Uchunguzi: Jinsi watu wanavyoporwa mali zao baada ya mechi kumalizika Uwanja wa Taifa, huku Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikitumbua macho

Ni aibu sana kwa jeshi la Polisi kuwa na askari wanaowaogopa vibaka duni kama hawa wa keko , RPC wa Temeke ajiuzulu
 
Ungesema Chadema wanakusanyika angalau polisi wangejua pakuanzia lakini vibaka hawadhuru kura.
 
Hata hivyo mpira ni uwakala wa shetani acha shetani akishirikiana na serikali ya kishetani waendeleze hujuma kwa hawa wanadamu wasiojua mpira Mungu kaukataa
Simu yenyewe unayotumia ni Wakala wa Shetani pia.
 
Ishu ni kuwa hao vibaka wnakuja kuwafanyizia ubaya huko kota kwao yaani wanaiba chochote watakachokuta nje sasa hao askari nao huwa wanawalinda kishkaji ili vibaka hao wasiwaharibie ishu ni kuwa askari akikamata au kuwachomea hao vibaka wa maeneo hayo hao hao vibaka wanaletaka venzao wa mbali na kuja kuwaibia au kuwafanyia chochote ambacho askari anapata hasara
Ni aibu sana kwa jeshi la Polisi kuwa na askari wanaowaogopa vibaka duni kama hawa wa keko , RPC wa Temeke ajiuzulu
 
Hata hivyo mpira ni uwakala wa shetani acha shetani akishirikiana na serikali ya kishetani waendeleze hujuma kwa hawa wanadamu wasiojua mpira Mungu kaukataa
Nakubaliana na wewe kuwa mpira unaweza kuwa ni uwakala wa shetani endapo:
1. utaleta hasira: na hii ipo sana kama timu pendwa imefungwa.
2. utaleta chuki: endapo refa katoa penalty iliyoonekana sio halali.
na mengine kama husda, lugha mbaya za matusi n.k. hivyo ni vyema wapenzi wa mpira wasiruhusu kutawaliwa na hivyo vitu, kwani mtakuwa mnamtumikia shetani, au kama huwezi kuviacha, basi wachana na mpira kabisa. Mungu hataki tutawaliwe na vya duniani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mmoja kaporwa simu 3 na kupigwa visu zadi ya kumi , tunaendelea kufuatilia
 
Maeneo hayo nikawaida sana na kila siku polisi wanaambiwa,mpaka siku afe mtu ndiyo hatua zitachukuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…