Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ami,
Serikali tumewaeleza tatizo la mfumokristo.

Sheikh Ilunga katembea nchi nzima kuwaeleza Waislam
kuhusu mfumokristo. Kipi kitushughulishe kwa Nguruvi?
Mfumokristo unaueleza kule wasikojua kwa bahati mbaya.

Ni utaratibu huo huo unaoutumia kuwatumbukiza watu katika maandamano wewe ukiwa salama salimini.
Wengine wapo segerea wala huna habari nao una laptop na kupika lingine.

Sisi tunawaweleza wasomaji kuwa hicho kinachoitwa mfumokristo ni dude ambalo hata waundaji hajui mbele ni wapi na nyuma ni wapi. Wamepata definition ya kusikitikitisha na kuumba umba kutoka kwa Serengeti boys!

Mohamed, kama unasubiri vijana wa Form II waje wakusaidie kutoa definition, ni hatari kwa umma kwasababu sijui wewe na Ilunga mnaeleza nini huko mwendako.

Mfumokristo mnaoueleza ni ule wa takwimu za Daily news! teh teh teh
Ndio ule Mohamed! please people deserve better!

Mohamed, Uislam ni ukweli na haki. Ni dini inayosisimama kwa misingi yake kwa kufuata mwongozo wa Mwenyezi mungu, hadithi na Sunna. Ukiondoka katika ukweli unakufur. Waeleze waumini kile kilicho kweli na bora.

Mohamed, kuna hoja viporo huko nyuma, tuendelee na mnakasha.
 
Wakati mwingine huwa nacheka sana kuna watu wanajidanganya na kujifariji kuwa kitabu cha Mohamed Said wao ndiyo wamekipinga baada ya miaka 15, ha haa haaa!!

Kwa kuwafahamisha tu baada ya miaka 15 tena kupitia huu uzi kitabu cha Mohamed Said kinazidi kununuliwa bahati mbaya mikoani kilikuwa hakipatikani saizi watu wanakitafuta.

Watu wanakisoma kitabu cha Mohamed Said wanakutana na vitu ambavyo hawajawahi kuvisoma popote pale katika historia ya Tanganyika.

Hata hawa wapingaji wa kitabu cha Mohamed Said hawaji na historia yeyote uhuru wa Tanganyika wanayoifahamu zaidi ya kupinga hapo ndiyo wasomaji wanapojionea wenyewe makundi mawili kuna la kwanza la Mohamed Said ambaye anakuja na historia halafu kundi la pili la wapingaji ambalo linakuja na meneno matupu.

Mohamed Said fanya mpango uongeze machapisho ya kitabu chako Watanzania wanakitafuta mashubaka yao yanaitaji kitabu chako.

Mohamed Said endelea kutoa darsa Watanzania wanakusoma Watanzania wa sasa siyo watu wakushikiwa akili tumshukuru sana Allah kwa kukupa fursa hii ya kuja JF kutoa darsa la historia ya Tanganyika katika harakati za uhuru.

Hawa wapingaji napenda waongezeke wanafichuwa mengi yaliokuwa yamejificha chini ya kapeti.
 
Wakati mwingine huwa nacheka sana kuna watu wanajidanganya na kujifariji kuwa kitabu cha Mohamed Said wao ndiyo wamekipinga baada ya miaka 15, ha haa haaa!!

Kwa kuwafahamisha tu baada ya miaka 15 tena kupitia huu uzi kitabu cha Mohamed Said kinazidi kununuliwa bahati mbaya mikoani kilikuwa hakipatikani saizi watu wanakitafuta.

Watu wanakisoma kitabu cha Mohamed Said wanakutana na vitu ambavyo hawajawahi kuvisoma popote pale katika historia ya Tanganyika.

Hata hawa wapingaji wa kitabu cha Mohamed Said hawaji na historia yeyote uhuru wa Tanganyikaa wanayoifahamu zaidi ya kupinga hapo ndiyo wasomaji wanapojionea wenyewe makundi mawili kuna la kwanza la Mohamed Said ambaye anakuja na historia halafu kundi la pili la wapingaji ambalo linakuja na meneno matupu.

Mohamed Said fanya mpaka uongeze machapisho ya kitabu chako Watanzania wanakitafuta mashubaka yao yanaitaji kitabu chako.

Ritz,
Hawa ndugu zetu mimi niliwaambia tokea mwanzo kuwa haya nisemayo
yametendeka kwetu na wazee wangu.

Historia ya uhuru wa Tanganyika haikuanza na Nyerere 1954.
Wao wanashikilia kuniuuliza nani rais muasisi?

Jibu ni dhahiri halina shida.

Lakini nawaambia kuna kisa mpaka TANU imekuja asisiwa mwaka 1954.

Historia hii nyie hamtaki kuijua?
Mbona ni historia nzuri na ya kusisimua?

Hata nilipokuwa mwanafunzi Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam nawauliza
walimu wangu.

Mshapata kumsikia mtu anaitwa Abdulwahid Sykes?
Mnajua tarikh yake?

Mnajua kama unataka kutoa sifa kwa mtu mmoja kuhusu TANU basi atakuwa
Abdu?

Butwaa kubwa na sura za mshangao!

Ritz,

Hivi nani anajua kuwa ule mkutano wa 1954 wa kuasisi TANU hela katoa Abdu, Ally,
Dossa na Rupia.

Nani anajua haya?

Nani anajua kuwa Abdu ndiye alichelewesha kuundwa kwa TANU ikafika 1954 baada ya
TAA Politica Subcommittee kuamua kuwa waunde TANU 1951?

Laiti Chief David Kidaha Makwaia angekubali kogombea nafasi ya urais wa TAA historia
ya Tanganyika ingekuwa nyingine.
 
Mohamedi Said,chali! Yaani unazidi kujivua nguo kwa majibu mepesi unayojibu hapa kutoka kwenye maswali magumu.

Huyo ndiyo Nguruvi3...aka GOOGLE ya JF kwa watu wabishi na waongo kama wewe mzee Said na wanafunzi wako hapa jamvini. Nguruvi3 aka GOOGLE na kampani yake wanapenda hoja na si viroja...na wanapenda jibu zuri kutoka kwenye swali gumu. Pole sana mzee Mohamed!
 
Mfumokristo unaueleza kule wasikojua kwa bahati mbaya.

Ni utaratibu huo huo unaoutumia kuwatumbukiza watu katika maandamano wewe ukiwa salama salimini.
Wengine wapo segerea wala huna habari nao una laptop na kupika lingine.

Sisi tunawaweleza wasomaji kuwa hicho kinachoitwa mfumokristo ni dude ambalo hata waundaji hajui mbele ni wapi na nyuma ni wapi. Wamepata definition ya kusikitikitisha na kuumba umba kutoka kwa Serengeti boys!

Mohamed, kama unasubiri vijana wa Form II waje wakusaidie kutoa definition, ni hatari kwa umma kwasababu sijui wewe na Ilunga mnaeleza nini huko mwendako.

Mfumokristo mnaoueleza ni ule wa takwimu za Daily news! teh teh teh
Ndio ule Mohamed! please people deserve better!

Mohamed, Uislam ni ukweli na haki. Ni dini inayosisimama kwa misingi yake kwa kufuata mwongozo wa Mwenyezi mungu, hadithi na Sunna. Ukiondoka katika ukweli unakufur. Waeleze waumini kile kilicho kweli na bora.

Mohamed, kuna hoja viporo huko nyuma, tuendelee na mnakasha.

Nguruvi,
Buko na definition.

Definition si ushapewa na Ami?
Au huridhiki hadi itoke kwangu?

Angalia hatari ya kuzungumza usichokijua...
Hadith na Sunna...

Hiyo ni bahari nyingine kabisa.
 
Mohamedi Said,chali! Yaani unazidi kujivua nguo kwa majibu mepesi unayojibu hapa kutoka kwenye maswali magumu.

Huyo ndiyo Nguruvi3...aka GOOGLE ya JF kwa watu wabishi na waongo kama wewe mzee Said na wanafunzi wako hapa jamvini. Nguruvi3 aka GOOGLE na kampani yake wanapenda hoja na si viroja...na wanapenda jibu zuri kutoka kwenye swali gumu. Pole sana mzee Mohamed!

BashaDido,
Ahsante nishapoa.
 
Ritz,
Hawa ndugu zetu mimi niliwaambia tokea mwanzo kuwa haya nisemayo
yametendeka kwetu na wazee wangu.

Historia ya uhuru wa Tanganyika haikuanza na Nyerere 1954.
Wao wanashikilia kuniuuliza nani rais muasisi?

Jibu ni dhahiri halina shida.

Lakini nawaambia kuna kisa mpaka TANU imekuja asisiwa mwaka 1954.

Historia hii nyie hamtaki kuijua?
Mbona ni historia nzuri na ya kusisimua?

Hata nilipokuwa mwanafunzi Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam nawauliza
walimu wangu.

Mshapata kumsikia mtu anaitwa Abdulwahid Sykes?
Mnajua tarikh yake?

Mnajua kama unataka kutoa sifa kwa mtu mmoja kuhusu TANU basi atakuwa
Abdu?

Butwaa kubwa na sura za mshangao!

Ritz,

Hivi nani anajua kuwa ule mkutano wa 1954 wa kuasisi TANU hela katoa Abdu, Ally,
Dossa na Rupia.

Nani anajua haya?

Nani anajua kuwa Abdu ndiye alichelewesha kuunda kwa TANU ikafika 1954 baada ya
TAA Politica Subcommittee kuamua kuwa waunde TANU 1951?

Laiti Chief David Kidaha Makwaia angekubali kogombea nafasi ya urais wa TAA historia
ya Tanganyika ingekuwa nyingine.

Hapa ndiyo tofauti yako na wao vitu kama hivi bahati mbaya hawana masikini.

Kitakachofuatia hapa kwenye kukujibu watayakata vipande vipande maandishi yako na kuandika majibu ya kupinga mwazo mwisho...ha haa haaa.

Ukiwauliza andikeni basi ukweli wenu tuusome wanakuwa wakali wanasema baada ya miaka 20 wao wanakuja kupinga.

Lakini la msingi ni kuwafahamisha wafuatiliaji wa huu mnakasha historia ya uhuru wao wapo kama njia tu ya kuwafikia Watanzania.
 
Kwa hizi historia zenu za kizushi ipo siku mtakuja na madai ya kuwa waarabu hawakuhusika na biashara ya watumwa na zanzibar haikuwa soko la watumwa kwa kutetea "Arabism" na Uislamu wenu.
 
Wanakuja kusoma hoja.
Wanasoma kuwa Warioba alikuwa na credential na wao walijua hivyo.
Aliyekuwa hajui kuwa Warioba alikuwa waziri wa sheria kabla ya uteuzi na mwinyi ni wewe peke yao.

Haya wanayaona kama walivyoona lile la Kawawa kuwa makamu wa Rais mwaka 1988, Marmo kuwa mbunge wa Monduli, Nyerere kuja Dar mwaka 1950, na msomi wa master kubeba hotuba ya bila kuisoma hadi New York. n.k.

Kinachowavuta sana ni pale wanapotambua kuwa takwimu zako ni za kupika na wala hazifuati kanuni achilia mbali weledi wa somo la stats. Wameona jinsi miaka takribani 15 walivyolishwa feki, kwamba mto takwimu hawezi kuzielezea!

Wanakuja kusoma na kushangaa iweje muasisi wa mfumokristo hajui maana yake ni nini.
Na wengine wanashangaa imekuwaje mzee wa US na EU anababaika

Mohamed, kukuuliza maswali ni njia ya majadiliano ambayo kwa mtu anayekimbia hoja kama wewe inamvuta kwenye kona halafu inamwacha kama alivyozaliwa. Hili unalijua.Ulitegemea watu wakae kitako wakisema hewala! wrong palce.

Mtu mwenye ufahamu na kitu anapokuuliza sikwamba hajui ni kwamba anajua na anataka kujua ima unajua kiasi gani au unasimamia wapi. Kama hujui utauliza nini?

Lakini pia hao wasomaji wanaona jinsi hoja zako zinavyobomolewa kama nyumba ya barafu na ndicho kinawashtua.
Wengine hawakujua kuwa hii ni tamthilia mwanana katika umbile la ngano.

Hao watatu wanne wasiokuelewa unaosema ni wale wasiokuelewa ni wale usiowapenda kwasababu wananyong'onyeza hoja zako na kutibua mission yako ya kuasambaza chuki, fitna ,farki kwa mgongo wa dini. No! dini haisemi hivyo.

Kuna hoja nzito zinakusubiri hebu tuwape hao wasomaji raha, zirejee

Mnyambala nadhani atakuwa mtabiri!

Unajua Mzee MS aliposema wawili watatu ndiyo hawamwelewi nilibaki kucheka tu, hiyo
wawili watatu ujue ina maana kubwa sana...Imemvua nguo. Nguruvi ukiona mtu
anayejinasibu kwamba hapa anatoa darsa tena akirudia rudia ujue ni pigo kubwa amepata.

Alikuwa amezoea kulisha watu pumba huku anawachanganyia maziwa kidogoo. Hapa watu wanapata
mchanganyiko maalum. Kwa ambao walikuwa wanameza tu sasa wataelewa MS anposema 20% au
10% ya utafiti fulani huwa ana malengo yake kichwani.

Sasa wanajua hila zake katika uandishi. Watu wanajua Garang alipokuja UDSM alikuwa ni alumni
kama yeye alivyo alumni wa ST Joseph, na kwa kweli Kardinal Pengo akiita Alumni wa St Joseph
Mzee MS atapewa kiti cha mbele kama ambavyo Garang alipewa.

Sasa sote tunajua 10% ya Waislam UDSM (source Daily news?) ambao hawakumuuliza maswali Garang ni takwimu zisizokuwana mtetezi (iko siku ataita vijana wake walielezee kwa sababu yeye hana ujuzi nalo!).

Sasa Watu wanajua wazi Warioba alikuwa anajulikana vizuri tu wakati wa uteuzi wake kuwa Waziri mkuu.
Sasa watu wanajua Muasisi wa dhana ya Mfumo Kristo ameshindwa kutupa maana yake ila anajua "unavyo
fanya kazi! Yaani kwa maneno mengine anaijua vizuri mitaa ya Gerezani na Kipata lakini hajui iko mkoa gani!!

Sasa wengine tunamjua ni mtu mwenye misheni zake na hila. Ukiona ameandika kitu kwa makosa ujue ana hila
zake. Ukiona anasema magazeti ya Africa Events yalikusanywa na kuchomwa moto msikilize vizuri sana, halafu
muulize ya kweli hayo? (atajua kuna kitu unajua) halafu atakwambia yaliondolewa kwenye News stand!!
Soma vizuri "News stand"!!

Kuna mengi yamenifanya nimjue huyu mtu. Na kwa kweli huu uzi umemwacha uchi. Na dalili zake ni hizi....
"Mimi ndiyo nayetoa darsa hapa" kuna watu 10K+ wanaonisoma mimi sio nyie"...Hah ha ha .
 
Wanakuja kusoma hoja.
Wanasoma kuwa Warioba alikuwa na credential na wao walijua hivyo.
Aliyekuwa hajui kuwa Warioba alikuwa waziri wa sheria kabla ya uteuzi na mwinyi ni wewe peke yao.

Haya wanayaona kama walivyoona lile la Kawawa kuwa makamu wa Rais mwaka 1988, Marmo kuwa mbunge wa Monduli, Nyerere kuja Dar mwaka 1950, na msomi wa master kubeba hotuba ya bila kuisoma hadi New York. n.k.

Kinachowavuta sana ni pale wanapotambua kuwa takwimu zako ni za kupika na wala hazifuati kanuni achilia mbali weledi wa somo la stats. Wameona jinsi miaka takribani 15 walivyolishwa feki, kwamba mto takwimu hawezi kuzielezea!

Wanakuja kusoma na kushangaa iweje muasisi wa mfumokristo hajui maana yake ni nini.
Na wengine wanashangaa imekuwaje mzee wa US na EU anababaika

Mohamed, kukuuliza maswali ni njia ya majadiliano ambayo kwa mtu anayekimbia hoja kama wewe inamvuta kwenye kona halafu inamwacha kama alivyozaliwa. Hili unalijua.Ulitegemea watu wakae kitako wakisema hewala! wrong palce.

Mtu mwenye ufahamu na kitu anapokuuliza sikwamba hajui ni kwamba anajua na anataka kujua ima unajua kiasi gani au unasimamia wapi. Kama hujui utauliza nini?

Lakini pia hao wasomaji wanaona jinsi hoja zako zinavyobomolewa kama nyumba ya barafu na ndicho kinawashtua.
Wengine hawakujua kuwa hii ni tamthilia mwanana katika umbile la ngano.

Hao watatu wanne wasiokuelewa unaosema ni wale wasiokuelewa ni wale usiowapenda kwasababu wananyong'onyeza hoja zako na kutibua mission yako ya kuasambaza chuki, fitna ,farki kwa mgongo wa dini. No! dini haisemi hivyo.

Kuna hoja nzito zinakusubiri hebu tuwape hao wasomaji raha, zirejee

Mnyambala nadhani atakuwa mtabiri!

Nguruvi,
Ikiwa unastareheshwa na kubaki hapo hapo umegota sawa.

Ila mimi nishakwambia silazimishwi jambo.
Kawaida yangu kwenda mbele.

Pokea zawadi hii kutoka kwangu ushushe joto.
Kazi na dawa:

Ukivuka Livingstone ndiyo unafika sasa katika nyumba ya Bi Mluguru bint Mussa mama yake Abdulwahid Sykes.

Kuna kisa kimoja, kilitokea hapa wakati wa kudai uhuru, viko vingi lakini kwa ajili ya muda ntaeleza hiki kimoja.

Hii nyumba mkasa huu ulipotokea ndiyo ilikuwa ''retrreat'' ya Nyerere na Abdu wakiwa na jambo zito la kufanyiwa uamuzi katika chama.

Nyumba hii ipo hadi leo ingawa imebadilishwa kidogo na kuchukua sura nyingine.

Nikifumba macho namuona Bi. Mluguru anapanga chupa zake za togwa barazani na mimi na rafiki yangu Ebby Sykes tunanyemelea kupewa chupa moja kubwa ya mapenzi maana huyu ni mke wetu lazima tumuonjee togwa lake.

Ah! Wakati umekwenda wapi?

Siku moja Nyerere alikuwa pale Kirk Street pamoja na Abdulwahid Sykes na Mama Maria na mama yake Nyerere Bi Mugaya pia alikuwapo.

Ghafla Nyerere alipindukwa na tumbo baada ya kula chakula cha mchana na akawa katika maumivi makali sana.

Hali ilipozidi kuwa mbaya, Mama Maria akamwita pembeni Bi Mwamvua maarufu akijulikana kama Mama Daisy, mke wa Abdulwahid na kumwambia kuwa mama yake Nyerere Bi Mugaya ana wasiwasi kuwa mwanae anakufa kapewa sumu.

Mama Maria hofu ilikuwa imempata na akawa na wahka mkubwa.

Mama Mugaya akamnong'oneza Bi Mluguru kuwa ana wasiwasi kuwa aliyempa sumu mwanae si mtu wa mbali.
Nyerere hakuwa amelishwa sumu.

Habari hii ilienea mji mzima na ikaleta hofu kubwa kwa wana TANU.
Lakini ukweli ni kuwa Nyerere alikuwa amepindukwa tu natumbo.

Ukitoka nyumba ya Bi Mluguru sasa kabla hujakatiza Sikukuu Street mkono wa kulikuwa na kinyozi aliyekuwa maarufu akiwanyoa watu wote wa Gerezani na kwengineko akijulikana kwa jina moja tu la Muingereza.

Muingereza alikuwa akinyoa chini ya mti wa Mkwaju na umuhimu wa mahali pale ilikuwa ni barza wakikutana watu kwa mazungumzo hasa nyakati za alasiri.

Hapa katika miaka ya 1950 mazungumzo yalikuwa siasa tu.

Leo Gavana Twining kasema hili, leo Nyerere kajibu vile, B Titi kawashambulia wakoloni, Mtemvu kafanya hiki na habari zote zilikuwa zikifika pale na kuwekwa uwanjani kwa mjadala.

Wakati gumzo likiendelea sauti ya mkasi wa Muingereza ulikuwa ikisikika ikila nywele katika kichwa kat, kat, kat...na yeye mwenyewe Muingereza alikuwa mtu wa vichekesho sana hakuwa nyuma katika kutupa neno hapana pale kama vile, "Sikiiza bwana huyu Twining Nyerere keshamtafutia mbeleko yake, atabebwa tu hana ujanja."

Hapo pembeni anaweza kuwa amekaa Abdulwahid,Dossa na jamaa wengine tena wamekalia gogo (maana kwa Mwingereza kulikuwahakuna viti) lakini wote wakiunganishwa na mapenzi yao kwa TANU.

Baadae ilipokuja Congress kama chama cha upinzani wanachama wa Congress hawakukosa pale na barza sasa ikiwa imestawi hasa.

Hii ilikuwa barza ya baba yangu.

Mijadala kati ya TANU na Congress wenyewe wakiisifia wakiita ''Mwamba Usiovunjika'' kwa kawaida ilikuwa mikali hata kushinda ya Sunderland na Yanga.

Mazungumzo yatabadilika siku Sunderland wako uwanjani Ilala Stadium wakicheza na Yanga.

Hapo tena siasa inawekwa pembeni mazungumzo yanahamia kwenye mpira na washabiki wa timu zote walikuwa wanabaraza wa Kinyozi Muingereza.

Wakati ule Yanga walikuwa na mchezaji wao maarufu bingwa wa kupiga kona Hamisi Mtoto tena yeye mwenyewe alikuwa mkazi wa Gerezani, Mtaa wa Somali Street kona na Sikukuu.

Sunderland wakijuvunia Harold Mgone walompachika jina "Wamisalaba," Mashaka Abdallah maarufu kwa jina la "Mashaka Prince," Salum Kheri Kilanga, Salum Ali maarufu kwa jina la "Jini" na wengineo, (kisa cha Salum Ali kuitwa jini ni kuwa alikuwa akitumia mguu mmoja tu katika uchezaji wake. Salum Ali alicheza mpira hadi katika miaka ya 1960 katikati) huyu Kilanga alikuwa Yanga kisha akahamia Sunderland.

Wakati huo huo Mambo Mzinga aliyekuwa Yanga nae akatoka akaenda Sunderland.

Mambo Mzinga alikuwa mwalimu wa madras iliyoanzishwa na baba yake Sheikh Mzinga.

Watoto wengi wa Dar es Salaam pamoja na baba yangu wamesoma chuo hiki ambacho kipo hadi leo Mtaa wa Mafia kona na Chura.

Yanga walikuwa na wachezaji wengine wakali kama Stumai Mzee, Juma Mbimbi, Hamisi Fotini, Badr Malande, Mwenda Mushi na wengineo.

Baadhi ya wachezaji hawa ndiyo walichukua kombe la Gossage mwaka 1949.

Nguruvi,
Kuzaliwa mjini dawa.

Hawa watu nimewaona katika udogo wangu na khabari zao ndiyo kama hivi sasa nakupa na wewe na wasikizaji mpate kustarehe.

Hivi ndivyo ilivyokua historia hii na ndiyo ikashangaza Nyerere kutoa medali Abdu hakumpa.
Historia ya TANU imeandikwa Abdu hayumo.

Ukipenda niweke visa vya uhuru ninavyo vingi sana.

Insha Allah nitakuwekea movie hapa uburudike at zero cost.
Hivyo ndivyo ilivyokuwa.

Hayo maneno ya mwisho nimemuibia Walter Conkrite.
 
Mwanakijij na Nguruvi bila kujibu hoja kwa kukiri au kukanusha hakuna haja ya kuturudisha nyuma.Tuna shughuli nyingi za kufanya.
Definition ya mfumo kristo mumeiona ?.njooni na uzi mrefu kujibu hilo kwanza.
BHANG!....
 
Nguruvi,
Buko na definition.

Definition si ushapewa na Ami?
Au huridhiki hadi itoke kwangu?

Angalia hatari ya kuzungumza usichokijua...
Hadith na Sunna...

Hiyo ni bahari nyingine kabisa.

Ha ha haa mzee MS nilishakwambia huyu Nguruvi ni sawa na kasuku kila analosikia anazungumza bila kufanyia utafiti eti hadith na sunna dah hapa ndio kaonyesha ni kiasigani ni mtu dhaifu hii ni fani nyingine wala usirudie kuzungumzia mfano nakupa kupitia avator yako Girrafe na Twiga upo hapo bwana mdogo
 
Unajua Mzee MS aliposema wawili watatu ndiyo hawamwelewi nilibaki kucheka tu, hiyo
wawili watatu ujue ina maana kubwa sana...Imemvua nguo. Nguruvi ukiona mtu
anayejinasibu kwamba hapa anatoa darsa tena akirudia rudia ujue ni pigo kubwa amepata.

Alikuwa amezoea kulisha watu pumba huku anawachanganyia maziwa kidogoo. Hapa watu wanapata
mchanganyiko maalum. Kwa ambao walikuwa wanameza tu sasa wataelewa MS anposema 20% au
10% ya utafiti fulani huwa ana malengo yake kichwani.

Sasa wanajua hila zake katika uandishi. Watu wanajua Garang alipokuja UDSM alikuwa ni alumni
kama yeye alivyo alumni wa ST Joseph, na kwa kweli Kardinal Pengo akiita Alumni wa St Joseph
Mzee MS atapewa kiti cha mbele kama ambavyo Garang alipewa.

Sasa sote tunajua 10% ya Waislam UDSM (source Daily news?) ambao hawakumuuliza maswali Garang ni takwimu zisizokuwana mtetezi (iko siku ataita vijana wake walielezee kwa sababu yeye hana ujuzi nalo!).

Sasa Watu wanajua wazi Warioba alikuwa anajulikana vizuri tu wakati wa uteuzi wake kuwa Waziri mkuu.
Sasa watu wanajua Muasisi wa dhana ya Mfumo Kristo ameshindwa kutupa maana yake ila anajua "unavyo
fanya kazi! Yaani kwa maneno mengine anaijua vizuri mitaa ya Gerezani na Kipata lakini hajui iko mkoa gani!!

Sasa wengine tunamjua ni mtu mwenye misheni zake na hila. Ukiona ameandika kitu kwa makosa ujue ana hila
zake. Ukiona anasema magazeti ya Africa Events yalikusanywa na kuchomwa moto msikilize vizuri sana, halafu
muulize ya kweli hayo? (atajua kuna kitu unajua) halafu atakwambia yaliondolewa kwenye News stand!!
Soma vizuri "News stand"!!

Kuna mengi yamenifanya nimjue huyu mtu. Na kwa kweli huu uzi umemwacha uchi. Na dalili zake ni hizi....
"Mimi ndiyo nayetoa darsa hapa" kuna watu 10K+ wanaonisoma mimi sio nyie"...Hah ha ha .

Plato...
Nimekusoma.

Una hayo tu?
Vipi mikutano ya siri ya kuasisi TANU pale Stanley na Kirk Street?

Je una lolote la kusema?
 
Nguruvi,
Buko na definition.

Definition si ushapewa na Ami?
Au huridhiki hadi itoke kwangu?

Angalia hatari ya kuzungumza usichokijua...
Hadith na Sunna...

Hiyo ni bahari nyingine kabisa.

Hadith na Sunna tujifunze kwake ha haa haaa!! Sijui kama anajua ni mtu gani ambaye anatakiwa kufikisha hadith.
 
Wakati mwingine huwa nacheka sana kuna watu wanajidanganya na kujifariji kuwa kitabu cha Mohamed Said wao ndiyo wamekipinga baada ya miaka 15, ha haa haaa!!

Kwa kuwafahamisha tu baada ya miaka 15 tena kupitia huu uzi kitabu cha Mohamed Said kinazidi kununuliwa bahati mbaya mikoani kilikuwa hakipatikani saizi watu wanakitafuta.

Watu wanakisoma kitabu cha Mohamed Said wanakutana na vitu ambavyo hawajawahi kuvisoma popote pale katika historia ya Tanganyika.

Hata hawa wapingaji wa kitabu cha Mohamed Said hawaji na historia yeyote uhuru wa Tanganyika wanayoifahamu zaidi ya kupinga hapo ndiyo wasomaji wanapojionea wenyewe makundi mawili kuna la kwanza la Mohamed Said ambaye anakuja na historia halafu kundi la pili la wapingaji ambalo linakuja na meneno matupu.

Mohamed Said fanya mpango uongeze machapisho ya kitabu chako Watanzania wanakitafuta mashubaka yao yanaitaji kitabu chako.

Mohamed Said endelea kutoa darsa Watanzania wanakusoma Watanzania wa sasa siyo watu wakushikiwa akili tumshukuru sana Allah kwa kukupa fursa hii ya kuja JF kutoa darsa la historia ya Tanganyika katika harakati za uhuru.

Hawa wapingaji napenda waongezeke wanafichuwa mengi yaliokuwa yamejificha chini ya kapeti.
Ha ha haaaa....naona watu wamechanganyikiwa kwa nondo na sasa wanajifariji kwa vioja uchwara.
 
Wanakuja kusoma hoja.
Wanasoma kuwa Warioba alikuwa na credential na wao walijua hivyo.
Aliyekuwa hajui kuwa Warioba alikuwa waziri wa sheria kabla ya uteuzi na mwinyi ni wewe peke yao.

Haya wanayaona kama walivyoona lile la Kawawa kuwa makamu wa Rais mwaka 1988, Marmo kuwa mbunge wa Monduli, Nyerere kuja Dar mwaka 1950, na msomi wa master kubeba hotuba ya bila kuisoma hadi New York. n.k.

Kinachowavuta sana ni pale wanapotambua kuwa takwimu zako ni za kupika na wala hazifuati kanuni achilia mbali weledi wa somo la stats. Wameona jinsi miaka takribani 15 walivyolishwa feki, kwamba mto takwimu hawezi kuzielezea!

Wanakuja kusoma na kushangaa iweje muasisi wa mfumokristo hajui maana yake ni nini.
Na wengine wanashangaa imekuwaje mzee wa US na EU anababaika

Mohamed, kukuuliza maswali ni njia ya majadiliano ambayo kwa mtu anayekimbia hoja kama wewe inamvuta kwenye kona halafu inamwacha kama alivyozaliwa. Hili unalijua.Ulitegemea watu wakae kitako wakisema hewala! wrong palce.

Mtu mwenye ufahamu na kitu anapokuuliza sikwamba hajui ni kwamba anajua na anataka kujua ima unajua kiasi gani au unasimamia wapi. Kama hujui utauliza nini?

Lakini pia hao wasomaji wanaona jinsi hoja zako zinavyobomolewa kama nyumba ya barafu na ndicho kinawashtua.
Wengine hawakujua kuwa hii ni tamthilia mwanana katika umbile la ngano.

Hao watatu wanne wasiokuelewa unaosema ni wale wasiokuelewa ni wale usiowapenda kwasababu wananyong'onyeza hoja zako na kutibua mission yako ya kuasambaza chuki, fitna ,farki kwa mgongo wa dini. No! dini haisemi hivyo.

Kuna hoja nzito zinakusubiri hebu tuwape hao wasomaji raha, zirejee

Mnyambala nadhani atakuwa mtabiri!


Well,mimi huwa naziita Nguruvi3's histohisia..

hakuna Farki inayojengwa kwa kusemwa kwa uhalisia wa upande fulani,tatizo kubwa sio criticisms zako,tatizo hutaki tuh kuelewa na kuikubali historia hii..
 
Last edited by a moderator:
Mfumokristo unaueleza kule wasikojua kwa bahati mbaya.

Ni utaratibu huo huo unaoutumia kuwatumbukiza watu katika maandamano wewe ukiwa salama salimini.
Wengine wapo segerea wala huna habari nao una laptop na kupika lingine.

Sisi tunawaweleza wasomaji kuwa hicho kinachoitwa mfumokristo ni dude ambalo hata waundaji hajui mbele ni wapi na nyuma ni wapi. Wamepata definition ya kusikitikitisha na kuumba umba kutoka kwa Serengeti boys!

Mohamed, kama unasubiri vijana wa Form II waje wakusaidie kutoa definition, ni hatari kwa umma kwasababu sijui wewe na Ilunga mnaeleza nini huko mwendako.

Mfumokristo mnaoueleza ni ule wa takwimu za Daily news! teh teh teh
Ndio ule Mohamed! please people deserve better!

Mohamed, Uislam ni ukweli na haki. Ni dini inayosisimama kwa misingi yake kwa kufuata mwongozo wa Mwenyezi mungu, hadithi na Sunna. Ukiondoka katika ukweli unakufur. Waeleze waumini kile kilicho kweli na bora.

Mohamed, kuna hoja viporo huko nyuma, tuendelee na mnakasha.
Nguruvi ukicheka,ukilia hakuna atakayekuamini kuwa definition hii ya mfumokristo uliyoomba ni ya kuumba umba.
Unaitukana nafsi yako bure kwa kukanusha wataalamu wengi walioitayarisha.
Wimbo wa Taifa – unaomba mungu aibariki nchi

2. Dua ya Bungeni – ina muomba mungu

3. Kuapishwa kwa wanaochukua nafasi za uongozi.
Japo wanaoapa huapa kwa dini zao, aneapishasi kiongozi wa dini husika bali wa serikali au wabunge.
Utaratibu huo hauendani na madai kuwa nchi au serikali ya Tanzania haina dini, bali wananchi wake ndiyo wenye dini. Swali ni je, tunapomtaja Mungu katika wimbo wa taifa au katika dua ya bungeni, na kadhalika, tunamkusudia mungu yupi? Mungu wa Waislamu? Wa Wakristo? Wa dini za asili? Je, kuna mungu wa kitaifa? Mungu huyo wa kitaifa ni yupi na ni wa dini gani?Je, katika hali hiyo, ni kweli serikali haina dini? Katika mazingira ya Waislamu kuandamwa na kukandamizwa na mila ya Mfumokristo, mfumo ambao unajidhihirisha zaidi katika vitendo vya kibaguzi vinavyofanyiwa Waislamu na sehemu kubwa ya watendaji serikalini na katika taasisi mbalimbali, kwa nini mwananchi Muislamu asiamini kuwa serikali hii si ya kisekula bali ni ya kidini; na dini yenyewe ni Mfumokristo.

According to TRA / HAZINA....

https://www.jamiiforums.com/attachmen...p;d=1356427583


https://www.jamiiforums.com/attachmen...p;d=1356427126

https://www.jamiiforums.com/attachmen...p;d=1356427583

https://www.jamiiforums.com/attachmen...p;d=1356427583

https://www.jamiiforums.com/attachmen...p;d=1356427673


Mbinu zinazotumiwa na Mfumokristo katika Kujihakikishia Fursa Tanzania


Mfumokristo ni hali ambayo Wakristo wa Tanzania wamehodhi madaraka ya ngazi zote muhimu katika serikali na katika vyombo vya maamuzi, na kuzitumia nafasi hizo kuwaendeleza Wakristo na Ukristo na kuwabagua Waislamu na dini yao.

1. Kuendeleza mfumo wa kibaguzi katika elimu kama ulivyoachwa na wakoloni.
Wakoloni wa kijerumani ndio walioanzisha mfumo wa kuwabagua Waislamu katika elimu baada ya kushinikizwa na makanisa. Ushahidi wa mashinikizo hayo unaweza kupatikana katika rejea zifuatazo: Cameroon and Dodd 1970:56, Kurtz1972:19, Smith 1963:16. Hatimaye kutokana na mashinikizo hayo serikali ilikubali kufaya yafuatayo:-

i. Kuwafukuza kazi Waislamu waliokuwa serikalini na kuwaingiza Wakristo (Tazama Cameroon and Dodd1970: 25, 56, pia Roland 1970:205)

ii. Kuzipa shule za wamisheni msaada wa kifedha kutoka kodi za wananchi huku wakizibagua zile za Waislamu (Tazama Roland: 1970: 205,na Cameroon and Dodd 1970:50)

iii. Kuweka mpango mkakati wa kuwabagua na kuwahujumu Waislamu na Uislamu wao. Tazama Roland 1970:205, Kurtz 1972:29. Cameroon and Dodd 1970:114.





iv. Kujenga hoja kwamba Waislamu kwa asili yao si watu wa kuendelea na kuwa ni wavivu. Tazama E.B Castle 1966:37 ambaye anasema, " Islam hinders progressive attitude to change in society and a community that accepts Islam is less likely to advance in social welfare and education", yaani Uislamu ni kikwazo cha fikra za maendeleo na mabadiliko katika jamii, na kwamba jamii ikiukubali Uislamu haiwezi kamwe kupiga hatua za katika ustawi wa na elimu. Pia Abel Ishumi 1980:208 anasema, "From the beginning Muslims were opposed to western type formal education", Kwamba Waislamu walipinga elimu. Pia Abel Ishumi 1981:43, "Muslims believe highly in fatalism" Kwamba Waislamu wanabweteka na kuamini kwao kuwa mambo yameshakadiriwa.






2. Kuhujumu taasisi za Waislamu na kuweka viongozi mamluki.

Baada ya uhuru Serikali ya Tanzania imekuwa na muelekeo wa kuziandama taasisi zinazoonekana kuwa na mipango madhubuti ya kuwakomboa Waislamu kuondokana na ujinga na umaskini. Rejea Bergan 1981:26 na Sivalon 1992:3 kuhusu kuvunjwa kwa EAMWS na kuanzishwa kwa BAKWATA. Pia soma Anuur na. 13 la Agosti 1992 juu ya taarifa ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ya kuitaka Serikali kuifuta EAMWS. Pia tazama Njozi 2000:31. "Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania kuhusu kadhia ya kuvamiwa kwa Msikiti wa Mwembechai na hatimaye kuuliwa kwa Waislamu.



3. Kuhodhi mfumo wote wa elimu nchini.


Tangu kuondoka kwa Mkoloni Wakristo wamekuwa kama mabaki ya wakoloni na ukoloni. Ukiondoa shule za msingi na sekondari za Kata, huko katika shule za sekondari za Serikali, vyuo vya kati na vyuo vikuu wanafunzi na wafanyakazi ni Wakristo kwa zaidi ya asilimia 80. Siku hizi katika shule za Kata wanafunzi Waislamu wameanza kuonekana. Katika taasisi za elimu mfano T.I.E, TEA, NECTA, Bodi ya Mikopo, I.A.E na vyuo vyote nchini, uongozi umekuwa ni mali ya Wakristo.



Huko mwanzo walidai kwamba hamna Muislamu mwenye elimu ya kutosha kuongoza. Kwa siku za hivi karibuni madai yao kwa wale Waislamu wachache waliofanikiwa kupata elimu ni kuwa hawafai kwa vile wana, "udini".



Aidha katika Wizara ya Elimu (MOEVT) tangu Wizara hiyo kuundwa uongozi umekuwa mali ya Wakristo kwa zaidi ya asilimia 90. Nafasi kama ya Kamishina wa Elimu haijawahi hata kuwa na Kaimu Muislamu na wala haitarajiwi chini ya Mfumochristo. Nafasi zawakurugenzi nazo zimemilikiwa na Wakristo. Mfumokristo umejikita barabara.


Uongozi wa Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu nao umemilikiwa vilivyo. Nafasi za Maafisa elimu Wilaya na Mikoa na wakaguzi wakuu wa elimu wa Kanda kwa zaidi ya asilimia 85 zinaendelea kuwa miliki ya hawa Wakristo.



Mfumokristo ni hali ambayo Wakristo wa Tanzania wamehodhi madaraka ya ngazi zote muhimu katika serikali na katika vyombo vya maamuzi, na kuzitumia nafasi hizo kuwaendeleza Wakristo na Ukristo na kuwabagua Waislamu na dini yao.


1. Kuendeleza mfumo wa kibaguzi katika elimu kama ulivyoachwa na wakoloni. Wakoloni wa kijerumani ndio walioanzisha mfumo wa kuwabagua Waislamu katika elimu baada ya kushinikizwa na makanisa. Ushahidi wa mashinikizo hayo unaweza kupatikana katika rejea zifuatazo: Cameroon and Dodd 1970:56, Kurtz1972:19, Smith 1963:16. Hatimaye kutokana na mashinikizo hayo serikali ilikubali kufaya yafuatayo:-


i. Kuwafukuza kazi Waislamu waliokuwa serikalini na kuwaingiza Wakristo (Tazama Cameroon and Dodd1970: 25, 56, pia Roland 1970:205)


ii. Kuzipa shule za wamisheni msaada wa kifedha kutoka kodi za wananchi huku wakizibagua zile za Waislamu (Tazama Roland: 1970: 205,na Cameroon and Dodd 1970:50)


iii. Kuweka mpango mkakati wa kuwabagua na kuwahujumu Waislamu na Uislamu wao. Tazama Roland 1970:205, Kurtz 1972:29. Cameroon and Dodd 1970:114


iv. Kujenga hoja kwamba Waislamu kwa asili yao si watu wa kuendelea na kuwa ni wavivu. Tazama E.B Castle 1966:37 ambaye anasema, " Islam hinders progressive attitude to change in society and a community that accepts Islam is less likely to advance in social welfare and education", Yaani Uislamu ni kikwazo cha fikra za maendeleo na mabadiliko katika jamii, na kwamba jamii ikiukubali Uislamu haiwezi kamwe kupiga hatua za katika ustawi wa na elimu. Pia Abel Ishumi 1980:208 anasema, "From the beginning Muslims were opposed to western type formal education", Kwamba Waislamu walipinga elimu. Pia Abel Ishumi 1981:43, "Muslims believe highly in fatalism" Kwamba Waislamu wanabweteka na kuamini kwao kuwa mambo yameshakadiriwa.


2. Kuhujumu taasisi za Waislamu na kuweka viongozi mamluki. Baada ya uhuru Serikali ya Tanzania imekuwa na muelekeo wa kuziandama taasisi zinazoonekana kuwa na mipango madhubuti ya kuwakomboa Waislamu kuondokana na ujinga na umaskini. Rejea Bergan 1981:26 na Sivalon 1992:3 kuhusu kuvunjwa kwa EAMWS na kuanzishwa kwa BAKWATA. Pia soma Anuur na. 13 la Agosti 1992 juu ya taarifa ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ya kuitaka Serikali kuifuta EAMWS. Pia tazama Njozi 2000:31. "Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania kuhusu kadhia ya kuvamiwa kwa Msikiti wa Mwembechai na hatimaye kuuliwa kwa Waislamu.

3. Kuhodhi mfumo wote wa elimu nchini. Tangu kuondoka kwa Mkoloni Wakristo wamekuwa kama mabaki ya wakoloni na ukoloni. Ukiondoa shule za msingi na sekondari za Kata, huko katika shule za sekondari za Serikali, vyuo vya kati na vyuo vikuu wanafunzi na wafanyakazi ni Wakristo kwa zaidi ya asilimia 80. Siku hizi katika shule za Kata wanafunzi Waislamu wameanza kuonekana. Katika taasisi za elimu mfano T.I.E, TEA, NECTA, Bodi ya Mikopo, I.A.E na vyuo vyote nchini, uongozi umekuwa ni mali ya Wakristo. Huko mwanzo walidai kwamba hamna Muislamu mwenye elimu ya kutosha kuongoza. Kwa siku za hivi karibuni madai yao kwa wale Waislamu wachache waliofanikiwa kupata elimu ni kuwa hawafai kwa vile wana, "udini". Aidha katika Wizara ya Elimu (MOEVT) tangu Wizara hiyo kuundwa uongozi umekuwa mali ya Wakristo kwa zaidi ya asilimia 90. Nafasi kama ya Kamishina wa Elimu haijawahi hata kuwa na Kaimu Muislamu na wala haitarajiwi chini ya Mfumochristo. Nafasi za wakurugenzi nazo zimemilikiwa na Wakristo. Mfumokristo umejikita barabara. Uongozi wa Shule za Sekondari na Vyuo vya Ualimu nao umemilikiwa vilivyo. Nafasi za Maafisa elimu Wilaya na Mikoa na wakaguzi wakuu wa elimu wa Kanda kwa zaidi ya asilimia 85 zinaendelea kuwa miliki ya hawa Wakristo.

4. Kukataa kutunga sera za kuondoa upendeleo wa Wakristo katika elimu na kuendeleza ulaghai dhidi ya wananchi wasiokuwa Wakristo. Mara baada ya uhuru ilielezwa na viongozi wetu akiwemo Mwl. Nyerere kuwa serikali itachukua hatua kuondoa mpango ulioasisiwa na Wakoloni wa kuwabagua Waislamu. (tazama A. Jumbe 1994:123, Court 1976 na Nyerere in Hansard Desemba 10, 1962). Badala yake hatua zilizochukuliwa hazikulenga kuondoa tatizo la ubaguzi wa kidini katika elimu nchini na kuwaondoa pia katika ajira na madaraka.Mfano wa hatua hizo ni pamoja na:

i. Kufuta ada shule za msingi na sekondari miaka ya 1960/70.

ii. Kuweka kikomo cha elimu ya msingi kuwa miaka 7 bila kusita.

iii. Kuondoa mitihani ya darasa la 4 na 5. iv. Kuanzishwa kwa mpango wa UPE.

v. Kujenga shule za msingi za bweni kwa watoto wa wafugaji na wavuvi wanaoishi kwa kuhamahama

vi. Kutaifisha shule za binafsi zilizokuwa chini ya mashirika ya dini na watu binafsi. Mpango huu haukuhusisha seminari za Wakristo.

vii. Kupeleka wanafunzi sekondari kwa kigezo cha KUCHAGULIWA badala ya KUFAULU kulikoendana na kuyafanya matokeo ya mtihani wa darasa la saba kuwa ni siri.

viii. Kuanzishwa utaratibu wa "quota system" ambapo kila mkoa ulipangiwa idadi ya wanafunzi watakaochaguliwa kwenda sekondari.

ix. Kuweka utaratibu mgumu wa kuanzisha na kuendesha shule binafsi chini ya sheria ya elimu ya mwaka 1978, hivyo watu wote kulazimika kusoma katika shule chache za sekondari za Serikali

x. Kuanzishwa kwa shule maalum za vipaji katika miaka ya tisini mfano: Kibaha, Kilakala, Ilboru, n.k.

xi. Kutoa upendeleo maalum (Affirmative Action) kwa watoto wa kike kuingia sekondari na vyuo. Aidha kuwepo pia kwa mipango ya kuwasomesha watoto wa kike kutoka familia maskini.

xii. Ujenzi wa Shule za Sekondari za Kata. Sera hizi zote pamoja na nyinginezo hazikusaidia kuondoa uwiano mbaya au ubaguzi wa elimu kwa Waislamu. Tuangalie mfano michache ifuatayo: Ni ukweli usiopingika kwamba UPE awamu ya kwanza iliyosukumwa na UNESCO na awamu ya pili iliyosukumwa na Malengo ya Milenia (MDGs) na Mpango wa Elimu kwa wote (EFA) zimesaidia kuwahakikishia watoto wengi wa Kiislamu elimu hiyo ya msingi. Lakini sera hii ilikuja katika kipindi ambacho elimu ya msingi haikuwezi tena kumpatia mtu ajira katika sekta rasmi na hata ile ya binafsi.

Ikumbukwe kwamba katika kipindi hicho cha miaka ya 60 hadi 2000 nafasi za masomo ya sekondari ziliendelea kuwa haba. Wakati wote huu watoto wa Kikristo ndiyo walioendelea kufaidika na elimu ya sekondari. Masomo hayo ya sekondari hatimaye yaliwapatia fursa za kuingia vyuo vikuu na hivyo kuwa katika nafasi za kuajiriwa serikalini, kuteuliwa katika vyeo na nyadhifa mbalimbali huku Waislamu waliowaacha shule za msingi wakiambulia ajira za usafi na utarishi.

Naam, Mfumokristo umefanikiwa kuwafanya Wakristo kuwa warithi wa wazungu wakoloni na kuwaacha Waislamu katika hadhi lie ile waliokuwa nayo wakati wa ukoloni. Aidha kutaifishwa kwa shule hakujasaidia Waislamu kupata elimu ya sekondari kama inavyodaiwa kuwa Nyerere alitaifisha shule ili Waislamu wasome.

Kama tulivyoona awali kuwa tangu wakati wa Mjerumani serikali ya kikoloni ilikuwa ikitoa pesa kusaidia ujenzi na uendeshaji wa shule za Wakristo ni dhahiri kuwa shule hizi zilikuwa zimeshalemazwa na pesa za serikali kwa kipindi cha miaka 55, tangu mwaka 1914 hadi mwaka 1969 zilipotaifishwa. Tazama maandiko ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maskofu Katoliki (TEC) Fr Robinson, D.W 1965:14 kwamba, "The Church is now totally dependent on State aid for the administration of these schools. If this aid were withdrawn the church will be forced to close its schools"

Yaani, Kwa sasa Kanisa limekuwa tegemezi kabisa kwa serikali katika kutoa pesa za kuendesha shule zake na ikiwa serikali itasita kutoa fedha kwa shule hizi basi Kanisa litalazimika kuzifunga. Ni dhahiri basi kwamba hatua aliyochukua Julius Nyerere ilikuwa na malengo makuu ya kuziokoa shule za Kanisa kufungwa kwa sababu ingekuwa jambo la kiroja kwa serikali ya Tanzania kuendelea kutoa pesa za kuendesha shule za Kanisa kwa wakati ule, na pili kuhakikisha kwamba malengo ya shule zile ya kuwasomesha Wakristo yanaendelea kutekelezwa kwa kutumia pesa za umma.

Kimsingi kilichobadilika ni jina la mmiliki tu uongozi na malengo ya shule yalibaki vile vile. Ndiyo maana hakuna mtu yoyote aliyethubutu au atakayethubutu kudai eti kwamba ukienda katika shule zilizotaifishwa mfano, Pugu, Minaki, Tambaza, Zanaki, Jangwani, Kibasila, Ilboru, Weruweru, Tosamaganga, Msalato, Umbwe, Ndanda n.k, utakuta idadi ya kuridhisha ya wanafunzi Waislamu wanaosoma huko. Lakini hata katika shule za sekondari chache mpya ambazo serikali ilijenga au kujengewa mwishoni mwa miaka ya 70, kama vile: Kibiti, Ruvu, Karatu, Bagamoyo n.k , kote walimu, wafanyakazi na wanafunzi ni Wakristo kwa zaidi ya asilimia 80.

Watoto wachache wa Kiislamu wanaosoma huko huonekana kama wakimbizi wanaosaidiwa katika nchi ya ughaibuni. Kuhusu kuingia sekondari kwa kigezo cha kuchaguliwa na mpango wa quota system, watendaji Wakristo waliojazana katika mfumo wa elimu nchini wamekuwa wakihakikisha kwamba Waislamu hawasomi kutokana mbinu zifuatazo:-

i. Kufanya matokeo ya darasa la saba kuwa ni siri hivyo kuweza kuibadili nafasi walizoshinda Waislamu na kuwapa wengine. Tazama ushahidi mzito uliotolewa na Njozi mwaka 2000; katika kitabu cha Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania uk. wa 62 -70. Hapa vijana wa Kiislamu waliofaulu darasa la saba walinyimwa nafasi kuingia sekondari na wale waliofaulu kidato cha nne walinyimwa kuingia kidato cha tano. Kazi hii ya kuwakwamisha vijana wa Kiislamu ilifanywa vyema na mawakala wa Mfumokristo waliojazana katika mfumo wote wa elimu nchini.

ii. Kuhamisha wanafunzi Wakristo kutoka maeneo yenye ushindani mkubwa kwenda Mikoa iliyokuwa na alama ndogo za kuchaguliwa kama Pwani, Dar, Lindi, Mtwara na Tanga ambayo pia ni maeneo ya Waislamu . Tazama Malekela 1983 in"Access to secondary education in Sub- Sahara Africa"

iii. Huko nyuma kabla ya wanafunzi kupangiwa shule za sekondari namba zao za mtihani ziliambatanishwa na majina ili kujua nani Mkristo apendelewe na nani siyo awachwe iv. Kuhakikisha kwamba viongozi na watendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) wote ni Wakristo. Aidha kwa asilimia kubwa kabisa watungaji wa mitihani na wasahihishaji pia ni dini hiyo hiyo. Tazama kitabu cha Miaka Thelathini ya NECTA, 2004 au www.necta.ca.tz..
 
Ritz,
Hawa ndugu zetu mimi niliwaambia tokea mwanzo kuwa haya nisemayo
yametendeka kwetu na wazee wangu.

Historia ya uhuru wa Tanganyika haikuanza na Nyerere 1954.
Wao wanashikilia kuniuuliza nani rais muasisi?

Jibu ni dhahiri halina shida.

Lakini nawaambia kuna kisa mpaka TANU imekuja asisiwa mwaka 1954.

Historia hii nyie hamtaki kuijua?
Mbona ni historia nzuri na ya kusisimua?

Hata nilipokuwa mwanafunzi Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam nawauliza
walimu wangu.

Mshapata kumsikia mtu anaitwa Abdulwahid Sykes?
Mnajua tarikh yake?

Mnajua kama unataka kutoa sifa kwa mtu mmoja kuhusu TANU basi atakuwa
Abdu?

Butwaa kubwa na sura za mshangao!

Ritz,

Hivi nani anajua kuwa ule mkutano wa 1954 wa kuasisi TANU hela katoa Abdu, Ally,
Dossa na Rupia.

Nani anajua haya?

Nani anajua kuwa Abdu ndiye alichelewesha kuundwa kwa TANU ikafika 1954 baada ya
TAA Politica Subcommittee kuamua kuwa waunde TANU 1951?

Laiti Chief David Kidaha Makwaia angekubali kogombea nafasi ya urais wa TAA historia
ya Tanganyika ingekuwa nyingine.

Kama wameshakula yamini kutoamin basi hata ueleze nini hawawez tuh kuamini,

Kikubwa ukweli unazungumzwa na wenye akili zao timamu wenye kupima na kudadavua mambo wanajua Moh Said,

Labda wao wameona njia ya kujitafutia umaarufu ni kum-challange na kumkejeli Moh Said,sio mbaya sana..

Wamejaribu,Tumeona,,ila sasa wameshindwa moja kwa moja kutetea hoja zao kuhusu uchochezi wako na farki unayoijenga..

Sisi tunastareheka na hoja zao za kiabunuasi..
 
Nguruvi ukicheka,ukilia hakuna atakayekuamini kuwa definition hii ya mfumokristo uliyoomba ni ya kuumba umba.
Unaitukana nafsi yako bure kwa kukanusha wataalamu wengi walioitayarisha.


Ami ndugu yangu,,

Muwie radhwi bure huyo Mzee Mwanakijiji,

Sisi tunamwita mzee mfia dini,mara nyingi utamuona anakuja na speed kali sana ya kuufanyia clarification uislam ili kututoa nje ya mada,mbaya zaid hakuna anachokifaham kuhus uislam wetu labda kwa kukariri anakofanya,,

Tulishampa rai mda mrefu Mwanakijiji achutame aficha tupu zake kwani si busara kwa mtu wa heshima kama yeye kwa jins alivojitanabaisha hapa jamvini kushadadia mambo asiyokuwa na ilm nayo,hataki,..!!


Anataka kujifanya yeye ni TABII TABIINA,Wapi na wapi??

Anazid kujidhalilisha tuh zomba alishamvua nguo huyo mda mrefu tuh..
Mohamed Said ni kiboko yao,Allah kamjalia kheri kuelezea mambo yaliyokafichikana,na sisi tunathamini uhalisia huu,sio kwa kuwa ni muislam mwenzetu au kwa kuwa anaelezea upande wa pili ambao unaakisi waislm na uislam la hasha,
Ila kwa kuwa anaueleza uhalisia ulivyo kwa maslahi ya taifa na tanzania ilivokawa hapo zamani,ilivyo sasa na jins itavyokuwa,ni jukumu letu sisi sote kupima na kuangalia wapi tulikosea na kuukubali ukweli na kuijenga nchi yetu,kuupinga hakutasaidia hata kidogo..
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Ami
Ha ha haaaa....naona watu wamechanganyikiwa kwa nondo na sasa wanajifariji kwa vioja uchwara.

BashaDido,
Si utani.

Hali ya mambo yamebadilika sana.

Mie sijifariji kwa lolote kwani sina
sababu hiyo.

Historia ya wazee wangu inasomeshwa
kwingi katika vyuo duniani.

Kitabu kimepewa catalogue "Islam, Politcs."
Ikiwa wewe huikubali hiyo ndiyo hali ya dunia.
 
Back
Top Bottom