Uchumi wa Kati: Waziri Mkuu akisalimiana na bibi Asumin Milanzi huko Ruangwa

Uchumi wa Kati: Waziri Mkuu akisalimiana na bibi Asumin Milanzi huko Ruangwa

Unarudia yale yale ya F-Grade. Badala ya kujadili mada wewe unanijadili mimi eti ninajihami; kwani hapa ni mashindano? Upumbavu wako huo wa kuja hapa kushindana na watu usiowajua ni mzigo wako tu, hakuna atakayeweza kukusaidia kuubeba; hata ukipiga kelele sana utabaki ni mpumbavu tu.
Mada si ndiyo hiyo ya mfano wa kipumbavu uliotoa wewe hapo juu, au mtindio wa ubongo unazidi kushamiri? Ushahidi huo unatafuta kila njia ya kuukimbia lakini huipati!
 
Nd
Erythrocyte,

Kwa akili tu ya kawaida, kuna uhusiano gani wa maisha ya huyo bibi na nchi kuwa kwenye uchumi wa kati?
WB wanatumia kigezo gani kuiweka nchi kuwa kwenye uchumi wa kati?
Na nchi ikiwa kwenye uchumi wa kati ndio kusema raia wote watalingana kipato?
Hii inathibitisha kwa nini Chadema imekufa na kuanguka kifo cha mende. Sababu imejaza wafuasi na wanachama ambao wanakamasi kichwani.
Ndugu yangu we acha tu hawa vijana wa voda fasta na mawazo yao ya kibangibangi! Kuna nchi nyingi sna hapa duniani zipo uchumi wa kati tena middle level (maana kuna middle lower, middle na middle upper) lakini maisha ya watu wao hasa maeneo ya vijijini na hata mijni baadhi yanatisha. Ukichukua hiyo nyumba ya bibi hapo kijijini ukaihamishia kibera-jijini Nairobi huko Kenya hiyo nyumba ya bibi itaonekana ni bonge la mjengo na Kenya ni middle income country kitambo sasa. Kwa hiyo neno middle income lisiwachanganye vijana wakadhani nchi ikiwa middle income watu wote wanakuwa na maisha mazuri.
 
Mada si ndiyo hiyo ya mfano wa kipumbavu uliotoa wewe hapo juu, au mtindio wa ubongo unazidi kushamiri? Ushahidi huo unatafuta kila njia ya kuukimbia lakini huipati!
Kama unatafuta baba, siyo mimi.
 
Nd

Ndugu yangu we acha tu hawa vijana wa voda fasta na mawazo yao ya kibangibangi! Kuna nchi nyingi sna hapa duniani zipo uchumi wa kati tena middle level (maana kuna middle lower, middle na middle upper) lakini maisha ya watu wao hasa maeneo ya vijijini na hata mijni baadhi yanatisha. Ukichukua hiyo nyumba ya bibi hapo kijijini ukaihamishia kibera-jijini Nairobi huko Kenya hiyo nyumba ya bibi itaonekana ni bonge la mjengo na Kenya ni middle income country kitambo sasa. Kwa hiyo neno middle income lisiwachanganye vijana wakadhani nchi ikiwa middle income watu wote wanakuwa na maisha mazuri.
Asante kwa ufafanuzi, China pia ni mfano hai
 
Angalia mwamerika huyu anayeishi kwenye nchi yenye uchumi wa juu

View attachment 1510546

Nafikiri kuna haja ya kuiandikia Benki ya Dunia barua ya kupinga kuwa Tanzania haijafikia uchumi wa kati.
Nilipotoa mfano huu kujaribu kuelekea kuwa nchi kuwa ya uchumi wa kati au uchumi wa juu, kuna watu hapa walataka kunikatakata vipande vipande na kunifanya mishikati yao. Lakini mimi nimesihi Marekani miaka 25, najua kabisa kuwa kuna maskini wengi sana kuliko hata huyo bibi hapo, kwani kipimo vya umasikini siyo uzuri wa nyumba anayolala tu. Leo nhii nimesoma article kwenye blog ya kiswahili inayoongelea hilo, na mifano ukiwa ndani ya marekani utaiona mingi sana.

1595972498378.png
 
Nilipotoa mfano huu kujaribu kuelekea kuwa nchi kuwa ya uchumi wa kati au uchumi wa juu, kuna watu hapa walataka kunikatakata vipande vipande na kunifanya mishikati yao. Lakini mimi nimesihi Marekani miaka 25, najua kabisa kuwa kuna maskini wengi sana kuliko hata huyo bibi hapo, kwani kipimo vya umasikini siyo uzuri wa nyumba anayolala tu. Leo nhii nimesoma article kwenye blog ya kiswahili inayoongelea hilo, na mifano ukiwa ndani ya marekani utaiona mingi sana.

View attachment 1520059
Wakikosa cha kufanya huwa wanaanzisha threads zisizo na kichwa wala miguu.

Hakuna nchi isiyo na maskini kwa asilimia mia.
 
Ccm sio maboya kuwanyima elimu watanzania mana kabla hamjapelekwa shule mnaipenda mkiingia darasani mnaikataa
 
Waziri Mkuu Mh Kasim Majaliwa alikuwa kwenye ukaguzi wa mradi wa kisasa wa kilimo cha mboga mboga. Hawa ndio Watanzania wa uchumi wa kati. Pichani akisalimiana na bibi Asumini ambaye ni mpiga kura wa Ruangwa.
Seriously, isingekuwa ni mambo mengi mengine ya kipuuzi yanayofanyika serikalini, na huko kwenye mavyama ya kisiasa; mwenekano wa picha hii siyo mbaya hata kidogo. Unaonyesha matumaini na mabadiliko yanayofanyika.

Hiyo nyumba kuezekwa kwa nyasi, hilo siyo hoja sana, kwa maana ni yhatua tu inayoelekea kufikiwa.
Nyumba ni nzuri, mazingira ya hapo ni mazuri na safi kabisa.
Kama maji yapo karibu, na shule na zahanati zipo karibu; hali ya bibi siyo mbaya.
 
Waziri Mkuu Mh Kasim Majaliwa alikuwa kwenye ukaguzi wa mradi wa kisasa wa kilimo cha mboga mboga. Hawa ndio Watanzania wa uchumi wa kati. Pichani akisalimiana na bibi Asumini ambaye ni mpiga kura wa Ruangwa.
Naomba no ya fundi aliyepanga hizi tofali ...utafikiri za machine!Bibi akiweka bati nyumba Bora ya kijijini hiyo!
 
Unazunguka zunguka kote huko kujaribu kukimbia mfano ulioutoa hapo wa hao watu wawili, Bi Kizee wa Ruangwa na huyo omba omba wa Marekani.
Ni mfano usioshabihiana kabisa kwa kila namna yoyote. Ni mfano wa hovyo.

kama unaishi maisha magumu na unategemea siasa nakushauri ukafanye kazi kwa bidii, everything duniani is calculated, nchi kama india ambayo ina nusu ya population nzima wenye umaskini mbaya ndo moja ya nchi zenye uchumi wa juu pia, statistically india has more poor people than Tanzania, but ni nchi ya uchumi mkubwa! japokua tunajua motives zenu ila hakikisha maisha yako economically yapo vizuri kabla hujaja uku, kumbuka Halima anasukuma mchuma mmoja mkali mjini
 
Back
Top Bottom