Uchoyo kwenye Ndoa, Mkeo na watoto wamekondeana alafu wewe umenawiri

Uchoyo kwenye Ndoa, Mkeo na watoto wamekondeana alafu wewe umenawiri

Ukisha zoea sana kula hotelin ni mbaya sana.Kuna jamaa yangu anaweza kuwapa hela wapike dagaa na nguna usiku na mchana harafu yy anarudi usiku mbovu kesha kula masontojo huko ila familia yake imekula dagaa.Wife wake akaniambia tabia ya mshikaji kwa kweli nilimsema kwa hasira sana mpaka ikawa ugomvi ila ilisaidia jamaa mpaka sasa kaacha kabisa kula hotelin bila sabab ya umbal na hone
 
Ukisha zoea sana kula hotelin ni mbaya sana.Kuna jamaa yangu anaweza kuwapa hela wapike dagaa na nguna usiku na mchana harafu yy anarudi usiku mbovu kesha kula masontojo huko ila familia yake imekula dagaa.Wife wake akaniambia tabia ya mshikaji kwa kweli nilimsema kwa hasira sana mpaka ikawa ugomvi ila ilisaidia jamaa mpaka sasa kaacha kabisa kula hotelin bila sabab ya umbal na hone

Ni tabia mbaya sana.
Ni akheri mtu yupo kazini hasa mchana na upo mbali na nyumbani. Lakini mtu Weekend badala ya kutoka na familia yake anatoka mwenyewe. Anaenda kula kinyama na kustarehe. Hapo ndipo Wimbo wa nani kama mama huimbwa na Watoto waliotoka kwenye familia kama hizo.

Familia ambazo Baba hakuwa mbinafsi watoto huwapenda wazazi wote kwa kipimo kilekile
 
Wengine Wana tabia za ajabu huwezi kuamini:-
-Anaweka saini kwenye unga ili akirudi na saini imefutika balaa huzuka.
-Anatiboa sufuria katikati ili maji ya ugali yakiwekwa yasivuke kipimo.Yakizidi yatavuja tu na kusumbua uwakaji wa moto.
-Kukatakata nyama na kuhesabu vipande.Vitaliwa kwa idadi anayotaka na muda autakao.
-Mlo mmoja wa wasiwasi usio kamili ndani ya masaa 24.
-Uvunjwaji wa hayo yaliyopo juu ni kipigo kwa mkiukaji hadi avunjike,kuvimba na/au kuvuja damu.
😂😂😂😂😂
Inasikitisha ila nimecheka sana aisee😂😂.

Hivi haya yapo kweli?
 
Daah!
Uchoyo pro max, anateseka, hadi saini kwenye unga🤣
Jichanganye ifutike saini ya bwana mkubwa.Na ukumbuke,ana smart simu yake maalumu kwa kupiga picha hiyo saini iwe kumbukumbu itumike inapotakiwa kufananishia ya awali/asubuhi anavyoondoka.
 
Jichanganye ifutike saini ya bwana mkubwa.Na ukumbuke,ana smart simu yake maalumu kwa kupiga picha hiyo saini iwe kumbukumbu itumike inapotakiwa kufananishia ya awali/asubuhi anavyoondoka.
😂😂😂.
Haya maisha nyie acheni tu.
Huyo ingekua mimi ningetafuta chakula changu na wanangu halafu yeye nampikia.vizuriii akirudi namtengea masifuria ya chakula chake mezani afakamie mwenyewe hadi avimbiwe.😂
 
😂😂😂.
Haya maisha nyie acheni tu.
Huyo ingekua mimi ningetafuta chakula changu na wanangu halafu yeye nampikia.vizuriii akirudi namtengea masifuria ya chakula chake mezani afakamie mwenyewe hadi avimbiwe.😂
Kuta nne za chumbani kwenu zingetoa siri.
 
Back
Top Bottom