Wickama
JF-Expert Member
- Mar 8, 2009
- 1,466
- 1,196
MKJJ,
..Abdulwahid Sykes ni rafiki kipenzi wa Baba yake Mohamed Said.
..sasa wakati mwingine wasomaji inabidi tumuelewe na tumvumilie anapoandika kuhusu maisha ya ndugu zake.
..kwa upande mwingine lazima tumkubali Mohamed Said kwamba he is a good writer and storyteller.
NB:
..tatizo lake ni UDINI, na kujaribu kwa kila hali kumdunisha Mwalimu Nyerere.
..Mohamed Said anadai katibu moja ya lectures zake wazungu walimuuliza: What about Nyerere??
..halafu yeye akajibu "about what"?? If I am not mistaken jibu hilo lilizua kicheko.
..sasa kwa jinsi ninavyoelewa wazungu, huo ulikuwa ni mtego, na Mohamed Said alinasa. Right there walimgundua kuwa ni mwandishi mwenye donge/grudge fulani na Mwalimu Nyerere.
cc: Mag3, gombesugu, Nguruvi3, Jasusi, Wickama
Jokakuu, Mag3, Jasusi, Mzee MS; Nguruvi and Gombesugu; Jokakuu shukran sana. Kuna Movie moja ya kivita huwa naipenda sana "the Wind Talkers" amecheza Nicholas Cage. Ipo event ambapo wenzao waliuwawa. Sasa mwenzao mmoja kwa machungu na undungu aliokuwa nao na marehemu alitoka mafichoni na kuanza kupigana na wajapani bila kujali yatakayomfika. Nicholas Cage kwa vile alishapewa jukumu la kumlinda huyu bwana at any price alipata taabu sana kumfata na kumtuliza under enemy fire. Lakini mwisho alimwambia japokuwa alikuwa anapigana kwa machungu ya watu wake (alikuwa red indian) "IT WONT BRING THEM BACK". I see a similar movie here BUT again "IT WONT BRING THEM BACK".
Last edited by a moderator: