Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

Habarini wanajamvi, Naomba mtu anitumie Uzi fulani wa siku za nyuma Mwezi huu wa kwanza 2023, Ulikua unaelezea mtu anapokutana kimwili na watu tofauti tofauti anaweza kubeba mabalaa na mikosi. Ahsante
Shukran saana moderators, Daah Huu uzi makini saana asee.
 
Upigaji punyeto ni DHAMBI, pia inaangamiza roho yako kwa kukuconnect na roho zingine za kimapepo/kimahusiano wa kimajini hata kama huwaoni.
Wanabeba sperms na kwenda kuzitumia kwenye ulimwengu wa kiroho huku wakikuachia laana na mikosi. Tubadirike vijana
 
Wanabeba sperms na kwenda kuzitumia kwenye ulimwengu wa kiroho huku wakikuachia laana na mikosi. Tubadirike vijana
Unashangaa unatafuta mke sahihi wa kuoa mwenye sifa unazotaka au unatafuta mtoto hupati.

Kumbe tayari una mke au wake wa kiroho wenye kibali kwako na Watoto wengi mno huko kwa kupitia sperms zako during musturbation

Hili suala ni angamizo kubwa sana kuliko wengi wanavyodhani.
 
Yaweza kuwa kwel ..yaweza kuwa uongooo.
Nishakuga sana muaminifuuu bila zinaaa na nishakua pia mzinzi ila SIJAWAHI KUONA TOFAUTI YA MAISHA YANGU. Hustle ni zile zile tuuu.

Zinaa yaweza punguza nguvu ya mtu kiroho yes i agree but sio guarantee ya kumfanya mtu asifanikiwe...i completelly object. Inategemeana tu na vile una mtazamo gani maana AONAVYO MTU NAFSINI MWAKE NDIVYO ALIVYO..

Ukiamin ngono inaleta mikosi sawaa, mikosi haitaacha kukuandama..

Ukiamini ngoni ni hitaji tu la kimwili la kiumbe kama mwanadamu kama vile kula na kunywa bas itakua hivyo kwako..maana KWA IMANI MTU HUAMINI HATA KUPATA.......

NA IMANI CHANZO CHAKE KUSIKIA.....
unasikia nini au una amini nini THAT IS UP TO YOU.

Ila kisicho kataliwa ni kwamba zinaa inakuweka kwenye risk kama magonjwa na matumizi makubwa ya kipato nje ya utaratibu pindi unaposhindwa kuwa makini..

Huu ni mtazamo wangu binafsi na it is working fine for me. Sijataka kuleta mifano ya "mbona huyu hivi, mbuyu yule vile"

Tumepew akili tuzitumie
 
Mithali inasema.Usinywe maji ya kisima kisicho chako. Tafsiri yake usifanye ngono na mtu asie wako.
Kimetajwa kisima.
Yametajwa maji...

Unakuja kuleta habar za ngono kama tafsiri..mkuu....
Kwan wewe unaruhusiwa kwenda kuteka maji kwenye kisima cha mtu bila ruhusu..hata ikibaki kama muktadha huu huu bila kuingiza tafsi zenu (kama mpendavyo) mbona ina make sense tu..

Nani kasema ni ngono inazungumziwa hapa???


Kwenye kukataza ngono mbona maandiko yametaja waz waz sana bila kuficha...like "wazinzi na wafiraji hawata uona ufalme wa ...."
 
Na hili ndo kubwa kuliko na hubeba vyote....pasipo nguvu ya kiroho sisi si kitu.Mungu atupiganie maana pekeyetu hatuwezi....tunapitia mengi katika kuzifikia ndoto zetu
Mengi sana To yeye ..mengi mnoo ndio maana kun time huwa nawaelewa vizur sana watu wanapoamua kuweka pemben hiz beliefs maana huwa sometimes zinaku stress
 
Back
Top Bottom