Uchumi wa Frame Tanzania

Uchumi wa Frame Tanzania

Jes
emoji2.png
emoji2.png
jeshi letu limenisikitisha mno hafu frame zenyewe zimejengwa bila ubora na kilichoniumiza ni kufyeka ile miti Kwa wingi pale. Ujue frame ilikuwa biashara za wadangaji Sasa Hadi jeshi letu limeig

[emoji2][emoji2]jeshi letu limenisikitisha mno hafu frame zenyewe zimejengwa bila ubora na kilichoniumiza ni kufyeka ile miti Kwa wingi pale. Ujue frame ilikuwa biashara za wadangaji Sasa Hadi jeshi letu limeiga
Huko tuendapo wanajeshi wataanza kunyoa viduku
 
Uchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame.

Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame , si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa yaani wote wanawaza Frame, Frame zinaoteshwa kama uyoga, miji imejaaa frame. Halimshauri, ni frame, Majiji ni Farma, Manisapaa zinawaza Frame.

Sasa wameona mjini hakutoshi, Frame zimehamia hadi kwenye makambi ya jeshi, Vituo vya Police, Mitaani maeneo ambayo ni kwa ajili ya Makazi kumejaaa Frame.

Tunako elekea Frame zitakuwa nyingi kuliko watu kama speed itakuwa ni hii hii ya sasa.

Je hatuna Idea zingine nje ya Uchumi wa Frame?

Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.
Uko sahih swala hili Dr Matola PhD ameshalikemea hili
 
Nchi hii watanzania wanapenda kuigana pia fremu ni ujinga na kipimo duni, mie kilichonichosha zaidi Hadi jwtz Lugala walikata ile miti mingi wakajenga frem hii ni aibu hivi jeshi kweli ubunifu umeishia kujenga frem tu wakati Kwa wenzetu majeshi huongoza ubunifu na hizo frem wanazojenga vipi ma jasusi wa nchi jirani wakikodi Kwa masilahi ya uchunguzi.
In short nchi hii watu wanatumia asilimia Moja ya ubongo kufikiria
Hawajaliona hilo
 
.....[emoji4][emoji4]kwa hiyo wameona bora fedhea kuliko lawama, Mungu tupa kule weka frem.....
Kuna muwekezaji wamempa lile eneo kahaidi atajenga msikiti mzuri pamoja na fremu za biashara,sasa kaanza na fremu kwanza ili apate pesa ndio awajengee msikiti baadae,
Yani unavunja kwanza nyumba ya ibada alafu unajenga kwanza fremu za biashara nyumba ya utajenga baadae.moja kati ya mkataba wa Chief Mangungo ndio huo,na kuna tetesi nasikia baada ya miaka 20 ndio anawaachia eneo lao.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Uchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame.

Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame , si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa yaani wote wanawaza Frame, Frame zinaoteshwa kama uyoga, miji imejaaa frame. Halimshauri, ni frame, Majiji ni Farma, Manisapaa zinawaza Frame.

Sasa wameona mjini hakutoshi, Frame zimehamia hadi kwenye makambi ya jeshi, Vituo vya Police, Mitaani maeneo ambayo ni kwa ajili ya Makazi kumejaaa Frame.

Tunako elekea Frame zitakuwa nyingi kuliko watu kama speed itakuwa ni hii hii ya sasa.

Je hatuna Idea zingine nje ya Uchumi wa Frame?

Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.
Uingereza kuna maduka mengi,ukiona hivo mzunguko wa hela umeongezeka.Acha wajenge frem tyu.
 
Uchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame.

Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame , si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa yaani wote wanawaza Frame, Frame zinaoteshwa kama uyoga, miji imejaaa frame. Halimshauri, ni frame, Majiji ni Farma, Manisapaa zinawaza Frame.

Sasa wameona mjini hakutoshi, Frame zimehamia hadi kwenye makambi ya jeshi, Vituo vya Police, Mitaani maeneo ambayo ni kwa ajili ya Makazi kumejaaa Frame.

Tunako elekea Frame zitakuwa nyingi kuliko watu kama speed itakuwa ni hii hii ya sasa.

Je hatuna Idea zingine nje ya Uchumi wa Frame?

Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.
Unauwezo mdogo sana wa kufikiri....always invest ktu ambacho ni asset frame ztaingiza pesa kilaa mwez ila sio nyumba ya kuishi ww na family yako...
 
Uko sahih swala hili Dr Matola PhD ameshalikemea hili
Katika kitu nimekataa Nyumbani kwangu ni kuweka flemu, kwanza napenda shape ya nyumba yangu ionekane kama ilivyo na iko mtaani kabisa tena mtaa mkubwa kabisa, lakini habari ya fremu kwangu marufuku.

Wife ndio ana plot yake binafsi somewhere huko ndio Kajenga maflemu yake kawapangisha watu apate kodi, ila Nyumbani sitaki kabisa kusikia habari ya fremu.
 
Back
Top Bottom