Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,256
- 1,231
Wewe mpumbavu ni kwambie mara ngapi kuwa mimi ni "adent atheist"? ebu niondolee hayo makonokono yako, kwangu mimi hayana nafasi na wala hayana umhimu wowote.
Ha ha haa nilijua utatokwa na povu nitafsirie hapo chini ya hayo makonokono kwasababu mimi kithungu sikijui hayo makonokono yangu niachie mwenyewe kwasababu uislamu ni hoja na dalili hatupelekwi kibubusa dingi la kinoma.