Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

Uchumi wa Tanzania Waporomoka kutoka 6.9% hadi 4.7% kutokana na Corona

Korona haikuanza mwaka huu , korona ilikuwepo tangu mwaka jana lkn jiwe alitutangazia kuwa uchumi wetu umesimama imara maana corona haikutugusa.

yes na mpaka sasahv uchumi wetu ni imara! its even much better than most countries affected by covid, uchumi haujafa but unakua much slower but still unakua
 
Mkuu

Mwanasiasa yeyote anangozi ya chatu ambayo huirembesha atakavyo pindi anawinda ili uingie mzima mzima na kumezwa.

Just imagine

1. No salary increment for the public servants for the past six years (i.e. since 2015)
2. No salary increment for the private sector for the past eight years (i.e. since 2013) and ATE is just there relaxing waiting for the salary committee to be commissioned to draft the proposal,!!!! Really, are you seriously focused to boost productivity to interpret the output adequate to diversely improve Tanzanians earning packages in the public, private, and business undertakings?

We are doomed if I can simply put it in that way

where do you work?
 
yes na mpaka sasahv uchumi wetu ni imara! its even much better than most countries affected by covid, uchumi haujafa but unakua much slower but still unakua
Uchumi umepukutika kutoka 7 hadi 4
 
Uchumi umepukutika kutoka 7 hadi 4

but still ni postive growth ukilinganisha na nchi zingine, na pia hata uchumi ungekua uankua kwa asilimia 40% haimaanishi lazima utakua tajiri, uchumi wa nchi upo based na GDP, kwa simple words au very simple , nchi inatoa exports kwa kiasi gan au uzalishaji, kwa tanzania key players ni tourism, Minerals, Agriculture and alittle bit of services mfano telecom! hawa ndo key players, If you are an employee wewe unatakiwa kua worried na kitu kinaitwa (PPP) not much but alittle, ukuaji wa uchumi kwa tanzania una little to no effects kwa employees hata ungekua unakua kwa asilimia 70, ukiwa na status ya employee you wont notice much of change!
 
yes na mpaka sasahv uchumi wetu ni imara! its even much better than most countries affected by covid, uchumi haujafa but unakua much slower but still unakua
Kwahiyo unakuwa kwa kwenda chini siyo ?
 
Team ufipa pateni elimu maaana hamuelewi uchumi, hakikishen mbowe na team yake wanasoma wapte view nzuri ya uchumi pamoja na wewe
Kwani leo haupo zamu ya kulinda kaburi?
 
Corona gani tena jamani? [emoji2][emoji2][emoji2] si sisi ni wateule wa Mungu na uchumi wetu unakua zaidi bara zima la Afrika?
Eniwei mambo ni yaleyale tu - hata msipate stress [emoji1423] sema hatutukanwi kama enzi za Shujaa wakati alikuwa anatunanga [emoji1787]
Ila watu ni walewale, mfumo ni uleule - kuna aliyetarajia tofauti? Poleni if so!
Kumbe corona ilikuwepo?
Jpm alikuwa muongo hadi akapitiliza. Huenda hata hii kifo kadanganya.
Ndani ya ccm hakuwezi kuwa pasafi maana uchafu ndiyo ilani yao
 
Uchumi wetu umeshuka kimyakimya bila hata kuambiwia, tungeambiwa Wala tusingeomba piza Wala baga kwenye mei mosi. Lakini shujaa amejitokeza adharani kwa kutumia maneno ya kiungwana kutuambia Hali ya uchumi si nzuri kwa Sasa.

Lakini pia uchumi kushuka si shida Kama ambavyo tulizoe kuaminishwa kuwa uchumi unakua, uchumi umeshuka kwa matatizo yaliyoikumba Dunia. Kwanini tulikuwa tunadanganywa?

Kama kwa Sasa tupo 4.8% from 6.7% mana yake tulipaswa kuambiwa kwa muda mrefu ili tujiandae ila haikuwa hivyo.

Sasa nijukumu letu wananchi kuipokea taarifa hii nakujipanga upya namna yakuiishi kwenye uchumi huu mpya uliokuja ambao yamkini ndio ulioondoa fedha kwenye mzunguko nakutusababishia makasiriko ya mara kwa mara.

Huu ndio ukweli na ukweli siku zote hauhitaji kurudiwa rudiwa.....
Kama hivyo ndivyo ilikuwaje Imf na WB watangaze tupo uchumi wa Kati nahisi no mbinu tu inamaana hili kilikuwa halijulikani acheni uongo aisee
 
Kwahiyo unakuwa kwa kwenda chini siyo ?

dogo! mwaka jana ulikua unakunywa chupa kumi za kvant, mwaka huu unakunywa 4, Je umeacha kunywa?

- IMF walinconfirm wenyewe uchumi wa tz unakua at 6% leo uchumi unakua at 4%, zote ni growth na tena postive growth! kukua kwa 4% yenyewe hiki kipindi cha corona isnt a joke, kenya yenyewe tu GDP yao ni $100B , lakini saaahv wamekopa 80% with respect to the GDP!
 
dogo! mwaka jana ulikua unakunywa chupa kumi za kvant, mwaka huu unakunywa 4, Je umeacha kunywa?

- IMF walinconfirm wenyewe uchumi wa tz unakua at 6% leo uchumi unakua at 4%, zote ni growth na tena postive growth! kukua kwa 4% yenyewe hiki kipindi cha corona isnt a joke, kenya yenyewe tu GDP yao ni $100B , lakini saaahv wamekopa 80% with respect to the GDP!
sijawahi kunywa vinywaji vya bei rahisi
 
Back
Top Bottom