Yaweza kuwa kwel ..yaweza kuwa uongooo.
Nishakuga sana muaminifuuu bila zinaaa na nishakua pia mzinzi ila SIJAWAHI KUONA TOFAUTI YA MAISHA YANGU. Hustle ni zile zile tuuu.
Zinaa yaweza punguza nguvu ya mtu kiroho yes i agree but sio guarantee ya kumfanya mtu asifanikiwe...i completelly object. Inategemeana tu na vile una mtazamo gani maana AONAVYO MTU NAFSINI MWAKE NDIVYO ALIVYO..
Ukiamin ngono inaleta mikosi sawaa, mikosi haitaacha kukuandama..
Ukiamini ngoni ni hitaji tu la kimwili la kiumbe kama mwanadamu kama vile kula na kunywa bas itakua hivyo kwako..maana KWA IMANI MTU HUAMINI HATA KUPATA.......
NA IMANI CHANZO CHAKE KUSIKIA.....
unasikia nini au una amini nini THAT IS UP TO YOU.
Ila kisicho kataliwa ni kwamba zinaa inakuweka kwenye risk kama magonjwa na matumizi makubwa ya kipato nje ya utaratibu pindi unaposhindwa kuwa makini..
Huu ni mtazamo wangu binafsi na it is working fine for me. Sijataka kuleta mifano ya "mbona huyu hivi, mbuyu yule vile"
Tumepew akili tuzitumie