Alichaguliwa kwasababu alikidhi vigezo vilivyokuwa vinatakiwa kwa wakati ule sasa mzungu wa kipindi hicho ampe uongozi muislamu atamuendesha vipi waislam walikuwa matajiri toka zamani na mpaka leo matajiri wakubwa nchini ni waislamu hao waendelee kuhudhuria ndoa za jinsia moja kanisani na kuoa mke mmoja mpaka unakufa maana ndo ujanja waliobaki nao kiufupi wakristo waliigeuza nchi ya kwao ngoja siku waingie anga zetu kwenye mitihani walikuwa wanakata jina la mwamedi wanaweka Johnson na Jacob sema waislam tumetoka mbali pongezi kwa kigoma malima kwa kutupigania vijana wake sasa kuna waislam wasomi.