Uchumi bado Umekaza? Vodacom yajiondoa kudhamini Ligi Kuu Tanzania Bara

Unaelewa ulichoandika? Sasa voda ulitaka ale pesa za matangazo kwani anaonesha mpira? Kwenye kudhamini mpira unajua kwamba udhamini wako utakua upo kwenye maeneo yapi na nembo yako itakaa wapi. Voda ana maeneo yake na Azam ana ya kwake.
 
Unaelewa ulichoandika? Sasa voda ulitaka ale pesa za matangazo kwani anaonesha mpira? Kwenye kudhamini mpira unajua kwamba udhamini wako utakua upo kwenye maeneo yapi na nembo yako itakaa wap. Voda ana maeneo yake na Azam ana yakwake.
Unamjibu tahira huyo mirisho pm
 

Mwenendo mbaya upi wakati wanaingiza faida ya mabilioni?
 
Azam anakulaje pesa za bure?
 
Kama vipi 'Mo Dewji' aidhamini Ligi Kuu.
 
Boss umeelewa kweli ulichokiandika? Hebu pitia upya kwa utulive huenda ukaedit ulichoandika
 
Kwahiyo ulitaka voda wapate na nini cha ziada?
 
Boss umeelewa kweli ulichokiandika? Hebu pitia upya kwa utulive huenda ukaedit ulichoandika
Yaani hata mimi nimeshindwa kumwelewa, voda alikuwa anafaidika na uwepo wa azam maana alikuwa anatangaziwa biashara yake, ingekuwa labda azam ni telecom coy sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…