Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Jioni hii nimekaa room kwangu mara nasikia majirani (wake zao) wametoka kwenye mizunguko yao. Katika hii nyumba kuna wapangaji watatu wawili ni familia bachelor ni mimi tu.
Punde nasikia moja ya jirani yangu analalamika kwa mwenzie kua mmewe karudi kapiga msosi wote bila kujali kua yeye kala au hajala na yeye karudi ana njaa. Mbaya zaidi mwamba kapita na mboga zote (maharage) bibie karudi na mchele wa kupika jioni akitegemea kuna mboga. Kwa hasira bibie ana mpango wa kuanza kula mgahawani kama mbwai mbwai tu.
By the way mwamba namfahamu ni mtafutaji si kama anakaa nyumbani sema tu ni ndio harakati za kuungaunga, ila anajituma sana tu na hachagui kazi. Huenda alipitiwa tu ila mkewe kawaka balaa.
("Wanawake hawapendi safari, wanapenda asali"- Nikki wa Pili)
Punde nasikia moja ya jirani yangu analalamika kwa mwenzie kua mmewe karudi kapiga msosi wote bila kujali kua yeye kala au hajala na yeye karudi ana njaa. Mbaya zaidi mwamba kapita na mboga zote (maharage) bibie karudi na mchele wa kupika jioni akitegemea kuna mboga. Kwa hasira bibie ana mpango wa kuanza kula mgahawani kama mbwai mbwai tu.
By the way mwamba namfahamu ni mtafutaji si kama anakaa nyumbani sema tu ni ndio harakati za kuungaunga, ila anajituma sana tu na hachagui kazi. Huenda alipitiwa tu ila mkewe kawaka balaa.
("Wanawake hawapendi safari, wanapenda asali"- Nikki wa Pili)