Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hatupo tena uchumi wa kati?Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani
Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Shukrani kwa ufafanuziKilichoshuka ni kasi ya ukuaji wa uchumi, sio lile daraja la nchi kutambulika kama ipo uchumi wa chini wa kati...
Hii si mara ya kwanza Rais SSH kutamka hivyo, ni kama mara ya tatu na amekuwa akibainisha athari hizo ni matokeo ya COVID-19 na wahanga ni takribani nchi zote...
Uchumi wetu unaitegemea dunia. uchumi wa dunia ukishuka Na kwetu pia lazima ituathiri kwa namna moja ama nyingine.Kwani corona ilikuwepo Tz? Si shujaa aliitawanya juu kwa juu
Tunafahamu kwamba hata hiyo 4.7% ni ya kutengenezwa tuNi anguko la 2.2%
Usilie ndugu , Mwendazake alijitakia mwenyeweKushuka kwa uchumi Tanzania kutoka asilimia 6.9% hadi asilimia 4.7% ni bora kuliko Kenya, Uganda, Rwanda nk ambazo ziko chini ya asilimia 3.
Sijui umeandika ukiwa na lengo gani takataka kama hizi? Kwa hiyo unamaanisha Mh Rais Samia alichokisema ndio unakiamini kuliko alivyokuwa akisema hayati kwa sababu kama hizi?
Ndio maana mnaitwa nyumbu mnatumbukia popote hata ukiwaunaona kuna hatari ya kuliwa na mamba
Kifupi unachokitaka nchi iwekwe 'lockdown' ili uchumi upande ndio mantiki ya ya bango lako hapa lakini pia ni kuonesha chuki binafsi dhidi ya utwala wa hayati JPM kwa sababu za kisiasa maslahi binafsi.
Amfyekelee mbali nani, na yeye dereva aende wapi wakati ni mmoja wa wapika mchuzi kwenye jiko moja na sufuria moja?Hatari sana na hapo ndiyo mjue kuwa kuna umuhimu wa kufyekelea mbali team jiwe yoote
"NCHI HII NI TAJIRI " Kauli hii ya uongo iliishia wapi ?Mama Rais, Suluhu Samia kasema wazi pesa hakuna tuchape kazi tuinuane uchumi wetu.
Wewe unaongea vitu tofauti kabisa; hii tabia inaitwa confirmation bias. Tanzania iwe na korona aua isiwe nayo haikuwa sababu ya uchumi kushuka bali uchmia wa dunia nzima ulishuka kutoka na korona kuzikumba nchi nyinge na kusababaisha kusimama kwa biashara baina ya Tanzania na nchi hizo. Watalaii wakawa hawaji, ndege zikafungiwa airport tu, watanzania wanao fanya biashaza za kuuaza nje mazaoa wakawa hawawezi kufanya tena kwa vile kuna lockdowna huko. Sasa wewe unakurupuka na kuja na hitimishoa la kitoto sana. Hata nchi ambazo hazikuwa na corona zilitikisika kiuchumi; kwa mfano New Zealand haikuwa na korona, lakini uchumi wake ulitikisika piaHayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani
Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Utajiri wa nchi na wingi wa pesa za serikali ni vitu tofauti kabisa."NCHI HII NI TAJIRI " Kauli hii ya uongo iliishia wapi ?
Mhujumu uchumi umepata ahueni ya kuandika baada ya kufunguliwa kwenye chupa ulimofungiwa?Wewe mbususu Jitu lenu lile jizi lilikuwa liongo kama lichawi huku likitaka sifa na kukandamiza watu
Sitarajii kwa hali kama hii eti serikali ichukue pesa kiduchu inayopata ikaendelee kujenga yale mamiradi ya kijuha kama sgr mindege na midaraja ya show off huko Mwanza
Za kuambiwa changanya na zako -KikweteKwa hiyo bado tupo uchumi wa kati? Au hii imekaaje?
Muogope mungu! Acha uongo na uzandikiHayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani
Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Umesikia tanzia zilizokuwa zinabandikwa hapa kimkakati kukamilisha uovu uliopangwa?Maana anatuingiza kwenye mstari ili agenda ya corona irudi kwa kasi
Asichojua corona imebakia mitandaoni huko mtaani huo ugonjwa ni haupo kabisaa na mikoani ndo washausahau
💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽💃🏾🕺🏽Kwa hiyo umefurahia au unahuzunika?
Wewe jamaa famba kishenzi. Hivi unajua hata maana ya uchumi? Hivi unajua vigezo au viashiria vya uchumi kupanda au kushuka? Hivi inakuaje mtu unaongelea jambo ilihali hujui unachokiongea? Hivi unadhani hakuna wachumi hapa JF hadi uongee huu ugoro?😂 😂 😂, yaani nawonea huruma sana!
ni hivi uchumi wa NCHI ukipanda ama ukishuka kwako hauna direct impact kwa sababu wewe kama wewe haufanyiwi comparison na sehem yoyote duniani! yaani serikali inaweza kusema uchumi umeshuka lakini bado kuna watu wakawa matajiri mbaya!
- wewe kitu kinachokusu direct kinaitwa (PPP), sasa serikali ikitoa tamko kuhusu PPP unaweza kua worried lakini sio sana, kama wewe unategemea uchumi wako in Tsh basi wewe suala la uchumi kupanda na kushuka halikuhusu, if unategemea USD kwenye mauzo au kununua ambapo kuna impact ndan ya nchi yako basi wewe kwako ni halali kusema uchumi kwako umeshuka kwa sababu your dealing with economy ambayo hauna control nayo
- wewe kama unadeal na Tsh maisha yako yote basi, uchumi kupanda na kushuka haukuhusu kwa sababu serikali inaweza kutoa amri ya kuchapisha Tsh mda wowote inaotaka na haina pungufu ya Tsh na haiwezi kua na pungufu! nadhan umeelewa sasa