Shukran saana moderators, Daah Huu uzi makini saana asee.Habarini wanajamvi, Naomba mtu anitumie Uzi fulani wa siku za nyuma Mwezi huu wa kwanza 2023, Ulikua unaelezea mtu anapokutana kimwili na watu tofauti tofauti anaweza kubeba mabalaa na mikosi. Ahsante
Mwisho wao si mzuri, ni aibu tupu.Ungeweka mifano, maana tunashuhudia wanasiasa kibao ni matajiri, wanabadili mitaa kila siku, wanaonjeshwaonjeshwa kila mtaa, kila mji
Upigaji punyeto ni DHAMBI, pia inaangamiza roho yako kwa kukuconnect na roho zingine za kimapepo/kimahusiano wa kimajini hata kama huwaoni.Oya wazee wachaputa nao wanahesabika kama wazinzi au wanafanya uzinzi..inawachafua kwa namna yoyote kiroho majibu tafadhali
Na hili kweli ni jiwe gumuMkuu Taikon tupe muda kidogo tuvute pumzi maana kila siku ni mawe magumu kumeza
Wanabeba sperms na kwenda kuzitumia kwenye ulimwengu wa kiroho huku wakikuachia laana na mikosi. Tubadirike vijanaUpigaji punyeto ni DHAMBI, pia inaangamiza roho yako kwa kukuconnect na roho zingine za kimapepo/kimahusiano wa kimajini hata kama huwaoni.
Unashangaa unatafuta mke sahihi wa kuoa mwenye sifa unazotaka au unatafuta mtoto hupati.Wanabeba sperms na kwenda kuzitumia kwenye ulimwengu wa kiroho huku wakikuachia laana na mikosi. Tubadirike vijana
Kimetajwa kisima.Mithali inasema.Usinywe maji ya kisima kisicho chako. Tafsiri yake usifanye ngono na mtu asie wako.
Na hili ndo kubwa kuliko na hubeba vyote....pasipo nguvu ya kiroho sisi si kitu.Mungu atupiganie maana pekeyetu hatuwezi....tunapitia mengi katika kuzifikia ndoto zetuZinaa yaweza punguza nguvu ya mtu kiroho yes
Mengi sana To yeye ..mengi mnoo ndio maana kun time huwa nawaelewa vizur sana watu wanapoamua kuweka pemben hiz beliefs maana huwa sometimes zinaku stressNa hili ndo kubwa kuliko na hubeba vyote....pasipo nguvu ya kiroho sisi si kitu.Mungu atupiganie maana pekeyetu hatuwezi....tunapitia mengi katika kuzifikia ndoto zetu
Very confusedKabisa,maana unakuwa confused π
Em tuishi tu .....Very confused
NAKAZIA HAPA.Upigaji punyeto ni DHAMBI, pia inaangamiza roho yako kwa kukuconnect na roho zingine za kimapepo/kimahusiano wa kimajini hata kama huwaoni.
Ndio nilipogikia hapa...maana ukigeuka huku "hili" , ukitizama kule "lile" sasa unashindwa kuelewa ushike lipi uache lipiEm tuishi tu .....
ππ HatareeNdio nilipogikia hapa...maana ukigeuka huku "hili" , ukitizama kule "lile" sasa unashindwa kuelewa ushike lipi uache lipi