Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Barubaru,

..sasa mambo ya kusomesha watoto yameingiaje hapa??

..nani amekwambia wanawe Mwalimu hawajasoma, na hakuna aliyefika chuo kikuu?

..hivi unafikiri kila mzazi anayependa mwanawe afike chuo kikuu, anafanikiwa ktk lengo hilo?

..mimi namshukuru Mwalimu kwamba wakati wa utawala wake elimu ya Tanzania ilikuwa ni ya viwango.

..ilikuwa ukihitimu form 4, 6, University, kweli unakuwa umewiva kulingana na daraja ulilofikia siyo kama miaka hii.

..kuhusu mapigano mkoani Mara, wakati wa Mwalimu hali haikuwa mbaya kama sasa hivi. wakati wa Mwalimu hali ya usalama ilikuwa nzuri kuliko sasa hivi.

..wewe mwenyewe si ulikimbia kwenu Znz kuja kuishi na kusoma huku Tanganyika?? Sasa hata kwa hilo humshukuru hata kidogo Mwalimu Nyerere??

cc😡Jasusi, Mag3, Wickama, Kadogoo, Ritz, Nguruvi3
Mkuu JokaKuu nimemjibu hili suala akakaa kimya nikadhani ni mtu anayaelewa. Amelirudia akidhani ni point kubwa sana kumbe ni point ambayo huwezi kuamini huyu ndiye alikuwa mchumi anakaa na akina Mzee Mtei. Barubaru point hii ni ya mtoto wa mtaani asiyebahatika kukanya darsa.Acha kabisa!

Anachotaka kusema hapa ni kuwa ukiwa profesa basi lazima watoto wako wawe maprofesa.
Anasahau kuwa learning inaambatana na mambo mengi sana.
Na wala haimanishi kuwa ukiwa na degree basi utakuwa umeelimika.
Sijui anamweka kundi gani Bill gate. Baba wa taifa la Zanzibar mh Okello alikuwa na degree ngapi?

Kuhusu mapigano Mara niliwahi kumuuliza anitajie nchi moja tu duniani ambayo haina mizozo au migogoro ya kijamii.
Nchi moja tu! hakuweza na narudia tena nchi moja tu. Kama hatataja basi akae kimya maana sina uhakika kama atakuwa anajua anaongelea nini.

Chuki ni kitu kibaya sana, kinaweza kukudhalilisha hata kama umevaa nguo.
Gharama za chuki ni mbaya kuliko kutembea mitaani uchi.
 
Mohamed Said,

Usiwadanganye wanajamvi na watz kwa ujumla,

WAASI WOTE hawakuionja pepo ya UHURU!

Nakujuza kuwa sio kweli kuwa hao unaowaita ni "wazee wako" walikwenda sambamba na speed ya Julius Nyerere mpaka 1961,

Shehe Hassan bin Amir, Shehe Takadir, Waikela na wengine hawakushuhudia hata sherehe za uhuru,

Waasi hao walianza chokochoko baada ya uchaguzi wa 1953 wakiongozwa na Abdul Syke, na ilipofika 1958 katika uchaguzi wa kura tatu ndipo sasa kundi hilo lilipoanza rasmi kuendesha uasi wao waziwazi, wakitoka katika siasa za kizalendo na kwakuwa wengi wao walikuwa ni waislamu waliingia misikitini kupandikiza chuki zao!

Chuki hizo, ndizo mlizorithi vijukuu vyao ukiwemo wewe Mohamed Said na wenzio na kuanza kulichochea taifa kwa chuki za kidini hivi sasa!


Yericko,

Huna moja ulijualo katika historia ya TANU.

Nakuwekea hapa mambo yalivyokuwa Lindi usiku wa kushusha bendera ya Waingereza na
kupandisha bendera ya Tanganyika huru 9 December 1961:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] But the two most remarkable occasions in Nyerere's second trip to the south were firstly the tawaswil performed on Nyerere by Sheikh Yusuf Badi himself with a few selected Muslims and sheikhs in attendance; [1] the second was the karam (Muslim lunch) hosted by Mussa Athman Lukundu the head foreman of Dockworkers' Union in Lindi in his honour.

This was a great honour shown to Nyerere; it is the highest expression of love and respect any Muslim can show to a non-Muslim.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] The finest hour for Lindi was the Independence Day, 9 th December, 1961.

Sheikh Badi, the poet was asked by TANU to write the independence speech to be delivered by Yusuf Chembera before the colonial District Commissioner as the representative of the outgoing British administration.

The speech was dictated by Sheikh Badi and was written in Arabic script by Chembera.

As a young boy Chembera was sent to Sheikh Yusuf Badi by his father to study Islamics and was under his tutorship until when he completed his studies.

Sheikh Badi did not find any speech written by a mortal worth the occasion.

Sheikh Badi
dictated to his former student the dua kunut (prayer) which is recited by Muslims in every fajir (morning) prayer.

Midnight on the 9 th December, 1961 was a great moment for both teacher and student, as the people assembled at the golf course heard Chembera reciting the famous dua.

But soon after independence, the educated Christians began to undermine what they perceived as uneducated Muslim leadership in TANU.

Suleiman Masudi Mnonji was detained under the Preventive Detention Act of 1962 for ‘mixing religion and politics', and other veterans were thrown out of leadership positions.

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] Tawaswil is a special prayer conducted privately in which Allah's mercy and help is sought
and invoked through references to good deeds of the prophets and walii (saints) in the Muslim
history.

Kutoka ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes...''
 
Barubaru,

..sasa mambo ya kusomesha watoto yameingiaje hapa??

..nani amekwambia wanawe Mwalimu hawajasoma, na hakuna aliyefika chuo kikuu?

..hivi unafikiri kila mzazi anayependa mwanawe afike chuo kikuu, anafanikiwa ktk lengo hilo?

..mimi namshukuru Mwalimu kwamba wakati wa utawala wake elimu ya Tanzania ilikuwa ni ya viwango.

..ilikuwa ukihitimu form 4, 6, University, kweli unakuwa umewiva kulingana na daraja ulilofikia siyo kama miaka hii.

..kuhusu mapigano mkoani Mara, wakati wa Mwalimu hali haikuwa mbaya kama sasa hivi. wakati wa Mwalimu hali ya usalama ilikuwa nzuri kuliko sasa hivi.

..wewe mwenyewe si ulikimbia kwenu Znz kuja kuishi na kusoma huku Tanganyika?? Sasa hata kwa hilo humshukuru hata kidogo Mwalimu Nyerere??

cc😡Jasusi, Mag3, Wickama, Kadogoo, Ritz, Nguruvi3

JokaKuu,
Barubaru ni miongoni mwa wale ambao wanaamini ukisema uwongo mara kwa mara inageuka kuwa ukweli. Watoto wa Mwalimu, Andrew Nyerere alikuwa mwanajeshi, John alikuwa air force. Makongoro sote tunajua. Emi Magige ni engineer. Madaraka amesoma Canada, anayo M.A. Anna Nyerere anazo digrii mbili alisomea Canada. Sasa sijui anazungumzia watoto wa Mwalimu gani. Lakini tumeshamzoea huyu kwa kauli za uwongo. Na kuhusu mapigano ya Mara yameanza miaka kumi na sita iliyopita. Wakati wa Mwalimu Wakurya walikuwa wakiogopa sana kwani akisikia kuna chokochoko alikuwa anawasomba viongozi wote wa koo na kuwaweka likizo. Lakini tumeshamzoea Barubaru, na hatutachoka kumsahihisha na kumpa elimu.
 
Mzee MS; Baada ya salaamu sijui kama nilikujibu ulivyotarajia au kuna mapungufu unaweza kuniuliza tafadhali. Kuwa huru.
 
Kadogoo,

..wanaosema hivyo wanataka CDM kionekane chama chenye malengo ya kikabila[kichaga,kimbulu].

..kama Prof.Lipumba anafurahi chama chake kikituhumiwa kwa mambo kama hayo basi hiyo inadhihirisha kwamba huyu msomi huko kwenye siasa ana "buz-buz" tu.

cc😡gombesugu, Nguruvi3, Mag3, Ritz, Wickama

Jokakuu,
Hapa sio suala la tuhuma! ndio ukweli halisi usizibe masiko na kujifanya kipofu! Chadema kina wafuasi wengi wa Chagga na Wambulu! mimi naishi Moshi na naona hali halisi! Cuf kina wanachama wengi Zanzibar na mikoa ya Pwani huku bara! sijasema kuwa vyama hivi havina wanachama sehemu zingine za nchi! naona unataka kunibambikizia kauli ambayo si yangu!

Wala si ajabu kwa vyama hivi kuwa na wafuasi wengi maeneo hayo kwani hata Tanu ikianzishwa ilikubalika kwa haraka zaidi ktk jamii ya Kiislamu kuliko wenzao Wakristo ndio maana Wazee wapigania uhuru wakamkaribisha Mwalimu Nyerere kujiunga na harakati za kupigania uhuru ili kuongeza wigo na kuifanya Tanu iwe ya kitaifa zaidi kuliko kionekane ni chama cha Wazee wanywa gahwa tu!

Jokakuu, sijasema Profesa Lipumba anafurahia Cuf kuhusishwa na Zanzibar na mikoa ya Pwani tu! la! Profesa kafanya kazi kubwa sana kuitangaza CUF kila kona ya nchi hii na kafanikiwa sana kuijenga CUF na pamoja na vita kali toka Chadema na wapinzani wengine CUF iliweza kuwa chama cha kitaifa na hata kufika mpaka Bukoba na kunyakuwa ubunge! sikuambii kichekesho cha kunyakua kiti cha Kigamboni dhidi ya Mzee KK!

Ninachosema Profesa ni tofauti na Jokakuu au Mbowe wanapoambiwa Chadema ni chama kinachoungwa mkono na Wachagga au Wambulu wengi au Wakristo wengi huwa mnakasirika na kutokwa na povu! sababu yake siijui!

Jokakuu, Profesa Ibrahim Haruna Lipumba ni msomi mahiri, mchapakazi, msafi kimaadili na mwenyekipaji cha uongozi ndio maana kila uchaguzi unapofika chama chake kinamchagua tena ingawaje yeye angependa wengine wagombee! kama ungependa kumjua Profesa niko tayari kukutumia CV yake uone jinsi ilivyonona! nakuomba mpe heshima yake maana watu kama hawa ni wachache sana ktk nchi yetu!
 
Shekh Mohamed Said,

Nashukuru Shekh wangu kwa kunikumbusha ila bado nakumbuka sehemu nyingi tu ulizonijulisha hapo kabla na nimeziandika ktk notebok yangu na inshaallah nikipata wasaa ntatembelea.
Kwa kweli Shekh wewe ni hazina yetu hapa JF kila nikiona post yako humu nazidi kupata faraja kuwa leo nachota ILM!
Alla ndie mlipaji we tenda wema wende zako usingoje shukrani za akina Yericko naona sasa karudi na viapo vya Jaa!
Al jumaa karim Shekh!


Kadogoo,
Amin.
 
JokaKuu,
Barubaru ni miongoni mwa wale ambao wanaamini ukisema uwongo mara kwa mara inageuka kuwa ukweli. Watoto wa Mwalimu, Andrew Nyerere alikuwa mwanajeshi, John alikuwa air force. Makongoro sote tunajua. Emi Magige ni engineer. Madaraka amesoma Canada, anayo M.A. Anna Nyerere anazo digrii mbili alisomea Canada. Sasa sijui anazungumzia watoto wa Mwalimu gani. Lakini tumeshamzoea huyu kwa kauli za uwongo. Na kuhusu mapigano ya Mara yameanza miaka kumi na sita iliyopita. Wakati wa Mwalimu Wakurya walikuwa wakiogopa sana kwani akisikia kuna chokochoko alikuwa anawasomba viongozi wote wa koo na kuwaweka likizo. Lakini tumeshamzoea Barubaru, na hatutachoka kumsahihisha na kumpa elimu.

Jasusi na Jokakuu; Huku sehemu zingine hawajui kuwa mapigano ya mkoa wa Mara sio kwamba makabila kama mabila wanachukiana. Suala ni raslimali na biashara zingine zisiwezo kuwekwa wazi. Kwa mfano wilayani tarime kuna mapigano yalichangiwa sana ama na wizi wa mifugo au kilimo cha bangi. Sasa kwa asiyejua ataona mambo mengine. Kuna wale WAONGO wenye kudanganya watu kama RITZ. Awali amesema yeye hajawahi hata siku moja kuulizwa kabila lake. Kisha kasema katembea sana Mkoa wa Mara na makabila kayataja VIZURI sana. Anasema huko watu WANATAMBUANA/KUJUANA KWA MAKABILA YAO. Tayari CONTRADICTION. Sio kwamba haelewi kwanini duniani kuna makabila na utaifa/mataifa, ANAJUA. Ila Mwongo utamjua. Kumbe hujawahi kuulizwa hata na watu wa Mara kabila lako ulipokuwa huko, sasa Agenda ni nini?
 
Mzee MS; Baada ya salaamu sijui kama nilikujibu ulivyotarajia au kuna mapungufu unaweza kuniuliza tafadhali. Kuwa huru.

Wickama,
Usiwe na wasiwasi nimekuelewa.
Hapa ni pa kubadilishana fikra hata kama hazioani.
 
Kijani, Njano, Nyeusi na Nyekundu!

Uhuru kamili wa Rege!

Nawasalimu wote katika jina la Jah!

Naam nilijipa likizo kidogo leo, na sasa nimerejea!

Naona mjadala juu ya Zanzibar bado ni mzito, hamaki na fura naona vimepungua, ustaarabu umechukua mkondo wake!

Jah akisimama nasi bila shaka tutazidi kupevuka!

yah man gimme dem fire... Jah bless you...
 
Mohamed Said,

Usiwadanganye wanajamvi na watz kwa ujumla,

WAASI WOTE hawakuionja pepo ya UHURU!

Nakujuza kuwa sio kweli kuwa hao unaowaita ni "wazee wako" walikwenda sambamba na speed ya Julius Nyerere mpaka 1961,

Shehe Hassan bin Amir, Shehe Takadir, Waikela na wengine hawakushuhudia hata sherehe za uhuru,

Waasi hao walianza chokochoko baada ya uchaguzi wa 1953 wakiongozwa na Abdul Syke, na ilipofika 1958 katika uchaguzi wa kura tatu ndipo sasa kundi hilo lilipoanza rasmi kuendesha uasi wao waziwazi, wakitoka katika siasa za kizalendo na kwakuwa wengi wao walikuwa ni waislamu waliingia misikitini kupandikiza chuki zao!

Chuki hizo, ndizo mlizorithi vijukuu vyao ukiwemo wewe Mohamed Said na wenzio na kuanza kulichochea taifa kwa chuki za kidini hivi sasa!


Yericko,

Huna moja ulijualo katika historia ya TANU.

Nakuwekea hapa mambo yalivyokuwa Lindi usiku wa kushusha bendera ya Waingereza
na kupandisha bendera ya Tanganyika:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] But the two most remarkable occasions in Nyerere's second trip to the south were firstly the tawaswil performed on Nyerere by Sheikh Yusuf Badi himself with a few selected Muslims and sheikhs in attendance; [1] the second was the karam (Muslim lunch) hosted by Mussa Athman Lukundu the head foreman of Dockworkers' Union in Lindi in his honour. This was a great honour shown to Nyerere; it is the highest expression of love and respect any Muslim can show to a non-Muslim.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] The finest hour for Lindi was the Independence Day, 9 th December, 1961. Sheikh Badi, the poet was asked by TANU to write the independence speech to be delivered by Yusuf Chembera before the colonial District Commissioner as the representative of the outgoing British administration.

The speech was dictated by Sheikh Badi and was written in Arabic script by Chembera. As a young boy Chembera was sent to Sheikh Yusuf Badi by his father to study Islamics and was under his tutorship until when he completed his studies.

Sheikh Badi did not find any speech written by a mortal worth the occasion.

Sheikh Badi dictated to his former student the dua kunut (prayer) which is recited by Muslims in every fajir (morning) prayer.

Midnight on the 9 th December, 1961 was a great moment for both teacher and student, as the people assembled at the golf course heard Chembera reciting the famous dua.

But soon after independence, the educated Christians began to undermine what they perceived as uneducated Muslim leadership in TANU.

Suleiman Masudi Mnonji was detained under the Preventive Detention Act of 1962 for ‘mixing religion and politics', and other veterans were thrown out of leadership positions.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] Tawaswil is a special prayer conducted privately in which Allah's mercy and help is sought
and invoked through references to good deeds of the prophets and walii (saints) in the Muslim
history.
 

Yericko,

Huna moja ulijualo katika historia ya TANU.

Nakuwekea hapa mambo yalivyokuwa Lindi usiku wa kushusha bendera ya Waingereza na
kupandisha bendera ya Tanganyika huru 9 December 1961:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] But the two most remarkable occasions in Nyerere’s second trip to the south were firstly the tawaswil performed on Nyerere by Sheikh Yusuf Badi himself with a few selected Muslims and sheikhs in attendance; [1] the second was the karam (Muslim lunch) hosted by Mussa Athman Lukundu the head foreman of Dockworkers’ Union in Lindi in his honour.

This was a great honour shown to Nyerere; it is the highest expression of love and respect any Muslim can show to a non-Muslim.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] The finest hour for Lindi was the Independence Day, 9 th December, 1961.

Sheikh Badi, the poet was asked by TANU to write the independence speech to be delivered by Yusuf Chembera before the colonial District Commissioner as the representative of the outgoing British administration.

The speech was dictated by Sheikh Badi and was written in Arabic script by Chembera.

As a young boy Chembera was sent to Sheikh Yusuf Badi by his father to study Islamics and was under his tutorship until when he completed his studies.

Sheikh Badi did not find any speech written by a mortal worth the occasion.

Sheikh Badi
dictated to his former student the dua kunut (prayer) which is recited by Muslims in every fajir (morning) prayer.

Midnight on the 9 th December, 1961 was a great moment for both teacher and student, as the people assembled at the golf course heard Chembera reciting the famous dua.

But soon after independence, the educated Christians began to undermine what they perceived as uneducated Muslim leadership in TANU.

Suleiman Masudi Mnonji was detained under the Preventive Detention Act of 1962 for ‘mixing religion and politics’, and other veterans were thrown out of leadership positions.

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] Tawaswil is a special prayer conducted privately in which Allah's mercy and help is sought
and invoked through references to good deeds of the prophets and walii (saints) in the Muslim
history.

Kutoka ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes...''

Ndugu yangu,

Uliielewa hoja yetu hapo?

Mbona unaweka mambo yasiyohusiana na hoja?

Mkuu soma tena hoja ya awali kisha angalia ulivyojibu!
 
yah man gimme dem fire... Jah bless you...

In the name of jah!
We trust!

Karibu kwenye ibada ya kirasta fari kesho mkuu,

Kanisa la RastaFarian lipo Kigamboni Mbutu, nyimbo bora kabisa za rege zitatumbuizwa kumsifu jah,

Pia weed ya kutosha itatolewa kama sehemu ya sakramenti kuu
 
Utoto wako huu,peleka facebook kwa watoto wa rika lako...

Acha dharau kwenye dini za watu kijana,

Hapo tunazungumza dini yetu ya Kirasta Fari,

Wewe nini kinakuuma na kumuona mwenzio ni mtoto?

Heshimu imani za wenzio kama upendavyo kuheshimiwa imani yako wewe
 
Acha dharau kwenye dini za watu kijana,

Hapo tunazungumza dini yetu ya Kirasta Fari,

Wewe nini kinakuuma na kumuona mwenzio ni mtoto?

Heshimu imani za wenzio kama upendavyo kuheshimiwa imani yako wewe


Makubwa basi..!
Leo unamkana jesus wa nazareti unamkimbilia bob marley??

Sawa,samahani sitorudia tena,naheshimu sana iman ya mtu,bora umenijuza...
 
Jasusi na Jokakuu; Huku sehemu zingine hawajui kuwa mapigano ya mkoa wa Mara sio kwamba makabila kama mabila wanachukiana. Suala ni raslimali na biashara zingine zisiwezo kuwekwa wazi. Kwa mfano wilayani tarime kuna mapigano yalichangiwa sana ama na wizi wa mifugo au kilimo cha bangi. Sasa kwa asiyejua ataona mambo mengine. Kuna wale WAONGO wenye kudanganya watu kama RITZ. Awali amesema yeye hajawahi hata siku moja kuulizwa kabila lake. Kisha kasema katembea sana Mkoa wa Mara na makabila kayataja VIZURI sana. Anasema huko watu WANATAMBUANA/KUJUANA KWA MAKABILA YAO. Tayari CONTRADICTION. Sio kwamba haelewi kwanini duniani kuna makabila na utaifa/mataifa, ANAJUA. Ila Mwongo utamjua. Kumbe hujawahi kuulizwa hata na watu wa Mara kabila lako ulipokuwa huko, sasa Agenda ni nini?

Wewe ndiyo MUONGO mkubwa nisome upya unielewe kuliko kuropoka ovyo.

Nimekuambia mie naishi Musoma? Nilichomjibu JokaKuu alisema bara wao wanajuana kwa makabila nikamwambia mie mbona sijaulizwa kabila langu.

Hivi bara ni kwenu Musoma tu? Maeneo mengine hakuna bara, kwa taarifa yako nimefika Mara na nikaulizwa kabila langu nikajibu mimi siyo mtu wa Mara.

Naona mipini imekuingia kisawasawa mpaka unaropoka ovyo.

Cc.. gombesugu,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom