Sweke34,
Nakuwekea hapo chini kutoka paper niliyotoa Chuo Kikuu Cha Ibadan mwaka 2006 kuhusu ugaidi:
Tanzania passed the Prevention of Terrorism Act of 2002, which in all intentand purpose replicated the United States Patriot Act of 2001. Due to underrepresentation of Muslims in parliament the Act sailed through without any difficulties notwithstanding Muslim opposition outside the parliament.
Whatconcerned Muslims more was the fact that the law was not only draconian butalso targeted Muslims. Muslims realised that with the Act in force any conflict between them and the government could be tried under that legislation and this would have very dire consequences.
The Prevention of Terrorism Act was a piece of legislation, which was imposed on Tanzania with the intention to open up the country for covert operations against enemies of theUnited States. Although the act does not say so in so many words but it is clear the legislation is meant to protect United States and provide it with political and legal powers to expand its military hegemony in countries, which it did not enjoy, such freedom before. On 17[SUP]th [/SUP]May 2003 with the anti terror legislation in place the police in collaboration with the FBI (who were already in the country waiting for the president to assent the bill) arrested Muslims suspected to be ‘terrorists.'
But those arrested had nothing to do with terrorism; they were Muslims leaders who the government arrested for being ‘opponents' of the government and ruling partythe Chama Cha Mapinduzi (CCM). Among those arrested were leaders of various Muslim charitable organisations -foreign oriented and local, who have distinguished themselves in providing social services to Muslims like building mosques, schools, orphanages etc.
These were targeted for being ‘terrorist sympathisers' or for being directly involved in ‘terrorist activities' or for ‘providing logistic support toterrorists;' and bank account of one prominent Muslim school – Al Furqan was frozen for suspicion of being a conduit of funds from abroad to support terrorism. In response tothese arrests Muslims staged a mass demonstration against the government andthe United States opposing the mass arrests of the Muslim leadership,harassment by the local police, the FBI and against the Anti – Terrorist Legislation. The demonstration was the first of its kind, as never before had Muslims shown such solidarity against a foreign power.
Ignoring the feeling of Muslims the then United States Ambassador to Tanzania Robert Royall addressedthe Tanzanian Parliament expressing his government's satisfaction in Tanzania'ssupport in its war against terrorists and pledged USD 100m in aid to East African governments to help combat terrorism. Investigations revealed that none of the arrested Muslims had any kind of military training whatsoever or had in anyway engaged in terrorist activities and they were quietly released without being charged.
Investigations also failed to prove that the account of AlFurqan had at any one time used to transfer funds from abroad for illegal use. All this notwithstanding there was no apology from the government, the FBI or the police.
Aya ya kwanza Mohamed anaonyesha kuwa uchache (under representation of muslims in the Parliament) unasababu.
Kwa mtu wa Ibadan Nigeria au average Tanzanian hili atalijua kama sehemu ya uonevu.
Mohamed anajaribu kuonyesha kuwa wabunge wanateuliwa na si kupigiwa kura.
Hii ni sehemu ya madai yake kuwa mfumo umetawala kila mahali.
Lakini basi Mohamed anapaswa ajiulize, je bajeti inayopitishwa bila kupingwa kwa majority ya CCM au mswada wa kuanzisha machakato wa katiba uliopita bila kupingwa nao pia ulihusu wingi wa watu wa imani fulani.
Mtu anaweza kudhani Mohamed ana upungufu wa maono, la hasha anajua anachokifanya na kundi alilolenga.
Kwa wale wanaouliza wapi uchochezi wa Mohamed, mambo ni kama haya.
Ni huyu huyu Mohamed alisema walipita wakinong'onezana waichague CCM.
Ni CCM hiyo ndiyo ina majority kuanzia zama hizo anaandika paper.
Sasa inakuwaje tena analalamika under-representation ya jambo lile alilounga mkono?
Aya ya pili anaongelea kuhusu waislam kwa ujumla. Mohamed hajui kuwa katika waislam wapo BAKWATA, Ismailia, Bohora, Shia na Sunni na kwamba hicho anachokiongelea ni kikundi chake na wala si waislam.
Jitihada zake ni kuonyesha ulimwengu uzito wa jambo hili kama tutakavyoona.
Aya ya tatu, inapaswa kumshangaa Mohamed. Yeye anasema Marekani ilishinikiza sheria ya ugaidi ili iweze kuweka nguvu za majeshi yake, nguvu ambayo hawakuwa nayo siku za nyuma.
Na kwamba siku sheria ilipopitishwa FBI kwa kushirikiana na Polisi walikuwa tayari kuwakamata waislam.
Mohamed anasahau kuwa Tanzania ilikuwa na tukio la Ugaidi wa ubalozi kabla ya hapo(twin mbombing).
FBI walikuja na kumkamata Mohamed Ghailan pale kwao.
Sikwamba FBI walianza kuwepo wakati huo, walikuwepo siku zote.
Mohamed hajiulizi mabalozi wa Marekani wanateuliwaje, mashirika yao ya misaaada yanafanya kazi vipi.
Kama angelijua hilo basi asingeandika alichoandika kwasababu FBI hawahitaji ruhusa kuingia popote! wanaingia wakitaka.
Mohamed, hii forum si ya kutupa tupa unachodhani!
Aya ya nne anasema wale waliokamatwa hawakuhusika na mambo ya kigaidi isipokuwa wapinzani wa CCM.
Wapinzani wa chama kile kile alichokipigia upatu kwa kunong'nezana nadhani kuanzia zama hizo.
Kama si hivyo lini uswahiba wa ''waislam akina Mohamed'' na CCM ulianza?
Kaendele kusema, miongoni mwa waliokamatwa ni wale wa mashirika ya misaada kama ya kusaidia kujenga shule, afya na yatima. Kwa mtu anyewakilisha paper alitakiwa aeleze nani na washirika gani.
Aeleze kwasababu akitokea mtu akasema World Muslim League ni mojawapo Mohamed atapingaje wakati yeye haijui?
Kwa kiwango cha paper hii ni tatizo kubwa sana la mzee wetu, kuandika vitu kwa ujumla bila kuwa na specific pengine kukwepa ukweli. Akataja shule ya Al Faruq ili kujaza jazba bila kutaja mashirika.
Aya inayofuata amedai balozi za Marekani zilitoa pesa kwa nchi za EA, na kudai kuwa balozi wa Marekani ilihutubia bunge! Kwa hili yawezekana anajua undani wa kile kilichoongelewa.
Tunachomuuliza Mohamed ni kuwa lini balozi huyo alihutubia bunge?
Tunauliza ili kuondoa dhana ya kuwa suala hilo la waislam wa Mohamed lilikuwa kubwa kiasi hicho.
Ni mazoe ya Mohamed kutaja watu au mahali katika kuongeza nguvu za hoja zake hata kama hakuna ukweli.
Mohamed alishawahi kusema kuwa katika baraza la Idd mwaka 1988 aliyehudhuria alikuwa makamu wa rais mzee Kawawa.
Hilo alilisema makusudi kuonyesha nguvu ya hoja yake. Ni kutokana na mwiba huo uliotuchoma ndio maana tunamuuliza Mohamed, balozi alihutubia lini Bunge! Swali hili ni muhimu kwasababu limebeba paper nzima.
Mohamed, lini balozi alihutubia Bunge?