Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ndugu yangu Uthman;
Namshukuru Nguruvi kakujulisha kikamilifu yaliyojitokeza kwenye swali uliloniuliza. Binafsi sikupata muda mzuri wa kulishughulikia. Sijui haya nilibahatika kupata kama yatakuridhisha wewe na pengine hata wanajamvi. Ukizungumzia kufa kwa taasisi za Kiislamu huenda inayogusa hisia za wengi katika kuanguka kwake huwa ni the East African Muslim Welfare Society (EAMWS). Kwa hiyo nadhani bora nijibu niliyofanikiwa kupata juu ya hili. Nimebahatika kupata paper moja kaandika Dr. Issa Ziddy. Paper hii utaikuta kwa jina la “ SHAYKH ˘ASAN B. ‘AMAYR AL-SHIRAZˆ (1880-1979), ISSA ZIDDY,;Journal; Sudanic Africa, 16, 2005, 1-26. Kwa Google Scholar utaipata kuiwepesi. Madhila ya EAMWS yako pamoja na madhila Sheikh huyu maarufu. Nashauri ipate paper yote. Hapa chini nimechukua vipande vichache ili angalau watu wajue baadhi ya yaliyojiri. Nimevipa vipande hivi namba ili tuweze kuvirejea kwenye maoni yangu kama Wickama ambayo utayakuta mwisho;

1. “………he was the mufti of Tanganyika (from 1961 to 1968). Among these Muslim associations, the EAMWS was the most important. However, Shaykh ˘asan b. fiAmayr was not only active with respect to the development of Muslim organizations in Tanganyika, but also worked for the establishment of an Islamic university in Tanganyika. In 1964, he was, thus, among the Muslim scholars of the EAMWS who visited Islamic countries such as Egypt, Iraq, Lebanon and Syria, in order to ask for support in educational matters. On 20 May 1964, they returned home with the good news that the Egyptian government would donate 55 million Egyptian pounds to build an Islamic university in Dar es-Salaam. But the political situation had changed, and because of that, ‘Shaykh ˘asan was convinced by his friend and closest student, Shaykh Mzee b. fiAlı, a Comorian living in Kariakoo in Dar es-Salaam, to change the content and method of delivering his khu†bas [sermons] and darsas by not touching political issues any more”

2. “…..Now, many sources, even Muslim texts, magazines, newspapers, audio and videocassettes as well as books written by missionaries claim that Shaykh ˘asan b. fiAmayr was a politician. Also his name and pictures appeared more than once in the documents of the Tanganyika archives on the activities and struggles lead by the first political party of Tanganyika, the Tanganyika African Association (TAA) as well as the Tanganyika African National Union (TANU) as Mohamed Said was able to show.”

3. “……..They rather claim that he was not a politician and that his aim was the struggle for Muslim education, Muslim rights and unity. He is said to have always refused to become a minister or even a local sheha (chief): Shaykh ˘asan did not involve himself in politics, but some of his students were politicians. They invited him sometimes to say the Fatiah at the end of their political meetings.”

4. “……..Thus, a well known student of Shaykh ˘asan b. fiAmayr, Shaykh fiAbdallah Chaurembo, who used to teach Shaykh ˘asan b. fiAmayr’s students during his visits to his other centres, started a conflict with Shaykh ˘asan b. fiAmayr on account of political questions. Due to these internal conflicts among Tanganyika’s Muslims,the plans to start an Islamic university came to nothing and the EAMWS came to an end as well, although Shaykh ˘asan b. fiAmayr tried to support this umbrella organization of Tanzania’s Muslims.”

5. “……..he was also an active member of al-Jamifia al- Islamiyya and al-Dafiwa al-Islamiyya as well as the East African Muslims Welfare Society (EAMWS).”

6. “…………However, after the Arusha Declaration in 1967, the EAMWS started to split. Some Muslims such as Shaykh Adam Nasibu of the Bukoba district office of the EAMWS even said that socialism as proclaimed in the Arusha Declaration was equivalent to the teachings of the Quran. The nationalist newspaper, Uhuru, as well as the government controlled Radio Tanzania/Dar es Salam praised this group of Muslims for their progressive minds”.

7. “……In 1968, the Muslims in Dar es-Salaam became even more divided. Thus, instead of having one centre for mawlid celebrations (for the birthday of the Prophet Muhammad), as in the colonial times, they now held mawlid celebrations in two different places, namely Mnazi Mmoja and Ilala. This dispute gave their enemies the chance to exploit their divisions. In the course of 1968, the EAMWS disintegrated even further, when the leaders of the Bukoba district of the EAMWS left the organization to be followed by the Tanga and Iringa regions. The EAMWS headquarters tried to fight this escalation, but the promises the government made to the opponents of the EAMWS made these efforts with respect to the unity of the EAMWS futile.”

8. “………The EAMWS dissidents who left the organization with government support, thus said that if the EAMWS was to be re-structured it should be done under their own conditions. These conditions were not only difficult to meet but also quite controversial as they violated against basic principles of Islam as well as against Shaykh ˘asan b. fiAmayr’s ideas. Some of these conditions were:

1. The EAMWS was to be reserved for Tanzanians only and should exclude other East Africans.
2. The Aga Khan was to be regarded as a foreigner, and thus not acceptable as a patron of the EAMWS.
3. The Secretary General of EAMWS should be a black African and not an Indian (as this position was held, at that time, by an Ismailfiılı Indian, fiAbd al-fiAzız Khaki).
4. The sources of funds and expenditure of the EAMWS should be clearly shown.
5. The leaders of the EAMWS should be supporters of TANU’s political objectives and ideologies.

9. “……..These conditions were sent to the EAMWS headquarters by Shaykh Adam Nasibu, Muhammad Zharia and Khamıs Kayamba and an emergency meeting of the EAMWS was held on 14 November 1968 to discuss the situation, whilst at that time three Tanganyika regions had already left the organization.”

11. “………the efforts of two prominent Muslims, namely Bibi Titi and Tewa Said Tewa, who were members of the TANU, to save the society, came to naught.

12. “ …….in early December 1968, a special committee under the chairmanship of a well known student of Shaykh ˘asan b. fiAmayr, Shaykh fiAbdallah Chaurembo, was formed, with Shaykh Adam Nasibu as the secretary general, in order to obstruct the work of the EAMWS. By 3 December 1968, it was obvious that the union of the Muslims in East Africa was defunct. The group that had separated from EAMWS was ready to take over the high Islamic leadership of Tanganyika by any means. The only thing that prevented them from doing so was the presence of Shaykh ˘asan b. fiAmayr in Dar es-Salaam as the Muslims in the whole of East Africa respected Shaykh ˘asan b. fiAmayr as their spiritual leader. Thus, the time had come for the Tanzanian government to use its power to complete the task of destroying the EAMWS, by forcefully deporting Shaykh ˘asan b. fiAmayr to Zanzibar.”

MAONI YANGU KAMA WICKAMA
Ni dhahiri EAMWS iliachiwa kufa kijinga kwa sababu baadhi ya waislamu wa wakati huo waliigeuza kuwa kama chama pinzani dhidi ya TANU. Zingatia kuwa wakati Sheikh anaambiwa ajihadhari na khutba kalikali kuwa zinaukwaza utawala ilikuwa hata Azimio la Arusha, bado. Kwa hiyo surely sio Ujamaa (excerpt… 1) lazima ni jambo tofauti. Lipi hilo?????? Dr Ziddy hajalitaja. Na wala sio mapinduzi ya Zanzibar kwa vile kunako kurejeshwa huko (hiyo December 1968) unaweza kuhisi kingempata nini. The fact kuwa hawakumgusa ina maana activities zake hazikuwa hatarishi kwao.

Jambo hili yaelekea lilikuwa linawagombanisha sana waislamu wakati huo na kila mtu alichukua upande wake kiasi hata mwanafunzi wa Sheikh sasa wanagombana openly (excerpt ……4). Mwandishi ametoboa kuwa ni siasa ilimfanya mwanafunzi huyu kum-confront Sheikh wake (yaani kam-boa kishenzi). Lakini angalia excerpt hiyo hiyo, Dr. Ziddy hajaficha kuwa hii migogoro ndio iliua ndoto ya kupata University ya Waislamu. Kwa maana kuwa ilienea sana. Inaelekea kulikuwapo wanaoipinga TANU na walikuwapo wanaoiunga mkono (kama picha ya CCM vs Chadema leo). Mind you, uhuru tayari, ujamaa bado, vijiji vya ujamaa bado, Kuhutba kali kali ni za nini? Binafsi nahisi political sentiments zikiilenga KEKI YA TAIFA hapa. Watu wamekuwa wakali (excerpt 1). Sisi ndio tumemuondoa Mwingereza bwanaaaa. Hatumwogopi mtu. Waislamu twataka chetu. Same sentiments as AMNUT, perhaps from same guys actually but camouflaged in a different institution.

Sasa rejea excerpt 8. Hapo ni kuwa Bukoba, Tanga na Iringa wameshajitoa EAMWS. Nobody dares to honestly say why. There should be a sound reason. Always majiby mkato kama kama kuna watu walikuwa wanatembea na makabrasha ya fedha kuwahonga. Lakini ajabu wahusika hawapewi the benefit of the doubt kujieleza. Hebu sasa soma madai yao. Yanaashiria vuta nikuvute ndani ya EAMWS (hiyo ni kawaida kwa taasisi yoyote). Yanashiria kuchoka ku-serve kama branch (Hqts zilikuwa Mombasa), hawa wanataka EAMWS ya KiBongo (labda conception ya Bakwata? uzalendo), wanataka washike real hatamu kwenye EAMWS (wamewachoka wahindi, japo hapa infact kuna pia usunni na ushia, halisemwi hadharani). Madai yao yanaashiria kutoridhika na matumizi ya pesa kutojulikana yanaendaje. Na maradhi haya ya fedha za taasisi za kiislamu kutoonyeshwa zimetumiwa vipi hayaishi na leo. Lakini angalia dai lao MOJA kwa karibu sana. Wanataka viongozi EAMWS lazima wawe supporters wa TANU. Hapo ndipo palikokuwa na fitna Uthman. Maana ya dai hilo ni kuwa wapo viongozi wa EAMWS waliokuwa wapinzani wa TANU huku wamejichimbia EAMWS na kutumia kivuli cha Uislamu kuipiga vita!!!!!

Tuwe fair, tumpe Sheikh benefit of the doubt, angalia excerpt 2 and 3. It is a good thing unatetea haki na elimu ya waislamu. Lakini kwa maoni yangu kama kweli Sheikh alikataa fursa ya a cabinet post (through which angesaidia waislamu kiurahisi, tena with more resources), nadiriki kusema he threw away an important opportunity. Ukiyaunga na excerpt 1, no wonder serikalini walianza kuhisi kero. Mwisho ni kama unavyoona. “Bwana wee, tumekupa offa angalau uwe waziri ufanyie kazi malamiko yako hutaki. Kazi mikutano ya ......., sasa wataka nini? Mwisho kabisa ni ileeeeeee ya mgeni siku ya 10....una kwenu Sheikh. Halooooo, Abeid hebu mpokee huyu. So bad, so sad, inauma sana sana lakini that’s how it ended. More sad, with his departure, the EAMWS also got a headstone with an RIP without a name.

Binafsi naamini kuwa hii taasisi ambayo ilikuwa kwa maslahi ya waislamu wa AFRIKA MASHARIKI haikutakiwa kujihusisha na dirty and local politics za individual countries. Kazi hiyo unawaachia wakina AMNUT, ndio field yao. Lakini ujihadhari wasikimbie toka waliko kukufanya maficho yao. Huwa ni muhimu kuwa hivyo kwa sababu unao wanachama wenye tofauti za kisiasa. Sanasana unatakiwa kuvaa joho la upatanishi kwa wanachama wako wanapotoana makovu kama hayo ya kisiasa. Ukiruhusu taasisi yako kuwa kichaka cha watu kulipa vendetta huku wakisingizia mengine ni kwamba unahatarisha taasisi.

Mimi navyoona, kwa ushahidi wa Paper ya huyu bwana, watu walikosa subira katika kuitaka TANU kubadilisha hali yao. Dissention ilianza mapema sana. Definetly aliyetoka TANU, AMNUT, TUP etc. akapeleka siasa zake EAMWS ambazo mwenyewe alishindwa kuzihami kwenye uwanja wa siasa in the open ndiye mwanzilishi wa kifo cha hii taasisi. Hapa waislamu lazima kuu-face ukweli. TANU ndiyo kwanza wamepewa nchi na Waingereza, isingerushiwa mawe na madongo bila wao kujibu. That is a very sad reality. Mengine ni matokeo. Mtu akiamua kufanya a serious and objective research kwenye hili, atapata jina au majina ya causative persons. It is so sad how a mistake of a few can cost a whole generation a terrible price.



Salam ndugu yangu Wickama,

Nashukuru sana kwa utafiti wako ulioufanya kuhusu kuvunjika kwa EAMWS.Ukipitia vizuri hiyo paper uliyopresent utaona kwa kiwango kikubwa ushiriki wa serikali ya MWL Nyerere katika kuhakikisha kwamba EAMWS inavunjika.Kama ulipitia kitabu cha Dr Njozi cha MWEMBE CHAI KILLINGS AND POLITICAL FUTURE OF TANZANIA utagundua kuwa paper yako inakubaliana kabisa na maelezo ya Dr Njozi akisimulia jinsi Usalama wa Taifa,Radio Tanzania chini ya David Wakati,na magezeti ya serikali chini ya mhariri mkuu Benjamin Mkapa yalivyofanya kazi za kuchochea kuvunjika kwa EAMWS.
Kuhusu kutenganisha siasa na dini hilo jambo haliwezekani,siku zote waislamu tu ndio wanaombiwa wanachanganya siasa na dini lakini tumeona kwenye kitabu cha Sivallon cha Kanisa katoliki na siasa za Tanzania ni jinsi gani kanisa katolilki limekuwa very active katika mambo ya siasa za nchi hii,lakini hatukuona hata askofu au padri mmoja akifukuzwa kwa kuchanganya siasa na dini.Mwaka 2010 tumeona vilevile kanisa likitoa election manifesto kwa waumini wake,sasa hii kama si siasa sijui ni kitu gani.
Ndugu yangu Wickama sisi waislamu hatuna kabisa ugomvi na ndugu zetu wa dini nyingine,sisi ugomvi wetu ni dhidi ya mfumo unaotukandamiza.Leo hii tupo mwezi wa nne tunajadiliana historia ya wanaharakati wa uhuru wa Tanganyika ambao kwa makusudi mfumo haukutaka juhudi zao zijulikane na watanzania.Sisi ambao tumezaliwa muda mrefu kidogo baada ya uhuru kwa kweli tulikuwa hatufahamu kabisa kama harakati za kuikomboa tanganyika zilianza tokea miaka ya 1929,na wala jina la Sykes hatukulipa uzito wowote.Alhamdulilahi sheikh Mohamed mwenyezi mungu amzidishie katutanua fikra na kutufanya tujue vingi sana kuhusu harakati za uhuru wa nchi yetu.


Amani iwe juu yenu.
 
Nguruvi kweli umetuchoka anyway sikukatalii ni mtazamo wako labda kwasababu sisi ni watu wa madrasa kwasababu kwenu mtu akisoma madrasa ni mjinga sanaaa dah safari ni ndefu
Manifestation of inferiority complex!
 
Salam ndugu yangu Wickama,

Nashukuru sana kwa utafiti wako ulioufanya kuhusu kuvunjika kwa EAMWS.Ukipitia vizuri hiyo paper uliyopresent utaona kwa kiwango kikubwa ushiriki wa serikali ya MWL Nyerere katika kuhakikisha kwamba EAMWS inavunjika.Kama ulipitia kitabu cha Dr Njozi cha MWEMBE CHAI KILLINGS AND POLITICAL FUTURE OF TANZANIA utagundua kuwa paper yako inakubaliana kabisa na maelezo ya Dr Njozi akisimulia jinsi Usalama wa Taifa,Radio Tanzania chini ya David Wakati,na magezeti ya serikali chini ya mhariri mkuu Benjamin Mkapa yalivyofanya kazi za kuchochea kuvunjika kwa EAMWS.
Kuhusu kutenganisha siasa na dini hilo jambo haliwezekani,siku zote waislamu tu ndio wanaombiwa wanachanganya siasa na dini lakini tumeona kwenye kitabu cha Sivallon cha Kanisa katoliki na siasa za Tanzania ni jinsi gani kanisa katolilki limekuwa very active katika mambo ya siasa za nchi hii,lakini hatukuona hata askofu au padri mmoja akifukuzwa kwa kuchanganya siasa na dini.Mwaka 2010 tumeona vilevile kanisa likitoa election manifesto kwa waumini wake,sasa hii kama si siasa sijui ni kitu gani.
Ndugu yangu Wickama sisi waislamu hatuna kabisa ugomvi na ndugu zetu wa dini nyingine,sisi ugomvi wetu ni dhidi ya mfumo unaotukandamiza.Leo hii tupo mwezi wa nne tunajadiliana historia ya wanaharakati wa uhuru wa Tanganyika ambao kwa makusudi mfumo haukutaka juhudi zao zijulikane na watanzania.Sisi ambao tumezaliwa muda mrefu kidogo baada ya uhuru kwa kweli tulikuwa hatufahamu kabisa kama harakati za kuikomboa tanganyika zilianza tokea miaka ya 1929,na wala jina la Sykes hatukulipa uzito wowote.Alhamdulilahi sheikh Mohamed mwenyezi mungu amzidishie katutanua fikra na kutufanya tujue vingi sana kuhusu harakati za uhuru wa nchi yetu.


Amani iwe juu yenu.


Tupo Pamoja Uthman...
Moh Said katusaidia kuyajua mengi na kuzid kuyatafiti...
 
Unajua hadithi za kusimuliwa na kuumba umba zina matatizo sana. Gombesugu anadai Kitwana Kondo alikuwa na nguvu zaidi ya rais Mwinyi. Mohamed anasema Nyerere alikuwa anaongoza kwa remote na Mwinyi alikuwa hana ''say''.
Baadhi ya waislam wanasema ni ngumu sana kuvunja mfumokristo kwasababu wakristo wameushika. Gombesugu anathibitisha kuwa Kitwana Kondo ndiye alikuwa na Serikali.

Njozi anamsifu Kitwana Kondo kusimama kidete kutetea waislam. Mohamed anasema CCM ilimsusa akapoteza ubunge kwa msimamo wake wa mambo ya dini. Gombesugu anasema kulikuwa na Ugomvi na Sheikh Yahya kuhusu mabinti enzi hizo.Mohamed anasema walinong'onezana kuichagua CCM iliyomtosa Kitwana Kondo.

It's all confusing huwezi kujua nani anasema nini kwasababu story zinabadilika with time and kind of conversation.

Ndio maana huwaita ''half baked wasomi'' kwasababu nao wameingia katika mkumbo wa hadithi za vijiweni like any othe illiterate in the street.


Kama ni "half baked wasomi" bila shaka ungewapuuza na kwenda zako,cha kushangaza umehamishia hapa kwenye mjadala huu ndan ya miez minne kama sehemu yako ya kula,kuoga,kulala na kuamkia hapa hapa...
unaloliongea moyoni mwako linakusuta sana,ukweli ni vigumu sana kufifishwa kwa style ya kuupinga na kuukejeli...
 
Jasusi
Mbona picha niliyoipata kutoka kwenye simulizi za Mohamed Said ilikuwa kama vile maamuzi ya Rais Mwinyi yalikuwa yakifuata "alichotaka" mkatoliki Nyerere? Au hata Mzee Kitwana Kondo naye alikuwa mkatoliki?!¿¡?

Jasusi,
Ulitaka kujua habari za Chief Marealle na TANU.

Nakuwekea hiki kitu kutoka kitabu changu ''Uamuzi wa Busara:''

Historia ya harakati za kudai uhuru wa Tanganyika kama walivyoshiriki wananchi wa Kilimanjaro
haiwezi kamwe kukamilika bila ya kutaja jina la Yusuf Olotu au maarufu Yusuf Ngozi achilia mbali
mchango wake katika kuipa TANU ushindi katika Uchaguzi wa Kura Tatu.

Jina hili la Ngozi alilipata kwa kuwa alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kuuza ngozi. Uchagga
ilikuwa chini ya utawala wa machifu waliokuwa wakijulikana kama Mangi.

Kupitia kumbukumbu za Yusuf Olotu ndipo kwa huzuni kubwa utakapokutana na mashujaa waliosahaulika
kama yeye mwenyewe, mashujaa wa kike na wa kiume na wazalendo kama marehemu Mama Bint Maalim,
Amina Kinabo, Halima Selengia, Juma Ngoma, Melkezedek Simon, Gabrieli Malaika na wengineo.

Hawa ndiyo mashujaa ambao kwa muda waliamua wasahau nguvu na utawala wa machifu wao na kujiweka
chini ya TANU.

Yusuf Ngozi alimfahamisha mwandishi kuwa ofisi ya CCM Wilaya, miaka michache iliyopita walimuandikia barua
kumuomba awape nyaraka zake zote za mwanzo kuhusu TANU na awaandikie historia ya jinsi chama kilivyoenezwa
Kilimanjaro na mchango wake binafsi.

Kazi hii aliifanya na akakabidhi nyaraka hizo kwa CCM.

Yusuf Ngozi alimfahamisha mwandishi kuwa alidokezwa kuwa nia ya zoezi hilo ilikuwa ni kuweka kumbukumbu za
mashujaa wa harakati za uhuru ili wapate kuenziwa na taifa na wale ambao hali zao za kimaisha si nzuri wasaidiwe
na chama.

Tuendelee na kisa chetu.

Baadhi ya machifu Uchaggani walikuwa katika Baraza la Kutunga Sheria na kwa ujumla wao walikuwa karibu na serikali
ya kikoloni kuliko walivyokuwa na wananchi wanaowaongoza.

Hali ya siasa katika Jimbo la Kaskazini ilikuwa ngumu na ya kukatisha tamaa.

Wakati TANU inakabiliwa na Kura Tatu mgogoro wa ardhi ya Wameru ulikuwa umemalizika kwa wananchi kudhulumiwa
haki yao.

Japhet Kirilo alikuwa tayari amerudi mikono mitupu kutoka Umoja wa Mataifa alikopeleka madai ya Wameru.

Kirilo hakuwa na chochote cha kuwaonyesha Watanganyika.
Ilikuwa Yusuf Ngozi ndiye aliyeweza kuifanya TANU iingie kwanza Moshi mjini kwa vishindo na kutoka hapo akaieneza vijijini.

Kupitia kumbukumbu za Mzee Yusuf Ngozi ndipo unapokutana na historia za awali kabisa za wanasiasa maarufu waliopata
majina na vyeo na wengine kuwa mawaziri katika Tanganyika huru.

Mfano wao ni Lucy Lameck, Enesmo Eliufoo na wengineo.

Ilikuwa ni Yusuf Ngozi pamoja na wazalendo wengine walioifanya TANU ishinde uchaguzi wa Kura Tatu mwaka 1958.

Yusuf Ngozi hakuwa na elimu bali alikuwa mwananchi wa kawaida aliyethamini utu wa Mwafrika na mtu aliyechukia dhulma
na fedheha ya kutawaliwa.

Kilimanjaro ilikuwa inasifika kwa kuwa na Waafrika waliokuwa na elimu ya juu kabisa katika Tanganyika.

Lakini wasomi hao walishughulishwa zaidi na maslahi yao binafsi. Wengi wao walikuja kujitokeza na kuingia chama cha TANU
mwaka 1958 katika uchaguzi wa Kura Tatu.
Wakati huo mambo yalikuwa shwari na Waingereza walikuwa wamesalimu amri.

Yusuf Ngozi labda kwa kuelewa mazingira ya Kilimanjaro alianza kujenga msingi wa TANU si kwa wanaume bali kwa akina mama.
Hiki ni kitu azizi sana katika historia ya kupigania uhuru.

Katika historia ya TANU sehemu ambazo chama kilipata nguvu kubwa sana ni zile sehemu ambazo kulikuwa na utamaduni wa
Kiswahili wa vyama vya akina mama kama hapo Moshi mjini, Dar es Salaam, Tanga, Lindi na kwingineko.

Yusuf Ngozi aliwahamasisha wanawake wa Moshi chini ya Mama bint Maalim kuipiga vita UTP hadi ikafa.
Wanawake wale walikuwa wakizikusanya kadi za UTP na kumpelekea Mzee Yusuf Ngozi kwenye ofisi ya TANU.

Yeye kama njia ya kuwakatisha tamaa na kuwapiga vita vya kisaikolojia UTP, alikuwa akichukua marundo kwa marundo ya
kadi za UTP na kumpelekea Rais wake Mohamed Badi kumhakikishia kuwa wananchi walikuwa hawakitaki tena chama chake cha
vibaraka.

Jasusi,
Je, umemuona Paramount Chief Marealle?

Nani umeowaona ''front line?''
 
Jasusi,
Ulitaka kujua habari za Chief Marealle na TANU.

Nakuwekea hiki kitu kutoka kitabu changu ''Uamuzi wa Busara:''

Historia ya harakati za kudai uhuru wa Tanganyika kama walivyoshiriki wananchi wa Kilimanjaro
haiwezi kamwe kukamilika bila ya kutaja jina la Yusuf Olotu au maarufu Yusuf Ngozi achilia mbali
mchango wake katika kuipa TANU ushindi katika Uchaguzi wa Kura Tatu.

Jina hili la Ngozi alilipata kwa kuwa alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya kuuza ngozi. Uchagga
ilikuwa chini ya utawala wa machifu waliokuwa wakijulikana kama Mangi.

Kupitia kumbukumbu za Yusuf Olotu ndipo kwa huzuni kubwa utakapokutana na mashujaa waliosahaulika
kama yeye mwenyewe, mashujaa wa kike na wa kiume na wazalendo kama marehemu Mama Bint Maalim,
Amina Kinabo, Halima Selengia, Juma Ngoma, Melkezedek Simon, Gabrieli Malaika na wengineo.

Hawa ndiyo mashujaa ambao kwa muda waliamua wasahau nguvu na utawala wa machifu wao na kujiweka
chini ya TANU.

Yusuf Ngozi alimfahamisha mwandishi kuwa ofisi ya CCM Wilaya, miaka michache iliyopita walimuandikia barua
kumuomba awape nyaraka zake zote za mwanzo kuhusu TANU na awaandikie historia ya jinsi chama kilivyoenezwa
Kilimanjaro na mchango wake binafsi.

Kazi hii aliifanya na akakabidhi nyaraka hizo kwa CCM.

Yusuf Ngozi alimfahamisha mwandishi kuwa alidokezwa kuwa nia ya zoezi hilo ilikuwa ni kuweka kumbukumbu za
mashujaa wa harakati za uhuru ili wapate kuenziwa na taifa na wale ambao hali zao za kimaisha si nzuri wasaidiwe
na chama.

Tuendelee na kisa chetu.

Baadhi ya machifu Uchaggani walikuwa katika Baraza la Kutunga Sheria na kwa ujumla wao walikuwa karibu na serikali
ya kikoloni kuliko walivyokuwa na wananchi wanaowaongoza.

Hali ya siasa katika Jimbo la Kaskazini ilikuwa ngumu na ya kukatisha tamaa.

Wakati TANU inakabiliwa na Kura Tatu mgogoro wa ardhi ya Wameru ulikuwa umemalizika kwa wananchi kudhulumiwa
haki yao.

Japhet Kirilo alikuwa tayari amerudi mikono mitupu kutoka Umoja wa Mataifa alikopeleka madai ya Wameru.

Kirilo hakuwa na chochote cha kuwaonyesha Watanganyika.
Ilikuwa Yusuf Ngozi ndiye aliyeweza kuifanya TANU iingie kwanza Moshi mjini kwa vishindo na kutoka hapo akaieneza vijijini.

Kupitia kumbukumbu za Mzee Yusuf Ngozi ndipo unapokutana na historia za awali kabisa za wanasiasa maarufu waliopata
majina na vyeo na wengine kuwa mawaziri katika Tanganyika huru.

Mfano wao ni Lucy Lameck, Enesmo Eliufoo na wengineo.

Ilikuwa ni Yusuf Ngozi pamoja na wazalendo wengine walioifanya TANU ishinde uchaguzi wa Kura Tatu mwaka 1958.

Yusuf Ngozi hakuwa na elimu bali alikuwa mwananchi wa kawaida aliyethamini utu wa Mwafrika na mtu aliyechukia dhulma
na fedheha ya kutawaliwa.

Kilimanjaro ilikuwa inasifika kwa kuwa na Waafrika waliokuwa na elimu ya juu kabisa katika Tanganyika.

Lakini wasomi hao walishughulishwa zaidi na maslahi yao binafsi. Wengi wao walikuja kujitokeza na kuingia chama cha TANU
mwaka 1958 katika uchaguzi wa Kura Tatu.
Wakati huo mambo yalikuwa shwari na Waingereza walikuwa wamesalimu amri.

Yusuf Ngozi labda kwa kuelewa mazingira ya Kilimanjaro alianza kujenga msingi wa TANU si kwa wanaume bali kwa akina mama.
Hiki ni kitu azizi sana katika historia ya kupigania uhuru.

Katika historia ya TANU sehemu ambazo chama kilipata nguvu kubwa sana ni zile sehemu ambazo kulikuwa na utamaduni wa
Kiswahili wa vyama vya akina mama kama hapo Moshi mjini, Dar es Salaam, Tanga, Lindi na kwingineko.

Yusuf Ngozi aliwahamasisha wanawake wa Moshi chini ya Mama bint Maalim kuipiga vita UTP hadi ikafa.
Wanawake wale walikuwa wakizikusanya kadi za UTP na kumpelekea Mzee Yusuf Ngozi kwenye ofisi ya TANU.

Yeye kama njia ya kuwakatisha tamaa na kuwapiga vita vya kisaikolojia UTP, alikuwa akichukua marundo kwa marundo ya
kadi za UTP na kumpelekea Rais wake Mohamed Badi kumhakikishia kuwa wananchi walikuwa hawakitaki tena chama chake cha
vibaraka.

Jasusi,
Je, umemuona Paramount Chief Marealle?

Nani umeowaona ''front line?''

MS,

Unajua ukitaja moshi unanigusa huku kwetu nyumbani ati! naomba unijuzi huyu bwana Gabrieli malaika kama sijakosea ni yule aliekuja kuuguwa halafu akipita mitaa ya moshi kwa mbwembwe huku akiitusi Serikali ya mwalimu na mwenyewe mwalimu?
Ama kuhusu mzee Yusuf Ngozi huyu alikuwa maarufu sana hapa moshi lakini inasikitisha chama kilimsahau kabisa!
 
Hapa niwe mkweli 100%. Kama unatoka Tarime as i do, which i have noticed is an irritation to some, it is unwise to contribute here. Good Luck.
Wickama, naomba kutofautina na wewe kidogo.Iwe unatoka Tarime,Kyela, Marangu au Kashozi na uwe na imani au usiwe nayo unahaki kabisa ya kuchangia maoni yako bila kuingiliwa kwa namna yoyote.

Hakuna, narudia hakuna mwenye haki miliki ya imani ya mtu. Wala hakuna mteule aliyeletwa kuamua nani awe kundi gani.
Tumeona njama za makusudi za kuwagawa watu zinazofanywa na Mohamed Said.Alianza na ''sisi na wao''
Kahamia kwa wazee wa Dar es Salaam, halafu akawagawa Wamanyema, wanubi na Wazulu.

Badaye akaendelea kuwagawa, BAKWATA, Vibaraka n.k.
Kuendelea kukaa kimya au kukubali yaishe ni kumpa upper hand ya kulivuruga taifa achilia mbali waislam wenyewe.

Nina thamini sana mchango wako wa mawazo na kukuthamini kwasababu unasimamia kile kilicho sahihi kwa mtazamo wako na wala si kumeza au bendera fuata upepo.

Asiwepo wa kukutisha eti kwasababu unatoka Tarime.
Nimekupa mifano kuwa nimeishi Tarime na kwingine Tanzania.
Kote huko ni nyumbani kwangu kwasababu Tanzania ni yetu.

Ninashangaa sana hawa wanaosema kuhusu Utarime, eti ndio waislam wanaotaka kufanya daawa.
Hivi kweli kwa kauli hizi watu wa Tarime wanajisikiaje na je yule mwenye nia ya kuufuata uislam akisikia una mipaka na ''wenyewe'' anajisikiaje.

Haya ndio mambo baada ya miaka mingi watu wanalalamika idadi ya waislam inapungua.
Sasa kama hakuna watu wa kuwalingania kumejaa watu wanaodhani Uislam ni Dar na Zanzibar baadaye nini kinafuata.

Naomba urejee bandiko langu moja hapo nyuma. Nimesema Uislam ni dini inasimama kwa miongozo yake timilifu.
Uislam una waislam na waumini. Tatizo lipo kwa waislam kwasababu wengi hawauelewi uislam na miongoni mwao ni hao wanaosema umetoka Tarime.

Haiyumkini kuwa nao wakienda Saudia basi watasema hao wa Tanzania. Kwa upande mwingine ukiwauliza kwanini masuala ya Afghanistan yanawagusa watasema Uislam hauna mipaka. Sasa mpaka wa Tarime umetoka wapi!!!

Ni kujichanganya huku kunakofanywa na ''half baked'' ndiko kunaifanya dini ionekane kwa mtazamo tofauti.
Ukweli ni kuwa hiyo ni mitazamo ya watu na wala si dini ila dini inatumiwa kufikia malengo.

Mfano, utasikia kuwa Nyerere alinyima waislm fursa katika vitengo muhimu. Baada ya muda utasikia mkurugenzi wa anti corruption alikuwa Mwislam. Utasikia kunyimwa fursa lakini hutasikia akiongelewa mwalimu au bwana shamba.

Half baked ndiyo wanaivuruga kila jambo , kwamba wanaweza kutumia kalam zao in wrong way kuchanganya watu.
Big show anasema Nyerere asifiwe japo kidogo kwa kuliongelea suala la udini na ndiye kiongozi aliyewahi kufanya hivyo.
Njozi anasema Mkapa apewe credit kwasababu ndiye kiongozi pekee aliyefanya hivyo.

Gombesugu anasema Kitwana Kondo ndiye alikuwa anaongoza nchi kwa remote.
Mohamed anasema Mwinyi aliwekwa mfukoni na Nyerere.
Total chaos kwasababu kila mmoja anatumia kalamu yake kueleza namna inavyopaswa iwe si namna ilivyokuwa.
 
Vipi wapajua kicheba?
Gombesugu alipomtaja sheikh Hemed Bin Jumaa alinikumbusha nyakati hizo akina sheikh Mwinyiatani wakiuunguruma pale muheza mjini. Jamani udongo unakula vitu!
Na usiseme!.Udongo unakula watu kweli
Jasusi dunia ndogo hii ndugu yangu. Naijua vema Shirati ya Kembo. Sijui kama unamkumbuka mzee Mkangara huyu tukiishi jirani wakati fulani. Pale msoma unaposema mimi Alwatan(homeland).

Nadhani unamjua mzee Kerenge(marhum) huyu tukiishi Karume rd, mtaa huo kulikuwa na tajiri Dedan Karanja akimiliki mabasi.Mtaa unaofuta ni kwa balozi Ndobo akimiliki Embassy Hotel. Huwi mtoto wa mjini kama hukuwahi kupanga hapo, ''nani'' atakuthamini

Pale mjini kuna miskiti mkubwa na mitaa michache kwa nyuma kuna msikiti wa wageni au msikiti mdogo.
Hapo tukiwasikia akina marhum Mohamed Chamba wakitoa mawaidha.

Kuna nyakati mji ukitembelewa na Sheikh Kiumbe kutoka Kigoma huyu maarufu saba akiingia mji unazizima.
Nayakati hizo Sheikh mkuu akiwa mzee Magee, mzee Mtanashati sana akiishi Mkendo mwisho karibu na cremation ya wahindi kwenda ziwani.

Mwembeni primary ilikuwa ya Catholic, Iringo ilikuwa ya Hindu na Mkendo ilikuwa Agakhan.
Pale kwenye ofisi za chama palikuwa uwanja wa Musoma Muslim school.
Ndipo CCM wagawiwa eneo kidogo kujenga ofisi za chama.

Kamumnyonge kulikuwa na NHC zikiitwa biafra. Hapo ndipo mzee S.Kitwara akiishi na familia yake. Jirani akiishi mzee wa Kihaya msomi sana akiitwa Salum na pembeni kulikuwa na mzee mwingine Salim kimiliki mabasi ya Tumaini yakienda Majita.

Usafiri ukilimikiwa na Musoma Bus wakiwa kule mahali panapojulikana msomabasi kwasasa, bara bara ya kwenda Alliance ambayo sasa ni Musoma Sekondari.

Hapo musoma basi kukiwa na mashine ya unga ya Azizi Posho mill, kwa juu ni nyakato maarufu kwa kupika gongo
Mwingine akimiliki mabasi ni Chandram wa United bus.

Baada ya hapo ndipo ikaja Ngorome na Bukwaya. Nimekupa kisa hicho kwasababu wakati wa vita ya Kagera mabasi ya wamiliki hao yalichukua askari kuwapeleka mstari wa mbele. Hawa ndio wazalendo wanaojali nchi yao.

Pale Kamunyonge kukiwa na soko la Matumbi. Kwanza lilikuwa la nyasi. Hili la sasa likijengwa tunaona na tunachangishwa.
Opposite na soko kuna Matumbi Bar na mkabala na hapo kulikuwa na duka la mtu maarufu Hussein Sokoni.
Huyu na wenzake wakishirikiana kuhimiza ujenzi wa msikiti pale kutoka kule juu karibu na kambi ya jeshi.

Msikiti upo jirani na nyumbani kwa Jackson Mseti. Huyu akimiliki gereji za magari na maarufu mjini.
Askofu Anthony Mayalla (marehemu) akitawaza tuliona pale Catholic karibu na Mwembeni. Nyerere alikuwa likizo akaja kuhudhuria utawazo huo. Sisi tukimshangaa Aaskofu mdogo katika umri ule. Haikuwa kawaida.

Sasa hapo Shirati kwa Kembo ilikuwa kama referal hospital ya maeneo hayo. Mgonjwa akishindikana Shirati basi ni Bugando au Muhimbili. Lakini umaarufu ulikuwa ni matibabu ya Burkitt's Lymphoma wao wakiwa na wataalam.

Kwenda Tarime tukivuka kwa pantoni hapo mto Mara. Ndipo likajengwa daraja la Kirumi. Daraja lile limejengwa na Maulida and Ros ya Italy, ujenzi ukiendelee matete yakatoka mto Mara juu na kuvunja daraja. Waitaliano wakasahau mvinyo walikuwa wakilia kama watoto!! tumeona mengi jamani

Bado sijakupeleka Mkirira ukipitia Buhare, Nyakatende, Mgango jineri hadi Majita.

Tukiwakumbuka wazee wetu kidogo! yapo mageni tutaendelea inshallah

Tuendelee na mnakasha mkuu
Masheikh wa Magila na Musoma wote wawajuwa lakini bado huwathamini michango yao.Kumbuka siku ardhi itakapotula na sisi.
 
Kama ni "half baked wasomi" bila shaka ungewapuuza na kwenda zako,cha kushangaza umehamishia hapa kwenye mjadala huu ndan ya miez minne kama sehemu yako ya kula,kuoga,kulala na kuamkia hapa hapa...
unaloliongea moyoni mwako linakusuta sana,ukweli ni vigumu sana kufifishwa kwa style ya kuupinga na kuukejeli...
Kunywa juisi ya miwa kwa maneno yako haya murua!.
 
Salam ndugu yangu Wickama,

Nashukuru sana kwa utafiti wako ulioufanya kuhusu kuvunjika kwa EAMWS.Ukipitia vizuri hiyo paper uliyopresent utaona kwa kiwango kikubwa ushiriki wa serikali ya MWL Nyerere katika kuhakikisha kwamba EAMWS inavunjika.Kama ulipitia kitabu cha Dr Njozi cha MWEMBE CHAI KILLINGS AND POLITICAL FUTURE OF TANZANIA utagundua kuwa paper yako inakubaliana kabisa na maelezo ya Dr Njozi akisimulia jinsi Usalama wa Taifa,Radio Tanzania chini ya David Wakati,na magezeti ya serikali chini ya mhariri mkuu Benjamin Mkapa yalivyofanya kazi za kuchochea kuvunjika kwa EAMWS.
Kuhusu kutenganisha siasa na dini hilo jambo haliwezekani,siku zote waislamu tu ndio wanaombiwa wanachanganya siasa na dini lakini tumeona kwenye kitabu cha Sivallon cha Kanisa katoliki na siasa za Tanzania ni jinsi gani kanisa katolilki limekuwa very active katika mambo ya siasa za nchi hii,lakini hatukuona hata askofu au padri mmoja akifukuzwa kwa kuchanganya siasa na dini.Mwaka 2010 tumeona vilevile kanisa likitoa election manifesto kwa waumini wake,sasa hii kama si siasa sijui ni kitu gani.
Ndugu yangu Wickama sisi waislamu hatuna kabisa ugomvi na ndugu zetu wa dini nyingine,sisi ugomvi wetu ni dhidi ya mfumo unaotukandamiza.Leo hii tupo mwezi wa nne tunajadiliana historia ya wanaharakati wa uhuru wa Tanganyika ambao kwa makusudi mfumo haukutaka juhudi zao zijulikane na watanzania.Sisi ambao tumezaliwa muda mrefu kidogo baada ya uhuru kwa kweli tulikuwa hatufahamu kabisa kama harakati za kuikomboa tanganyika zilianza tokea miaka ya 1929,na wala jina la Sykes hatukulipa uzito wowote.Alhamdulilahi sheikh Mohamed mwenyezi mungu amzidishie katutanua fikra na kutufanya tujue vingi sana kuhusu harakati za uhuru wa nchi yetu.


Amani iwe juu yenu.

Uthman,
Nilikusudia kutoa jibu hili kwa sahib yangu Wickama lakini
bandiko lake silioni.

Nataka niseme kitu katika hiyo google scholar.

Habari zote hizo za Sheikh Hassan bin Amir zimenakiliwa
kutoka moja ya mada zangu.

Kabla ya mie kutafiti historia ya Sheikh Hassan maadui zake
walikuwa wamefanikiwa kumfuta katika historia kama walivyofanya
kwa Abdu Sykes na wengine.

Mimi niliweza kukusanya habari zake baada ya kupewa nyaraka za
Bilal Rehani Waikela na kufanya mazungumzonae mwaka 1987
nyumbani kwake Tabora.

Yapo mengi lakini kwa sasa haya yanatosha.
 
Uthman,
Nilikusudia kutoa jibu hili kwa sahib yangu Wickama lakini
bandiko lake silioni.

....
Hizi ndio katika zile zohali za mjadala huu.Hata IE imekataa kusoma javascript za JF kwenye huu mnakasha.Ndio unaona wengi wanakuja na kutoka kimya kimya.Akina sisi tu ndio tumebaki.
Unadhani kutukana masheikh kunapita kimya kimya?.
 
Nguruvi3,
Nakutumia bayana hii fupi kukwambia mie sikutukana na wala sikuzungumza "Kiarabu" asilan. Ni sawa vile mtu asojua mambo vizuri ati akamtuhumu Mwingereza kuwa katukana kwa kutumia ki-French au ki-Latin!?

Lakini napenda kuchukua fursa hii kwako binafsi, na wengineo nyoote mlojihisi dhuluma imekinza mioyoni mwenu kutokana na ile bayana yangu. Labda nilikua na muhma wala si hamaki asilan,na ndo udhaifu wa kibinadamu.

Kuhusu hiyo "ajali",nisingependa tuirudie tena...kwa sababu kadhaa na hishma ya wahusika ambao mimi ni watu wangu wa karibu. Lakini kama utatumia fikra,usomi ulonao na mantiki na pia kuondoa Udini na Ukabila;basi ni muhimu saana ujiulize. Hivi ni kwanini Nyerere aliamua kumuweka chini ya Surveillance IGP wake mwenyewe takriban kwa miaka kadhaa. Bila ya huyo IGP kushukiwa au kufanza lolote baya,na bila ya kufuata ushauri wa Marehemu Mzee Mzena ambae alipinga saana jambo lile!? Mzena alimfahamisha Nyerere implications na consequences za jambo hilo,na je IGP akipata fununu itakuwaje na tutatoa justification gani!? Vipengele vya Sharia vilipoletwa,Nyerere hakutaka kabisa kusikia. Bahati nzuri kwa Nyerere,IGP hakujua hii kitu mpaka siku ile alipopatwa na "ajali" na kwenda kukutana na Nyerere na baada yake ndio akagundua "tambara" zima. Tuwache haya mambo tafadhali,huwezi jua jinsi Mzee Mzena na Hamza Aziz walivyokua kikaribu na kuheshimiana kikazi. Lakini baada ya haya kutokea palikua na friction na indifference kubwa baina yao...pia iliathiri "makundi fulani" ndani ya Idara zao. "Funika Kombe Mwanaharasha apite"...wewe ni mtu mzima tuyaache haya mambo,hao woote ni Wazee wetu soote ok!

Msalimie Mag3,natumai nae pia amenisamehe kwa kile "Kiarabu" cha kwenye bayana.
Ahsanta.
Simulizi zako gombesugu zinafanana sana na za mzee wetu Mohamed. Haziwezi kuthibitika kwa namna yoyote ile. Mwalimu, Mzena na IGP Hamza wote marehemu. Kazi kwelikweli.
 
Salam ndugu yangu Wickama,

Nashukuru sana kwa utafiti wako ulioufanya kuhusu kuvunjika kwa EAMWS.Ukipitia vizuri hiyo paper uliyopresent utaona kwa kiwango kikubwa ushiriki wa serikali ya MWL Nyerere katika kuhakikisha kwamba EAMWS inavunjika.Kama ulipitia kitabu cha Dr Njozi cha MWEMBE CHAI KILLINGS AND POLITICAL FUTURE OF TANZANIA utagundua kuwa paper yako inakubaliana kabisa na maelezo ya Dr Njozi akisimulia jinsi Usalama wa Taifa,Radio Tanzania chini ya David Wakati,na magezeti ya serikali chini ya mhariri mkuu Benjamin Mkapa yalivyofanya kazi za kuchochea kuvunjika kwa EAMWS.
Kuhusu kutenganisha siasa na dini hilo jambo haliwezekani,siku zote waislamu tu ndio wanaombiwa wanachanganya siasa na dini lakini tumeona kwenye kitabu cha Sivallon cha Kanisa katoliki na siasa za Tanzania ni jinsi gani kanisa katolilki limekuwa very active katika mambo ya siasa za nchi hii,lakini hatukuona hata askofu au padri mmoja akifukuzwa kwa kuchanganya siasa na dini.Mwaka 2010 tumeona vilevile kanisa likitoa election manifesto kwa waumini wake,sasa hii kama si siasa sijui ni kitu gani.
Ndugu yangu Wickama sisi waislamu hatuna kabisa ugomvi na ndugu zetu wa dini nyingine,sisi ugomvi wetu ni dhidi ya mfumo unaotukandamiza.Leo hii tupo mwezi wa nne tunajadiliana historia ya wanaharakati wa uhuru wa Tanganyika ambao kwa makusudi mfumo haukutaka juhudi zao zijulikane na watanzania.Sisi ambao tumezaliwa muda mrefu kidogo baada ya uhuru kwa kweli tulikuwa hatufahamu kabisa kama harakati za kuikomboa tanganyika zilianza tokea miaka ya 1929,na wala jina la Sykes hatukulipa uzito wowote.Alhamdulilahi sheikh Mohamed mwenyezi mungu amzidishie katutanua fikra na kutufanya tujue vingi sana kuhusu harakati za uhuru wa nchi yetu.


Amani iwe juu yenu.

ndugu yangu UTHMAN,
Awali ya yote ni shukran kwa umakini wako wa kwenda na hoja. Hii natamani kila mmoja wetu angekuwa na mtiririko kama huu. Hii paper ni ya Dr Iddy Ziddy sio yangu. Nikiisoma naona kabisa kwa makusudi aliamua kuacha mapengo katika maelezo yake ya politics zilizomponza Sheikh na EAMWS. Lakini pia pengo kubwa sana ni kuwa hii ilikuwa ni Society ya East Africa. Katika hali ya kawaida kuvunjika kwa wing ya Tanzania kusingeimanisha a collapse pia kwenye nchi zingine. Hili swali nakumbuka Mr. Nguruvi aliliuliza somewhere kwenye hizi threads, sikujaaliwa kuona limejibiwa vipi.

Ni muhimu usijeelewa kuwa maoni yangu yalisema dini na siasa hapana. La hasha. Kwenye maoni nilichosema ni kuwa vile hii EAMWS ilikuwa taasisi kwa ajili ya waislamu kwenye nchi zote za afrika mashariki, kujihusisha actively na local politics za nchi moja nahisi haikuwa sawa. Hii ilitakiwa kuwa jukumu la smaller associations ndani ya nchi husika, na zilikuwapo. On a similar note sitatarajia kuona kwa mfano Jumuiya ya Makanisa ya Afrika Mashariki (kama ipo) ijihusishe actively na U-CCM na U-Chadema. Hii unayaachia makanisa madogo ya ndani kuogelea kwenye bahari yao. Maana yangu ilikuwa hiyo. Hapa tunaweza kutofautiana na sio tatizo. Shukran kwa maneno na lugha nzuri.
 
MS,

Unajua ukitaja moshi unanigusa huku kwetu nyumbani ati! naomba unijuzi huyu bwana Gabrieli malaika kama sijakosea ni yule aliekuja kuuguwa halafu akipita mitaa ya moshi kwa mbwembwe huku akiitusi Serikali ya mwalimu na mwenyewe mwalimu?
Ama kuhusu mzee Yusuf Ngozi huyu alikuwa maarufu sana hapa moshi lakini inasikitisha chama kilimsahau kabisa!

Kadogoo,
Yule alikuwa akiitwa Malekia ambae alikuwa akivaa sare za jeshi
nadhani ni huyu unaemkusudia.
 
Simulizi zako gombesugu zinafanana sana na za mzee wetu Mohamed. Haziwezi kuthibitika kwa namna yoyote ile. Mwalimu, Mzena na IGP Hamza wote marehemu. Kazi kwelikweli.

Wild Card,
Ikishakua ni historia usitegemee kuwakuta wahusika wa hai.
 
Wickama, naomba kutofautina na wewe kidogo.Iwe unatoka Tarime,Kyela, Marangu au Kashozi na uwe na imani au usiwe nayo unahaki kabisa ya kuchangia maoni yako bila kuingiliwa kwa namna yoyote.

Hakuna, narudia hakuna mwenye haki miliki ya imani ya mtu. Wala hakuna mteule aliyeletwa kuamua nani awe kundi gani.
Tumeona njama za makusudi za kuwagawa watu zinazofanywa na Mohamed Said.Alianza na ''sisi na wao''
Kahamia kwa wazee wa Dar es Salaam, halafu akawagawa Wamanyema, wanubi na Wazulu.

Badaye akaendelea kuwagawa, BAKWATA, Vibaraka n.k.
Kuendelea kukaa kimya au kukubali yaishe ni kumpa upper hand ya kulivuruga taifa achilia mbali waislam wenyewe.

Nina thamini sana mchango wako wa mawazo na kukuthamini kwasababu unasimamia kile kilicho sahihi kwa mtazamo wako na wala si kumeza au bendera fuata upepo.

Asiwepo wa kukutisha eti kwasababu unatoka Tarime.
Nimekupa mifano kuwa nimeishi Tarime na kwingine Tanzania.
Kote huko ni nyumbani kwangu kwasababu Tanzania ni yetu.

Ninashangaa sana hawa wanaosema kuhusu Utarime, eti ndio waislam wanaotaka kufanya daawa.
Hivi kweli kwa kauli hizi watu wa Tarime wanajisikiaje na je yule mwenye nia ya kuufuata uislam akisikia una mipaka na ''wenyewe'' anajisikiaje.

Haya ndio mambo baada ya miaka mingi watu wanalalamika idadi ya waislam inapungua.
Sasa kama hakuna watu wa kuwalingania kumejaa watu wanaodhani Uislam ni Dar na Zanzibar baadaye nini kinafuata.

Naomba urejee bandiko langu moja hapo nyuma. Nimesema Uislam ni dini inasimama kwa miongozo yake timilifu.
Uislam una waislam na waumini. Tatizo lipo kwa waislam kwasababu wengi hawauelewi uislam na miongoni mwao ni hao wanaosema umetoka Tarime.

Haiyumkini kuwa nao wakienda Saudia basi watasema hao wa Tanzania. Kwa upande mwingine ukiwauliza kwanini masuala ya Afghanistan yanawagusa watasema Uislam hauna mipaka. Sasa mpaka wa Tarime umetoka wapi!!!

Ni kujichanganya huku kunakofanywa na ''half baked'' ndiko kunaifanya dini ionekane kwa mtazamo tofauti.
Ukweli ni kuwa hiyo ni mitazamo ya watu na wala si dini ila dini inatumiwa kufikia malengo.

Mfano, utasikia kuwa Nyerere alinyima waislm fursa katika vitengo muhimu. Baada ya muda utasikia mkurugenzi wa anti corruption alikuwa Mwislam. Utasikia kunyimwa fursa lakini hutasikia akiongelewa mwalimu au bwana shamba.

Half baked ndiyo wanaivuruga kila jambo , kwamba wanaweza kutumia kalam zao in wrong way kuchanganya watu.
Big show anasema Nyerere asifiwe japo kidogo kwa kuliongelea suala la udini na ndiye kiongozi aliyewahi kufanya hivyo.
Njozi anasema Mkapa apewe credit kwasababu ndiye kiongozi pekee aliyefanya hivyo.

Gombesugu anasema Kitwana Kondo ndiye alikuwa anaongoza nchi kwa remote.
Mohamed anasema Mwinyi aliwekwa mfukoni na Nyerere.
Total chaos kwasababu kila mmoja anatumia kalamu yake kueleza namna inavyopaswa iwe si namna ilivyokuwa.

Nguruvi and Many others;
I have seen this many times. Katika kitu ambacho hakiwezi kuninyima usingizi hata siku moja ni INTIMIDATION tactics. Kila mtu hapa ana USERNAME na PASSWORD. Kwa hiari. Akileta hoja anaulizwa anajibu. Tena hapa JF tunapenda na ushahidi ili watu waupime wajifunze. Hakuna Mlemavu wa HOJA humu kiasi kuwa anahitaji askari wa kuwatisha wauliza HOJA au kupiga vuvuzela aaaaaaa YULE MWACHENI. Non-sense. How dare you uwaambia memmbers kuwa yule mwacheni wakati mwenyewe hana tatizo????? Hutaki tradition hii nenda Ilala weka Maspika watu wakusikie hadi jioni kalale. Hapa ni maswali na majibu. Ukitukana haina maana tuache kuuliza. Tukana, kama unapata thawabu kwa matusi basi zitumie siku hiyo ya hesabu. Jinsi wazazi wako walivyofika na kuishi pwani ndivyo na wa wengine walivyofika Tarime na kuishi. Wote huu ni mgongo wa ardhi. Location yako, haikupi ubora wowote, cha msingi taqwa. Usijedhani kwa vile unaishi Madina una ubora zaidi ya mwislamu wa West-kilimanjaro au Lubumbashi.

Kuna uungwana wa kuiga. Nitoe mfano; Barubaru ni mtu MUUNGWANA sana. Anapoona anaandamwa na maudhi yeye hutumia neno POLE SANA (soma threads zake). This is an indication ya maturity. Barubaru hatukani watu humu. Nina jirani yangu BIG SHOW, wenyewe tunajuana vimbwanga vyetu (Big Show, hujaniandikia; Kaa sawa upate Dawah......wewe; kitambo sasa, u-mzima weye? iam missing it already, hahahahaha). We enjoy them, mwisho tunacheka. No insults. Lakini mtu mzima anapotukana watu kwa kule walikotoka and by implication their color then akajiita ni muislamu mimi huwa namuona anaishi enzi za ujahiliya. Hana tofauti na makureishi waliombagua Billal (ra) kwa ule weusi wake. Mzee MS angetukana wangapi? Look at his language. Hata pale unapolazimika kumwambia mzee MS hapa sikubali, bado mnatengana kwa heshima. Kwani ulazima wa kumkubalia kila mtu hoja zake ni upi? Hii ndio maana kuitwa FORUM. You listen, you argue and you leave with your own conclusions. Aliyesema lazima ujue kila kitu ni nani? Hujui unasema hili sikulijua. Kwisha. Hailingani na kuleta matusi au kujaza masimulizi humu (no matter how sweet) ambayo hayana reference na wala huwezi kuya-verify kwa njia yoyote ile. Huku wewe unayaita facts, HOW.

Nguruvi, Hili la dini wala usilihofie. Mwenye kudhani yeye ndiye cream ya uislamu linamsaidia yeye tu. Ni yeye kama yeye. In summary ni kuwa hao mnaowaita humu JF wakina "Abu Jahal" ni kuwa wakiswagwa jehanam, wewe "Muungwana" mtoto wa Sharifu fulani hutapunguziwa maghorofa yako hata keyboard hutanyimwa, sasa vuvuzela za nini? Hapa ni hoja na majibu. Tena bila vitisho. Nice weekend.
 
..sasa unakuwa unawapa nguvu wale wanaougua ubaguzi na udini.

..mimi watu wa namna hiyo huwa nawalipizia heshima na lugha ya staha.

No dear; That was a joke. Iam here to stay (inshallah). I have already responded in Nguruvi's posting. Aiseeeee, JKN alikuwa na kazi kweli kweli. His mistakes notwithstanding, if what i occasionally read here belongs to that generation which directly served under him. Our Idols, the par-excellence workforce. Yet some are NOW putting such pathetic postings (quality), it is beginning to be clear to me why we are so much behind the likes of Kenya.
 
Nguruvi and Many others;
I have seen this many times. Katika kitu ambacho hakiwezi kuninyima usingizi hata siku moja ni INTIMIDATION tactics. Kila mtu hapa ana USERNAME na PASSWORD. Kwa hiari. Akileta hoja anaulizwa anajibu. Tena hapa JF tunapenda na ushahidi ili watu waupime wajifunze. Hakuna Mlemavu wa HOJA humu kiasi kuwa anahitaji askari wa kuwatisha wauliza HOJA au kupiga vuvuzela aaaaaaa YULE MWACHENI. Non-sense. How dare you uwaambia memmbers kuwa yule mwacheni wakati mwenyewe hana tatizo????? Hutaki tradition hii nenda Ilala weka Maspika watu wakusikie hadi jioni kalale. Hapa ni maswali na majibu. Ukitukana haina maana tuache kuuliza. Tukana, kama unapata thawabu kwa matusi basi zitumie siku hiyo ya hesabu. Jinsi wazazi wako walivyofika na kuishi pwani ndivyo na wa wengine walivyofika Tarime na kuishi. Wote huu ni mgongo wa ardhi. Location yako, haikupi ubora wowote, cha msingi taqwa. Usijedhani kwa vile unaishi Madina una ubora zaidi ya mwislamu wa West-kilimanjaro au Lubumbashi.

Kuna uungwana wa kuiga. Nitoe mfano; Barubaru ni mtu MUUNGWANA sana. Anapoona anaandamwa na maudhi yeye hutumia neno POLE SANA (soma threads zake). This is an indication ya maturity. Barubaru hatukani watu humu. Nina jirani yangu BIG SHOW, wenyewe tunajuana vimbwanga vyetu (Big Show, hujaniandikia; Kaa sawa upate Dawah......wewe; kitambo sasa, u-mzima weye? iam missing it already, hahahahaha). We enjoy them, mwisho tunacheka. No insults. Lakini mtu mzima anapotukana watu kwa kule walikotoka and by implication their color then akajiita ni muislamu mimi huwa namuona anaishi enzi za ujahiliya. Hana tofauti na makureishi waliombagua Billal (ra) kwa ule weusi wake. Mzee MS angetukana wangapi? Look at his language. Hata pale unapolazimika kumwambia mzee MS hapa sikubali, bado mnatengana kwa heshima. Kwani ulazima wa kumkubalia kila mtu hoja zake ni upi? Hii ndio maana kuitwa FORUM. You listen, you argue and you leave with your own conclusions. Aliyesema lazima ujue kila kitu ni nani? Hujui unasema hili sikulijua. Kwisha. Hailingani na kuleta matusi au kujaza masimulizi humu (no matter how sweet) ambayo hayana reference na wala huwezi kuya-verify kwa njia yoyote ile. Huku wewe unayaita facts, HOW.

Nguruvi, Hili la dini wala usilihofie. Mwenye kudhani yeye ndiye cream ya uislamu linamsaidia yeye tu. Ni yeye kama yeye. In summary ni kuwa hao mnaowaita humu JF wakina "Abu Jahal" ni kuwa wakiswagwa jehanam, wewe "Muungwana" mtoto wa Sharifu fulani hutapunguziwa maghorofa yako hata keyboard hutanyimwa, sasa vuvuzela za nini? Hapa ni hoja na majibu. Tena bila vitisho. Nice weekend.

Nakubaliana na wewe ndiyo maana kuna nyakati nilisema gombesugu alikaribishwa na mbwembwe tukajua tumepata
mtoa hoja kumbe mshereheshaji, na kweli baada ya muda ndiyo hayo ya kuita watu habith, mashangingi, mara yule wa Tarime na story ndeefu hata huwezi kuokoteza hoja iliyosimama zaidi ya story za vijiweni.

Mtu anasema Meli ikawekwa Wanajeshi kutoka Zanzibar anasahau Ulinzi ni masuala ya Muungano, mara habari ya Wakubwa kunyang'anyana mabinti... Kifupi hizo ni story ambazo utazikuta vijiweni na nyingi tu.

Usipate shida Wickama, the man is extreemly hatred, na JF inasaidia si unaona anavyotema uchungu wake mwishowe atatulia.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom