Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 10,494
- 9,854
Tukitoa madeni kwa GDP ya japani ambayo ni over 200% ya GDP watakua na -ve number kwa GDP, so Africa na nchi kama yako yenye ukiondoa deni inabaki $36B mko sawa kushinda Japan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaona mahali pedestrian reasoning inakubwaga?., ata tukiwa na deni 100% ya GDP na nyie mko na 40% ya GDP, (ceteris Paribas: all factors remaining constant), bado tutakua na uchumi mkubwa na wenye nguvu kushinda wenyu.
Lanes halafu tukitoa hilo deni kutoka GDP yenu inabaki kama GDP ya Burundi!