jamani sijawai kukuona wala kusikia jina lako, nashukuru kukufahamu.
Mkuu umeadimika sana aisee
Unataka explanation gani tena?
How is ur mama doing?
she is doing well.
Hii nayo itarushwa kwenye toleo lijalo la udaku,
Kimmmmmmm
Nakuogopaje paparaziiiiii!
Kimmmmmmm
sijawahi kufumaniwa hata siku moja..