Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
- Thread starter
-
- #41
Sijui unakookota data. TZ imeachwa mbali na Angola kwa GDP. Angola ni ya pili kwa uchumi mkubwa kwenye SADC.Unaongeaga ujinga sana, lini Angola aliizidi uchumi Tanzania? Acha fix, chukua data GDP per capita (current LCU) - Africa | Data ujifunze zaidi kuhusu nchi yako, achana na kelele za mitandoni hizi.
Marais,Tanzania Magufuri,Kenya Ruto.Juzi nililipa kwa dola. Dola ilikuw Tsh 2324. Shilingi ilikuwa imepanda sana. Nikasema safi. Leo nashangaa Dola ni 2345. Sidhani kama shilingi yetu imewahi kushuka namna hii. Pia mbona Ksh nayo inaporomoka kwa kasi sana? Leo Ksh ni 17.53 Tsh! Ksh haijawa chini hivi kwa muda mrefu sana. Tena nasikia hata pesa za kulipana mishahara huko Kenya ni tatizo. Nini kinaendelea kwenye uchumi wa nchi hizi mbili.
Ni suala tata lakini linaongozwa na kanuni. Kwa nchi masikini huwezi tenganisha thamani ya pesa yake na uchumi wake.Kama unajua ni tata hapa unabwabwaja nini? Lengo la uzi huu ni nini kama unajua mambo ya currency kuwa ni tata? Umeutatua utata huo?
Ndio maana nimesema umeandika UPUPU, kichwa box unataka kujadili vitu CHUMA.
Hata ulimwengu mzima.Ni Hali ya uchumi tuu,sio Tanzania na Kenya pekee Bali Nchi nyingi sana hapa Afrika
Uchumi wa nchi na maisha ya watu je vinaendana????Acha kujifariji wewe.Haina uhusiano wowote, Zimbabwe pesa yake ina thamani kuliko yetu, vp uchumi wao unaweza kutukaribia sisi?
Unajua kuwa SADC na East Africa ni nchi 2 tu zinauzidi uchumi wa Tanzania? Nazo ni South Africa na Kenya?
Unajua katika nchi zote za SADC Shilingi ya Tanzania ndio pesa isiyo na Thamani kuliko Zote?
Thamani ya pesa ni Ishu tofauti na uchumi wa nchi yaan katika ukuaji au ushukaji wa uchumi.
Aliyeharibu thamani ya shilingi ni Magufuri.Na huyu wa kwetu vipi? Tumuweke kwenye kundi la kuongea au kunyamaza?
Miaka mitano nyuma tshs to usd ilikuwa haijapanda
Uchumi wa Tanzania unajua.kwa Kasi Sana east and.Central tumebakisha Kenya pekee,hivyo tuchape Kazi,jana nilikuwa mitaa ya kaliakoo,nilichokiona watu wanapiga Kazi kama vichaa.Juzi nililipa kwa dola. Dola ilikuw Tsh 2324. Shilingi ilikuwa imepanda sana. Nikasema safi. Leo nashangaa Dola ni 2345. Sidhani kama shilingi yetu imewahi kushuka namna hii. Pia mbona Ksh nayo inaporomoka kwa kasi sana? Leo Ksh ni 17.53 Tsh! Ksh haijawa chini hivi kwa muda mrefu sana. Tena nasikia hata pesa za kulipana mishahara huko Kenya ni tatizo. Nini kinaendelea kwenye uchumi wa nchi hizi mbili.
Nimekupa na Link ya World Bank bado tunaanza kubishana tena hapa.Sijui unakookota data. TZ imeachwa mbali na Angola kwa GDP. Angola ni ya pili kwa uchumi mkubwa kwenye SADC.
Duh!! Mzee nenda kaangalie Angola.Haina uhusiano wowote, Zimbabwe pesa yake ina thamani kuliko yetu, vp uchumi wao unaweza kutukaribia sisi?
Unajua kuwa SADC na East Africa ni nchi 2 tu zinauzidi uchumi wa Tanzania? Nazo ni South Africa na Kenya?
Unajua katika nchi zote za SADC Shilingi ya Tanzania ndio pesa isiyo na Thamani kuliko Zote?
Thamani ya pesa ni Ishu tofauti na uchumi wa nchi yaan katika ukuaji au ushukaji wa uchumi.
Makitu yanafikiti Watanzania hawapigi Kazi,nchi zote jirani asilimia kubwa biashara ni mitaji ya watanzaniaHaya Angola iko wapi hapo?View attachment 2585155View attachment 2585156
Aliikuta ikiwa 1700 kipindi anaingia madarakani.Magu ameikalisha dola at 2300 kwa miaka 5
Tembea uone acha porojo.Makitu yanafikiti Watanzania hawapigi Kazi,nchi zote jirani asilimia kubwa biashara ni mitaji ya watanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hujui ANGOLA tunawazidi karibu kila kitu, walichotuzidi ANGOLASijui unakookota data. TZ imeachwa mbali na Angola kwa GDP. Angola ni ya pili kwa uchumi mkubwa kwenye SADC.
Angola ipi mkuu? Hii yenye umasikini wa kutupwa au kuna nyingine mpya?. Hii yenye Madeni lukuki hadi wanakimbazana au unaongea kitu hujui?Duh!! Mzee nenda kaangalie Angola.
Tatizo sisi Watanzania tunapenda rekodi za kwenye makaratasi na maisha ya Dar es Salaam lakini uhalisia kwa wananchi ni tofauti sana na kile tunachokisoma kwenye makaratasi yetu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hujui ANGOLA tunawazidi karibu kila kitu, walichotuzidi ANGOLA
UNEMPLOYMENT RATE
GOVERNMENT DEBT 60%+
INFLATION RATE 29%
NUMBER OF PEOPLR LIVING BELOW POVERTY LINE. 36.6%
Mnapenda sana kujipondea, ukute hata Angola penyewe hujawahi hata kufika ukajionea hali halisi.
Mzee huijui Angola.Angola ipi mkuu? Hii yenye umasikini wa kutupwa au kuna nyingine mpya?. Hii yenye Madeni lukuki hadi wanakimbazana au unaongea kitu hujui?
Hivi yeye si alikuwepo kwenye serikali iliyo pita?Ruto ana hali ngumu sana
Angola uchumi wake huu hapaAngola ipi mkuu? Hii yenye umasikini wa kutupwa au kuna nyingine mpya?. Hii yenye Madeni lukuki hadi wanakimbazana au unaongea kitu hujui?