Uchumi wa Kenya wazidi kuelekea kuzimu, deni la Taifa kufikia $72B baada ya bajeti ya leo

Unajua siku zote mdaku ndo wa kwanza kuita wenzake wambea, mwenye alie na chuki ndo wakwanza kuita wenzake wanafik...... Hebu nionyeshe hio mifano ambayo Wakenya wanaongelea mabaya kuhusu Tanzania, nitakuonyesha mifano miwili zaidi wakenya wanaongelea mazuri kuhusu Tanzania, Sisi wakenya hatujawahi kua watu wa wivu hata siku moja. Wewe shida yako ni unashinda hapa siku nzima ndo unafikiri wakenya pekee wako na shida na nyinyi, mi nikitoka hapa naweza jipata kwa forum za ghana au Nigeria, Kesho hata nijipate kwa forum ya SA.... NIkirudi hapa hata nimesahau nilikua naongelea nini wakati wewe upo busy ukisave kila comment mbaya kutoka kwa mkenya....

Mbona wauganda hua tunapenda ku wa enjoy kila siku, M7 tunamtania kila siku lakini ikija kwa uhusiano baina wa waKenya na waUganda hua ni kama mandugu waliopezana, yani instantly mnakua mabeste
 
Hahahaha, ninajaribu kuwaza tu kwa mbali sana, wewe ni mjinga.

Bajeti ya Kenya ni $27B

Kulipa Loans = $9.7B

Education = $5B

Remaining =$ 11.3B

Kwahiyo wizara zilizobaki zinagawana hiyo $11.3B pekee?, vipi kuhusu miradi ya maendeleo imetengewa kiasi gani?.

Tukiwaambia ninyi ni vichaa hamjui mnachozungumza mnakataa. Hakuna nchi yoyote kusini mwa Jangwa la sahara ambapo wizara ya Elimu imetengewa hata $4B, hata Nigeria wenye uchumi mkubwa Afrika hawajafika huko
 
Huko huko kwenye forum za Nigeria, wakenya mnatuchafua sana japo sisi huko hatupo kwa wingi, ninyi mnazunguka kwenye forum za nchi nyingi sana, na kote huko mnagombana na hizo nchi, zaidi ya Kenya nitajie ni nchi gani utakuna kuna watanzania au waganda wakigombana na kushambuliana na hizo nchi?.

Kila forums utakuta ni Nigeria vs Kenya, South Afrika vs Kenya, Tanzania vs Kenya, huwezikuta Tanzania vs Ghana, au Tanzania vs Nigeria, au Nigeria vs Uganda. Ninyi wakenya mpo na matatizo ya kisaikolojia, lazima mtakorofishana na nchi zingine.
 
Hizi ndo zinaitwa dilusions of gradeure, eti ushawishi, sifa nzuri, mazingira bora [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] siku hizi naona hata RWanda iko na ushawishi mkubwa kuwashinda!
Ushawishi wa nini unazungumzia??

Mimi nazungumzia final say.unaiujua kitu inaitwa COW,au EA community????kaulize uambiwe nini kinaendelea mpaka sasa.
 
You are totally ignorant, find out the nitty gritty of Kenyan educational systemfirst before kuropokwa, do u know how that $4b is being distributed and is for what?
 
Kama mlivyovhukua madeni kujaza bajeti yenu, pia sisi tunafanya hivyo kwahivyo tukilipa hayo madeni tunachukua mengine.....

Alafu just because nchi zengine za Africa hazitumii kiasi kikubwa cha bajeti yao kwa sector ya elimu sasa unataka sisi tuwaigize kwa huo uzembe? Nigeria ni federal system, Mbali na bajeti ya serekali kuu, States zenyewe pia hutoa bajeti za Elimu, infact Nigeria wanaspend zaidi kwa Elimu kuliko Kenya, Ni vile tu matokeo yake hua haya reflect kwa masomo..

Hii ndio maana Kenya iko juu ya hizo nchi ulizotaja hapa Subsahara Africa ukiondoa South Africa

 
Ushawishi wa nini unazungumzia??

Mimi nazungumzia final say.unaiujua kitu inaitwa COW,au EA community????kaulize uambiwe nini kinaendelea mpaka sasa.
Hebu tueleze ni nini kinandelea EA kando na Kenya kula bata!
 
Hio ni sababu kule nje Tanzania hamjulikani, ndio maana hata mkienda huko watani wenu ni wakenya ..... Kule kwa forums ya kinaijeria ile ya "Kenya outperforms Nigeria in Every sector" tulikua tunawapeleka wanaigeria vibaya hadi ile siku watanzania waka discover hio topic wakaenda wakajoin wanaigeria badala ya kuunga mkono Kenya, alafu mkitukanwa mnaanza kulalamika..

Huko hua kuna Ghana VS Nigeria, NIgeria VS South AFrica ndo hua inalipuka kupindukia.... Yani sana hua ilikua ni zile nchi zinazojulikana sana Africa ndo zinaonyeshana ubabe..... kwa miaka mingi ilikua Kenya haimo humo,,,,,, ndo kuanzia kama miaka mminne iliopita Kenya nayo ikaanza kuingia kwa mashindano kama hayo baada ya kuanza kutambulika na nchi zengine Africa.... Kwahivyo msijali, hata nyinyi kuna wakati mtafika hapo, mtajikuta mnatambulika nje ya EAC hapo ndo utajikuta umeingia forum ya ki Nigeria unapata mnaigeria ameanzisha mada flani akiwaponda tena ana mashabiki kibao, hapo hautakubali kufanyiwa hivyo..


Kwa mfano, kule Nairaland hua kukipostiwa ka topic kokote kabaya na wasitaje ilitokea wapi, Utakuta comment kama hizi, kila siku hautakosa comment kama hizi, tungekua wepesi wa roho kama nyinyi tungesema wanigeria wanatuchukia ,


vitu kama hivi vilikua vinaendeleakwa muda mrefu sana kabla wakenya waanze ku push back against Nigerians manake walikua wamezidi, sahii hua wanatutambua manake tukiwaamulia wanakimbia..
 
Ninyi ni vichaa sana, Wizara ya yenye kutengeneza 40% ya ajira Kenya, yenye kuchangia almost 30% ya GDP, na yenye kutoa chakula na kupambana na njaa mnaipa $1.3B, elimu ambayo haipo katika big 4 zenu mnatoa $4.9B, hivi mnajua maana ya priorities?.

Mtaendelea kufa kwa njaa, mtaendelea kutegemea chakula cha msaada, unemployment itafikia 60% mwaka huu, na deni la Taifa litaendelea kuongezeka kwa sababu sehemu bajeti yenu yote ni "for recurrent expenditure.

Wakati Tanzania tumetenga zaidi ya 40% ya bajeti yetu katika" Development projects", ninyi mumetenga 28% pekee, mnategemea kupunguza kutegemea mikopo kweli?
 
Higher spending on services doesn't necessarily improve outcome "

Show us your spending on development projects please
 
Wengine hawa wanapeana vitasa wenyewe kwa wenyewe [emoji23]


 

Big 4 sector combined imepata hela nyingi kuliko Education. Alafu kama ulikua hujui Big-four ni agenda ambazo zimeombwa kutoka kwa Vision2030 manake vision2030 ni kubwa na kuna sector zilikua zinawachwa, ndio Uhuru akasema from Vision2030 ata bundle sector muhimu zikue implimentable projects ndani ya big 4, lakini ndani ya Vision2030 bado education ndo kitu muhimu kama long term project haitawahi kuwekwa kando lazima 15% ya bajeti ya Kenya iende kwa elimu liwe liwalo! hili ni jambo ambalo ni la vision2030.


Alafu Tanzania development expenditure ni 37% ya bajeti . 12.78 Trillion tsh development expenditure ni sawa $5.5B, Kenya developmet expenditure ni % ndogo ya bajeti lakini in absolute terms ni takwriban $6.33B amabyo ni pesa nyingi kuliko hio yenu. kwahivyo rudi ujipange vizuri ndo uje tena.
 
Look here

1) Manufacturing. $ 0.18B
2) Transport. $ 1.72B
3)Energy. $ 0.63B
4) Agriculture. $ 0.52B
5) ITC. $ 0.15B
6) Housing. $ 0.15B

Total. $ 3.35B

Hii ni bajeti ya "Failed state"

Yaani development projects zote hazijafikia sector ya Elimu. Kenya is for consumption only, not for production, ndio sababu deni la Taifa linazidi kuvimba kila siku.
 
Hii ni kwasababu unaonyesha haya ukiwa na fikra za ki CCM, in Kenya private business ndio inaongoza kwa uwekezaji, sana sana serekali ni more of enabler of business than bieng at the center of business.

Ukisikia big four agenda unafikiria ki u CCM, Ukiskia manufacturing haimaanishi eti serekali yenyewe ndo itatoa mabilioni kujenga viwanda, inamaanisha serekali itapandisha tax ya imported products alafu ipunguze au iondoe tax ya raw materials, Central Bank i release pesa kwa benki ili manufatures wapewe soft loans za kupanua viwanda, hii inasababisha viwana vya ndani kupata incentives ambazo zinawezesha kupata faida na kuwekeza zaidi na mwishowe kuweza kushindana na bidhaa zza nje.... Na hata pele ambapo unaona serekali yenyewe inajenga kiwanda, utakuta wanataka wakianzishe tu kikianza kupata faida wanauza shares kimilikiwe na watu wengine ili jukumu la kukiendesha kiwanda hicho iende kwa mtu mwengine..
Kapuni kama Safaricom haikukua vile imekua kwasababu serekali iliipa hela nyingi, ilikua kwasababu serekali ilitengeneza conducive environment kupitia kutunga sheria, kuacha ku interfere na uendeshaji wake... etc Leo hii Safaricom inapata faida kubwa kuliko all top 15 biggest companies za Tanzania combined!

Ukiskia affordable housing si eti serekali itajenga nyumba kwa hela zake, ni kwamba muekezaji akijenga nyumba ndani ya affordable housing anapewa tax break kwa kaa miaka tano ya kwanza manake anasaidia serekali kujaza pengo la nyumba, lakini sharti la serekali ni kwamba akijenga hizo nyumba material zote atanunua za hapa Kenya, sio imported products, kwahivyo, milango, sink, choo, tiles, cabins, wardrobe, bulbs, door hinges...etc zote lazima wanunue from local manufacturers.... Kwasababu ya hizi incentives mwaka huu kunajengwa nyumba nyingi za watu wa chini kuliko wakati mwengine wowote wa historia ya Kenya! imeshinda hata ile ya ma 1970's ambapo serekali ilikua inajenga nyumba za manuspa kila kona kenya.


Nitakupa mifano miwili ya mwaka huu tu...

Expressway ya kutoka JKIA hadi Nairobi CBD , inagarimu $600m lakini hii pesa haiko kwa bajeti iliosomwa mwezi huu manake ni PPP project, hizo hela zinahesabiwa kwama private investment.


Wiki hii wameanza ku clear katikati ya hio barabara manake hapo ndo daraja litapita,






Last week walikua wanajenga supporting facilities ambazo zita support kwa huo ujenzi wa hio expressway





Ujenzi wake unakamilika December 2022 na ikikamilika itakua kitu kama hiki 👇👇



Essentially kutakua na highway ya chini na highway ya juu



Ya chini itakua ni barabara ya kawaida lakini ya juu itakua ni tolled expressway ambapo utalipa ksh300 kutumia kwa masaa 12... hivyo ndo hao wawekezaji watajilipa na kuregesha hela yao + faida







Mfano wa pili ni kampuni ya Kengen kwa mara ya kwanza nayo itajengewa power plant mpya ya 140MW kuitia PPP ujenzi utaanza mwaka huu na itagarimu kama $100m. Project za ki hivi haziesabiwi kwa bajeti




Na nitakuongezea bonus manake ofcourse hatuwezi kuongelea kuhusu PPP bila kutaja Lake Turkana wind farm amabyo ni project ya $750 Million.

Public-Private Partnerships in Africa: Some Lessons from Kenya’s Lake Turkana Wind Power Project | Africa Up Close


Kwahivyo ukiskia eti housing , manufacturing, energy zinapewa pesa kama hizo ulizotaja hapo juu, usifikiri eti sasa Kenya hakuna projects mwaka huu, Kwa mfano kwasababu ya hizo incentives kwa sector ya Housing, kuna project moja ya kujenga 8,888 housing units ambapo mwekezaji atawekeza $500m katika hio project chini ya PPP. Na kuna nyengine babkubwa ya kujenga 10,000 units pia chini ya PPP ambapo serekali ndo itachukua risk ya kama mkaazi atashindwa kulipa morgage huko mbeleni, ni serekali ndo itachukua jukumu la kulipa alafu mkaazi ataelewana na serekali vile watalipana polepole.


------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------


An impression of Habitat Heights in Mavoko. PHOTO | COURTESY
A Singaporean real estate firm is building an 8,888-unit multibillion-shilling mixed-use development in Mavoko, Machakos County, as it eyes a piece of the potentially lucrative but badly ignored low cost housing market in Kenya.

Singapura Developers says the development, which will be known as Habitat Heights, will host residential units ranging from studios, one-bedroom, two-bedroom and three-bedroom units on seven blocks of between 24 and 26 floors.
Sitting on a 77.75-acre piece of land in Lukenya Hills, off the Nairobi-Mombasa highway, Habitat Heights will be completed in seven phases, gifting Mavoko a new Sh50 billion estate.
-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------



Baada ya ku sort hizo sector zote kwa namna hio ndo sasa unakuta bajeti inayobaki kipaumbele inapewa elimu, manake you can never go wrong in investing in education....
 
Wacha ujinga wake wewe, weka hapa bajeti yenu katika kila sector tuone. Kiwango cha pesa kinachowrkezwa na Serikali katika kila sector ni " factor" muhimu sana katika kukuza hiyo sector, haina maana kwamba Serikali inajihusisha moja kwa moja, ila inahenga mazingira mazuri ya kuziwezesha hizo sector kama vile kutoa mikopo nafuu, kujenga miundombinu na vyote hivyo vinataka pesa.

Hata huko katika Elimu ambako mumewekeza pesa nyingi, pia kuna private sector. Wakulima wenu wanahitaji mikopo nafuu, kujengewa mifumo ya umwagiliaji, kupata mbegu na madawa kwa "Subsidized prices", kama Serikali haitoi pesa ya kutosha, lazima gharama za KILIMO zitakua juu, matokeo yake mazao yanayozalishwa Kenya yanakua ghali.

Weka hapa tuone pesa mnayotenga katika sector za maendeleo wacha kupiga kelele.
 
Hata kwenye corona,tunaota msoto wa corona,nyinyi mnashi na msoto.
Uchumi wenu utakua kwa 2% mwaka huu kulingana na IMF kwahivyo mkidanganywa eti hamna msoto Tz hio itakua bado ni ndoto!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…