Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

Huo ni mwanzo tu wa kuporomoka kwa uchumi kama hakutakuwa na maamuzi muafaka ya kuondoa sheria kandamizi dhidi ya Wakulima, Wafanyabishara na Wafanyakazi basi anguko la uchumi litaendelea kwa kasi ya kutisha.
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
 
Huo ni mwanzo tu wa kuporomoka kwa uchumi kama hakutakuwa na maamuzi muafaka ya kuondoa sheria kandamizi dhidi ya Wakulima, Wafanyabishara na Wafanyakazi basi anguko la uchumi litaendelea kwa kasi ya kutisha.
Chini ya Jiwe alifanya sana mambo ya kukurupuka bila kufuata ushauri wa wataalam.

Mfano kwenye biashara ya korosho aliingia akaondoa baadhi ya mambo ambayo kimsingi yalikuwa yanaingiza fedha kwa serikali na wanunuzi walisha kubaliana na hiyo hali.
 
Korosho pia imeanguka kwa asilimia kubwa. KUKURUPUKA kwa mwendazake wakati ule wa msimu wa ununuzi wa mavuno.
Chini ya Jiwe alifanya sana mambo ya kukurupuka bila kufuata ushauri wa wataalam.

Mfano kwenye biashara ya korosho aliingia akaondoa baadhi ya mambo ambayo kimsingi yalikuwa yanaingiza fedha kwa serikali na wanunuzi walisha kubaliana na hiyo hali.
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
MWIGULU na genge lake wajiuzulu kwa kudanganya waTanzania kwa muda mrefu.
Eti hakuna Corona wala hakuna adhari za koona.
WTF
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Kushuka kwa uchumi Tanzania kutoka asilimia 6.9% hadi asilimia 4.7% ni bora kuliko Kenya, Uganda, Rwanda nk ambazo ziko chini ya asilimia 3.

Sijui umeandika ukiwa na lengo gani takataka kama hizi? Kwa hiyo unamaanisha Mh Rais Samia alichokisema ndio unakiamini kuliko alivyokuwa akisema hayati kwa sababu kama hizi?
Ndio maana mnaitwa nyumbu mnatumbukia popote hata ukiwaunaona kuna hatari ya kuliwa na mamba

Kifupi unachokitaka nchi iwekwe 'lockdown' ili uchumi upande ndio mantiki ya ya bango lako hapa lakini pia ni kuonesha chuki binafsi dhidi ya utwala wa hayati JPM kwa sababu za kisiasa maslahi binafsi.
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Halafu Mpango alikuwa ana tuambia uchumi umekua.
Mh. Rais Samia alifanya makosa makubwa sana kumpendekeza huyu mzee.
Ndio maana Msukuma huwatukana bungeni hawa maprofesa.
 
Uchumi wetu umeshuka kimyakimya bila hata kuambiwia, tungeambiwa Wala tusingeomba piza Wala baga kwenye mei mosi. Lakini shujaa amejitokeza adharani kwa kutumia maneno ya kiungwana kutuambia Hali ya uchumi si nzuri kwa Sasa.

Lakini pia uchumi kushuka si shida Kama ambavyo tulizoe kuaminishwa kuwa uchumi unakua, uchumi umeshuka kwa matatizo yaliyoikumba Dunia. Kwanini tulikuwa tunadanganywa?

Kama kwa Sasa tupo 4.8% from 6.7% mana yake tulipaswa kuambiwa kwa muda mrefu ili tujiandae ila haikuwa hivyo.

Sasa nijukumu letu wananchi kuipokea taarifa hii nakujipanga upya namna yakuiishi kwenye uchumi huu mpya uliokuja ambao yamkini ndio ulioondoa fedha kwenye mzunguko nakutusababishia makasiriko ya mara kwa mara.

Huu ndio ukweli na ukweli siku zote hauhitaji kurudiwa rudiwa.....
Jiwe alikuwa anataka kusifiwa tu na kina polepole wakawa wanapiga makofi tu
 
Corona gani tena jamani? [emoji2][emoji2][emoji2] si sisi ni wateule wa Mungu na uchumi wetu unakua zaidi bara zima la Afrika?
Eniwei mambo ni yaleyale tu - hata msipate stress [emoji1423] sema hatutukanwi kama enzi za Shujaa wakati alikuwa anatunanga [emoji1787]
Ila watu ni walewale, mfumo ni uleule - kuna aliyetarajia tofauti? Poleni if so!
Kumbe corona ilikuwepo?
Jpm alikuwa muongo hadi akapitiliza. Huenda hata hii kifo kadanganya.
 
Uchumi wetu umeshuka kimyakimya bila hata kuambiwia, tungeambiwa Wala tusingeomba piza Wala baga kwenye mei mosi. Lakini shujaa amejitokeza adharani kwa kutumia maneno ya kiungwana kutuambia Hali ya uchumi si nzuri kwa Sasa.

Lakini pia uchumi kushuka si shida Kama ambavyo tulizoe kuaminishwa kuwa uchumi unakua, uchumi umeshuka kwa matatizo yaliyoikumba Dunia. Kwanini tulikuwa tunadanganywa?

Kama kwa Sasa tupo 4.8% from 6.7% mana yake tulipaswa kuambiwa kwa muda mrefu ili tujiandae ila haikuwa hivyo.

Sasa nijukumu letu wananchi kuipokea taarifa hii nakujipanga upya namna yakuiishi kwenye uchumi huu mpya uliokuja ambao yamkini ndio ulioondoa fedha kwenye mzunguko nakutusababishia makasiriko ya mara kwa mara.

Huu ndio ukweli na ukweli siku zote hauhitaji kurudiwa rudiwa.....
Mpango si wa kumuamin
 
Back
Top Bottom