Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

Hakuna familia zenye kufanya umalaya zikaendelea. Umalaya na umasikini vinapelekana bega kwa bega.

Mwanamke aliyefanya uzinzi au ngono anakuwa mchafu Kwa siku 14 wakati mwanaume anakuwa mchafu kwa siku 7.
Ungeweka mifano, maana tunashuhudia wanasiasa kibao ni matajiri, wanabadili mitaa kila siku, wanaonjeshwaonjeshwa kila mtaa, kila mji
 
Sasa mbona matajir wengi wanakula sana 071 je hiyo ikoje? Na je wanawake Wote wanamikosi au Kuna wenye Baraka??
 
Duh huu mkuku
DU
Duh huu mkuki rohoni, aisee hii kitu ndo inaponza maisha yangu tangu nianze chuo hadi nimemaliza nimeshikwa na addiction ya dada poa, na hii tabia niliianzia chuo, addiction hii inakwendana na alcohol consumption, yaani nikishaonja tu alcohol lazima akili iende kwa dada poa, na nina experience ya kutembea na dada poa kwa miaka 6 , kitu kinachopelekea kutopata kazi wala deals za maana tofauti na wenzangu tuliokuwa tukiishi ghetto moja chuo, wenzangu hadi sa hivi wameajiriwa ila mimi , ilikuwa bado kidogo kupata ajira ila sijui nn kilitokea baada ya kuitwa interview nakupita zote, nilichokuja kugundua dada poa/ malaya wengi wana mikosi kutokana na nafsi zao kubeba nafsi nyingi ambazo baadhi ni chafu na safi pia, na wengi wanaenda kwa waganga wanapewa dawa za kunasa wateja / kugandwa na wateja, yaani ukimla tu siku moja lazima kila ukienda ilo eneo ile dawa yake inakuvuta umtafute yeye tu , yaani ata malaya awe ana sura mbaya lazima umfate yeye tu, na unapotembea naye nyota yako inachafuka maama tendo la ndoa uunganisha nafsi,na ukitembea nao wengi nafsi yako inakuwa haitulii na unaweza kujikuta unaoa malaya kwa sababu ya nafsi , na kuna malaya wengine wana nafsi za bahati , kuna kipindi nipo chuo kuna malaya nilikuwa nikilala naye tu nashangaa kesho yake nikienda chuo, mademu wananichangamkia kinoma hadi nikawa nashangaa iki ni nn? Ila nina experience kubwa sana na malaya na mambo yao ya nafsi, na vitu vingi vimenitokea kwa kutembea nao vingi vibaya kama kutumia kiasi kikubwa cha pesa, na iyo addiction nimeshindwa kuiacha kabisa , kila nikijaribu siwezi kabisa, yaani najiskia raha kutembea na malaya kuliko msichana wa kawaida,ila najitahidi niondokane nayo naamini iko siku itakwisha,
 
Sasa mbona matajir wengi wanakula sana 071 je hiyo ikoje? Na je wanawake Wote wanamikosi au Kuna wenye Baraka??
Kuna wenye baraka, kuna malaya/ dada poa ukimla tu au kulala naye unaweza shangaa unapita mtaani kila demu unayekutana naye anakuchekea tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚na kukupa hi hadi unashangaa,nimeongea hii kwa experience yangu ya kula dada poa kwa miaka 6
 
Kwahyo mkuu anguko la Harmonize tulisubiri au Diamond maana hawa watu ni millionea lakini ni wazinzi na wanawake waliofanywa mpaka yakabaki kama mashimo ya vyoo vya city?[emoji120]
 
Kwahyo mkuu anguko la Harmonize tulisubiri au Diamond maana hawa watu ni millionea lakini ni wazinzi na wanawake waliofanywa mpaka yakabaki kama mashimo ya vyoo vya city?[emoji120]
Ushaambiwa kama unauwezo wa kuchafua mwili wako muda wote Ili usikutane na bahati zako basi uwe na uwezo wakutumia njia za kishirikina Ili zikuinue, ila pia hao uliowataja wewe unajuaje kama wanafanya hivyo muda wote na siyo maigizo? Ila kupanga ni kuchagua unachoona kinamanufaa kwako.
 
Sasa hiyo siyo baraka ila umevutwa kwenye ulimwengu wa kupendwa kimapenzi uendeleze ligi kwa sana.
 
Uzinzi ni nini? Nafikiri nikufanya mapenzi kabla ya ndoa. Mtu anaweza kuwa mwaminifu ila mzinzi tu, yaani anazini na mtu wake huyo huyo ila ni mzinzi. Wazungu wazinzi wako wengi tu kama binadamu mwingine. Hizi ni imani tu hakuna cha nuksi wala nini.
Suleiman alipiga mbupu hadi vijakazi lakini ndo alikuwa mfalme,tajiri na mtumishi wa Mungu kulko hawa wauza mafuta ya bodyluxy[emoji16]
 
Uzinzi ni kula nje ya ndoa.

Kula kabla hujaoa ni uasherati
Kuish na mke/mme na hata kuzaa huo ni uzinzi kwa mujibu wa maandko,je wote wenye keshi wame funga ndoa? Halafu Ibrahim,Isaka na mitume kibao mbna hatukuona ndoa zao zikifungwa?
 
kwahyo Gwajiboy master hana hela syo au nae kaenda kwa mganga?
 
Mkuu umenena sawa, Hakika uzinzi ni katika njia mbaya sana kabisa. Inaondoa bahati na kuleta mikosi. Inachafua roho kwa muda mrefu sana, inapunguza nguvu za kiroho. Huwezi ukawa mzinzi na ukapata nguvu za kuomba. Hayo yote ni kweli
Ndo ilivyo, tatizo Kuna watu hawataki roho zao ziwe safi ila wanataka wengine ndo wawe wasafi wawaombee, imagine mtu analamika mke wangu haniombei niwe na kipato, au mtumishi wa Mungu, au mzazi wakati roho ni yake na bahati ni zake na akipewa mbinu kwa vile niyakujitoa kafara ya kupunguza Raha za mwili anatafuta visingizio.
 
Kuish na mke/mme na hata kuzaa huo ni uzinzi kwa mujibu wa maandko,je wote wenye keshi wame funga ndoa? Halafu Ibrahim,Isaka na mitume kibao mbna hatukuona ndoa zao zikifungwa?
Kila kitu Chao walisema kimeandikwa?, Zamani ilikuwa wanaridhiana na marufuku kufosi na sherehe za harusi siyo ndoa, pia kulikuwa na ndoa tofauti ila zile za kuwekeana nadhiri yaaani agano zilikuwa chache ndo hizo ziliandikwa mpaka kifo kiwatenganishe maana Kila mtu alikula Yamini ya mwenzangu yaani tone la damu kutoka kidole cha Pete Sasa hapo wakitengana mabalaa yalikuwa yanawapata, na hizi ndoa za kupata mkataba zilikuwepo, ndoa za kuzaa watoto ambazo ndiyo zipo Sasa zilikuwepo, kikubwa mpatane na jamii itambue Ili kujipa muda wa kutulia na Mungu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…