Ukilaza usingeutaja. Tambo za mpira hz zinakusumbua nini ?ulivo kilaza unasahau na mapungufu ya madrid
Yapo sana kwenye defence. Bayern wangelikuwa na stricking force iliyo smart, Madrid angefungwa goli nyingi sanaMapungufu ya madrid yapo katika eneo gani?? Kwangu upungufu upo kwa striker tuu. Benzema sio wakuaminika.
Naona uchambuz wenye ushabiki huu....Sasa ulitaka uingereza aisifie Barcelona au?...Kila mtu anasifia cha kwake....Liverpool mlianza kusema hv hv toka round ya makund haya sasa kafika fainali...Hainiumi, ila napenda mfungwe sababu mnaongea sana, sio nyie tu bali hata waingereza na wana habari wao, hamuwapi timu zingine heshima zinazostahili, hivyo nataka timu ziwadhihirishie kuwa wako vizuri zaidi yenu. Na sasa mmefika tamati, Real anawaua!!
Pia mmekuwa na wivu ulioputiliza Real kuingia fainali raundi ya tatu mfululizo na kwenda kuchukua ndoo raundi ya tatu mfululizo. Hii imewapa chuki moja mbaya sana.
Unapoandika juu ya Bingwa wa Ulaya mara tano lazima umpe heshma yake.Kombe linaenda Anfield.Nitakukumbusha siku hiyo na Salah anabeba Baron d'or.Waleteni hao Liverfool Tuwatafune Kiev
Kwa defense ya Liver ya sasa hivi ni nzuri sana.Ukimpima Liver kwa mechi ya Jana utakosea sana,jana yalikuwa ni mahesabu ya jioni tuu.Kyiv mambo yatakuwa tofauti sana.Mechi itaisha ndani ya dakika tisini.Namuona Hendo akinyanyua kwapa.YWNWA.Kwani Madrid wanadefence nzuri?
Kwani ww unaffikili ana Safu ya ulinzi pale, hawana walinzi wa nyuma, except Marcello the last are Worse, Ramos ni Rafu rafu tuKlabu ya Liverpool imefanikiwa kutinga hatua ya Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya licha ya kufungwa mabao 4 kwa 2 na AS Roma ya nchini Italia
Liverpool FC wanasonga mbele kwa faida ya magoli waliyofunga katika mchezo wa awali walioshinda mabao 5 kwa 2 hiyo kuwa na hazina ya magoli 7 kwa 6 ya AS Roma
Katika mchezo uliomalizika usiku huu magoli ya Liverpool yamewekwa kimiani na Sadio Mane 9' na Georgio Wijnaldum 25' huku yale ya AS Roma yakifungwa na Milner(aliyejifunga), Edin Džeko 52' na Radja Nainggolan 86' na 90+2'
Liverpool FC sasa itakwaana na Real Madrid katika mchezo wa Fainali unaotarajiwa kupigwa katika dimba la Olympic National Sports Complex huko Jijini Kiev nchini Ukraine
Mchezo huo utapigwa tarehe 26 mwezi huu
======
Naiona fainali rahisi saaana kwa Real Madrid.
Kutokana na mapungufu makubwa katika safu ya ulinzi ya liverpool
Japo mpira ni dakika 90.
Wengi wetu sisi ni wapenzi wa Madrid pia,mm mwenyewe ni mpenzi wa Real Madrid,linapokuja swala la Madrid na Liverpool ni Liverpool kwanza,mimi pia ni shabiki wa Ronaldo CR7 lakini anapocheza na Liverpool ni Liverpool kwanza.Hatuna wivu na yeyote ila kaa ukijua,kila papa mpya liver anabeba ndoo hii,toka alipoapishwa Papa Frances bado liver hajabeba ,ninachojua zamu ndo imefika,acha lililoandikwa litimie maana hakuna namna.Kama kuna mtu haamini hilo ajiulize Portugal ilichukua vipi Ubingwa wa mataifa ya Ulaya na Donald Trump alipata vipi urais wa Marekani? Vipi kuhusu rais Magufuli? Aliyepangiwa anapewa tu hata kama hupendi.Hainiumi, ila napenda mfungwe sababu mnaongea sana, sio nyie tu bali hata waingereza na wana habari wao, hamuwapi timu zingine heshima zinazostahili, hivyo nataka timu ziwadhihirishie kuwa wako vizuri zaidi yenu. Na sasa mmefika tamati, Real anawaua!!
Pia mmekuwa na wivu ulioputiliza Real kuingia fainali raundi ya tatu mfululizo na kwenda kuchukua ndoo raundi ya tatu mfululizo. Hii imewapa chuki moja mbaya sana.
Ina mapungufu kwenye defence ila na foward wakali unaona sasa?Naiona fainali ya mteremko kwa Real, liver ina mapungufu makubwa sana kwenye defense.
Tarehe 26.05.2018 ni ile siku waingeteza watasingizia THE BEST TEAM LOST!
alikwambia anaabudu nini?Mbele ya Allah hakuna cha kitimoto wala mafuta yake,labda angekuwa anaabudu mashetani!
timu mbo
Real ataaibika japo ningependa ashinde. Wapo vulnerable sana. Bayern wamemshindwa kwa kuwa na fowards wenye juhudi lakini wasio makini. Mbele ya SSR, utaonakwahiyo zilizoshindwa kufika hapo ndio boratimu mbovu zote, yeyote anaweza kuwa bingwa.
kumbe wakina marcelo,ramos na wenzake ni wabovu sana ,nilikua sijuiNi moja ya fainali ngumu timu zote zina mapungufu Sana kwenye defense
Kwenye fainal real madrid haiwagi na mapungufu kabisa,unakumbuka ile fainal ya 2014?Mapungufu ya Real Madrid hujayaona?
Madrid ni team pekee inayojua kutafuta ushindi.Huo mpira wa Madrid ninaouona mkimsifia kwa kufata ukubwa wa majina ya wachezaji mnajifariji bure!
Hii ndoo ni ya Liverpool bila ubishi
Sana tena kwenye fainal ndo utaipenda maana mabeki wanatabia za kufunga na kuassist piaKwani Madrid wanadefence nzuri?