Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Usomi wako Nguruvi una walakini.Kwamba jawabu huitaki mpaka itoke kwa mtu fulani.Au tuseme ndio una kisasi na Mohammed kwa kukufedhehesha huko nyuma?.
Mimi nimejaribu kukupa definition fupi ninayoielewa ya mfumokristo,hujaridhika.Basi soma na hii ya mwenzangu Wimbi la Mbele katika uzi huu huu halafu eleza iwapo umetosheka au tukuongezee.Na ukimaliza kusoma onesha utoto wetu unaomsisitiza Mohammed asioge nasi.Soma.

Ami,

Hilo bandiko ni mpini wa maana hakuna anayesubutu hata kuli-quote.
 
Mwanakijiji, kwa kuwa Mzee Mohammed amesema kuwa Marmo alikuwa Mbunge wa Monduli Ritz lazima akubali tu, ni mwanafunzi asiye na maarifa na si mtafiti, anameza kila anachopewa hata pumba anamezeshwa na anakula!

Ritz nakusaidia na wenzako wanaomezeshwa kila kitu. Sokoine alikuwa Mbunge wa Monduli miaka hiyo na akafuatiwa na Ole Moloimet na Lowassa. Philip Marmo ambaye ni Balozi kule China alikuwa Mbunge wa Mbulu hadi uchaguzi wa 2010 aliposhindwa na Akonaay wa CDM.



Hapa umeshindwa kabisa kuunganisha kauli ya Maaskofu kuhusu Sytematic Persecution na hili la uzushi kuhusu Mfumo Kristo. Maaskofu hawaainisha kuwa hiyo hiyo Systematic Persecution wanayodai ni Mfumo upi hasa zaidi ya kuonyesha wasiwasi kuwa ni Mfumo maalumu wa kuwadhulu Viongozi wa Dini yao na Ukristo wao.

Duh, jamaa wamekuja na kali tena la easter sunday! nisawa na watoto 2 mmoja kamzaba kibao mwenzake mvumilivu na katokea Mzee mmoja nakumuona yule mzabaji analia huku anamsingizia mwenzake ati kamzaba kibao!

Waislamu miaka nenda miaka rudi wanachezewa rafu na mfumo Kristo lakini wenzetu wanadharau na kukanusha hakuna kitu kama hicho! leo wao ndio wanalia na kudai kuna Sytematic Persecution!

WIMANA,
Unaweza kutufafanulia huo mfumo ni vipi una dhulumu Viongozi na dini yao Kristo?
 
Duh, jamaa wamekuja na kali tena la easter sunday! nisawa na watoto 2 mmoja kamzaba kibao mwenzake mvumilivu na katokea Mzee mmoja nakumuona yule mzabaji analia huku anamsingizia mwenzake ati kamzaba kibao!

Waislamu miaka nenda miaka rudi wanachezewa rafu na mfumo Kristo lakini wenzetu wanadharau na kukanusha hakuna kitu kama hicho! leo wao ndio wanalia na kudai kuna Sytematic Persecution!

WIMANA,
Unaweza kutufafanulia huo mfumo ni vipi una dhulumu Viongozi na dini yao Kristo?

Kadogoo,

Unasubiri "Definition" kuwa na subra labda watakuja na vitu Hadhwarani.
 
Last edited by a moderator:
Ami,

Hilo bandiko ni mpini wa maana hakuna anayesubutu hata kuli-quote.
Si walitaka definition.Tayari imepatikana.Yako mengi tu ambayo huyakalia kimya halafu wakaja na hoja eti hawakujibiwa.
Yuko wapi Spike afyonze definition ya mfumokristo kwenye compyuter yake?.
 
Ami,
Ahsante ndugu yangu kwa kutuanikia mfumokristo.

Wangazija wana msemo maiti hafi ila kwa mzishi wake.

Tumesubiri hadi mzishi ulipowasili na sanda na vyote
vinavyomuhusu maiti.

Kazi kwake aliyekuwa anamkomalia Mohamed Said atoe
"definition."
 
  • Thanks
Reactions: Ami
2_42.png
Sahih International
And do not mix the truth with falsehood or conceal the truth while you know [it]. wacha uongo Mwanakijiji usichanganye haki na batili baba
Huyu Mwanakijiji kuchanganya haki na batili ndiyo fani yake.Ritz ndiye anayemfahamu vizuri.

Sasa sijui tukusaidia vipi kujua historia ya Vatican City - Papa alitawala Papal States kwa karibu miaka 1000! Ukumbuke kuwa Vatican kama makao makuu ya Papa imekuwepo kabla ya ujio wa Uislamu. Papa kama kiongozi wa kidini na kiserikali amefanya hivyo kama halifa wa Petro. Suala la dini na serikali kama sehemu moja ya mfumo wa utawala imekuwepo kwenye Ukristu kabla ya kuwepo kwenye Uislamu.
Nikamuuliza
Hii taarifa yako ni ya uongo mtupu na yenye kujichanganya.
Huyu papa aliyetawala papal states kwa 1000 years ni yupi.
Ukiweza kujibu hiyo jibu na hii
Ukristo na Uislamu ni ipi dini iliyotangulia mwenzake?.
Hakujibu kabisa lakini huko mbele atarudi na ngonjera zake na kumshutumu Mohammed kwamba anakwepa kujibu kadhaa na kadhaa....
 
Si walitaka definition.Tayari imepatikana.Yako mengi tu ambayo huyakalia kimya halafu wakaja na hoja eti hawakujibiwa.
Yuko wapi Spike afyonze definition ya mfumokristo kwenye compyuter yake?.

Ami,
Spike hasikiki.

Ghafla utamshtukia kaibuka.
Vup!
Huyu hapa nyuma yako.
 
Huyu Mwanakijiji kuchanganya haki na batili ndiyo fani yake.Ritz ndiye anayemfahamu vizuri.


Hakujibu kabisa lakini huko mbele atarudi na ngonjera zake na kumshutumu Mohammed kwamba anakwepa kujibu kadhaa na kadhaa....


Sikujibu kwa sababu sikuamini mtu mwenye chembe za Ubongo zinazofanya kazi vizuri hawezi kuuliza swali kama hilo. Kwani jibu lake liko dhahiri kwa mtu yeyote ambaye hana hofu ya kufikiri. Kwa vile hata hivyo umeuliza na licha ya kukuacha kwa muda ujifariji (nikitumaini utagundua fallacy ya swali lako) bado umeendelea nalo. Ili kutokukutafunia na kukumezea nitajibu swali lako kwa kutumia Socratic method...

Swali: Ukristo na Uislamu ni ipi dini iliyotangulia mwenzake?

Jibu: Ukijua nani alianza kufundisha kati ya Mohammed na Yesu utajua dini gani iliyotangulia mwenzake?*


NB*: Uislamu kama dini umekuja na kujulikana baada ya Mohammed kuanza mafundisho yake na ukakua na kueleweka zaidi baada ya kuenea kwake katika Bara Arabia na sehemu nyingine za dunia hadi leo hii; kabla yake hakukuwa na watu walioamini katika Uislamu kama tunavyouelewa sasa.
 
2_42.png
Sahih International
And do not mix the truth with falsehood or conceal the truth while you know [it]. wacha uongo Mwanakijiji usichanganye haki na batili baba

Nukuu hii ndugu yangu ingemfaa sana Mwalimu wenu humu; ni yeye aliyeandika historia akichanganya ukweli, uongo, porojo na hisia zake na kuziita "ukweli"! Ni kipi nilichokisema mimi ambacho si cha kweli? NONE.
 
Mkuu,

Mie PhD yangu nimeipatia huko ndio maana nikamshauri aende huko kama wewe ulisoma huko basi sawa tu lakini nachofahamu mie ndio nilichokipendekeza.
Mie sijasoma kokote zaidi ya Vigwaza S/M ambako hawatoi PhD kama yako. My thoughts ni kwamba Sabean Wahhabi Satanists are more relatable to Somalia & Saudi Arabia, thats why I was wondering/
 
"Definition" ya Mfumo Kristo ina mantiq

Katika Posti ya ndugu yetu Ami hapo juu (akinukuu mwingine) aanasema nnini maana ya Mfumo Kristo: Kwamba,

Mfumokristo ni hali ambayo Wakristo wa Tanzania wamehodhi madaraka ya ngazi zote muhimu katika serikali na katika vyombo vya maamuzi, na kuzitumia nafasi hizo kuwaendeleza Wakristo na Ukristo na kuwabagua Waislamu na dini yao.

Sasa kwa haraka haraka mtu anaweza kukubali hili. Na ninaomba kwa sekunde chache tukubaliane na tafsiri hiyo kabla sijaionesha kuwa haina ukweli na haitafsiri Mfumo Kristo ninavyouelewa mimi. Ukisoma maana hiyo Mfumo Kristu ni:

1. Hali - Ni "condition" au tuseme siyo kitu ambacho ni 'concrete'.

2. Wakristo wa Tanzania - ina maana Mfumo Kristu hauwahusu Wakristu wa sehemu nyingine duniani na inapozungumzia Wakristu wa Tanzania inazungumzia "Wakristu" wote.

3. Wamehodhi Madaraka - kwa maneno mengine "Monopoly of power". Kwamba hao watu wa kundi hilo hapo juu wamehodhi madaraka bila kutoa nafasi kwa watu wa dini nyingine.

4. Madaraka ya ngazi zote muhimu za serikali na maamuzi - Hii ni sifa muhimu sana ambayo tutakapoiangalia tutaona inavunja kabisa dhana ya uwepo wa "mfumo huu". Ikumbukwe 'operative word' hapa ni "zote". Nitarudia hili hapa chini kidogo.

5. Kutumia nafasi hizo kuendeleza Wakristu wenzao na Ukristo na kuwabagua Waislamu.

Sifa hizi tano kutokana na maana ya mfumo kama kina Ami wanaamini au wanataka tuamini zinafanya mfumo kuwepo na kutenda kazi. Lakini katika hayo matano ni hilo la nne ndilo HASA linafanya mfumo huu kuwepo kwani bila kushika madaraka yote muhimu hauwezi kuwa na nguvu.

Niwarudishe kidogo kwenye falsafa na hususan kwenye somo la Mantic (Logic). Mantik ni somo ambalo linamsaidia mtu kujenga hoja vizuri, kuepuka makosa ya hoja (fallacies) na wakati huo huo kuhakikisha anagundua makosa hayo kwa wengine. Ukisikia mtu anasema "hii haina mantiki" manake nikuwa kilichosemwa hakijakubaliana na fikra zake - hata kama anaweza asijue maneno yote ya logic.

Kosa la Kwanza la tafsiri ya "Mfumo Kristu" kama alivyoweka Ami iko kwenye kutokuelewa Mantiki na walioandika hilo wenyewe wanaweza kufikiri wamesema cha maana kumbe ndani yake imejaa makosa ya hoja. Nitoe mfano.

Mtu anakuja na kusema "Mimi ni Mtanzania" halafu anasema "Watanzania WOTE ni waongo" halafu akasema "Mimi sisemi uongo".

Sasa mtu mwingine anaweza kuamini hilo lakini mara moja mtu mwenye uelewa mdogo wa mantiki ataonesha "inconsistency" katika madai hayo. Ataonesha hivi:

Kama Wewe ni Mtanzania, na Watanzania wote ni waongo basi wewe huwezi kuwa unasema kweli. Kwa hiyo na huyo anayesema hivyo ama ni mwongo au si Mtanzania. Kama Watanzania WOTE ni waongo basi hakuna Mtanzania anayeweza kuwa anasema kweli.

Mtu akisema Viongozi "WOTE" wa ngazi za juu ni "Wakristu" basi ni lazima tuone kuwa ni Kweli viongozi wote ni "Wakristu". Ukifanikiwa kuonesha kuwa kiongozi mmoja tu ni Mpagani basi hoja kuwa "Viongozi WOTE" ni Wakristu inakufa pale pale.

Ami ametuletea bandiko ambalo tafsiri ya Mfumo Kristu inadai kuwa Wakristu wameshika "nafasi ZOTE MUHIMU". Sasa hii ni rahisi kuonesha; ukionesha Wakristu wameshika nafasi zote muhimu za serikali na "za Maamuzi" basi unathibitisha uwepo wa Mfumo Kristu at least kwa suala la idadi kabla hatujaangalia ile element ya mwisho (ya tano). Lakini ukifanikiwa kuonesha kuwa mojawapo ya nafasi muhimu zinashikiliwa na Muislamu au mtu asiye Mkristu basi hoja kuwa Wakristu wanashika nafasi zote muhimu inakufa. Ukiweza pia kuonesha kuwa zipo nafasi muhimu zinazoshikwa na Waislamu basi HOJA KUWA NAFASI ZOTE ZIMEHODHIWA NA WAKRISTU nayo inakufa.

Hapa inabidi nilete zile orodha alizozileta Ritz kwa fahari kubwa akiamini kuwa anasema kitu very profound:

Ametuwekea 'composition' ya Baraza la Mawaziri kama ifuatavyo:

kazi ya Mfumo Kristo kwenye bold wote Wakirsto


ORODHA YA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI





MAWAZIRI


1. OFISI YA RAIS


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)
Ndugu , Stephen M. WasiraMb.,


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora)
Ndugu George Mkuchika, Mb.,


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI)
Ndugu Celina Kombani, Mb.,



2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)
Ndugu Samia H. Suluhu, Mb.,


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)
Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,



3. OFISI YA WAZIRI MKUU



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)
Ndugu Mary M. Nagu, Mb.,



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Hawa Ghasia, Mb.,


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)
Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,



4. WIZARA


Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Ndugu Samuel J. Sitta, Mb.,



Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.,


Waziri wa Ujenzi
Dr. John P. Magufuli, Mb.,


Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii
Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb.,


Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb.,


Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Sophia M. Simba, Mb.,



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Bernard K. Membe, Mb.,



Waziri wa Katiba na Sheria

Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb.,



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,



Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Dr. David M. David, Mb.,



Waziri wa Kazi na Ajira
NduguGaudentia M. Kabaka, Mb.,



Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Prof. Makame M. Mbarawa, Mb.,


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Prof. Anna K. Tibaijuka, Mb.,



Waziri wa Maji
Prof. Jumanne Maghembe, Mb.,


Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum
Prof. Mark Mwandosya, Mb.,



Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Eng. Christopher Chiza, Mb.,





Waziri wa Uchukuzi

Dr. Harrison Mwakyembe, Mb.,



Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Dr. Fenella E. Mukangara, Mb.,



Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Khamis Kagasheki, Mb.,


Waziri wa Viwanda na Biashara
Dr. Abdallah O. Kigoda, Mb.,


Waziri wa Fedha
Dr. William Mgimwa, Mb.,


Waziri wa Nishati na Madini
Prof. Sospeter Muhongo, Mb.,



5. NAIBU MAWAZIRI



OFISI YA RAIS
HAKUNA NAIBU WAZIRI


6. OFISI YA MAKAMU WA RAIS


Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais
Ndugu Charles Kitwanga, Mb.,



7. OFISI YA WAZIRI MKUU


Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Majaliwa K. Majaliwa, Mb.,


Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Aggrey Mwanry,Mb.,



8. WIZARA MBALIMBALI


Naibu Waziri wa Kazi na Ajira

Dr. Makongoro M. Mahanga, Mb.,



Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Ndugu Adam Malima, Mb.,


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Pereira A. Silima, Mb.,



Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara
Ndugu Gregory G. Teu, Mb.,



Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Ndugu Benedict N. Ole-Nangoro, Mb.,



Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Mahadhi J. Maalim, Mb.,


Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,

Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye, Mb.,



Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Ummy A. Mwalimu, Mb.,


Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Ndugu Philipo A. Mulugo, Mb.,



Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Dr. Abdulla Juma Abdulla, Mb.,


Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Lazaro Nyalandu, Mb.,



Naibu Waziri wa Ujenzi
Ndugu e,Gerson Lweng Mb.,


Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,
Dr. Seif Suleiman Rashid, Mb.,


Naibu Waziri wa Nishati na Madini

Ndugu George Simbachawene, Mb.,



Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Ndugu January Makamba, Mb.,


Naibu Waziri wa Uchukuzi
Dr. Charles J. Tizeba, Mb.,



Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo

Ndugu Amos Makala, Mb.,



Naibu Waziri wa Maji

Eng. Dr. Binilith Mahenge, Mb.,



Naibu Waziri Nishati na Madini
Ndugu Stephen Maselle, Mb.,



Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Angela Jasmine Kairuki, Mb.,



Naibu Waziri wa Fedha

Ndugu Janet Mbene, Mb.,



Naibu Waziri wa Fedha
Ndugu Saada Mkuya Salum, Mb.


Angalieni "Ratio" hiyo Waislam wapo wa ngapi na Wakirsto wapo wangapi.

Sasa, kitu cha kwanza kuangalia ni kuwa mawaziri wote na manaibu wao wameteuliwa na Rais Kikwete ambaye ni Muislamu. Nafasi kubwa kabisa nchini ya serikali na ya kimaamuzi nchini Tanzania inaongozwa na Muislamu. Ni Muislamu ndiye mtu mwenye nguzu zaidi ya maamuzi Tanzania. Hii ni KWELI (its a Fact). Kikwete akihutubia Bungeni miaka michache nyuma alitamba kuwa ana madaraka makubwa kiasikwamba akitaka Dr. Slaa akamatawe anaweza akakamatwa! HUYU NI MUISLAMU. Hakuna Mkristu yeyote anayempita au kumkaribia kwa madaraka.

Nafasi Muhimu:

Kina Ami wanasema nafasi "Muhimu" zimeshikiliwa na Wakristu hebu tuangalie:

Urais - Jakaya Mrisho Kikwete - Muislamu
Makamu wa Rais - Ghaibu Bilal - Muislamu
Waziri Mkuu - Mizengo PInda - ni Mkristu - aliyeteuliwa na Muislamu!
Waziri wa Mambo ya Nje - Bernard Membe - Mkristu - kateuliwa na Muislamu
Waziri wa Ulinzi - Vuai Nahodha - Muislamu
Waziri wa Viwanda na Biashara - Abdallah Kigoda - Muislamu
Waziri wa Maliasili na Utalii - Khamis Kagasheki - Muislamu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Shukuru Kawambwa - Muislamu (ikumbukwe wote waliofanya mtihani wa kidato cha nne kufeli waliingia kidato cha kwanza hadi cha nne chini ya uongozi wake- NECTA iko chini yake)
Waziri wa Maji - Jumanne Maghembe - Muislamu
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii - Hussein Mwinyi - Muislamu
Waziri wa Nchi TAMISEMI - Hawa Ghasia - Muislamu

Sasa hizo ni nafasi "muhimu" za kutosha tu. Nafasi nyingine zote za Mawaziri Wakristu wote wameteuliwa na Rais Muislamu na yeye ndiye mwenye madaraka juu yao.

Je ni kweli "nafasi zote muhimu" zimehodhiwa na Wakristu? kina Ami na Ritz na vijana wengine humu wasiojua mantiki wanasema kwa haraka "ndio"!!

Mfumo Kristu - kwa maoni yao - ndio umewaweka Waislamu hawa kwenye madaraka makubwa hivyo!

Tujiulize mahali pengeine ambapo pamewahi kuwa na mifumo ya kibaguzi:

Utawala wa Makuburu wa Afrika ya Kusini ulitukuza rangi nyeupe kwa muda wa karibu miaka mia nne. Je, ulitengeneza weusi wangapi kwenye nafasi muhimu? NI vipi mfumo wa kibaguzi ulifanya kuwepo Rais Mweusi, mawaziri weusi wakautumikia? NI mweusi gani aliyekuwa na nafasi ya juu kabisa katika serikali ya utawala wa makaburu?

Hili ni kweli hata Marekani wakati wa mfumo wa ubaguzi wa rangi (segregation). Ni vipi mfumo ule uliwezesha kutoa nafasi kwa weusi kushika madaraka ya juu?

Kimsingi mfumo wa kibaguzi wa kundi hautoi nafasi kwa wanaobaguliwa kushika madaraka mazito. THIS HAS NEVER HAPPENED BEFORE ANYWHERE IN THE WORLD! Hakuna mahali duniani ambapo mfumo wa kibaguzi (sifa ya tano ya tafsiri ya Mfumo Kristu kama alivyotuwekea ndugu yetu Ami) umewapa madaraka ya juu wanaobaguliwa. Ila wanatuambia Tanzania hili linawezekana. Kwamba Mfumo Kristu katika Tanzania unatupatia viongozi wa Kiislamu!!

Hii tunaweza kusema ni oxymoronic!!

Naomba nitoe changamoto kwa wale wanaoamini kwamba upo mfumo wa kibaguzi dhidi ya Waislamu Tanzania uitwao "mfumo Kristu". NIONESHENI MAHALI POPOTE DUNIANI AMBAPO MFUMO WA KIBAGOZI (A DISCRIMINATORY SYSTEM) IMEWEZA KUTOA VIONGOZI WA WALE WANAOBAGULIWA NA KUWAPA NAFASI MBALIMBALI HADI ZA JUU KABISA WAKATI MFUMO HUO UNAFANYA KAZI!

Naomba mfano mmoja tu.

 
Wild Card,
Mwenye pupa hadiriki kula mbivu.
Unaniharakisha kukupa habari?

Sipigiwi nacheza sembuse leo mkole
uko uwanjani kwangu?

Napenda kulichukua darsa awamu baada ya awamu, awamu baada ya awamu.

Huo ndiyo mwendo.
Unajua hili jina Mohamed ni la nani?

Jina hili ni la babu yangu mzaa mama Sheikh Mohamed Mvamila.
Msomi wa Kizaramo aliyekwenda kusomesha dini Musoma baada ya Vita Kuu ya Kwanza akitokea Mkamba.

Marehemu mama yangu nilipokuwa mdogo siku akifurahi alikuwa akiniita, ''Mwallimu Mohamed nifanyie hiki...''
alikuwa heshi kunikumbusha usomi wa marehemu baba yake kuwa alikuwa akidarshisha na yeye akimuona kakaa
mbele ya wanafunzi wanamsikiliza akisomesha.

Jina la Hayati Sheikh Mohamed Mvamila ndilo nilotunukiwa mimi unaenisoma hapa:

With Jumbe out of the way after his resignation in 1984 as ‘’enemy number one of the union’’, the road was now clear for Sokoine to take over the leadership of the country from Nyerere.

Sokoine had all the necessary qualifications as per CCM’s standards to lead the government and later when the time was appropriate, the Party. Although Sokoine was awarded top marks by Nyerere, his education was mediocre;[1] it needed some up-grading.

Nyerere advised Sokoine to resign his post as Prime Minister on medical grounds to go to Yugoslavia for studies.

Sokoine came back from Yugoslavia with a diploma and Nyerere wasted no time and appointed him Prime Minister for the second time.

Sokoine did not waste time either; he enrolled at the Dar es Salaam University as a post-graduate student.

This is how powerful and influential the Christian lobby is.

Sokoine did not obtain his masters degree as he was killed in a freak road accident in 1984 while travelling from Dodoma to Dar es Salaam.


Nyerere shed tears openly for all and sundry to see.

His succession plan had crumbled.
The race for the presidency was now open for all.

Nyerere was at loss as how to shuffle his cards once again as the card game was becoming too elusive for his intelligence.

Nyerere had to look for another candidate to groom fast to succeed him.

If he had a choice he could have by pass Salim Ahmed Salim but the political scenario as at was at that time, there was no way he could have passed Salim.

Short of options and the elections being around the corner, Nyerere backed Salim Ahmed Salim against Mwinyi who was at that time the President of Zanzibar.

Salim was the most able than any other person in the whole cabinet.
He settled for Salim as the person to succeed him after his retirement.

A constituency was established for Salim in Pemba, his home area.
Salim was elected Member of Parliament and Nyerere included him in his cabinet.

Nyerere’s plan was torpedoed at the last minute when CCM NEC members refused to bypass Mwinyi then president of Zanzibar for Salim.


It is said that in a stormy meeting of the CCM in Dodoma, the original members of Revolutionary Council of Zanzibar led by Seif Bakari, Hassan Nassor Moyo and others which ousted Sultan Jamshid bin Abullah, refused to endorse Salim because of what they considered his “Arab blood.”

Nyerere had Mwinyi in the highest office in the land from such a perspective.



[1] This is how powerful the Christian lobby is. If by a very remote chance a Muslim would have raised to that position with that kind of education that would have been the topic for the papers that he was a person with inferior capabilities and therefore the nation cannot entrust him with such a high position. Mustapha Nyang’anyi one of the Muslim ministers was a focus of ridicule for what the Christian lobby perceived as his inferior education.

Wild Card,
Unasemaje kaka?
Nimetimiza ulotaka?


Tatizo kubwa la hadithi zako mzee Saidi pamoja na kukosa "mantiki" kama walivyosema wanajanvi wengine ni "inconsistencies" na hili ndiyo haswa linathibitisha kuwa una nia ovu na uko tayari kusema lolote na kwa ushahidi wowote no matter how sloppy and irrelevant ili kutimiza lengo lako. Waziri mkuu seven years earlier (Rashidi Kawawa) alikuwa amesoma mpaka darasa la ngapi? Je na yeye aliwekwa na Christian lobby? Na hili la Nyerere kumshauri Sokoine ajiuzulu uwaziri mkuu on medical grounds unaweza kulithibitisha?????
 
Wild Card,
Mwenye pupa hadiriki kula mbivu.
Unaniharakisha kukupa habari?

Sipigiwi nacheza sembuse leo mkole
uko uwanjani kwangu?

Napenda kulichukua darsa awamu baada ya awamu, awamu baada ya awamu.

Huo ndiyo mwendo.
Unajua hili jina Mohamed ni la nani?

Jina hili ni la babu yangu mzaa mama Sheikh Mohamed Mvamila.
Msomi wa Kizaramo aliyekwenda kusomesha dini Musoma baada ya Vita Kuu ya Kwanza akitokea Mkamba.

Marehemu mama yangu nilipokuwa mdogo siku akifurahi alikuwa akiniita, ''Mwallimu Mohamed nifanyie hiki...''
alikuwa heshi kunikumbusha usomi wa marehemu baba yake kuwa alikuwa akidarshisha na yeye akimuona kakaa
mbele ya wanafunzi wanamsikiliza akisomesha.

Jina la Hayati Sheikh Mohamed Mvamila ndilo nilotunukiwa mimi unaenisoma hapa:

With Jumbe out of the way after his resignation in 1984 as ''enemy number one of the union'', the road was now clear for Sokoine to take over the leadership of the country from Nyerere.

Sokoine had all the necessary qualifications as per CCM's standards to lead the government and later when the time was appropriate, the Party. Although Sokoine was awarded top marks by Nyerere, his education was mediocre;[1] it needed some up-grading.

Nyerere advised Sokoine to resign his post as Prime Minister on medical grounds to go to Yugoslavia for studies.

Sokoine came back from Yugoslavia with a diploma and Nyerere wasted no time and appointed him Prime Minister for the second time.

Sokoine did not waste time either; he enrolled at the Dar es Salaam University as a post-graduate student.

This is how powerful and influential the Christian lobby is.

Sokoine did not obtain his masters degree as he was killed in a freak road accident in 1984 while travelling from Dodoma to Dar es Salaam.


Nyerere shed tears openly for all and sundry to see.

His succession plan had crumbled.
The race for the presidency was now open for all.

Nyerere was at loss as how to shuffle his cards once again as the card game was becoming too elusive for his intelligence.

Nyerere had to look for another candidate to groom fast to succeed him.

If he had a choice he could have by pass Salim Ahmed Salim but the political scenario as at was at that time, there was no way he could have passed Salim.

Short of options and the elections being around the corner, Nyerere backed Salim Ahmed Salim against Mwinyi who was at that time the President of Zanzibar.

Salim was the most able than any other person in the whole cabinet.
He settled for Salim as the person to succeed him after his retirement.

A constituency was established for Salim in Pemba, his home area.
Salim was elected Member of Parliament and Nyerere included him in his cabinet.

Nyerere's plan was torpedoed at the last minute when CCM NEC members refused to bypass Mwinyi then president of Zanzibar for Salim.


It is said that in a stormy meeting of the CCM in Dodoma, the original members of Revolutionary Council of Zanzibar led by Seif Bakari, Hassan Nassor Moyo and others which ousted Sultan Jamshid bin Abullah, refused to endorse Salim because of what they considered his "Arab blood."

Nyerere had Mwinyi in the highest office in the land from such a perspective.



[1] This is how powerful the Christian lobby is. If by a very remote chance a Muslim would have raised to that position with that kind of education that would have been the topic for the papers that he was a person with inferior capabilities and therefore the nation cannot entrust him with such a high position. Mustapha Nyang'anyi one of the Muslim ministers was a focus of ridicule for what the Christian lobby perceived as his inferior education.

Wild Card,
Unasemaje kaka?
Nimetimiza ulotaka?


Tatizo kubwa la hadithi zako mzee Saidi pamoja na kukosa "mantiki" kama walivyosema wanajanMi wengine ni "inconsistencies" na hili ndiyo haswa linathibitisha kuwa una nia ovu na uko tayari kusema lolote na kwa ushahidi wowote no matter how sloppy and irrelevant ili kutimiza lengo lako.

Waziri mkuu aliyetangulia (Rashidi Kawawa) alikuwa amesoma mpaka darasa la ngapi? Je na yeye aliwekwa na Christian lobby? Na hili la Nyerere kumshauri Sokoine ajiuzulu uwaziri mkuu on medical grounds unaweza kulithibitisha?????
 
Mzee Saidi hebu kula darsa kuhusu Sokoine hapa chini, maana hizi ngano zako inabidi ziwe zinawekwa sawa asubuhi asubuhi!!! Faida kwa vijana wako.


ncyufr.jpg




Edward Sokoine represented a generation of leaders who rose during the post-independence era. He represented a unique breed of leadership that espoused a clear political vision while at the same time grappled with the operational problems of development. He was the epitome of a people's leader, embodying the virtues of integrity, simplicity and dedication to the cause of the nation. He was a leader who combined effectiveness and respect for the popular will. He was incorruptible and dynamic, always striving to defend the interests of the Tanzanian people.

Twenty-seven years ago, on April 12, 1984, the nation lost a true son of our soil, the greatest patriot this country has ever produced, a man of great character and a leader dedicated to the development of his people and country. He died in a car accident at Dakawa, a few kilometers from Morogoro town, along the Morogoro Dodoma road. To many Sokoine was a giant of their time, playing an instrumental role in the fight against graft off, which also earned him many enemies. It is saddening to the majority of ordinary Tanzanians to note that April 12 , the day their hero was killed in a road accident on his way from Dodoma to Dar es Salaam, is not accorded its due weight.

Who was Sokoine?
Edward Moringe Sokoine (1938–1984) was Prime Minister of Tanzania from 13 February 1977 to 7 November 1980 and again from 24 February 1983 to 12 April 1984.

Sokoine was born in 1938 in Monduli District, in the Arusha region in northern Tanganyika – which was then a British Mandate and is now known as Tanzania. He began attending Government Primary School in Monduli at the age of 10, and when he completed he went on to Umbwe Government School in the Kilimanjaro region. In 1961 he joined the Tanganyika African National Union (TANU, a political party that led Tanganyika to independence), and one year later he went to the Federal Republic of Germany were he studied administration (1962–1963). On his return to Tanganyika, Sokoine took a position as District Executive Officer of the Masai District (now Monduli, Longido and Simanjiro Districts). In 1965 he was elected to the National Assembly for the Masai Constituency.

In 1967 he became Deputy Minister of Communication, Transportation and Labour. The next step in his career was his 1970 promotion to Minister of State. In 1972 he became the Minister of Defense and National Service of Tanzania and in 1975 he was elected to the National Assembly again, this time for the Monduli constituency. Two years later, he became a member of the Central Committee of the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM). In the same year (1977) he began his first term in office as Prime Minister of the United Republic of Tanzania. This term lasted till 1981. After a year-long break, he became Prime Minister again in 1983. He remained in office for just one year, until his death in April 1984. Both times Sokoine served as Prime Minister he succeeded Rashid Kawawa.

Sokoine's strength of character and ethical standard were distinguished, and brought as much hope to some people as they did challenges others. To Tanzanians belonging to the more impoverished economic groups from which he himself derived, his was a story of redemption. But doubts about his suitability to represent the elite classes were rife.

In late 1970s Tanzanian economic growth slipped into the negative due to the impact of the Tanzania-Uganda war and failure of Ujamaa (family hood) policies (African Socialism). During this time the country experienced an acute shortage of basic necessities, with a few greedy individuals deliberately hoarding goods in order to further drive up their prices. Corruption was at its peak, with many ordinary Tanzanians living a miserable life having to bear the brunt of economic saboteurs. To many Tanzanians who lived during this era, Sokoine represented hope.

Sokoine became popular because of his operation against uhujumu uchumi (Economic Sabotage and Racketeers) which he spearheaded a few years before his untimely death. Sokoine also fought hard againstulanguzi (black marketeering and unfair price hiking). In particular, he wanted to fight the economic inequality of a few individuals who were bent on profiteering from the hardship that had been created by the deliberate scarcity of essential goods such as sugar, soap, rice, building materials (cement, roofing material) and clothing. He sought to provide basic goods and services to more citizens at more affordable prices than they were being offered by those who were otherwise accumulating goods and selling them for inflated prices.

Father of the nation Mwalimu Nyerere once described Sokoine as not being a very intelligent person, but he knew how to use his time in office to address matters of national interest.

Tanzania will be celebrating its 50 anniversary of independence on 9[SUP]th[/SUP] December 2011. Since Sokoine's death, corruption has taken its toll among our leaders and ordinary people are facing economic difficulties. This is what Sokoine fought against. He fought for the marginalized and helped to establish the Economic Saboteurs Act to this end. Like Nyerere, the late Sokoine sacrificed much of his life for the betterment of his country. His down to earth character, modest lifestyle and integrity contribute to his being one Tanzania political figure whose reputation was unmatched on the national level. There is no doubt that his death overshadowed the hopes and dreams of many Tanzanians. But his legacy will be there to stay.

Since he passed away in 1984, Sokoine's ideas have been sorely missed by those engaged in the fight against corruption and economic inequality in Tanzania. He was not a hypocrite and was always firm on issues he believed in. Sokoine will be remembered as an outstanding leader, but it is an unfortunate act of betrayal that the country has not done more to implement his legacy. To a certain extent Sokoine succeeded in his operations but his life was too short lived. He died at the age and time that Tanzanians needed him the most.
 
Mzee Saidi hebu kula darsa kuhusu Sokoine hapa chini, maana hizi ngano zako inabidi ziwe zinawekwa sawa asubuhi asubuhi!!! Faida kwa vijana wako.


ncyufr.jpg


Nyambala,
Ungejiepusha na maneno kama ''ngano'' nk ningefurahi wacha wengine watumie hayo
mimi sijui vipi lakini nakuhisi nawe nikafanya majadiliano ya maana na wewe.

Sitoweza kufanya hivyo na mtu ambae ananikebehi.

Nakushukuru kwa bandiko hilo lakini ukweli ni kuwa hizo si habari mpya kwangu.
 
Back
Top Bottom