Uchunguzi wangu wa awali kuhusu mgodi wa siri uliopo ndani ya pori la hifadhi Singida-Tabora

Kuna picha za air strip na nyumba.
Lakini hakuna picha cha mgodi.
Kama ni active mining tuliegemea mleta habari aweke picha zinazoonyesha shughuli za uchimbaji kama mitambo ya uchimbaji na watu.

Airstrip kwenye game reserve sio Jambo la ajabu Sana, maana hizo ni starehe za matajiri wasiopenda bughudha.
 
aisee iko kazi. Sasa ndio ujue hatutaelewa tena wala mapigo yanatokea wapi maana fisadi ndio wameshika nchi.
 
We need more Mdude in this country otherwise hawa viumbe wa ajabu wa kijani watatufanya nchi yetu nzuri iwe kama congo
 
We need more Mdude in this country otherwise hawa viumbe wa ajabu wa kijani watatufanya nchi yetu nzuri iwe kama congo
Not only like Congo, but in the near future it may become more than Palestina.
Kwa bahati mbaya sana wao kama wao hawatakuwepo kwani muda wa uhai wao utakuwa umeisha watakuwa RIP wote. "Ole" watawaachia vizazi vijavyo ambao maskini ya rabi, hata hawajui kilichojiri.
 
Sioni shida ya mgodi kuwa na ndege
Sio lazima kuwepo barabara
Kujenga barabara yaweza kuwa gjatama kubwa kulliko faida ya mgodi wenyewe
Umedandia mada. Hujui imeanzia wapi na sidhani pia unaelewa inakoelekea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…