Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
- Thread starter
- #41
Sijui unakookota data. TZ imeachwa mbali na Angola kwa GDP. Angola ni ya pili kwa uchumi mkubwa kwenye SADC.Unaongeaga ujinga sana, lini Angola aliizidi uchumi Tanzania? Acha fix, chukua data GDP per capita (current LCU) - Africa | Data ujifunze zaidi kuhusu nchi yako, achana na kelele za mitandoni hizi.