Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 979
SIRI Ni hii UChumi wa TZ unaanguka kwasababu,Kenya inapiga Ban Mimea na products Zote kutoka kwa TZ kwasababu ya uchokozi na wivu ya waTZ kwa Kenya.Project Zote za Kenya TZ inajaribu kuharibia Lakini wapi? Matokeo Ni kwamba 1Kenya ilianza kupiga Ban Mahindi na kutishia kununua Mexico,DRC,Uganda na Ethiopia.
2 Kenya Ikaamua kuongeza urariki na DRC ili UGanda wavutiwe na SGR zaidi ambayo Itaeza fika DRC.
3 Kenya imeaanza Kufunza Wakulima Jinsi ya kuongeza Mimea Shambani ili wawache kununua vyakula vyovyote TZ
Note:Kwasababu ya Wivu ya waTZ
2 Kenya Ikaamua kuongeza urariki na DRC ili UGanda wavutiwe na SGR zaidi ambayo Itaeza fika DRC.
3 Kenya imeaanza Kufunza Wakulima Jinsi ya kuongeza Mimea Shambani ili wawache kununua vyakula vyovyote TZ
Note:Kwasababu ya Wivu ya waTZ