jeshi letu limenisikitisha mno hafu frame zenyewe zimejengwa bila ubora na kilichoniumiza ni kufyeka ile miti Kwa wingi pale. Ujue frame ilikuwa biashara za wadangaji Sasa Hadi jeshi letu limeig
Huko tuendapo wanajeshi wataanza kunyoa viduku[emoji2][emoji2]jeshi letu limenisikitisha mno hafu frame zenyewe zimejengwa bila ubora na kilichoniumiza ni kufyeka ile miti Kwa wingi pale. Ujue frame ilikuwa biashara za wadangaji Sasa Hadi jeshi letu limeiga
Wavunje tu zile frame ni aibu, ila taifa letu sijui tuna shida gani every corner frame heri hata zenji Wana uchumi wa blue huku Tanganyika ni uchumi wa frameNaungo hoja mkono ule ni udhalilishaji kwa jeshi letu tukufu.
[emoji2][emoji2][emoji2] inawezekana kabisa jeshi letu inabidi lifanye makubwa na sio kuwekeza kwenye uchumi wa frame Sasa, mbona ni hatari mnoJes
Huko tuendapo wanajeshi wataanza kunyoa viduku
Na hapo lugalo lazima kna mtu ataweka frame ya grocery auze mtungiWavunje tu zile frame ni aibu, ila taifa letu sijui tuna shida gani every corner frame heri hata zenji Wana uchumi wa blue huku Tanganyika ni uchumi wa frame
.....😊😊kwa hiyo wameona bora fedhea kuliko lawama, Mungu tupa kule weka frem.....Hapo msikiti wa Mwenge kumejaa fremu,alafu hizo za chini kodi mil 3 kwa mwezi,na msikiti wameuvunja.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ni wazo la mdau wao mkubwaAliyetoa Wazo JW Alitakiwa Ajitafakari Sana Sana Vinginevyo Ni Aibu Tupu
Uko sahih swala hili Dr Matola PhD ameshalikemea hiliUchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame.
Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame , si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa yaani wote wanawaza Frame, Frame zinaoteshwa kama uyoga, miji imejaaa frame. Halimshauri, ni frame, Majiji ni Farma, Manisapaa zinawaza Frame.
Sasa wameona mjini hakutoshi, Frame zimehamia hadi kwenye makambi ya jeshi, Vituo vya Police, Mitaani maeneo ambayo ni kwa ajili ya Makazi kumejaaa Frame.
Tunako elekea Frame zitakuwa nyingi kuliko watu kama speed itakuwa ni hii hii ya sasa.
Je hatuna Idea zingine nje ya Uchumi wa Frame?
Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.
Hawajaliona hiloNchi hii watanzania wanapenda kuigana pia fremu ni ujinga na kipimo duni, mie kilichonichosha zaidi Hadi jwtz Lugala walikata ile miti mingi wakajenga frem hii ni aibu hivi jeshi kweli ubunifu umeishia kujenga frem tu wakati Kwa wenzetu majeshi huongoza ubunifu na hizo frem wanazojenga vipi ma jasusi wa nchi jirani wakikodi Kwa masilahi ya uchunguzi.
In short nchi hii watu wanatumia asilimia Moja ya ubongo kufikiria
Kuna muwekezaji wamempa lile eneo kahaidi atajenga msikiti mzuri pamoja na fremu za biashara,sasa kaanza na fremu kwanza ili apate pesa ndio awajengee msikiti baadae,.....[emoji4][emoji4]kwa hiyo wameona bora fedhea kuliko lawama, Mungu tupa kule weka frem.....
Hyo lazima mbonaNa hapo lugalo lazima kna mtu ataweka frame ya grocery auze mtungi
Ova
Kashakufa aliyetuloga , si tupo tupo tu.Au tumelogwa na alietuloga kafa
Hahh mkuu wacha matusi 🤣[emoji4][emoji4][emoji4], nasubiri pale state House waweke frame niwahi na mimi nikapangishe...
Sent using Jamii Forums mobile app
Uingereza kuna maduka mengi,ukiona hivo mzunguko wa hela umeongezeka.Acha wajenge frem tyu.Uchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame.
Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame , si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa yaani wote wanawaza Frame, Frame zinaoteshwa kama uyoga, miji imejaaa frame. Halimshauri, ni frame, Majiji ni Farma, Manisapaa zinawaza Frame.
Sasa wameona mjini hakutoshi, Frame zimehamia hadi kwenye makambi ya jeshi, Vituo vya Police, Mitaani maeneo ambayo ni kwa ajili ya Makazi kumejaaa Frame.
Tunako elekea Frame zitakuwa nyingi kuliko watu kama speed itakuwa ni hii hii ya sasa.
Je hatuna Idea zingine nje ya Uchumi wa Frame?
Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.
Unauwezo mdogo sana wa kufikiri....always invest ktu ambacho ni asset frame ztaingiza pesa kilaa mwez ila sio nyumba ya kuishi ww na family yako...Uchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame.
Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame , si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa yaani wote wanawaza Frame, Frame zinaoteshwa kama uyoga, miji imejaaa frame. Halimshauri, ni frame, Majiji ni Farma, Manisapaa zinawaza Frame.
Sasa wameona mjini hakutoshi, Frame zimehamia hadi kwenye makambi ya jeshi, Vituo vya Police, Mitaani maeneo ambayo ni kwa ajili ya Makazi kumejaaa Frame.
Tunako elekea Frame zitakuwa nyingi kuliko watu kama speed itakuwa ni hii hii ya sasa.
Je hatuna Idea zingine nje ya Uchumi wa Frame?
Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.
Fremu nyingi tu katika maeneo mengi zimegeuka kuwa makazi ya kufugia popo.Unauwezo mdogo sana wa kufikiri....always invest ktu ambacho ni asset frame ztaingiza pesa kilaa mwez ila sio nyumba ya kuishi ww na family yako...
Katika kitu nimekataa Nyumbani kwangu ni kuweka flemu, kwanza napenda shape ya nyumba yangu ionekane kama ilivyo na iko mtaani kabisa tena mtaa mkubwa kabisa, lakini habari ya fremu kwangu marufuku.Uko sahih swala hili Dr Matola PhD ameshalikemea hili
Majasusi hawaji kwa njia hizo.[emoji2][emoji2] huyo kachero ufikiri wake utakuwa mdogo ndio mana tushauri waache kupasua matofali kwenye uhuru day. Hizo frame si ndio zitakarobisha hata majasusi wajifanye wauza bidhaa.
Jasusi akataka lake atatulia tu njia yoyote kufanikisha lake lohMajasusi hawaji kwa njia hizo.