Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

SIRI Ni hii UChumi wa TZ unaanguka kwasababu,Kenya inapiga Ban Mimea na products Zote kutoka kwa TZ kwasababu ya uchokozi na wivu ya waTZ kwa Kenya.Project Zote za Kenya TZ inajaribu kuharibia Lakini wapi? Matokeo Ni kwamba 1Kenya ilianza kupiga Ban Mahindi na kutishia kununua Mexico,DRC,Uganda na Ethiopia.
2 Kenya Ikaamua kuongeza urariki na DRC ili UGanda wavutiwe na SGR zaidi ambayo Itaeza fika DRC.
3 Kenya imeaanza Kufunza Wakulima Jinsi ya kuongeza Mimea Shambani ili wawache kununua vyakula vyovyote TZ
Note:Kwasababu ya Wivu ya waTZ
 
Kushuka kwa uchumi Tanzania kutoka asilimia 6.9% hadi asilimia 4.7% ni bora kuliko Kenya, Uganda, Rwanda nk ambazo ziko chini ya asilimia 3.

Sijui umeandika ukiwa na lengo gani takataka kama hizi? Kwa hiyo unamaanisha Mh Rais Samia alichokisema ndio unakiamini kuliko alivyokuwa akisema hayati kwa sababu kama hizi?
Ndio maana mnaitwa nyumbu mnatumbukia popote hata ukiwaunaona kuna hatari ya kuliwa na mamba

Kifupi unachokitaka nchi iwekwe 'lockdown' ili uchumi upande ndio mantiki ya ya bango lako hapa lakini pia ni kuonesha chuki binafsi dhidi ya utwala wa hayati JPM kwa sababu za kisiasa maslahi binafsi.
Cheki wwe Sasa ATI Bora kuliko Kenya Nini labda kuangaka sakafuni
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Na aibu ikupate mwana usio na haya hiyo 6.9 ni Mbowe ndio alifikisha hapo!!!??
akili zenu huwa ni masizi
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Na aibu ikupate mwana usio na haya hiyo 6.9 ni Mbowe ndio alifikisha hapo!!!??
akili zenu huwa ni masizi
Nyalandu kashawapigeni cha kati sshv
 
Ivi tuliwezaje kuingia uchumi Wa kati , huku uchumi ukiwa umeshuka ?
Kumbe kila Siku tulikua tunaimbiwa mapambio uchumi unakua kumbe tulikua tunapigwa changa
 
Ivi tuliwezaje kuingia uchumi Wa kati , huku uchumi ukiwa umeshuka ?
Kumbe kila Siku tulikua tunaimbiwa mapambio uchumi unakua kumbe tulikua tunapigwa changa

sasa uchumi ukishuka ndo mnashuka pia kwenye level ya uchumi wa kati? kwahio marekani pia naona wapo uchumi wa chini saaahv au sio? kwann msiache tabia ya kuiba kinywaji cha mbowe maaana mnakua mzigo sasa kwenye hii nchi
 
Hamieni Dodoma haraka ili akili zikae sawa
 
sasa uchumi ukishuka ndo mnashuka pia kwenye level ya uchumi wa kati? kwahio marekani pia naona wapo uchumi wa chini saaahv au sio? kwann msiache tabia ya kuiba kinywaji cha mbowe maaana mnakua mzigo sasa kwenye hii nchi
Acha kujitoa ufaham, huu uchumi wetu kipindi cha jiwe tulikua tunapigwa changa la macho , hata leo kama angekuwepo lažima angesema uchumi unakua , huu uchumi Wa kati hauna uhalisia wowote na maisha Ya watu , Sasa kuna maana Gani Ya kujiita tajili wakati huna pesa
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Lockdown ya mbowe sijui ingetuporomosha mpaka wapi?
Tafuta nchi duniani ambayo ime-maintain economic growth ya juu duniani wakati wa Corona uone zipo ngapi?
 
Back
Top Bottom