Uchumi wa Frame Tanzania

Uchumi wa Frame Tanzania

Nchi hii watanzania wanapenda kuigana pia fremu ni ujinga na kipimo duni, mie kilichonichosha zaidi Hadi jwtz Lugala walikata ile miti mingi wakajenga frem hii ni aibu hivi jeshi kweli ubunifu umeishia kujenga frem tu wakati Kwa wenzetu majeshi huongoza ubunifu na hizo frem wanazojenga vipi ma jasusi wa nchi jirani wakikodi Kwa masilahi ya uchunguzi.
In short nchi hii watu wanatumia asilimia Moja ya ubongo kufikiria
.....wenzao wa magereza huwa wanajenga hata kakiwanda uchwara ka kuprocess ngozi na kutengeneza viatu au kuchakata mbao kutengeneza furnitures, mleta mada yuko sahihi, kwa Sasa ndo dili sijui kila mkoa na wilaya ukitebelea ni mafremu tu, imekuwa nchi ya wachuuzi.......
 
Kali kuliko Yote ni kitendo cha JW kuachana na project za kutunza mazingira na wao wa kubebwa na muhemuko ya Uchumi wa Fremu , wamepafyeka pale Lygalo kama mtu aliyetoka kusafisha sehemu zake za siri, pamebaki pameachama tu pakisubiri wapangaji wakapange ili waendeleze Uchuni wa Fremu.
.... kwakweli ni fedhea Kwa taasisi serious na nyeti kama jeshi, kila mtu akiuza sijui nani atanunua Sasa......
 
Watanzania huwa wanalipenda sana Jeshi lao kwa kila hali na kusimama nalo kika wakati.
Ila zile Fremu za pale Lugalo kwa kweli watu wapo agaunst Jeshi, na aletoa lilewazo aoromoshe veo vake vote. Hizo habari za Fremu zilipaswa kuishia kwenye kuta za Makongo Sekindari, lakuni siyo pale.
Katika hili JW wamezingua sana. Wabomoe zile fremu mara moja
 
Kwa zile fremu pale Lugalo, Pale Jeshini patakua gulioni. Lugalo inashindana na Mwenge kwa fremu. Ukitaka kunyoa, ukitaka full body massage, ukitaka viepe, ukitaka kuziba pancha, ukitaka unachotaka vitakuwa vinapatikana Lugalo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimejikuta nacheka tu nimepita mtaa fulani hivi mazingira ya eneo lile ni tulivu sana nyumba nyingi zina fensi ila kuna mtu alinunua eneo kubwa mwaka jana kapiga frem zaidi ya 15 tangu mwaka jana mpaka leo ni frame mbili tu ndio zinawapangaji sijui boss aliwaza nini ukiangalia eneo lenyewe haieleweki wateja wanatoka wapi maeneo yapo kimya
.....kila mtaa mkuu na huko kwenu nilikuwa naona hadi gangilonga iliyokuwa ushuani nayo ni fremu plus vikontena, mwangata kihodombi, frelimo, mwembetogwa, isoka, mikmbizi kote ni maduka tu mitaani.......
 
Kwa zile fremu pale Lugalo, Pale Jeshini patakua gulioni. Lugalo inashindana na Mwenge kwa fremu. Ukitaka kunyoa, ukitaka full body massage, ukitaka viepe, ukitaka kuziba pancha, ukitaka unachotaka vitakuwa vinapatikana Lugalo
[emoji2][emoji2][emoji4] ndio manake aisee
 
Itakuwa ushauri wa Military Finance and economics.

Nyie mnachukulia poa lakini hapo utakuta ni Kachero mmoja mwenye PhD yake.
[emoji2][emoji2] huyo kachero ufikiri wake utakuwa mdogo ndio mana tushauri waache kupasua matofali kwenye uhuru day. Hizo frame si ndio zitakarobisha hata majasusi wajifanye wauza bidhaa.
 
.....wenzao wa magereza huwa wanajenga hata kakiwanda uchwara ka kuprocess ngozi na kutengeneza viatu au kuchakata mbao kutengeneza furnitures, mleta mada yuko sahihi, kwa Sasa ndo dili sijui kila mkoa na wilaya ukitebelea ni mafremu tu, imekuwa nchi ya wachuuzi.......
Bora magereza wanavozalisha vinaonekana, Sasa hizi frame zinadhihirisha kuwa uchumi wetu ni WA uchuzi wa bidhaa za kichina, ni heri wangekuwa wanaanzisha hata viwanda vingetoa ajira sio hivi frame ni nyingi kuliko wateja. Ningekuwa na mamlaka ningeagiza zivunje hivi ni nchi Gani Haina mpangilio Kila corner ni frame tu
 
Watanzania huwa wanalipenda sana Jeshi lao kwa kila hali na kusimama nalo kika wakati.
Ila zile Fremu za pale Lugalo kwa kweli watu wapo agaunst Jeshi, na aletoa lilewazo aoromoshe veo vake vote. Hizo habari za Fremu zilipaswa kuishia kwenye kuta za Makongo Sekindari, lakuni siyo pale.
Katika hili JW wamezingua sana. Wabomoe zile fremu mara moja
[emoji2][emoji2]jeshi letu limenisikitisha mno hafu frame zenyewe zimejengwa bila ubora na kilichoniumiza ni kufyeka ile miti Kwa wingi pale. Ujue frame ilikuwa biashara za wadangaji Sasa Hadi jeshi letu limeiga
 
Back
Top Bottom