Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

Wewe ni jinga, popoma takataka, kisirani, nguruwe, mazafaka. Jamaa anauliza mbona tuliambiwa na jiwe kuwa tuko vizuri na uchumi unakuwa? Leo mama katufumbua macho kuwa uchumi umeshuka kwa asilimia mbili hivyo ni ngumu kuongeza mshahara. Wewe kichwani ni mbowe tu as if alimgonga mamako. Kmmk!!!
 
Mama naye kaanza kuchapia! Uchumi unapimwa kwa GDP. Anaposema umeshuka kutoka 6.9% kwenda 4.7% ana maanisha nini hasa? Au alikusudia kasi ya "ukuaji wa uchumi" wetu imepungua? Contraction (kushuka) kwa uchumi ingalikuwa negative rate. Ama?
Mkuu

Mwanasiasa yeyote anangozi ya chatu ambayo huirembesha atakavyo pindi anawinda ili uingie mzima mzima na kumezwa.

Just imagine

1. No salary increment for the public servants for the past six years (i.e. since 2015)
2. No salary increment for the private sector for the past eight years (i.e. since 2013) and ATE is just there relaxing waiting for the salary committee to be commissioned to draft the proposal,!!!! Really, are you seriously focused to boost productivity to interpret the output adequate to diversely improve Tanzanians earning packages in the public, private, and business undertakings?

We are doomed if I can simply put it in that way
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Vipi uchumi wa ufipa kamanda?
 
Lilikua ni suala la muda tu uongo kujitenga na ukweli...

Yalikua ni maneno yasiyoingi akilini kuambiwa uchumi wa kati huku mtaani watu wanasota na vilio vikali juu ya uchumi binafsi kudorora...

Uchumi gani unaokua huku sekta binafsi zikiwa taabani! Biashara za wazawa na wageni zikifungwa na wageni wakitimkia Kwao...

Ila kwa kua ilikua ni kwa lengo la kumfurahisha mfalme na wasaidizi wake basi makaratasi yalikua na tarakimu za kuvutia ila uhalisia mtaani ukiwa ni tofauti...
 
Habari zinasema "Double Mutant" ya India nayo imetua Uganda sijui hapa kwetu
 
sasa uchumi ukishuka ndo mnashuka pia kwenye level ya uchumi wa kati? kwahio marekani pia naona wapo uchumi wa chini saaahv au sio? kwann msiache tabia ya kuiba kinywaji cha mbowe maaana mnakua mzigo sasa kwenye hii nchi
Kuanzia tarehe 17 March Naona mataga mna hasira Nini tatizo?
 
Wewe unaongea vitu tofauti kabisa; hii tabia inaitwa confirmation bias. Tanzania iwe na korona aua isiwe nayo haikuwa sababu ya uchumi kushuka bali uchmia wa dunia nzima ulishuka kutoka na korona kuzikumba nchi nyinge na kusababaisha kusimama kwa biashara baina ya Tanzania na nchi hizo. Watalaii wakawa hawaji, ndege zikafungiwa airport tu, watanzania wanao fanya biashaza za kuuaza nje mazaoa wakawa hawawezi kufanya tena kwa vile kuna lockdowna huko. Sasa wewe unakurupuka na kuja na hitimishoa la kitoto sana. Hata nchi ambazo hazikuwa na corona zilitikisika kiuchumi; kwa mfano New Zealand haikuwa na korona, lakini uchumi wake ulitikisika pia
Uchumi ulishuka kabla ya 2020hoja yako haina mashiko
Nchi inaongozwa na mahahira
 
Uchumi wa nchi umeporomoka au makadirio ya kiwango cha ukuwaji wa uchumi ndicho kimeshuka? Ni vyema ikaeleweka, kushuka kwa kasi ya ukuwaji wa uchumi hakumaanishi uchumi umeporomoka bali uchumi utakuwa ila si kwa kiwango kilichokadiriwa awali.
Kama nchi haina uwezo wa kulipa mishahara au kuagiza chanjo, au kutoa madawati, huko ndo uchumi kupotmoka

Labda nikuelimishe hivi kasi ya ukuaji wa uchumi imepungua baada ya uchumi kuporoka
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Magufuli hakuwahi kukuza u humi kwa wastani wa 6..9 na hata hiyo 4.7% yenyewe si kweli bali ni kuficha aibu. Ukuaji wa uchumi umeporomoka hadi 2%.
 
Hivi mwaka jana kuna nchi gani Africa ambayo uchumi wake ulikuwa kushinda Tanzania? Chumi zote duniani mwaka jana hadi mwaka huu bado zimekuwa affected by covid 19, Tanzania katika nchi za Africa ndio nchi pekee uchumi wake mwaka jana 2020 Q3 ulikuwa kwa 4.8% na hapa kwa sababu ya ubishi wa Magufuli wa kutokubali lockdown, lasivyo tungekuwa na hali mbaya, sasa haya mambo hata Dk Mpango aliyaeleza bungeni kuhusu kushuka kwa uchumi juzi juzi alipokuwa anatoa taarifa uchumi nchini na kujadili mpango wa serikali wa miaka mitano mitano, hii nilifikiri walau tuipongeze serikali kwa ukuaji chanya sio hasi ambao tungekuwa nao kama tungekubali lock down.

 
Chini ya Jiwe alifanya sana mambo ya kukurupuka bila kufuata ushauri wa wataalam.

Mfano kwenye biashara ya korosho aliingia akaondoa baadhi ya mambo ambayo kimsingi yalikuwa yanaingiza fedha kwa serikali na wanunuzi walisha kubaliana na hiyo hali.
Hapana kijana. Magufuli alifanya mambo mengi kwa kuzingatia maoni ya watu hasa CHADEMA kama ifuatavyo.

Kuongoza nchi kidikteta yalikuwa matamanio ya CHADEMA kwavile waliona JK ni dhaifu na "anacheka cheka"

Kuhusu serikali kununua korosho, Magufuli alizingatia ushauri wa ZZK,

Ununuzi wa ndege na kufufua ATCL alishauriwa na wabunge wa CHADEMA,

Elimu bure alikopi sera ya Lowassa "elimu, elimu, elimu",

Kumtoa kifungoni Nguza Viking na vijana wake alizingatia meneno ya Lowassa na washabiki wake katika kumchafua JK kwamba ndo aliyewaweka ndani kwa wivu wa kimapenzi
 
Mama naye kaanza kuchapia! Uchumi unapimwa kwa GDP. Anaposema umeshuka kutoka 6.9% kwenda 4.7% ana maanisha nini hasa? Au alikusudia kasi ya "ukuaji wa uchumi" wetu imepungua? Contraction (kushuka) kwa uchumi ingalikuwa negative rate. Ama?
Kilichoshuka ni kasi ya ukuaji
 
Athari za Corona globally, mbona hilo halitaki rocket science kung'amua. Nchi ngingi kama sio zote duniani zimekuwa na uchumi duni tangu uwepo wa Corona.
 
Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani

Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Kwa matumshi hayo anayoyasema je kama mwakani.corona itaendelea kuwepo maana yake watumishi.wawndelee kufunga mikanda
 
Back
Top Bottom