Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

Mama ameshazungumza hilo kwenye hotuba zake leo kaongea nazani kama mara 2 au ya 3 jambo hilo la uchumi sikilizine hotuba zake lipo la uchumi kushuka
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Kwa hiyo hatupo tena uchumi wa kati?
 
Kilichoshuka ni kasi ya ukuaji wa uchumi, sio lile daraja la nchi kutambulika kama ipo uchumi wa chini wa kati...

Hii si mara ya kwanza Rais SSH kutamka hivyo, ni kama mara ya tatu na amekuwa akibainisha athari hizo ni matokeo ya COVID-19 na wahanga ni takribani nchi zote...
Shukrani kwa ufafanuzi
 
Kushuka kwa uchumi Tanzania kutoka asilimia 6.9% hadi asilimia 4.7% ni bora kuliko Kenya, Uganda, Rwanda nk ambazo ziko chini ya asilimia 3.

Sijui umeandika ukiwa na lengo gani takataka kama hizi? Kwa hiyo unamaanisha Mh Rais Samia alichokisema ndio unakiamini kuliko alivyokuwa akisema hayati kwa sababu kama hizi?
Ndio maana mnaitwa nyumbu mnatumbukia popote hata ukiwaunaona kuna hatari ya kuliwa na mamba

Kifupi unachokitaka nchi iwekwe 'lockdown' ili uchumi upande ndio mantiki ya ya bango lako hapa lakini pia ni kuonesha chuki binafsi dhidi ya utwala wa hayati JPM kwa sababu za kisiasa maslahi binafsi.
Usilie ndugu , Mwendazake alijitakia mwenyewe
 
Mzee alitupiga fix sana, ila alikuwa anajitengenezea matatizo bila sababu yoyote.

Kifo chake kilichangiwa na mambo mengi sana ya hovyoo

Screenshot_20210501-165405.png
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Wewe unaongea vitu tofauti kabisa; hii tabia inaitwa confirmation bias. Tanzania iwe na korona aua isiwe nayo haikuwa sababu ya uchumi kushuka bali uchmia wa dunia nzima ulishuka kutoka na korona kuzikumba nchi nyinge na kusababaisha kusimama kwa biashara baina ya Tanzania na nchi hizo. Watalaii wakawa hawaji, ndege zikafungiwa airport tu, watanzania wanao fanya biashaza za kuuaza nje mazaoa wakawa hawawezi kufanya tena kwa vile kuna lockdowna huko. Sasa wewe unakurupuka na kuja na hitimishoa la kitoto sana. Hata nchi ambazo hazikuwa na corona zilitikisika kiuchumi; kwa mfano New Zealand haikuwa na korona, lakini uchumi wake ulitikisika pia
 
Wewe mbususu Jitu lenu lile jizi lilikuwa liongo kama lichawi huku likitaka sifa na kukandamiza watu

Sitarajii kwa hali kama hii eti serikali ichukue pesa kiduchu inayopata ikaendelee kujenga yale mamiradi ya kijuha kama sgr mindege na midaraja ya show off huko Mwanza
Mhujumu uchumi umepata ahueni ya kuandika baada ya kufunguliwa kwenye chupa ulimofungiwa?
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Muogope mungu! Acha uongo na uzandiki
 
Maana anatuingiza kwenye mstari ili agenda ya corona irudi kwa kasi

Asichojua corona imebakia mitandaoni huko mtaani huo ugonjwa ni haupo kabisaa na mikoani ndo washausahau
 
Maana anatuingiza kwenye mstari ili agenda ya corona irudi kwa kasi

Asichojua corona imebakia mitandaoni huko mtaani huo ugonjwa ni haupo kabisaa na mikoani ndo washausahau
Umesikia tanzia zilizokuwa zinabandikwa hapa kimkakati kukamilisha uovu uliopangwa?

Je, hakuna tena watu wanakufa kwa changamoto ya kupumua?

Ogopa wanasiasa kwa fitina na visasi vya chuki binafsi kutokana na kuzibiwa riziki na maslahi binafsi,.
 
😂 😂 😂, yaani nawonea huruma sana!
ni hivi uchumi wa NCHI ukipanda ama ukishuka kwako hauna direct impact kwa sababu wewe kama wewe haufanyiwi comparison na sehem yoyote duniani! yaani serikali inaweza kusema uchumi umeshuka lakini bado kuna watu wakawa matajiri mbaya!

- wewe kitu kinachokusu direct kinaitwa (PPP), sasa serikali ikitoa tamko kuhusu PPP unaweza kua worried lakini sio sana, kama wewe unategemea uchumi wako in Tsh basi wewe suala la uchumi kupanda na kushuka halikuhusu, if unategemea USD kwenye mauzo au kununua ambapo kuna impact ndan ya nchi yako basi wewe kwako ni halali kusema uchumi kwako umeshuka kwa sababu your dealing with economy ambayo hauna control nayo

- wewe kama unadeal na Tsh maisha yako yote basi, uchumi kupanda na kushuka haukuhusu kwa sababu serikali inaweza kutoa amri ya kuchapisha Tsh mda wowote inaotaka na haina pungufu ya Tsh na haiwezi kua na pungufu! nadhan umeelewa sasa
Wewe jamaa famba kishenzi. Hivi unajua hata maana ya uchumi? Hivi unajua vigezo au viashiria vya uchumi kupanda au kushuka? Hivi inakuaje mtu unaongelea jambo ilihali hujui unachokiongea? Hivi unadhani hakuna wachumi hapa JF hadi uongee huu ugoro?
 
Mama naye kaanza kuchapia! Uchumi unapimwa kwa GDP. Anaposema umeshuka kutoka 6.9% kwenda 4.7% ana maanisha nini hasa? Au alikusudia kasi ya "ukuaji wa uchumi" wetu imepungua? Contraction (kushuka) kwa uchumi ingalikuwa negative rate. Ama?
 
Back
Top Bottom