wengi, na wakitaka kuwapeleka watoto wao shule sehemu yoyotr dunia wanaweza...

Hata wahindi-watanzania wengi hapa tanzania ni wahindi waislamu, na 90% ni well off.

Je mbona hawa pia idadi yao ni ndogo sana mawizarani and yet wao ndo wanashikiria uchumi wa nchi and infact wao pia wanaendeshs hii nchi kwasababu wanapower kubwa ya kuinfluence policy ya nchi hii. ?

Umewataja masheikh walikamatwa na Nyerere, lakini na mimi nauliza je kulikuwa hakuna wakristu pia waliokamatwa katika kipindi hiko? Au utaniambia walikamatwa kuzuga tu ili isionekane ni mpango wa kuwakandamiza waislamu.

Je Nyerere aliwakamata hao Masheikh bila ya sababu? Je kams alikuwa na sababu inamana we unaona sababu ya Nyerere haina mashiko ila ya Masheikh ndo inamashiko?

Nashindwa kuelewa inakuwaje Nyerere huyu mnaesema alikuwa anatatizo na waislamu kiasi akaanza mkakati kuwakandamiza, kuchagua waziri wake wa Mambo ya ndani (kama sijakosea) muislamu ambaye baadae akaja kuwa Raisi wa inchi tena baada ya kuwa Raisi wa ZNZ.

Kwa jinsi picha nayopata ya huyo Nyerere mlivyomdisplay inamana alikuwa na nguvu kiasi kwamba angetaka Mwinyi asingekuwa Raisi, na wasingefanya lolote..

Lakini akakubali the Most Powerful person kwenye nchi awe Muislamu, mmoja ya wale wale ambao ameweka mkakati kuwakandamiza na kuhakikisha wanabakia second class citizen...

Haikuishia hapo bado aka wamentor na kuwaweka undet his wings vijana wengie wakislamu ambao wengi wao currently ndo viongozi waandamizi wa nchi...

Huyu huyu Nyerere ambaye anatatizo na waislamu ambaye mnasema ni mdini na mcatholic kwanza kabla ya yote, akakubali kuingia compromise kuwatosa Wayahudi kwa kusupport taifa la waislamu tupu Palestina...

Haikuishia hapo,
Sasa hivi viongozi waandamizi karibia wote ni waislamu, with the Most Powerful person kwenye inchi hii Raisi, hadi Mkuu wa usalama wa Taifa ni muislamu, unafikiri wajasikia kama kuna kundi la waislamu (kwassbbu haiwezekani ikawa waislamu wote kama watu Bakwata tu hawajumuishwi kwenye waislamu) linalolalamika kuna systematic dhulma against waislamu? Mbona bado mnalalamika mnaonewa, mnakandamizwa. Kams kweli kipo kweli waislamu wote hawa si wangefuta huu mtandao once and for all.

Haya matatizo kwenye mfumo yapo nchi kwetu, inatakiwa kama nchi tuyaadress na kutafuta ufumbuzi.

Lakini ukiyaangalia kikundi zaidi, hatutafika kokote na atutapata kwasababu kwenye ubishani wa imani hakuna mshindi kamwe.

Waislamu wanatakiwa wajiassemble na kukaa chini, waadress matatizo yso within wao kwao bila ya kupoint finga kwa dini nyingine ndo sababu ya matatizo yao,(kwasababu dini nyingine haitakubali kama wao ndo sababu ya hayo matatizo ambapo watarudi kwenye mabisho tena ambayo hayana mwisho) then watafute ufumbuzi wa hayo matatizo. Wafanye mikakati kama kujenga shule zaidi za kiislamu, vyuo, mahospitali na kila kitu, uone kama kuna mtu atawasumbua.

Kama wahindi wanavyofanya, wao wametengeneza kanchi kao ndani ya Tanzania ambapo wanajitegemea kwa kila kitu, wanashule zao, hospitali zao, misikiti yao, vyuo vyao, nk.

Pia nahaidi kuvitafuta vitabu Smith. P. Fr. Sivalon. J, Bergen Jan Pvan hivi nipate undani

Katika kujenga hoja zako jaribu kufanya tafiti kwanza kabla ujaandika.

Umeipata wapi kuwa Palestina ni taifa la Waislam watupu hivi unajua kama Palestina kuna Wapelestina Orthodox, Jehovah Witnesses, Baptists, Anglicans. jewish, Catholics.

Unajua historia ya Bethlehem?

Soma historia ya Palestina kuna Mameya wengi tu Wakiristo kuna mabalozi wengi tu Wakirsto kuna balozi wa Palestine nchini Urusi alikuwa Mkirsto, meya wa Bethlehem Mkisto.

Turudi kwenye munakasha wetu. Unatoa mfano wa Zanzibari kwa hiyo Tanganyika Wakirsto walikuwa wengi kuzidi Waislam ndiyo maana Ratio inaonyesha Wakirsto ni wengi kwenye wizara za serikali na mashirika ya umma.
 
Mohamed kuna ngano/jambo yawezekana hulijui linaloendelea leo katika utawala wa jk,

Alipoingia madarakani alianza mkakati wakuuweka udini serikalini, na katika kufanikisha hilo alimteua Mama Hawa Ghasia mmoja ya waislam wanaotajwa kuwa ni wenye msimamo mkali kuwa waziri wa UTUMISHI.


Hali iliyoendelea huko kila aliyeajiliwa chini yake analijua fika kuwa bila kuwa na elementi za dini yake kulikuwa na ugumu kwake kukupa kazi ama vyeo.

Hili halipendezi kwa nchi inayoamini siasa ya udugu na isiyo na udini kama tanzania,

Lakini hakuna upande uliolalamika juu ya hujuma za Mama huyu, watu wamemuacha na amefanya awezavyo kisha maisha yanasonga huku walalamikaji ni walewale waliopo madarakani ama wenye nafasi na ajira serikalini,

Mohamed Said walijua hilo?
 
Mohamed kuna jambo yawezekana hulijui linaloendelea leo katika utawala wa jk,

Alipoingia madarakani alianza mkakati wakuuweka udini serikalini, na katika kufanikisha hilo alimteua Mama Hawa Ghasia mmoja ya waislam wanaotajwa kuwa ni wenye msimamo mkali kuwa waziri wa UTUMISHI.


Hali iliyoendelea huko kila aliyeajiliwa chini yake analijua fika kuwa bila kuwa na elementi za dini yake kulikuwa na ugumu kwake kukupa kazi ama vyeo.

Hili halipendezi kwa nchi inayoamini siasa ya udugu na isiyo na udini kama tanzania,

Lakini hakuna upande uliolalamika juu ya hujuma za Mama huyu, watu wamemuacha na amefanya awezavyo kisha maisha yanasonga huku walalamikaji ni walewale waliopo madarakani ama wenye nafasi na ajira serikalini,

Mohamed Said walijua hilo?

Another interesting story from apparently one ofe Nyerere son/ family member.

Nilikuwa sijui kumbe kuwekwa Hawa Ghasia ilikuwa ni ghasia kwako mpaka kudhani kama JK alifanya udini. Kumbe ile Wizara ilikuwa ni hati miliki ya Wakristo. This is another developing story.

No wonder wanaodai kama NECTA ni kigango cha Kanisa hawakosei. Tangia uhuru CEO's wote walikuwa ni Wakristo na mpaka Wachungaji walishawahi kuhudumu katika taasisi ile nyeti. Siku Kikwete akibadilisha status quo pale sijui itakuwaje.
 
Mimi kitu kibaya zaidi nilichogundua ni kwamba hapa TZ kuna grievances miongoni mwa waislam wenyewe kwa wenyewe, ikidaiwa kwamba waislam wa bara (maborbo) wanapendelewa na kupewa nafasi/vyeo huku wa pwani wakisahauliwa (pamoja na kwamba waislaam wa pwani wanadhani wao ni waislam zaidi kuliko waislam wa bara). Ukichunguza kwa undani utaona kama kuna ka kweli vile. Mohamed Said unaonaje kuhusu hili? Kweli? Naona hukulichambua ktk kitabu chako.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed kuna jambo yawezekana hulijui linaloendelea leo katika utawala wa jk,

Alipoingia madarakani alianza mkakati wakuuweka udini serikalini, na katika kufanikisha hilo alimteua Mama Hawa Ghasia mmoja ya waislam wanaotajwa kuwa ni wenye msimamo mkali kuwa waziri wa UTUMISHI.


Hali iliyoendelea huko kila aliyeajiliwa chini yake analijua fika kuwa bila kuwa na elementi za dini yake kulikuwa na ugumu kwake kukupa kazi ama vyeo.

Hili halipendezi kwa nchi inayoamini siasa ya udugu na isiyo na udini kama tanzania,

Lakini hakuna upande uliolalamika juu ya hujuma za Mama huyu, watu wamemuacha na amefanya awezavyo kisha maisha yanasonga huku walalamikaji ni walewale waliopo madarakani ama wenye nafasi na ajira serikalini,

Mohamed Said walijua hilo?

Wewe jamaa uwa una PhD ya uongo hebu tufahamishe wakati wa Mkapa Hawa Ghasia alikuwa na cheo gani.
 
Another interesting story from apparently one ofe Nyerere son/ family member.

Nilikuwa sijui kumbe kuwekwa Hawa Ghasia ilikuwa ni ghasia kwako mpaka kudhani kama JK alifanya udini. Kumbe ile Wizara ilikuwa ni hati miliki ya Wakristo. This is another developing story.

No wonder wanaodai kama NECTA ni kigango cha Kanisa hawakosei. Tangia uhuru CEO's wote walikuwa ni Wakristo na mpaka Wachungaji walishawahi kuhudumu katika taasisi ile nyeti. Siku Kikwete akibadilisha status quo pale sijui itakuwaje.

Unafikiri nini kitendeke?
 
Hii thread nadhani ndio maarufu tangu mwaka huu uanze, nimejifunza mengi na ninaendelea kujifunza,


Sidhani kama hii itaisha leo au kesho, huenda mpaka 2015
 
No wonder wanaodai kama NECTA ni kigango cha Kanisa hawakosei. Tangia uhuru CEO's wote walikuwa ni Wakristo na mpaka Wachungaji walishawahi kuhudumu katika taasisi ile nyeti. Siku Kikwete akibadilisha status quo pale sijui itakuwaje.
Ni padre yupi aliwahi kuhudumu NECTA? Hebu tuweke rekodi sawa sawa kwanza.
 
Mkuu Ritz
Sina uhakika na takwimu sahihi za Ratio ya waislamu na wakristo kwenye mawizara lakini kweli nameobserve kwa haraka haraka kwenye sehemu nyingi makazini (both private and Public sector) wakristo wengi sana kulingana na waislamu.

But hii inamaanisha kuwa kweli ilikuwa systematic plan ya kuwajaza wakristo makazini?

Inamana haiwezekani pia ikawa hii ni matokeo ya sababu nyingine lukuki zisizo zakupangwa ambazo kwa njia moja au nyingine matokeo yake ndo haya.

Mfano hivi wakristo wakisema Zanzibar kuna mfumo Muslim ambao uko systematic kusuppress wakristo kwakutumia kigezo cha Ratio ya kila eneo waislamu kwa wakristo ni 3:1, kuanzia Uongozi, serikalini, mpka idadi ya wakazi.

Waarabu-watanzania wa hapa tanzania, 95% ni waislamu, ingawa wao ni minority katika nchi lakini ni matajiri sana kulingana na watanzania wengi, na wakitaka kuwapeleka watoto wao shule sehemu yoyotr dunia wanaweza...

Hata wahindi-watanzania wengi hapa tanzania ni wahindi waislamu, na 90% ni well off.

Je mbona hawa pia idadi yao ni ndogo sana mawizarani and yet wao ndo wanashikiria uchumi wa nchi and infact wao pia wanaendeshs hii nchi kwasababu wanapower kubwa ya kuinfluence policy ya nchi hii. ?

Umewataja masheikh walikamatwa na Nyerere, lakini na mimi nauliza je kulikuwa hakuna wakristu pia waliokamatwa katika kipindi hiko? Au utaniambia walikamatwa kuzuga tu ili isionekane ni mpango wa kuwakandamiza waislamu.

Je Nyerere aliwakamata hao Masheikh bila ya sababu? Je kams alikuwa na sababu inamana we unaona sababu ya Nyerere haina mashiko ila ya Masheikh ndo inamashiko?

Nashindwa kuelewa inakuwaje Nyerere huyu mnaesema alikuwa anatatizo na waislamu kiasi akaanza mkakati kuwakandamiza, kuchagua waziri wake wa Mambo ya ndani (kama sijakosea) muislamu ambaye baadae akaja kuwa Raisi wa inchi tena baada ya kuwa Raisi wa ZNZ.

Kwa jinsi picha nayopata ya huyo Nyerere mlivyomdisplay inamana alikuwa na nguvu kiasi kwamba angetaka Mwinyi asingekuwa Raisi, na wasingefanya lolote..

Lakini akakubali the Most Powerful person kwenye nchi awe Muislamu, mmoja ya wale wale ambao ameweka mkakati kuwakandamiza na kuhakikisha wanabakia second class citizen...

Haikuishia hapo bado aka wamentor na kuwaweka undet his wings vijana wengie wakislamu ambao wengi wao currently ndo viongozi waandamizi wa nchi...

Huyu huyu Nyerere ambaye anatatizo na waislamu ambaye mnasema ni mdini na mcatholic kwanza kabla ya yote, akakubali kuingia compromise kuwatosa Wayahudi kwa kusupport taifa la waislamu tupu Palestina...

Haikuishia hapo,
Sasa hivi viongozi waandamizi karibia wote ni waislamu, with the Most Powerful person kwenye inchi hii Raisi, hadi Mkuu wa usalama wa Taifa ni muislamu, unafikiri wajasikia kama kuna kundi la waislamu (kwassbbu haiwezekani ikawa waislamu wote kama watu Bakwata tu hawajumuishwi kwenye waislamu) linalolalamika kuna systematic dhulma against waislamu? Mbona bado mnalalamika mnaonewa, mnakandamizwa. Kams kweli kipo kweli waislamu wote hawa si wangefuta huu mtandao once and for all.

Haya matatizo kwenye mfumo yapo nchi kwetu, inatakiwa kama nchi tuyaadress na kutafuta ufumbuzi.

Lakini ukiyaangalia kikundi zaidi, hatutafika kokote na atutapata kwasababu kwenye ubishani wa imani hakuna mshindi kamwe.

Waislamu wanatakiwa wajiassemble na kukaa chini, waadress matatizo yso within wao kwao bila ya kupoint finga kwa dini nyingine ndo sababu ya matatizo yao,(kwasababu dini nyingine haitakubali kama wao ndo sababu ya hayo matatizo ambapo watarudi kwenye mabisho tena ambayo hayana mwisho) then watafute ufumbuzi wa hayo matatizo. Wafanye mikakati kama kujenga shule zaidi za kiislamu, vyuo, mahospitali na kila kitu, uone kama kuna mtu atawasumbua.

Kama wahindi wanavyofanya, wao wametengeneza kanchi kao ndani ya Tanzania ambapo wanajitegemea kwa kila kitu, wanashule zao, hospitali zao, misikiti yao, vyuo vyao, nk.

Pia nahaidi kuvitafuta vitabu Smith. P. Fr. Sivalon. J, Bergen Jan Pvan hivi nipate undani

Maswali uliyouliza kweli inaonesha bado hujavisoma hivi vitabu vyote.Nimefurahi umeahidi kuvitafuta naamini ukivisoma utaelewa madai ya waislamu.
Kwa sasa usiwatukane waislamu na malalamiko yao kwani wao yamewakuta wanaelewa zaidi.
 
Maswali uliyouliza kweli inaonesha bado hujavisoma hivi vitabu vyote.Nimefurahi umeahidi kuvitafuta naamini ukivisoma utaelewa madai ya waislamu.
Kwa sasa usiwatukane waislamu na malalamiko yao kwani wao yamewakuta wanaelewa zaidi.

Ami,

Jamaa anasema haoni kama Waislam wanafanyiwa dhulma kaenda mbali zaidi katoa mfano wa Zanzibar.
 
No chance of haya mambo under Nyerere lakini present leadership haya mambo yanapeta



Anne Makinda labda alitakiwa kurudi darasani na akapigwe brash kuhusu umuhimu wa Kariakoo na watu waliowahi kuishi kariakoo na Makinda should know better than most kuwa hicho chama kilichomweka kwenye hicho kiti alichokalia kilizaliwa Kariakoo na na kusema ukweli ni kuwa dharau aliyoitoa Anna Makinda kwa kariakoo itakuwa si kwa wafanya bishara ndogo ndogo walipo pale bali ni pamoja na waswahili wengine kama akina Mwinjuma Mwinyikambi, Kiyate Mshume, Jumbe Tambaza, Sheikh Hassan bin Amir and Sheikh Suleiman Takadir ambao walikuwa ni wakaazi wa Kariakoo.
 
At peace in Heaven

319025_10152164436190497_822981201_n.jpg
 
Mohamed Said,

Umeeleza kisa cha Ally Kleist Sykes kuhusu mkutano wa Pan African Congress wa Rhodesia ya Kaskazini 1953 wote mmepigwa na butwaa.

Ally Skyes alipokea barua toka kwa Kenneth Kaunda akimwalika kuhudhuria mkutano mnamo tarehe 12 Novemba Ally Sykes alimuandikia barua Kaunda akimthibitishia kushiki kwa TAGSA na TAA kwenye mkutano huo.

Denis Phombeah na Bhoke Munanka Katibu wa TAA Jimbo la kanda ya Ziwa walikuwa ndiyo wawakilishi wa TAA.

Tarehe 1 Desemba, Alexander Tobias alimwandikia barua Kamishina wa Kazi Bennet, akimuombea ruhusu Ally Sykes na kaka yake Abdulwahid Sykes ahudhurie mkutano huo wa Lusaka.

Munanka alinyimwa pasi ya kusafiria na serikali hivyo hakuweza kusafiri.

Ally na Phombeah walipewa ruhusa na serikali kuhudhuria mkutano huo waliondoka kwa ndege aina ya Dakota ya Central African Airways.

Barua hizo zipo kama kuna mtu anataka anaweza kwenda ofisini kwa Ally Sykes atawaonyesha za kuandikwa kwa mkono Mzee Ally muungwana hata ukitaka kuzipiga copy atakuruhusu.

Mohamed Said, nakuombea kwa Allah akupe neema zake.
 
tumepigwa butwaa la nini?mkutano mdogo huo-shuguli ingekuwa nzito elites wangewakilisha


"Umeeleza kisa cha Ally Kleist Sykes kuhusu mkutano wa Pan African Congress wa Rhodesia ya Kaskazini 1953 wote mmepigwa na butwaa."
 
Ritz, Waislamu wanafanyiwa dhulma gani? Na wanafanyiwa na nani?

Mzee Mwanakijiji,

Tupo post ya #492 unauliza Waislam wanafanyiwa dhulma na nani.

Takuambia maneno machache tu.

The bearevead begins the wailing latter others join.
 
Back
Top Bottom