Uchumi wa Kenya wazidi kuelekea kuzimu, deni la Taifa kufikia $72B baada ya bajeti ya leo

Uchumi wa Kenya wazidi kuelekea kuzimu, deni la Taifa kufikia $72B baada ya bajeti ya leo

Benki kuu imewaonya uchumi wenu utarudi chini hadi 2%, hebu waza kipindi cha machafuko Kenya uchumi wetu ulipiga chini hadi 0% na bado hamkufaulu hata kutunusia makalio pamoja na kwamba mlikua kwa 8.2% kipindi hicho, sasa leo mkishuka hadi 2% si ndio tutawaaga kabisa, yaani kwaheri ya milele.
Acheni kuhangaika na Kenya, sisi tuko kwenye uchumi wa kati, hivyo tuna nafuu na jeuri ya hela, nyie hapo bado mko huko kwa akina Burundi, LDC, mlipaswa kupambana na hali yenu, na ndio maana Magufuli ameshindwa kufunga nchi kisa umaskini, akifunga mtakufa wengi sana, hivyo bora muumwe corona ambayo hata ikiua hamuwezi mkafa zaidi ya 10,000
Issue iliyopo ni kwamba hii habari ya KENYA kupiga mweleka na kuelekea KUZIMU mbona haujaiweka? Mimi kuuliza na wewe unaanza kutoa JUSTIFICATION mbona na TZ uchumi unayumba?
 
Issue iliyopo ni kwamba hii habari ya KENYA kupiga mweleka na kuelekea KUZIMU mbona haujaiweka? Mimi kuuliza na wewe unaanza kutoa JUSTIFICATION mbona na TZ uchumi unayumba?

Mimi nimekujibu kwa kukuambia dunia yote inaelekea kuzimu, ila mataifa maskini kama Tanzania yatawahi mapema kabla ya sisi wengine, hivyo wewe kama Mtanzania ungehangaika na nyie mnaowahi kabla kuwaza kuhusu sisi ambao tutakawia kidogo.

Hivi nini kinaendelea kwenu huko, kiongozi wa upinzani kwenye bunge amelazwa hospitalini, huku akidai kapigwa kichapo ila polisi nao wanasema uchunguzi wao unaonyesha kalewa chakari, hivyo inawezekana kaanguka. Mlivyo na vituko, nashangaa bado mnakeshea vya Kenya wakati huko kwenu naona ni vioja na viroja.
 
Nyie juzi sukari imewapa tabu.....
Nchi ikiwa na hela inakua na uwezo wa kuagiza chakula popote pale, sio lazima tulime sisi.
Hehe case ya sukari kwetu ni solved tayari.Je ninyi tatizo linalowakabili mara kwa mara hadi mnapewa msaada mshalimaliza tayari? Sababu wewe unaruka ruka humu jf sababu upo full na unaongea kijeuri 'si lazima tulime'
 
Hehe case ya sukari kwetu ni solved tayari.Je ninyi tatizo linalowakabili mara kwa mara hadi mnapewa msaada mshalimaliza tayari? Sababu wewe unaruka ruka humu jf sababu upo full na unaongea kijeuri 'si lazima tulime'

Sio mataifa yote hulima dunia hii, kainchi ketu kadogo na nusu yake ni kame tupu, lakini tumebarikiwa akili na uwezo wa kujituma, hivyo tuna mahela hadi kuagiza mahindi kutoka hata Brazil, huwa tunafuata Brazil ikitokea nyie mumezembea au kununa, maana siunajua tena ujamaa wenu...
Narudia tena, sio lazima kila mtu awe mkulima, mimi hapa naishi mjini, napiga shughuli zangu huku na kushusha mahela ila sikumbuki mwaka nilioshika jembe na kulima.
 
Sio mataifa yote hulima dunia hii, kainchi ketu kadogo na nusu yake ni kame tupu, lakini tumebarikiwa akili na uwezo wa kujituma, hivyo tuna mahela hadi kuagiza mahindi kutoka hata Brazil, huwa tunafuata Brazil ikitokea nyie mumezembea au kununa, maana siunajua tena ujamaa wenu...
Narudia tena, sio lazima kila mtu awe mkulima, mimi hapa naishi mjini, napiga shughuli zangu huku na kushusha mahela ila sikumbuki mwaka nilioshika jembe na kulima.
Hata huku kwetu wengi hatushiki jembe.Mimi toka nizaliwe nimeshika jembe kupalilia bustani za shule tu!
======
Ila sasa mngekuwa mnanunua vyote sio kupewa msaada! How comes nchi kame na ndogo kuliko yenu iwape msaada wa chakula! Si aibu hizo!
 
Hata huku kwetu wengi hatushiki jembe.Mimi toka nizaliwe nimeshika jembe kupalilia bustani za shule tu!
======
Ila sasa mngekuwa mnanunua vyote sio kupewa msaada! How comes nchi kame na ndogo kuliko yenu iwape msaada wa chakula! Si aibu hizo!

Kuna wakati kiangazi hupiga hadi inakua majanga, hii hutendeka kwenye mikoa au gatuzi ya kule Turkana wanapigwa na kiangazi cha kufa mtu, hadi tunawapa misaada sisi tulio kwenye mikoa iliyo nafuu.
Wanapewa misaada hadi na serikali, na mara moja moja hupokea misaada kutoka nje ya nchi.
 
Kuna wakati kiangazi hupiga hadi inakua majanga, hii hutendeka kwenye mikoa au gatuzi ya kule Turkana wanapigwa na kiangazi cha kufa mtu, hadi tunawapa misaada sisi tulio kwenye mikoa iliyo nafuu.
Wanapewa misaada hadi na serikali, na mara moja moja hupokea misaada kutoka nje ya nchi.
Mnawapaje msaada wakati ni nchi moja! Hiyo yote si ni Kenya.Wakiwapa msaada inamaanisha Kenya ndo imepewa msaada sio watu wa kenya-kaskazini pekee.
Au ndo ubinafsi na ukabila wenyewe!
 
Mnawapaje msaada wakati ni nchi moja! Hiyo yote si ni Kenya.Wakiwapa msaada inamaanisha Kenya ndo imepewa msaada sio watu wa kenya-kaskazini pekee.
Au ndo ubinafsi na ukabila wenyewe!

Tatizo hautulii uelewe nini ninachokisema, umekazania mtazamo ambao huwa mumeaminishwa huko, kwanini hata kwa dakika moja usithubutu kuongeza akili zako? Kisha baada ya hapo ndio urudi kwenye cocoon yenu ile.

- Nyie mlipokumbwa na tetemeko, hamkuwa na watu binafsi waliotoa misaada bila kusubiri serikali??? Kenya haikuja kutoa misaada kwenu??
- Fahamu kiangazi kikipiga sana kwenye mikoa ya kaskazini, mambo huharibika na kuwa majanga, kunao huwa hatusubiri serikali ifikishe misaada, tunachangisha hela kwa mabilioni na kuwanunulia vyakula, madawa n.k.
- Serikali nayo pia hutoa kwenye mifuko yake na kuwapelekea misaada baada ya kununua
- Wahisani wa nje kama kule Uarabuni huibuka na kujitolea kutoa misaada mara moja moja, na hupokewa na serikali, hivyo Kenya hupokea misaada ...hehehe nimeweka bold kidogo maana hii ndio naona unakomalia na kukupa raha, ndio kitu huwa mnatangaziana huko kwamba Kenya imepokea misaada ya vyakula.

Kwa kifupi, huwa tupo tayari kupokea misaada yoyote ili kuwanusuru ndugu zetu wanapokumbwa na majanga ya kiangazi, kila anayeibuka na kuwa tayari kusaidia huwa hatugomei misaada kisa Tanzania na Watanzania watachekelea.
 
Tatizo hautulii uelewe nini ninachokisema, umekazania mtazamo ambao huwa mumeaminishwa huko, kwanini hata kwa dakika moja usithubutu kuongeza akili zako? Kisha baada ya hapo ndio urudi kwenye cocoon yenu ile.

- Nyie mlipokumbwa na tetemeko, hamkuwa na watu binafsi waliotoa misaada bila kusubiri serikali??? Kenya haikuja kutoa misaada kwenu??
- Fahamu kiangazi kikipiga sana kwenye mikoa ya kaskazini, mambo huharibika na kuwa majanga, kunao huwa hatusubiri serikali ifikishe misaada, tunachangisha hela kwa mabilioni na kuwanunulia vyakula, madawa n.k.
- Serikali nayo pia hutoa kwenye mifuko yake na kuwapelekea misaada baada ya kununua
- Wahisani wa nje kama kule Uarabuni huibuka na kujitolea kutoa misaada mara moja moja, na hupokewa na serikali, hivyo Kenya hupokea misaada ...hehehe nimeweka bold kidogo maana hii ndio naona unakomalia na kukupa raha, ndio kitu huwa mnatangaziana huko kwamba Kenya imepokea misaada ya vyakula.

Kwa kifupi, huwa tupo tayari kupokea misaada yoyote ili kuwanusuru ndugu zetu wanapokumbwa na majanga ya kiangazi, kila anayeibuka na kuwa tayari kusaidia huwa hatugomei misaada kisa Tanzania na Watanzania watachekelea.
Sasa mbona umemaliza vizuri aya ya mwisho! Tumia 'sisi' sio 'wao'. maana wote ni wakenya.
Muacheni uvivu sasa!
 
Sasa mbona umemaliza vizuri aya ya mwisho! Tumia 'sisi' sio 'wao'. maana wote ni wakenya.
Muacheni uvivu sasa!

Majanga ya kiangazi hayana uvivu wala nini, yakija yamekuja, tungekua wavivu kama mlivyo aisei nchi yetu hii tungejikufia zamani, haupewi vyote, yaani nyie hapo mumepewa liinchi likubwa lenye rotuba nzuri kila sehemu, madini ya kumwaga, vivutio bora kuzidi vyote Afrika yaani kila kitu kizuri ila mkanyimwa uwezo wa kujituma na utumiaji wa akili.
Sisi tukanyimwa vyote hivyo tukapewa kainchi kadogo na zaidi ya nusu yake ni kame tupu, lakini tukapewa uwezo wa kujituma na kutumia ubongo, hadi hapa sasa uchumi wetu unakaribia kuwa mara mbili ya wa kwenu.
Nahisi tatizo lenu ni kubwa sana zaidi ya mnavyo onekana, kuna huu uzi nimeupitia hadi huruma, kuna Watanzania wanatambua hilo tatizo lenu lakini wamebaki hoi hawana namna ya kuwanusuru maana mlishajichimbia, hebu soma ndugu zako wanavyohuzunika
Tanzania inaweza kuwa Taifa la Watu Wajinga zaidi Duniani!
 
Majanga ya kiangazi hayana uvivu wala nini, yakija yamekuja, tungekua wavivu kama mlivyo aisei nchi yetu hii tungejikufia zamani, haupewi vyote, yaani nyie hapo mumepewa liinchi likubwa lenye rotuba nzuri kila sehemu, madini ya kumwaga, vivutio bora kuzidi vyote Afrika yaani kila kitu kizuri ila mkanyimwa uwezo wa kujituma na utumiaji wa akili.
Sisi tukanyimwa vyote hivyo tukapewa kainchi kadogo na zaidi ya nusu yake ni kame tupu, lakini tukapewa uwezo wa kujituma na kutumia ubongo, hadi hapa sasa uchumi wetu unakaribia kuwa mara mbili ya wa kwenu.
Nahisi tatizo lenu ni kubwa sana zaidi ya mnavyo onekana, kuna huu uzi nimeupitia hadi huruma, kuna Watanzania wanatambua hilo tatizo lenu lakini wamebaki hoi hawana namna ya kuwanusuru maana mlishajichimbia, hebu soma ndugu zako wanavyohuzunika
Tanzania inaweza kuwa Taifa la Watu Wajinga zaidi Duniani!
Unajituma sawa. Mbona hiyo impact ya kujituma kwako hatuioni? Unapata shida sawa na anazopata Somalia! Haya angalia Chinese wanaenda beba kitu yenu ya thamani! Mmeshindwa walipa na hela yote mnayopata huko kwa wakubwa! Major projects zinaishia njiani hela yote mnayobeba huko inaishia wapi? Sisi tunaelekea kuaga power rationing ila ninyi tatizo bado lipo! Maji sasa mji mkubwa kama Nairobi unakosa maji kwa siku kadhaa! Halafu hiyo ya njaa si northern part pekee maana majuzi mama wa Mombasa kapika mawe naye!
Wewe tatizo lako ni kuwa hautaki kuukubali ukweli! Unaforce mfanane na hizo nchi mlizowekwa kundi moja.Ila kiukweli you're still poor! Sometimes you have to be realistic sababu watu ukweli tunauona.
 
Unajituma sawa. Mbona hiyo impact ya kujituma kwako hatuioni? Unapata shida sawa na anazopata Somalia! Haya angalia Chinese wanaenda beba kitu yenu ya thamani! Mmeshindwa walipa na hela yote mnayopata huko kwa wakubwa! Major projects zinaishia njiani hela yote mnayobeba huko inaishia wapi? Sisi tunaelekea kuaga power rationing ila ninyi tatizo bado lipo! Maji sasa mji mkubwa kama Nairobi unakosa maji kwa siku kadhaa! Halafu hiyo ya njaa si northern part pekee maana majuzi mama wa Mombasa kapika mawe naye!
Wewe tatizo lako ni kuwa hautaki kuukubali ukweli! Unaforce mfanane na hizo nchi mlizowekwa kundi moja.Ila kiukweli you're still poor! Sometimes you have to be realistic sababu watu ukweli tunauona.

Umeingia kwenye yale mapambio yenu ya sijui Mchina anabeba Kenya sijui mara nini, hayo huwa mapambio ya mataga wanapofikishwa kwenye ukingo na hawana pakutokea, zaidi ya hapo huna hoja....
Kenya itaendelea kutawala ukanda wote huu kiuchumi, kijesh, kielimu na kila kitu....kainchi kadogo, zaidi ya nusu ni kame lakini majitu kama DRC, Tanzania, Ethiopia hayafikii hata hata kwenye level ya kunusia makalio...
Hii ramani itakuonyesha tulivyo wapweke kwenye ukanda huu, tumezungukwa na mivivu ya kutupwa baharini.

1869605_Africa-UN.jpg
 
Umeingia kwenye yale mapambio yenu ya sijui Mchina anabeba Kenya sijui mara nini, hayo huwa mapambio ya mataga wanapofikishwa kwenye ukingo na hawana pakutokea, zaidi ya hapo huna hoja....
Kenya itaendelea kutawala ukanda wote huu kiuchumi, kijesh, kielimu na kila kitu....kainchi kadogo, zaidi ya nusu ni kame lakini majitu kama DRC, Tanzania, Ethiopia hayafikii hata hata kwenye level ya kunusia makalio...
Hii ramani itakuonyesha tulivyo wapweke kwenye ukanda huu, tumezungukwa na mivivu ya kutupwa baharini.

1869605_Africa-UN.jpg
Hehe isikuwezue hiyo ramani! Na naona umeleta upinzani hiyo hoja ya Mchina so zingine nilizosema zimepita bila kupingwa! Sasa kama hali yenyewe ndo hiyo,hiyo ramani inakusaidia nn? Halafu haimaanishi ulivyo kataa hiyo hoja ya Chinese ndo upo sahihi;,Wamewakaba koo!
Hayo maneno uliyosema sijui mnatawala kinini geuka north na west waambie hao majirani zako! Ila usigeuke South! Sababu sisi hamuwezi tufanyia jeuri yoyote ile,mtakwaa jiwe tu!
 
Umeingia kwenye yale mapambio yenu ya sijui Mchina anabeba Kenya sijui mara nini, hayo huwa mapambio ya mataga wanapofikishwa kwenye ukingo na hawana pakutokea, zaidi ya hapo huna hoja....
Kenya itaendelea kutawala ukanda wote huu kiuchumi, kijesh, kielimu na kila kitu....kainchi kadogo, zaidi ya nusu ni kame lakini majitu kama DRC, Tanzania, Ethiopia hayafikii hata hata kwenye level ya kunusia makalio...
Hii ramani itakuonyesha tulivyo wapweke kwenye ukanda huu, tumezungukwa na mivivu ya kutupwa baharini.

1869605_Africa-UN.jpg
Mtabaki na hivi viramani vyenu ilhali on the ground mnapigika mbaya na tunajua.
 
Unajituma sawa. Mbona hiyo impact ya kujituma kwako hatuioni? Unapata shida sawa na anazopata Somalia! Haya angalia Chinese wanaenda beba kitu yenu ya thamani! Mmeshindwa walipa na hela yote mnayopata huko kwa wakubwa! Major projects zinaishia njiani hela yote mnayobeba huko inaishia wapi? Sisi tunaelekea kuaga power rationing ila ninyi tatizo bado lipo! Maji sasa mji mkubwa kama Nairobi unakosa maji kwa siku kadhaa! Halafu hiyo ya njaa si northern part pekee maana majuzi mama wa Mombasa kapika mawe naye!
Wewe tatizo lako ni kuwa hautaki kuukubali ukweli! Unaforce mfanane na hizo nchi mlizowekwa kundi moja.Ila kiukweli you're still poor! Sometimes you have to be realistic sababu watu ukweli tunauona.
Endelea kumuambia ukweli utaona atakavyokususa, huyo hataki ukweli nenda naye hivyo hivyo utaona anakuamba" wewe huelewi kwaheri".

Nchi gani ambayo hadi Leo inaendelea kupata msaada wa chakula miaka hamsini baada ya Uhuru?. Hoja ya kusema nchi ni kame sio kweli kabisa, mbona wanazalisha chai kwa wingi kuliko nchi zote Africa, hiyo chai inalimwa katika ardhi ipi?, wanajisifu kusafirisha maua na Ovacado, hayo yote hulimwa wapi?.

Kenya ni wavivu na wazembe sana, wana bahari na "lakes Victoria, Turkana" lakini hata Samaki wanategemea toka China, zaidi ya mdomo hawana lolote hao jamaa.
 
Mtabaki na hivi viramani vyenu ilhali on the ground mnapigika mbaya na tunajua.

Uzuri kujua kwenu mkihangaika huko Tandale hakubadilishi kitu, halafu nikuongeze kitu
Yaani hadi uunganishe GDP ya Uganda, Tanzania na Rwanda ndio utanusia ya Kenya....mtazidi kutukoma aisei.....hehehe hadi raha.
 
Uzuri kujua kwenu mkihangaika huko Tandale hakubadilishi kitu, halafu nikuongeze kitu
Yaani hadi uunganishe GDP ya Uganda, Tanzania na Rwanda ndio utanusia ya Kenya....mtazidi kutukoma aisei.....hehehe hadi raha.
Hii GDP ndio kitu pekee mmeshika mkononi.

Hata wewe nikikuuliza imesaidia nini kwenye maisha yako huna uhakika ni vipi.

Tukija kuiingiza kwenye hoja ni kwanini ni kubwa na mnakopa sana pia kuhujui ni kwanini.

Ni kwanini ni kubwa sana mmeshindwa kupambana na corona mpaka msaada pia hujui.

Nj kweli neno la Mungu linasema shika ulicho nacho,ila kuna wakati umebaki na mavi tu,inabidi utafakari kwanza andiko.
 
Kenya ardhi ya kulima mazao ya mabwenyenye na mabepari kama maua, chai na mananasi kwa ajili ya wazungu ipo yakutosha na ziada, ila ardhi ya kuzalisha chakula cha wananchi masikini kama mahindi, mchele, na viazi haipatikani mnasingizia ukame. Bila kusahau kwamba deni la Kenya ni zaidi ya madeni ya nchi zote za East and Central Africa, huku Kenya ikiongoza kwa njaa ukanda mzima huu.
 
Hii GDP ndio kitu pekee mmeshika mkononi.

Hata wewe nikikuuliza imesaidia nini kwenye maisha yako huna uhakika ni vipi.

Tukija kuiingiza kwenye hoja ni kwanini ni kubwa na mnakopa sana pia kuhujui ni kwanini.

Ni kwanini ni kubwa sana mmeshindwa kupambana na corona mpaka msaada pia hujui.

Nj kweli neno la Mungu linasema shika ulicho nacho,ila kuna wakati umebaki na mavi tu,inabidi utafakari kwanza andiko.

Tatizo sio suala ya level yako kiuelewa, hivyo hauna uwezo wa kuijadili..... Watu wanasomea uchumi kwa sababu maalum, na haipo kwa wote, wewe hapo ukishatia mfukoni buku saba unaishiwa namna ya kujiongeza.....
 
Kenya ardhi ya kulima mazao ya mabwenyenye na mabepari kama maua, chai na mananasi kwa ajili ya wazungu ipo yakutosha na ziada, ila ardhi ya kuzalisha chakula cha wananchi masikini kama mahindi, mchele, na viazi haipatikani mnasingizia ukame. Bila kusahau kwamba deni la Kenya ni zaidi ya madeni ya nchi zote za East and Central Africa, huku Kenya ikiongoza kwa njaa ukanda mzima huu.
Alafu serikali ina afford kununua chakula, kukopa na kulipa madeni., tajiri anakopa kubwa na kulipa, masikini anakopa kisha anaanza kulia lia eti asamehewe, anaficha ndege mvunguni asinyang'anywe.,
 
Back
Top Bottom