Nimeona tu wala sijasoma mtumishi wa Bwana.
Kumbe ........!!
Ngoja nikae pembeni niwe mtazamaji shost....
inafahamika sana.
usisahau hata miss chagga ni mke wa mtu...
kiwatengu Kweli miss chagga ni muke ya mtu....?
Kweli??
Tumsifu Yesu kristo...........
ah wapi nini sasa? ni unataka ushaidi ama?
hhaha kumbe Valentina keshakukamata pabaya
paroko anakukana...
Pabaya ndio wapi kwani?
Hahaaaaaaaa ingia ucheze nakulinda......ukikaa pembeni ngoma itakuwa mbaya.
hupajui......