Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Barubaru,
Hawa ndugu zangu huwa wanakwepa pale ninapowawekea fikra zangu.

Bandiko hizo huzikwepa hawatii neno na kama watasema ni kejeli na
matusi.

Katika paper ya Ibadan hakika niliwakanyaga Wamarekani kwa udhalimu
wao dunia nzima.

Hawa ndugu zetu niliyosema Chuo Kikuu Cha Ibadan kwao si muhimu hata
kidogo.

Wao wameshughulishwa na je Balozi Royall kahutubia bunge au kamati ya
Bunge.

Kama itakavyokuwa niko nao na taratibu tutafahamiana.
Leo huu mnakasha umefurtu ada.

Mimi ndie ninaezungumza hapa jamvini.
Wao ni Hakimu Nassoro Kiruka.

Kazi yao ni vitisho, kebehi, kejeli nk. nk.
Wakati mwingine ni vitisho.

Swadakta Al Akhiy Mohd Saidi.

ndio maana nawarudisha katika hali ya kisomi kuwa wajadili hoja kwa maana kile alichoongea Balozi wa USA na alijibiwa nini full stop kwani mengine yote si msingi katika mnakasha huu.

maa salaam

 
Kwani kuna ubaya kujiunga tarehe 4 April 2013? Unachotakiwa wewe ni kujibu hoja nzito za Zali la Mentali,

Yaani, Ritz, ile post kwako unaona ni hoja! Umenisikitisha sana, ukiniambia ameta maoni yake nitaheshimu na ningekuona umezungumza jambo la maana sana.

Pale amemwaga chuki zake dhidi ya Nyerere tu, hakutoa sababu wala kueleza Nyerere alikosea wapi (na ni kweli ana makosa mengi tu na alishawahi kukiri), lakini kujiunga tu huu mwezi April na kuanza kusambaza chuki tu dhidi ya Nyerere na kumlaani tu,! Je, haitoshi kusema hicho ndicho kilimleta kwenye huu mnakasha?

Ritz, nadhani kutetea 'hoja' ya ndugu yetu Zali la Mentali, kwa viwango vyako it is too low.
 
Si jambo la ajabu Uingereza kumtukuza Nyerere kwani walikuwa wanamtumia kufanya crusade katika Africa. Mapinduzi ya Zanzibar yana mkono wao, Nyerere kuendelea kuwa Rais wa nchi hii kwa mabavu kuna mkono wao. Udicteta wa Nyerere kwa kiasi kikubwa sana umerutubishwa na mataifa ya magharibi na hasa Kanisa Katoliki.

Kati ya vibaraka wakubwa wa mataifa ya Magharibi waliotumika kuuwa maendeleo ya Wa Africa baada ya kupata Uhuru Nyerere ndie baba lao. Nchi hii itaendelea kusuasua kimaendeleo mpaka masalia ya utawala na mfumo aliouacha Nyerere utokomee kabisa.

Tutajie ambao si vibaraka.... tuwajue
 
Yaani, Ritz, ile post kwako unaona ni hoja! Umenisikitisha sana, ukiniambia ameta maoni yake nitaheshimu na ningekuona umezungumza jambo la maana sana.

Pale amemwaga chuki zake dhidi ya Nyerere tu, hakutoa sababu wala kueleza Nyerere alikosea wapi (na ni kweli ana makosa mengi tu na alishawahi kukiri), lakini kujiunga tu huu mwezi April na kuanza kusambaza chuki tu dhidi ya Nyerere na kumlaani tu,! Je, haitoshi kusema hicho ndicho kilimleta kwenye huu mnakasha?

Ritz, nadhani kutetea 'hoja' ya ndugu yetu Zali la Mentali, kwa viwango vyako it is too low.

Wewe unafahamu kabisa kwamba mimi nimejenga hoja ya kumwita Nyerere ama CHIZI au MNAFIKI kwa kutumia hotuba yake mwenyewe na ambayo imewekwa kwenye thread hii na muanzisha thread. Utasemaje ninamwaga chuki bila sababu? Niliamua kuanza na nyepesi nyepesi za kutumia ushahidi ambao umo humu humu na hautakuchukua dakika mbili kuumaliza kusoma ili kama wewe ni mvivu wa kusoma basi usipate shida kwani ushahidi umetolewa kwenye chanzo ambacho unakiamini na hautakuchukua mda kuupitia na kuweza kutoa hoja zako dhidi ya hoja zangu zilizojengwa kutoka kwenye ushahidi huo. Sasa kama hata ushahidi huu wa hapa kwa hapa na wa dakika mbili tu unakushinda unawezaje kuwa na guts za kusema kwamba sina ushahidi wowote ule na hoja ninazoziweka?
 
Tutajie ambao si vibaraka.... tuwajue

Wakati wa Nyerere wale ambao si vibaraka waliuawa na mataifa ya Magharibi kama kina Kwame Nkrumah, Patrice Lumumba n.k. Hawa vibaraka walilindwa na Mataifa hayo hayo ya Magharibi walipotaka kuondolewa madarakani na wananchi ambao waliona kabisa kwamba uhuru wao umepokonywa kupitia hawa viongozi vibaraka. Mapinduzi ya mwaka 1964 na jinsi ambavyo Waingereza walileta kikosi maalum cha makomandoo kulinda utawala wake dhalimu ni ushahidi tosha. Mapinduzi ya Zanzibar yalivyoweza kufanyika kwa kutumia vibaraka kutoka nchi za Kenya Uganda, Mozambique, etc ni ushahidi tosha kwamba kulikuwa na mkono mpana wa Kanisa kuwakusanya wapiganaji hawa kutoka sehemu mbalimbali za Africa ili kuja kufanikisha crusade yao Zanzibar. Ukweli kwamba Waingereza ndio walikuwa Protector wa Zanzibar wakati ule na hawakufanya lolote kuinusuru Zanzibar kwenye mapinduzi yale ya kikatili ni muendelezo wa ushahidi kwamba ulikuwa na baraka ya mataifa ya magharibi.
 
Nafikiri kiswahili tu hapo kina mapungufu lakin kuzungumza na wabunge katika semina ina nguvu sana kuliko kulihutubia Bunge. Kwani katika semina unapewa nafasi ya kuuliza masuala na hata kujadiliana kitu ambacho katika kuhutubia upati nafasi hiyo ya kuulizana maswali na mtoa mada.

All in all alisema na wawakilishi wa wananchi katika kufanya lobbing ili muswada wake wa Ugaidi upite kilainiiii.

Poleni sana.

Anachokanusha ni kipi?.Hebu angalia hii sentensi:
Addressing Members of Parliament in Dodoma on the subject of «Blood Money and Financing Terrorism», the US ambassador to Tanzania, Robert Royall said: «We are proud to be your partners in this effort and I am deeply grateful that you have given me this opportunity to advance some of my thoughts on the topic of financial crimes, and especially in the matter of money-laundering».

Ikisemwa addressing members of parliment wapi inaonesha kuwa kitendo hicho kilifanyika kwenye ukumbi anapokuwepo spika?.Hata wakiwa kwenye kamati bado ni membwes of parliment.Sasa ni wapi alipokosea Mohammed?.
Kivi cha akina Mwanakijiji hakijaweza kuwaficha na aibu iliyowakumba.

Mambo si Mambo..... Mzee Said anachanganya watu...

Lakini naona Barubaru haamini amini, kama kashaanza kumdoubt mzee Said..

Barubaru usichoke kutafuta na kujua ukweli...
 
Yaani, Ritz, ile post kwako unaona ni hoja! Umenisikitisha sana, ukiniambia ameta maoni yake nitaheshimu na ningekuona umezungumza jambo la maana sana.

Pale amemwaga chuki zake dhidi ya Nyerere tu, hakutoa sababu wala kueleza Nyerere alikosea wapi (na ni kweli ana makosa mengi tu na alishawahi kukiri), lakini kujiunga tu huu mwezi April na kuanza kusambaza chuki tu dhidi ya Nyerere na kumlaani tu,! Je, haitoshi kusema hicho ndicho kilimleta kwenye huu mnakasha?

Ritz, nadhani kutetea 'hoja' ya ndugu yetu Zali la Mentali, kwa viwango vyako it is too low.

Wimana,

Unataka kuniambia hujaona hoja za Zali la Mentali, ambazo zinaitaji majibu?
 
Last edited by a moderator:
Wakati wa Nyerere wale ambao si vibaraka waliuawa na mataifa ya Magharibi kama kina Kwame Nkrumah, Patrice Lumumba n.k. Hawa vibaraka walilindwa na Mataifa hayo hayo ya Magharibi walipotaka kuondolewa madarakani na wananchi ambao waliona kabisa kwamba uhuru wao umepokonywa kupitia hawa viongozi vibaraka. Mapinduzi ya mwaka 1964 na jinsi ambavyo Waingereza walileta kikosi maalum cha makomandoo kulinda utawala wake dhalimu ni ushahidi tosha. Mapinduzi ya Zanzibar yalivyoweza kufanyika kwa kutumia vibaraka kutoka nchi za Kenya Uganda, Mozambique, etc ni ushahidi tosha kwamba kulikuwa na mkono mpana wa Kanisa kuwakusanya wapiganaji hawa kutoka sehemu mbalimbali za Africa ili kuja kufanikisha crusade yao Zanzibar. Ukweli kwamba Waingereza ndio walikuwa Protector wa Zanzibar wakati ule na hawakufanya lolote kuinusuru Zanzibar kwenye mapinduzi yale ya kikatili ni muendelezo wa ushahidi kwamba ulikuwa na baraka ya mataifa ya magharibi.
Kama chuki zenyewe zinaanzia huku, hizi haziwezi kuwa na tiba. Utamchukia Mwalimu sio wewe tu, bali na vizazi vyako vitano vijavyo. Historia ndivyo ilivyo.
 
Mambo si Mambo..... Mzee Said anachanganya watu...

Lakini naona Barubaru haamini amini, kama kashaanza kumdoubt mzee Said..

Barubaru usichoke kutafuta na kujua ukweli...

Wakati unaanza kuchangia huu mnakasha ulisema wewe una upande lakini taratibu masiku yanavyokwenda kasi ukaona potelea mbali damu nzito kuliko maji acha ujimwage jamvini kutetea dini yako haa ha haa ha!
 
Kama chuki zenyewe zinaanzia huku, hizi haziwezi kuwa na tiba. Utamchukia Mwalimu sio wewe tu, bali na vizazi vyako vitano vijavyo. Historia ndivyo ilivyo.

Hivi nyinyi jamaa kwa nini mnakuwa na vichwa maji kiasi hiki? Kila mara nawaelezeni mje na hoja mnakuja mikono mitupu!!!!!!!!
Kanchi haka kaaaaaaaaaaaaaazi kwelikweli
 
Wakati unaanza kuchangia huu mnakasha ulisema wewe una upande lakini taratibu masiku yanavyokwenda kasi ukaona potelea mbali damu nzito kuliko maji acha ujimwage jamvini kutetea dini yako haa ha haa ha!


'Sisi' na 'wao'
na hii wameianzisha wao..
lakini ni raha iliyoje kuwa upande huu..,kama walivotaka wao..
 
Barubaru,
Kosa alilofanya mwandishi ni kutoa sweeping statement bila clarification. Alipaswa kutaja kama alihutubia wabunge wote kwenye ukumbi, jambo ambalo halikutokea. Kwa sentenso hiyo ameacha taswira kama balozi alihutubia wabunge wote.

Jasusi,

msingi mkubwa hapo ni kile alichoongea balozi na pahala alipoongelea na si watu waliokuwepa wakti huo. Kwani hapa kinachobishaniwa ni Ile paper ya Balozi hususan mada yake na yale majibu alojibiwa na Mohd Said na si vinginevyo.

Tusihukumu Kitabu kwa kuangalia jalada lake mkuu. Pole sana.

Lakin vipi Hivi ni kweli Nyerere alileta amani ambayo mnadumu nayo mpaka leo huko Tz?

 
Mambo si Mambo..... Mzee Said anachanganya watu...

Lakini naona Barubaru haamini amini, kama kashaanza kumdoubt mzee Said..

Barubaru usichoke kutafuta na kujua ukweli...

Nilipo Pigia mstari.

Nikweli kabisa nipo hapa kupata darsa na namshukuru sana Al Akhiy Mohd Said kwa darsa yake yenye dalili sio bla bla.

Vipi lakin mwenzangu Hivi kweli JKN ndie alieleta amani na upendo huko Tz?

 
Nilipo Pigia mstari.

Nikweli kabisa nipo hapa kupata darsa na namshukuru sana Al Akhiy Mohd Said kwa darsa yake yenye dalili sio bla bla.

Vipi lakin mwenzangu Hivi kweli JKN ndie alieleta amani na upendo huko Tz?


Barubaru,

Hilo swali hakuna wa kujibu ni mbini mzito.

Hata mimi nasubiri sana hilo jibu kuwa Nyerere alileta amani Tanzania.

Wanajamvi tunasubiri majibu yenu murua.
 
Last edited by a moderator:
Wakati unaanza kuchangia huu mnakasha ulisema wewe una upande lakini taratibu masiku yanavyokwenda kasi ukaona potelea mbali damu nzito kuliko maji acha ujimwage jamvini kutetea dini yako haa ha haa ha!
Ha ha ha ha... Uzuri JF records zipo kila ulosema

Ritz
Mimi naamini sina upande. Inawezekana ninao lakini sijajua bado.

Nikweli nimesema sioni dhulma, lakini haimanishi siamini kuwa kunauwezekanao ipo ila mimi sijaiona bado, ndo mana mnakasha huu nimeupenda na nimeamua kuwa neautral ili nijaribu kuangalia kwa jicho la pili ushahidi yakinifu wa madai haya.

Mimi nipo hapa natafuta kwelj na ushahidi wa madai haya ya muda mrefu. Ndo mana nimepinga ushahidi wa Research ya Warsha kwasababu makosa yake yameokena na nikasema si vyema kutumia takwimu zile kama kielezo cha dhulma dhidi ya waislamu kwasababu haikuchukuliwa kitaalamu.

As so for historia, kama Mzee Said alivyoiandika, nivigumu kwangu kujua ukweli kwasababu

Kwanza ni Historia na mimi sina utaalamu

Pili any events za historia lazima zisapotiwe na wana historia wengine kuipa uhalali wake. Lasivyo mtu yoyote anaweza akaweka event yake kwenye historia hata kama haikuwepo na kung'ang'ania ni kweli.

Lakini ushahidi huu wa hisrtoria nikasema nimeanza kuwa na wasiwasi nao kwasababu Mzee Saidi ameshaanza kuonesha makosa madogo madogo lakini yenye uzito mkubwa kwenye kitabu chake (na mwenyewe amekiri kama ni makosa ya kibinadamu) kiasi mtu unajiuliza how can believe the rest of the story....????

So mimi bado naheshimu madai ya watu wanaosema waislamu wanadhulumiwa na mfumo kristo, lakini bado natafuta ushahidi nijiridhishe.

Ila pia kuna kitu nimeona labda ningepata ufafanuzi,

Kipindi cha uhuru mnasema Kanisa na Nyerere walikandamiza waislamu,

Wakati Yule sheikh msouth africa alivyorudishwa mkasema kanisa lika mshinikiza Mwinyi kumfukuza (manake mmemtoa Mwinyi kwenye makosa, kwamba kosa sio lake bali alishinikizwa)

Kipindi hiko hiko mnamlaumu waziri wa mambo ya ndani Mrema aliwakandamiza na kuwauwa Waislamu lakini Raisi Mwinyi hausishwi.

Kipindi cha Mwembe chai wakati wa Mkapa mkasema laana ya damu ya waislamu ipo mikononi mwake,

Kipindi hiki cha kikwete ambapo kuna viongozi waandamizi wengi sana waislamu, kuanzia Raisi, makamo wa Raisi, mkuu wa Polisi na kamanda Kova nae, mnasema kanisa ndo linashinikiza na kupiga vita, wamekamatwa wakina Ponda lawama hazijaenda kwa Kwikwete wala IGP wala kova bali kanisa.

Sasa je hamuoni mko selective jinsi mnavyo laumu?

Mnachagua nani wakumlaumu na wakumluka?

Lasivyo basi tuite dhulma zidi ya waislamu kutoka mfumo kristo, kanisa na waislamu wenyewe...

Ambapo tutarudi kwenye swali la msingi, Je hao waislamu wanaodhulumiwa mpaka na waislamu wenzao ni waislamu gani???
 
Mzee wagesi,

Tatizo lenu(wadini, wabaguzi wa kidini, wafuasi wa Mzee Said) mnahusiha uislamu na waislamu.

Mufti Issa bin Simba ni muislamu, yeye pamoja na waislamu wengine ambao wanashirikiana na Bakwata na wapo Bakwata ni waislamu kama Mzee Said na Waislamu wengine.

Hakuna grades za Uislamu.

Sasa kama nyie mnasema Bakwata ni chombo chetu, Je

1. Hawa waislamu wa Bakwata na washiriki wake ni Traitors?

2. umekubali kuwa Mifti Simba na pro Bakwata ni waislamu, je Mzee Said na nyie wafuasi wake mnaposema "waislamu" wamefanya hili na lile.. Huwa mnamaanisha waislamu gani? Kwasababu nyie na Bakwata hampo pamoja.. Sasa inakuwaje mnageneralize waislamu? Mfano mnaposema Nyerere hama respect among waislamu...

Waislamu gani? Pro bakwata au nyie...

Its about time mnaposema kuhusu waislamu muwe mnabainisha waislamu wapi, kwasababu hamuwezi kuwasemea watu ambao mnapingana nao na hamuelewani..

Naona hapa ulijisahau kuwa kama una upande...ha ha haa ha ha!! kweli JF kiboko.
 
Jasusi,

msingi mkubwa hapo ni kile alichoongea balozi na pahala alipoongelea na si watu waliokuwepa wakti huo. Kwani hapa kinachobishaniwa ni Ile paper ya Balozi hususan mada yake na yale majibu alojibiwa na Mohd Said na si vinginevyo.

Tusihukumu Kitabu kwa kuangalia jalada lake mkuu. Pole sana.

Lakin vipi Hivi ni kweli Nyerere alileta amani ambayo mnadumu nayo mpaka leo huko Tz?

Sio AMANI tu, bali hata sera zake nzuri za ELIMU, MUUNGANO zilikufanya usome vizuri tu kwa gharama zetu tukidhani wewe ni MTANZANIA mwenzetu kumbe....
 
Barubaru,

Hilo swali hakuna wa kujibu ni mbini mzito.

Hata mimi nasubiri sana hilo jibu kuwa Nyerere alileta amani Tanzania.

Wanajamvi tunasubiri majibu yenu murua.
Zipo thread za Mwalimu humu nyingi tu. Hili limejadiliwa sana huko. Ushahidi ni wazi. Ameondoka madarakani tukaanza chokochoko. Sasa hivi tunachinjana kabisa. Siri ilikuwa moja tu. Mwalimu aliapa kuilinda na kuitetea KATIBA ya JMT. Alifanya hivo kweli.

Mwalimu alichukia wizi, rushwa, uporaji wa rasilmali za nchi, udini, ukabila. Mwalimu aliongozwa na sheria za nchi. Pale alipopotoka alikiri hadharani, akarekebisha, akasonga mbele
 
Zipo thread za Mwalimu humu nyingi tu. Hili limejadiliwa sana huko. Ushahidi ni wazi. Ameondoka madarakani tukaanza chokochoko. Sasa hivi tunachinjana kabisa. Siri ilikuwa moja tu. Mwalimu aliapa kuilinda na kuitetea KATIBA ya JMT. Alifanya hivo kweli.

Mwalimu alichukia wizi, rushwa, uporaji wa rasilmali za nchi, udini, ukabila. Mwalimu aliongozwa na sheria za nchi. Pale alipopotoka alikiri hadharani, akarekebisha, akasonga mbele

Thread za nini mimi nataka utufahamisha Nyerere ndiyo ameleta amani Tanzania ambayo haikuwepo?
 
Back
Top Bottom