Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Ulitaka ashike nani?...sasa kitengo cha buku 7 kashika Hamdu Shaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka ashike nani?...sasa kitengo cha buku 7 kashika Hamdu Shaka
Korona haikuanza mwaka huu , korona ilikuwepo tangu mwaka jana lkn jiwe alitutangazia kuwa uchumi wetu umesimama imara maana corona haikutugusa.Mbona huwa inasemwa itakuwa mlikuwa tu hamfatilii na kuchambua hotuba naona hata mleta mada ndo leo anaskia wakati hata samia alipokuwa anahutubia bunge alisema
Mungu hapendi kujaribiwaMungu wenu Jiwe aliwapotosha watu . Ohh uchumi wa kati, oohh sijui vita vya uchumi, oohhh Tanzania tumeishinda Corona !!! Yako wapi ?! Zaidi ya kuishia kumzoa na yeye .
Mungu ni fundi, tena fundi mkuu
Jiwe lilidondoshwa na coronaMama aliita kudemka... korona kumchukua ni habari za mitandaoni.
Naona unaandika huku unaliaHongera kamanda
Kwani leo siyo zamu yako kulinda kaburi?Naona jamaa bado kakaza kibunzi mahali pake mpaka humsahau
Naona umekata kamba ya coronaVipi uchumi wa ufipa kamanda?
Dunia nzima inajuaJiwe lilidondoshwa na corona
😆😆😆Kwani leo siyo zamu yako kulinda kaburi?
Kuanzia tarehe 17 March Naona mataga mna hasira Nini tatizo?
Wewe jamaa famba kishenzi. Hivi unajua hata maana ya uchumi? Hivi unajua vigezo au viashiria vya uchumi kupanda au kushuka? Hivi inakuaje mtu unaongelea jambo ilihali hujui unachokiongea? Hivi unadhani hakuna wachumi hapa JF hadi uongee huu ugoro?
Nafikiri hujaelewa tu ninachosema. Ukisema uchumi umepungua kutoa 6.9% kwenda 4.9%, haina maana yoyote (kiuchumi). Maana nitakuuliza uchumi wa 6.9% ipoje? Uchumi unapimwa kwa GDP (say, TZS 150 trillion). Hiyo anayosema mama naamini ni "ukuaji" wa hiyo GDP ....kwa maana kwamba uchumi ulikuwa unakua kwa 6.9% lakini "kasi" hiyo sasa imepungua mpaka 4.7%. Hii maana yake ni kuwa uchumi bado unakua lakini kwa kasi ndogo kuliko mwanzo. Ukisema uchumi umepungua au kushuka ni dhana tofauti ....hapo unazungumzia contraction.....(labda useme kutoka TZS 150tr mpaka TZS 140tr).
NB: Huyo ,'mungu wa chattle' ana mitume wake waaminifu sana. Mimi sio mmoja wao!
Tanzania ina wingi wa walalamikaji tu; hata facts za kutoke Benki kama Citi hawazikubali, wattasema takwimu zimepikwa!. Kwa post yako hii, hakuna atakayekupa "like"Hivi mwaka jana kuna nchi gani Africa ambayo uchumi wake ulikuwa kushinda Tanzania? Chumi zote duniani mwaka jana hadi mwaka huu bado zimekuwa affected by covid 19, Tanzania katika nchi za Africa ndio nchi pekee uchumi wake mwaka jana 2020 Q3 ulikuwa kwa 4.8% na hapa kwa sababu ya ubishi wa Magufuli wa kutokubali lockdown, lasivyo tungekuwa na hali mbaya, sasa haya mambo hata Dk Mpango aliyaeleza bungeni kuhusu kushuka kwa uchumi juzi juzi alipokuwa anatoa taarifa uchumi nchini na kujadili mpango wa serikali wa miaka mitano mitano, hii nilifikiri walau tuipongeze serikali kwa ukuaji chanya sio hasi ambao tungekuwa nao kama tungekubali lock down.
![]()
Tanzania’s economy grew the fastest in Africa in 2020, says Citi - african markets
Tanzania is likely to emerge in the coming months as the fastest growing economy in Africa in 2020.www.african-markets.com
MATAGA wanafikiri serikali ni Rais na Mawaziri tuKuna watu wanaamini Uchumi unahusu miti na wanyama...
Serikali ni nini?we unaumia wap wakati hauna msaada wowote katika GDP? unauza nje ya nchi? hapana! una dollars umeweka nje ya nchi? Hapana! sasa wewe uchumi wa nchi haukuhusu mpaka apo
Hao wanunuzi wa nje wako wapi. India kwenyewe kuna corona balaa hata WHO wamesalimu amri.Hayo yamefichuka leo baada ya hotuba ya Mh Rais Samia Suluhu alipokuwa anawahutubia Wafanyakazi wa Tanzania kwenye kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani
Ameitaja Corona kama sababu kubwa ya kuanguka kwa uchumi wa Nchi yetu , ambapo amewaomba wafanyakazi kuvumilia hadi mwakani ili kuongezwa mshahara baada ya Uchumi wa nchi kuporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7%
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi viongozi wa Tanzania wakiwemo Rais wa zamani pamoja na Mawaziri kadhaa mmojawapo akiwa Mwigulu Nchemba hawakuamini uwepo wa corona wala athari zake .
Nyongeza mwakani... kazi iendelee 😂😂😂Kwa hiyo?
Serikali ni nini?
Na waliodanganya walifanya hivo ili iweje?Wewe uliyeamini uwepo wa Corona mambo yako tofauti?
Corona has hit the whole global community. Nia za kuingiza siasa ili iweje?
Na waliodanganya walifanya hivo ili iweje?