Udaku Special!! 3rd Edition... Full Nondo!!!

nikurekebishe ntunzi siyo kaka yangu alikuwa bwana wangu nikaona bahili nikakuachia wew nae kakushinda ndio kaenda huko..... kaka yako simwachi atajuta kunitongoza
 
Acha kuipenda..timu zote za Africa nje...Chile nje...Italy nje... snowhite amekosa kimbilio. Labda mumpe ushauri wa kitaalamu.
Cc: Belo

Timu zangu zilikuwa Italy na France ,bado vijana kina Pogba,Matuidi,Varane wanatuwakilisha
 
We bidada ulitaka kaka yangu akupendeje?Kila kitu alikuwa anakuhudumia sasa wewe ulitakaje?Na kudhihirisha na mahari akataka akulipie sasa wewe ulitaka nini zaidi ya hilo?Au ndo njama zako za kumchuna na kumpa nanihiiii wako?

kaka mwenyewe kuchunika ni kzi aiii aende huko mahari kalipa na asinijue simpendi kwanza ... ndio maana kitenesi
 

wapi utafiti na Mndengereko? wanayajua haya?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…