Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

Issue inakuja nani asiyekula mbususu mwenye mafanikio yanayoweza tushawishi ???
 
Naomba ufafanuzi hapo uliposema mwanamke akishiriki zinaa anakuwa mchafu kwa siku 14 na mwanaume kwa siku 7.

Unamaanisha kama ni mwanaume baada ya siku 7 mambo yako yatakuwa safi, kwamba wale pepo wachafu uliowapata baada ya uzinzi wataondoka?

ROBERT HERIEL
 
Does rhis only apply to africans? Mbona wazungu wanazini sana na uasherati kuoitiliza na bado wao ndio wenye mihela hapa duniani? Mwengine juzi juzi tuu hapa kawa mfalme pamoja na roho mbaya ya mama yake lakini wapi, jamaa kaula.
Mkuu, Wazungu watasubiri sana kwa weusi kwa mambo ya uzinzi..
Clinton alidaiwa kutafuna yule intern, Monica Lewinsky, ikawa kashfa kubwa, dunia yote ikajua, na aliponea chupuchupu kuachia urais!
Kwa nchi za Afrika jambo kama hilo hata lisingekuwa na Uzito wowote!
 
Anaandika, Robert Heriel,
Kuhani katika Hekalu Jeusi.

Ukitaka bahati yako na mkondo wako wa pesa uanze kuyumba basi itakupasa uanze uzinzi au uasherati. Yaani hiyo ndiyo mbinu namba moja kabambe ya kujitia matatizoni.

Nafsi ya mtu huchafuliwa na uzinzi, yaani ili mtu awe mchafu basi itampasa awe mzinzi.
Uzinzi siyo tuu ni hatari kwa magonjwa hatari ya zinaa, bali pia ni hatari kwa magonjwa ya kuondoa kinga za kiroho.

Kikawaida binadamu akishaanza kufanya uzinzi ataanza kupoteza uwezo wake wa asili. Moja ya uwezo wa asili wa binadamu ni kuota ndoto zenye mantiki nyakati za usiku.

Binadamu kabla hajaanza ngono huota ndoto na anakuwa na uwezo wa kuzikumbuka kama siyo kuzitafsiri kabisa. Lakini akishaanza uzinzi ndoto hizo huanza kupungua na kupotea kabisa.

Huwezi ukawa mzinzi alafu ukaomba bahati au misaada ya kiroho kivyovyote vile. Hapo itakupasa ujitakase walau kwa siku zisizopungua tano ili uwe safi, kisha ndiyo ufanye mawasiliano na falme za rohoni.

Hata ukienda kwa waganga wa kienyeji kuna dawa ambazo ukipewa utaambiwa usikutane na mwanamke kwa siku kadhaa ili dawa zifanye kazi.

Au utaambiwa utembee na binti mdogo tena ikiwezekana ambaye ni bikra. Hapo ndipo kesi nyingi za ubakaji kwa watoto wadogo hujitokeza.

Vijana mnaoanza biashara, hasa hizi biashara za mitaji midogo chin ya milioni tano. Ukitaka biashara yako iende bila shida basi cha kwanza itakupasa ukae mbali na wanawake, acha ngono zembe.

Kama utashindwa ni akheri uoe kabisa, tena uoe mwanamke msafi mwenye maadili. Siyo uoe tena limalaya ambao litakuwa linafanya zinaa huko na kukuletea wewe mikosi.

Tunaposema mwanamke malaya au muasherati hafai kwa ndoa, na ikiwezekana kama umemuoa ukamfumania, basi itakupasa usijiulize mara mbilimbili, fukuza! Siyo kwa sababu tuu ya wivu wa kimapenzi. No! Bali ni pamoja na mambo ya kimaendeleo.

Hakuna familia zenye kufanya umalaya zikaendelea. Umalaya na umasikini vinapelekana bega kwa bega.

Mwanamke aliyefanya uzinzi au ngono anakuwa mchafu Kwa siku 14 wakati mwanaume anakuwa mchafu kwa siku 7.

Kama unamchongo unaousikilizia basi itakupasa ukae mbali na ngono zembe mpaka utiki. Lakini kama utajiingiza huko siyo ajabu pesa zako zikawa zinakuja lakini kila zikikaribia kuingia zinapeperuka. Yaani ni kama unanyang'anywa tonge mdomoni.

Umalaya ndiyo dhambi pekee ambayo mtu anaufanyia mwili wake. Dhambi zingine mtu hufanya nje ya mwili wake, yaani huwafanyia wengine. Ndiyo dhambi inayodhuru mwili na roho kwa haraka sana.

Ngono zinavuta mikosi, yaani unaweza pata pesa sasa hivi alafu hapohapo likatokea tatizo la kuitumia pesa uliyoipata nje ya mipango yako.

Namna pekee ambayo wazinzi wanaweza kuwa na bahati katika mambo yao ni kujiingiza kwenye ushirikina na ulozi. Ambapo itawapasa wagharamike kwa namna moja ama nyingine kusafisha nyota zao kwa kipindi cha muda fulani, huku wakiendelea na uchafu wao.

Sio rahisi umuone mtu anafanya uzinzi halafu mambo yake yanaenda bila ya kuwa mshirikina. Hiyo haiwezekaniki.

Biashara inahitaji usafi siyo tuu wa kimwili, bali pia usafi wa kiroho (mvuto) na kitu pekee kinachochafua mvuto wa kiroho ni zinaa.

Huwezi kuwa mzinzi halafu ukaenda kwenye project zako, mfano unamashamba ya mpunga au nyanya halafu uende ukiwa unafanya uchafu, lazima mambo yaharibike, au ufugaji. Kila kitu kina siri zake, aidha utumie madawa ya jadi ndiyo ufanikiwe lakini kumuomba Mungu asaidie miradi yao ilhali roho yako imechafuka huo ni uongo.

Kuna baadhi ya watu wanatabia ya kuingiza wanawake au malaya kwenye nyumba zao wanazoishi, ndugu zangu hivi kama umekosa akili kwa kiwango hicho, umeona haitoshi ulete wanawake waitie mikosi nyumba yako. Unafikiri guest house zilijengwa kwaajili gani.

Kama utashindwa kabisa ni bora mkafanyie kwenye vichaka, huko mbona fresh tuu kuliko kuingiza uchafu nyumbani kwako. Huo ni ukosefu wa maarifa.

Vijana kama unahitaji njia yako isiwe ngumu sana, yaani pesa zako zisije kwa mbinde basi unashauriwa acha ngono zembe. Na uliyenaye awe mwaminifu, na kamwe mtu asiyemwaminifu usijisumbue kumfundisha uaminifu au kumbembeleza, unabembeleza mtu anayeharibu mifumo ya maisha yako.

Usiponielewa, utanielewa katika mambo unayoyafanya, yaani kila ukifanyacho hakiendi, unafeli. Wakati wenzako chochote tunachogusa kitaenda kitake kisitake.

Ni yule kuhani

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es salaam.
Mkuu utatuua kwa mawe yako
 
Duh huu mkuku

DU

Duh huu mkuki rohoni, aisee hii kitu ndo inaponza maisha yangu tangu nianze chuo hadi nimemaliza nimeshikwa na addiction ya dada poa, na hii tabia niliianzia chuo, addiction hii inakwendana na alcohol consumption, yaani nikishaonja tu alcohol lazima akili iende kwa dada poa, na nina experience ya kutembea na dada poa kwa miaka 6 , kitu kinachopelekea kutopata kazi wala deals za maana tofauti na wenzangu tuliokuwa tukiishi ghetto moja chuo, wenzangu hadi sa hivi wameajiriwa ila mimi , ilikuwa bado kidogo kupata ajira ila sijui nn kilitokea baada ya kuitwa interview nakupita zote, nilichokuja kugundua dada poa/ malaya wengi wana mikosi kutokana na nafsi zao kubeba nafsi nyingi ambazo baadhi ni chafu na safi pia, na wengi wanaenda kwa waganga wanapewa dawa za kunasa wateja / kugandwa na wateja, yaani ukimla tu siku moja lazima kila ukienda ilo eneo ile dawa yake inakuvuta umtafute yeye tu , yaani ata malaya awe ana sura mbaya lazima umfate yeye tu, na unapotembea naye nyota yako inachafuka maama tendo la ndoa uunganisha nafsi,na ukitembea nao wengi nafsi yako inakuwa haitulii na unaweza kujikuta unaoa malaya kwa sababu ya nafsi , na kuna malaya wengine wana nafsi za bahati , kuna kipindi nipo chuo kuna malaya nilikuwa nikilala naye tu nashangaa kesho yake nikienda chuo, mademu wananichangamkia kinoma hadi nikawa nashangaa iki ni nn? Ila nina experience kubwa sana na malaya na mambo yao ya nafsi, na vitu vingi vimenitokea kwa kutembea nao vingi vibaya kama kutumia kiasi kikubwa cha pesa, na iyo addiction nimeshindwa kuiacha kabisa , kila nikijaribu siwezi kabisa, yaani najiskia raha kutembea na malaya kuliko msichana wa kawaida,ila najitahidi niondokane nayo naamini iko siku itakwisha,
Huyo Malaya ambaye alikuwa akitembea tu nawe basi nyota yako inang'aa ilikuwa ni danganya toto ya shetani ili akuteke akili mazima ilihali kiuhalisia hakuna kabisa kitu kama hicho.

Usisahau muasisi Mkuu wa uwongo ni shetani pale bustanini Eden.
 
kwahyo Gwajiboy master hana hela syo au nae kaenda kwa mganga?
Huwa unakuwa naye huyo Jamaa 24/7 kila mwaka?

Kibiblia "Si kila aniitaye BWANA BWANA ataurithi ufalme wa milele"

Kidunia "Si kila king'aacho ni dhahabu"

Manabii wa uwongo wapo, na mpaka uwe na karama ya macho ya rohoni ndipo utawatambua.

SOMA BIBLIA [emoji116][emoji116]

MATHAYO 7:16-21.
MATHAYO 24.
1 YOHANA 4:1-5.
2 WAKORINTHO 11:14-15.
ISAYA 8:19-21.
 
Nachakata mbususu vizuri tu na hata waganga siwajui ila michongo ipo vizuri mno sasa labda uzinzi huo unachagua
 
Hili chapisho limenilenga kabisa Taikon...Nimenasa kwenye huu ujinga aisee nipe mwanga mhenga ili nijinasue
 
Kuish na mke/mme na hata kuzaa huo ni uzinzi kwa mujibu wa maandko,je wote wenye keshi wame funga ndoa? Halafu Ibrahim,Isaka na mitume kibao mbna hatukuona ndoa zao zikifungwa?
Mkuu ulitaka ushuhudie matangazo ya ndoa na sherehe zao kwenye Maandiko
 
Back
Top Bottom