Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

Mtu yeyote ambaye akiongezeka kwenye maisha yako ukaona mambo yako yanazidi kustawi, ushawishi wako kwa watu unaongezeka, hugombani na watu. Biashara zinakua na fursa mpya zinajitokeza. Mtu huyo ananyota kwako
Inakuwaje kama unakutana na mchepuko mwenye sifa kama hizo?
 
Duh huu mkuku

DU

Duh huu mkuki rohoni, aisee hii kitu ndo inaponza maisha yangu tangu nianze chuo hadi nimemaliza nimeshikwa na addiction ya dada poa, na hii tabia niliianzia chuo, addiction hii inakwendana na alcohol consumption, yaani nikishaonja tu alcohol lazima akili iende kwa dada poa, na nina experience ya kutembea na dada poa kwa miaka 6 , kitu kinachopelekea kutopata kazi wala deals za maana tofauti na wenzangu tuliokuwa tukiishi ghetto moja chuo, wenzangu hadi sa hivi wameajiriwa ila mimi , ilikuwa bado kidogo kupata ajira ila sijui nn kilitokea baada ya kuitwa interview nakupita zote, nilichokuja kugundua dada poa/ malaya wengi wana mikosi kutokana na nafsi zao kubeba nafsi nyingi ambazo baadhi ni chafu na safi pia, na wengi wanaenda kwa waganga wanapewa dawa za kunasa wateja / kugandwa na wateja, yaani ukimla tu siku moja lazima kila ukienda ilo eneo ile dawa yake inakuvuta umtafute yeye tu , yaani ata malaya awe ana sura mbaya lazima umfate yeye tu, na unapotembea naye nyota yako inachafuka maama tendo la ndoa uunganisha nafsi,na ukitembea nao wengi nafsi yako inakuwa haitulii na unaweza kujikuta unaoa malaya kwa sababu ya nafsi , na kuna malaya wengine wana nafsi za bahati , kuna kipindi nipo chuo kuna malaya nilikuwa nikilala naye tu nashangaa kesho yake nikienda chuo, mademu wananichangamkia kinoma hadi nikawa nashangaa iki ni nn? Ila nina experience kubwa sana na malaya na mambo yao ya nafsi, na vitu vingi vimenitokea kwa kutembea nao vingi vibaya kama kutumia kiasi kikubwa cha pesa, na iyo addiction nimeshindwa kuiacha kabisa , kila nikijaribu siwezi kabisa, yaani najiskia raha kutembea na malaya kuliko msichana wa kawaida,ila najitahidi niondokane nayo naamini iko siku itakwisha,
Dahh
 
Back
Top Bottom