Uchumi unaanguka, Rais Samia aambiwe ukweli

Uchumi unaanguka, Rais Samia aambiwe ukweli

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Mlima kilimanjaro unateketea sisi tunapaisha Ndege na karatasi ya sensa.

Mtungi wa gesi mdogo 24, 000 mazuzu yanakushangilia tu.

Gunia la Mahindi leo linauzwa 100,000. Maharage 200,000 yaani ni mfumuko wa bei juu ya mfumuko wa bei.

Maji yamekuwa adimu Sana utafikiri unatafuta gold kwenye mgodi wa Nyamongo.

Umeme leo umekuwa anasa mjini dsm ukiongeza na joto limefika 33c hapo hakuna feni Wala AC ni mwendo wa kuungua ndani kwa ndani.

Rais ashauliwe kama hataki aambiwe ukweli aachane na mambo ya anasa afanye mambo ya msingi tu.

Tumeshindwa kuomba msaada wa kuzima moto mlima kilimanjaro?

Msitu wa amazon ulipoungua hatukujifunza?

Hii nchi now awamu ya sita kipaumbele chake ni vijisherehe na kusafiri tu sio kutoa Huduma za msingi kwa watanzania.

Serikali ya kifisadi kuliko zote toka tupate uhuru mnachota tu pesa na walala hoi na kuzipeleka kwenye mambo ya kipumbavu.

Hakika huu mchongo tumepigwa Watanzania.
 
Mlima kilimanjaro unateketea sisi tunapaisha Ndege na karatasi ya sensa.

Mtungi wa gesi mdogo 24, 000 mazuzu yanakushangilia tu...
Sasa with those matatizo ndio kwamba uchumi unaangukia?

Lini uchumi haukuanguka and so matatizo yaliisha?

Acha upuuzi Jenga hoja yako Kwa namna inayofaa sio kupinga Pinga kwa kuunga unga vipisi vya ujinga ujinga..

Uchumi ungeanguka makampuni makubwa yangepata faida? Banks zingeoata faida? Si ungesikia bad loans na vilio vya Biashara kufungwa?

Sema serikali ipunguze matumizi yasiyo na msingi badala ya kuunga unga upuuzi hapa 👇

Screenshot_20221101-081249.png
Screenshot_20221101-081209.png
Screenshot_20221101-081102.png
Screenshot_20221030-082935.png
Screenshot_20221030-083019.png
Screenshot_20221030-082814.png
 
𝕌𝕥𝕒𝕒𝕞𝕓𝕚𝕨𝕒 𝕨𝕖𝕨𝕖 𝕟𝕚 𝕥𝕖𝕒𝕞 𝕞𝕨𝕖𝕟𝕕𝕒𝕫𝕒𝕜𝕖...

ℍ𝕚𝕚 𝕤𝕖𝕣𝕚𝕜𝕒𝕝𝕚 𝕚𝕟𝕒 𝕜𝕒'𝕦𝕡𝕦𝕘𝕚' 𝕗𝕦𝕝𝕒𝕟𝕚 𝕙𝕚𝕧𝕚
 
Jitu linaongelea shida ya umeme na maji as if halijii kwamba kuna hali ya Ukame kwa sasa..

Ulitaka haya mabwawa yatoe wapi maji? Mate yako?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221030-080052.png
    Screenshot_20221030-080052.png
    172.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221030-080038.png
    Screenshot_20221030-080038.png
    166.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221030-080017.png
    Screenshot_20221030-080017.png
    105.8 KB · Views: 4
Hivi huyo Mama yenu ni zuzu kiasi kwamba kutumia common sense kuona uhalisia wa maisha ya Sasa Hana ? Kiasi kwamba washauri ndo wapewe lawama zote kana kwamba yeye ni Mama ndio

Mara kadhaa Nisha wahi sema hapa JF huyu mama tusitake afanye vitu ambavyo kwa uhalisia uwezo hana ni sawa na mzigo wa tani 100 utake bajaji ndo ibebe uliona wapi?

Rais wa Zambia kasha sema Kuna watu wanasema kwamba kiongozi ni mzuri lakini washauri wake ndo wabaya mwisho akafanya hitimisho kwa kusema wanasahau kwamba watu wanao mzunguka huyo kiongozi ndio uhalisia wake huyu kiongozi.

Njia kuu ya kunusuru taifa hili ni moja tu Samia 2025 ndo iwe mwisho akapumzike kwao Zanzibar maana tayali historia itamkumbuka Kama raisi wa Kwanza mwanamke Tanzania na East Africa.
 
Uchumi gani unaouzumzia bwana mdogo. Au hujui maana ya uchumi
 
Jitu linaongelea shida ya umeme na maji as if halijii kwamba kuna hali ya Ukame kwa sasa..

Ulitaka haya mabwawa yatoe wapi maji? Mate yako?👇
Hapana mkuu, ukame sio sababu tukabiliwe na tatizo la maji, tatizo ni watanzania wenyewe ambao wamegeuka kuwa vipofu kwa politicians wao ambao wana total power kufanya chochote kwa mazuzu haya,why hatukujenga dams za kuhifadhi maji ili yatusaidie wakati huu wa ukame?

Why nchi yenye 3 big lakes ya fresh water bado tunalalamika kuhusu maji?,water desalination kama tungekuwa na uhakika wa tanesco tungeweza kufanya, we must think outside the box, soma hii wakati jiji la Capetown linakabiliwa na day zero, walifikiria wakavute yale mabonge ya barafu kutoka South pole, yasikumwe na upepo na yanapofika pwani ya SA lisukumwe kwa tankers hadi pale Saddana port, ufikiri huu ndio tunahitaji nchi yetu mkuu.
 
Sasa with those matatizo ndio kwamba uchumi unaangukia?

Lini uchumi haukuanguka and so matatizo yaliisha?

Acha upuuzi Jenga hoja yako Kwa namna inayofaa sio kupinga unga vipisi vya ujinga ujinga..

Uchumi ungeanguka makampuni makubwa yangepata faida? Banks zingeoata faida? Si ungesikia bad loans na vilio vya Biashara kufungwa?

Sema serikali ipunguze matumizi yasiyo na msingi badala ya kuunga unga upuuzi hapa [emoji116]
this a your facts?[emoji32][emoji32][emoji32]
 
Hapana mkuu, ukame sio sababu tukabiliwe na tatizo la maji, tatizo ni watanzania wenyewe ambao wamegeuka kuwa vipofu kwa politicians wao ambao wana total power kufanya chochote kwa mazuzu haya,why hatukujenga dams za kuhifadhi maji ili yatusaidie wakati huu wa ukame?,why nchi yenye 3 big lakes ya fresh water bado tunalalamika kuhusu maji?,water desalination kama tungekuwa na uhakika wa tanesco tungeweza kufanya, we must think outside the box,soma hii wakati jiji la Capetown linakabiliwa na day zero, walifikiria wakavute yale mabonge ya barafu kutoka South pole, yasikumwe na upepo na yanapofika pwani ya SA lisukumwe kwa tankers hadi pale Saddana port, ufikiri huu ndio tunahitaji nchi yetu mkuu
Sawa hapa tunakubali.kuna uzembe wa serikali but sio sawa kulaumu Samia as if hii Nchi ndio anaianzisha yeye wakati watu wamekuwepo Marais 5 kabla ila walikuwa wanapiga blaa blaa na wengine kuweka pesa kwenye vyanzo hatarishi kama maji..

Ndio kwanza Serikali ya Sasa inajitahidi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221029-214659.png
    Screenshot_20221029-214659.png
    158.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221005-104854.png
    Screenshot_20221005-104854.png
    210.4 KB · Views: 4
Sawa hapa tunakubali.kuna uzembe wa serikali but sio sawa kulaumu Samia as if hii Nchi ndio anaianzisha yeye wakati watu wamekuwepo Marais 5 kabla ila walikuwa wanapiga blaa blaa na wengine kuweka pesa kwenye vyanzo hatarishi kama maji..

Ndio kwanza Serikali ya Sasa inajitahidi 👇
Kwenye Comment zako zote Unajenga hoja vizuri na kwa kutumia data lkn tatizo una ushabiki fln hv ambao unashindwa kuuficha na ndipo unaharibu kila kitu. Umesahau kwamba hao maraisi watano unaosemea wanatoka chama kimoja na kila anaetoka huusika kwenye process ya kuchagua anaeingia. Hizo Ilani zao vp? Zinatekelezwa na ni endelevu?
 
Back
Top Bottom