mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
hiyo ni gani msee!!!unazungumzia relief??But kulipa deni ya $14m imewashinda. Huoni hiyo ni aibu?[emoji23][emoji23]
ni IMF ndio waeamua kutusamehe hiyo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo ni gani msee!!!unazungumzia relief??But kulipa deni ya $14m imewashinda. Huoni hiyo ni aibu?[emoji23][emoji23]
Juu hamna uwezo wa kulipa.hiyo ni gani msee!!!unazungumzia relief??
ni IMF ndio waeamua kutusamehe hiyo .
kama haya mwazo ni dawa kichwani kwao.kwanini nikuondolee[emoji16][emoji16]Juu hamna uwezo wa kulipa.
😹LANES ndugu.. LANES.Aisee wana deni kubwa kuliko GDP ya Tanzania!
Urongo mbaya jamani
Kenya itakopa kiasi cha $1.3B ili kujazia pengo la bajeti yake ya 2020/2021, hivyo kulifanya deni la Taifa la Kenya kufikia takriban $72B ifikapo September mwaka huu.
Tanzania deni lake la Taifa limepungua hadi kufikia $26B, kati ya hizo $18B ni mikopo ya ndani, na $8B ni mikopo toka nje ya nchi.
Aibu kwenu. I wish ingekuwa ukweli. Lakini ukweli ni Kuwa deni ya Kenya haijapita $60 billion.Aisee wana deni kubwa kuliko GDP ya Tanzania!
Remember that $72B is just the amount of money that Kenya borrowed (Principal loan), if you add up interest, it can be $90BWho are you to dispute our financial minister? Remember not all the money we received we all loans, others were grants and donations. And we also pay our debts monthly.
Tony254, Tafadhali sana tunakutafuta kule katika uzi wa "Amina vs Ngozi" utuwekee CV ya Dada yetu Amina ili tulinganishe.Aibu kwenu. I wish ingekuwa ukweli. Lakini ukweli ni Kuwa deni ya Kenya haijapita $60 billion.
Source ya deni ya Kenya kuwa $72 billion iko wapi? Hio instagram post imetolewa. Hata sikupata fursa ya kuisoma. Baada ya kutoka Opera news leo asubuhi sasa umezamia instagram? Mbona unaokota takataka kwenye internet unaleta huku? Hebu attach tena hio post ya instagram tena maana mimi huko huwa naenda kuona makalio ya Vera Sidika, huko hakuna Wachumi tajika.Remember that $72B is just the amount of money that Kenya borrowed (Principal loan), if you add up interest, it can be $90B
MADENI: Uchumi wa Kenya katika hatari ya kuzamaSource ya deni ya Kenya kuwa $72 billion iko wapi? Hio instagram post imetolewa. Hata sikupata fursa ya kuisoma. Baada ya kutoka Opera news leo asubuhi sasa umezamia instagram? Mbona unaokota takataka kwenye internet unaleta huku? Hebu attach tena hio post ya instagram tena maana mimi huko huwa naenda kuona makalio ya Vera Sidika, huko hakuna Wachumi tajika.
Lanes halafu tukitoa hilo deni kutoka GDP yenu inabaki kama GDP ya Burundi!😹LANES ndugu.. LANES.
Basi wewe ndio ulinichanganya. Budget deficit ni $13billion na sio $1.3 billion kama ulivyoandika. Na hio ndio deni ambayo lazima tukope ili kujaza deficit. Lakini bado hatujaikopa bado. Hatujui kama serikali itakopa hio pesa yote au la. Ila budget yenyewe ingepunguzwa kwa maoni yanguMADENI: Uchumi wa Kenya katika hatari ya kuzama
Ingia katika website ya wizara ya pesa ya Kenya kwa ajili ya "Confirmation"
Remember that $72B is just the amount of money that Kenya borrowed (Principal loan), if you add up interest, it can be $90B
Kukopa ni lazima mkope, haiwezikani hiyo pesa kuwepo katika makadirio ya bajeti na msikope, swali ni kama mtapewa yote, kwasababu sio pesa yote ambayo Serikali inakopa na kuipata, hasa kwa sasa hivi ambao "credit rating" ya Kenya ilivyoshuka.Basi wewe ndio ulinichanganya. Budget deficit ni $13billion na sio $1.3 billion kama ulivyoandika. Na hio ndio deni ambayo lazima tukope ili kujaza deficit. Lakini bado hatujaikopa bado. Hatujui kama serikali itakopa hio pesa yote au la. Ila budget yenyewe ingepunguzwa kwa maoni yangu
Kenya hali ni mbaya sana, huyu Akur alipokabidhiwa hii wizara ya fedha, aliingia kwa mbwembwe sana akidai kwamba hatochukua mikopo ili kupunguza deni la Taifa, ninashangaa anakopa zaidi kuliko Rotich.Also take into consideration, most of these loans were secured NOT from the consessional source but commercial like the SGR.
Kenya has to go back to the drawing board and see how properly can plan for future credits.
Hatuna junk credit status. Watu walio katika junk status ndio wanapata tabu.Kukopa ni lazima mkope, haiwezikani hiyo pesa kuwepo katika makadirio ya bajeti na msikope, swali ni kama mtapewa yote, kwasababu sio pesa yote ambayo Serikali inakopa na kuipata, hasa kwa sasa hivi ambao "credit rating" ya Kenya ilivyoshuka.
Imetushindaje ..unajua maana ya debt relief...nyie mbona mmepokea grant ya €78 million kutoka EU does that mean kenya inakosa 78mil euros ??But kulipa deni ya $14m imewashinda. Huoni hiyo ni aibu?[emoji23][emoji23]
Kwahiyo hiyo pesa mtakopeshwa haraka sana, ndio sababu wanasema ikifika September 2020 deni litafika $72B baada ya Kenya kupata huo Mkopo.Hatuna junk credit status. Watu walio katika junk status ndio wanapata tabu.