Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
 
Uchumi wetu umeshuka kimyakimya bila hata kuambiwia, tungeambiwa Wala tusingeomba piza Wala baga kwenye mei mosi. Lakini shujaa amejitokeza adharani kwa kutumia maneno ya kiungwana kutuambia Hali ya uchumi si nzuri kwa Sasa.

Lakini pia uchumi kushuka si shida Kama ambavyo tulizoe kuaminishwa kuwa uchumi unakua, uchumi umeshuka kwa matatizo yaliyoikumba Dunia. Kwanini tulikuwa tunadanganywa?

Kama kwa Sasa tupo 4.8% from 6.7% mana yake tulipaswa kuambiwa kwa muda mrefu ili tujiandae ila haikuwa hivyo.

Sasa nijukumu letu wananchi kuipokea taarifa hii nakujipanga upya namna yakuiishi kwenye uchumi huu mpya uliokuja ambao yamkini ndio ulioondoa fedha kwenye mzunguko nakutusababishia makasiriko ya mara kwa mara.

Huu ndio ukweli na ukweli siku zote hauhitaji kurudiwa rudiwa.....
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .

Wewe uliyeamini uwepo wa Corona mambo yako tofauti?
Corona has hit the whole global community. Nia za kuingiza siasa ili iweje?
 
Shida ya kushuka kwa uchumi inaweza kutambulika kwa uwezo wa serikali kutekeleza majukumu yake, kupitia kiasi cha bajeti ya nchi kinachopitishwa, huathiri wafanya biashara na wawekezaji ambao kimsingi ndio chanzo cha mzunguko wa pesa, kisha wananchi.
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Sasa hivi tutaanza kuaminiwa sisi wasema ukweli kuwa uchumi ulisha poromoka lkn hao kina Madelu walikuwa wanajifanya kukomalia uongo wa jiwe.
 
Back
Top Bottom