and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Wamejazwa upepo kuwa wao hi taifa la kesho.Aisee ni hawa sikii balaa ww jaribu siku moja upande mwendokasi tokea posta ...utajionea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejazwa upepo kuwa wao hi taifa la kesho.Aisee ni hawa sikii balaa ww jaribu siku moja upande mwendokasi tokea posta ...utajionea
Nimefikiria iwe busara sasa Udart embu tengeni walau basi 1 au 2 liwe specially kwa kubeba wanafunziNimekuwa nikiona hawa wanafunzi wanapo pandaga haya mabasi kuna kuwa na kabuguza fulani hasa hasa vile kituo cha kivukoni, Nyerere square, Kisutu, Fire na Magomeni Mapipa
wanafunzi huwa na fujo za kusukumana punde wapandapo mabasi haya kiukweli huwa ni kero kubwaa sanaa, sasa Juzi pale kituo cha DIT watoto wakati wanasukumana gafla wakamsukuma mdada mmoja aisee yule dada alikuwa mbogooo
Nimefikiria iwe busara sasa Udart embu tengeni walau basi 1 au 2 liwe specially kwa kubeba wanafunzi
Asante naomba niwasilishe kwenu
Hakuna kitu kama icho aisee zamani liliwah kuwapo kwa uzamin wa bank flani yalikuwa mawili,linatoka asubuh alaf jioni ,kwasababu tulikuwa tunatwangana na makondakta sana,Wawekewe utaratibu mzuri tu...kuwawekea wanafunzi basi lao Itakua kama ni school bus..na ujiulize wataweka mabasi mangapi...it's obvious yanatakiwa kuwa idadi SAwa tu na haya mabasi mengine..of which Itakua ni investment ingine ambayo sidhani kama italipa..
Kwamba mtoto hana haki ya kukaa kwenye kiti?Naunga mkono hoja.
Wengi wao hawana adabu,
Wakikalia siti wakiona wakubwa wamesima ,, ndy kwnz wanalala usingizi ,
Kana kwamba hawakuoni.
Kibiashara hilo halitekelezeki.Ni usafiri wa Umma
Sio mbaya wakawa dynamic waka fikiria ilo
Taifa linapitia kipindi cha aina ya vijana wa hovyo Sana..Kwamba mtoto hana haki ya kukaa kwenye kiti?
Akupishe wewe mtu mzima una kipi cha ajabu?
Kama unachoka na yeye anachoka vilevile. Usijione wa muhimu sana kwenye mambo madogo kama hayo.
Kiti huombi kukaa,Bali mtoto yeyote mwenye adabu nzr husimana pindi akimuona mkubwa..Wamechoka,ni Taifa la Kesho wanahitaji kupumzika binafsi hua nawaacha
Kwamba mtoto hana haki ya kukaa kwenye kiti?
Akupishe wewe mtu mzima una kipi cha ajabu?
Kama unachoka na yeye anachoka vilevile. Usijione wa muhimu sana kwenye mambo madogo kama hayo.
Leo nikiwa naelekea maili moja, niliona basi la udart likiwa na wanafunzi watupu bahat mbaya tu sijalipiga pichaKibiashara hilo halitekelezeki.