chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Leo pitapita yangu picha zilizopo kwenye digital camera kabla kuja smartphone kupiga picha nikaona picha ya mchumba wangu ambaye tulipendana sana.
Ulianza kubadilishwa na wazazi baada kujua mimi ni mla kitimoto na bia mbili za baridi.
Jibu nililo mpa "yani dini yangu yenyewe imenishinda kwenda kanisani jumapili niweze ya kwenu"
Mwisho tukaja kuachana na kupoteana kabisa.Hongera una watoto sasa sijui ni sheikh yupi!
Ulianza kubadilishwa na wazazi baada kujua mimi ni mla kitimoto na bia mbili za baridi.
Jibu nililo mpa "yani dini yangu yenyewe imenishinda kwenda kanisani jumapili niweze ya kwenu"
Mwisho tukaja kuachana na kupoteana kabisa.Hongera una watoto sasa sijui ni sheikh yupi!