Udhaifu katika katazo la kuuza vyakula mchana wa ramadhani Zanzibar

Udhaifu katika katazo la kuuza vyakula mchana wa ramadhani Zanzibar

Alichaguliwa kwasababu alikidhi vigezo vilivyokuwa vinatakiwa kwa wakati ule sasa mzungu wa kipindi hicho ampe uongozi muislamu atamuendesha vipi waislam walikuwa matajiri toka zamani na mpaka leo matajiri wakubwa nchini ni waislamu hao waendelee kuhudhuria ndoa za jinsia moja kanisani na kuoa mke mmoja mpaka unakufa maana ndo ujanja waliobaki nao kiufupi wakristo waliigeuza nchi ya kwao ngoja siku waingie anga zetu kwenye mitihani walikuwa wanakata jina la mwamedi wanaweka Johnson na Jacob sema waislam tumetoka mbali pongezi kwa kigoma malima kwa kutupigania vijana wake sasa kuna waislam wasomi.
wewe ndiye tajiri nani kati ya hao matajiri?.Au ukalia kuongelea ela za watu wengine ambazo ata hujui wamezipataje.bure kabisa wewe.
 
Nadhani kuna makafiri wengi zaidi ndani ya uislamu na ndio maana kuna hizi vurugu za kutaka migahawa ifungwe ili kujaribu kuwadhibiti hao watu wasile kipindi hiki. How about this?
Oooh My God!....Elimu ni jambo la msingi sana,kwasasa jitahidi watoto wako wapate elimu ili wasijekuwa wajinga kama ww
 
Oooh My God!....Elimu ni jambo la msingi sana,kwasasa jitahidi watoto wako wapate elimu ili wasijekuwa wajinga kama ww
Ujinga hujibiwa kwa ujinga. Hiyo ilikuwa response sahihi kwa ujinga uliokuwa umeuleta. Deal with that, dude.
 
Sasa usiuze chakula kisa waislamu wamefunga

Waafrika tulirogwa vibaya sana

Heshimu dini yako ukiwa una heshimu dini ya mwingine

Hakuna dini iliyo bora kuliko nyingine

Sad thing ni kwamba Africans tunajikuta tumeshika dini kuliko walioileta

Most of us tunakua dini tuliyopo due to influence ya familia

Mtoa mada safuher wewe ni Islam sababu your parents are Islam you could be a Christian kama parents wako wangekua Christian

I wish watu wakombolewe kifikra kwanza kabla hatujakomboka kimaskini

Hatuwezi komboka kimaskini kama watu wakiwa na hizi mindsets
 
Living the dream. Living the dream.

Nataka kutimba magulu Dar this summer nisielekee Mecca [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mehn.... Karibu we are here bro

Ntakuja Dm kuna vitu unielekeze nataka nijue jinsi ya kupata scholarship mzee nchi I kwenu huko

Nataka nije nispecialize pediatry
 
Kwani huko ni kufunga au ni mila na desturi?maana hata mashoga huku mtaani wanafunga!
 
Ubaguzi wa dini ni mbaya sana. Fanya mambo ya imani yako, usilazimishe wengine wafuate ya kwako. Huko India, kibao kimegeuka, Waislamu ndio wanatapa tabu kutoka kwa wahindu.

1649526362169.png
 
Kwanza Hujitambui
Alafu hii nchi si ya kiarabu/muslim
Ukikua utaacha
Mmatumbi,mzaramo,mndengereko...anaona fahari kujua lugha ya kiarabu kuliko lugha yao,huu ni upumbavu uliopindukia na mbinu walioiweza ni salaam kuitumia kwa kiarabu.
 
Sasa usiuze chakula kisa waislamu wamefunga

Waafrika tulirogwa vibaya sana

Heshimu dini yako ukiwa una heshimu dini ya mwingine

Hakuna dini iliyo bora kuliko nyingine

Sad thing ni kwamba Africans tunajikuta tumeshika dini kuliko walioileta

Most of us tunakua dini tuliyopo due to influence ya familia

Mtoa mada safuher wewe ni Islam sababu your parents are Islam you could be a Christian kama parents wako wangekua Christian

I wish watu wakombolewe kifikra kwanza kabla hatujakomboka kimaskini

Hatuwezi komboka kimaskini kama watu wakiwa na hizi mindsets
Ni sahihi unachosema mkuu.

Ndio maana sioni haja ya kukashiifiana kidini kwa sababu watu wengi tuna dini za kuzaliwa nazo na sio dini za kujichagulia kutokana na uchambuzi wa akili zetu.

Ndio maana hata kuhoji mambo yanayofanyika kwenye dini yetu tunaogopa sana.

Lakini hiyo kitu sitowafundisha wanangu.

Nitawafundisha nidhamu kwenye kuhoji.
 
Mmatumbi,mzaramo,mndengereko...anaona fahari kujua lugha ya kiarabu kuliko lugha yao,huu ni upumbavu uliopindukia na mbinu walioiweza ni salaam kuitumia kwa kiarabu.
Sasa mkuu mimi nimezaliwa najua kiswahili baadae nikijifunza kiarabua why nisione fahari kujua lugha zaidi ya ile yangu mama ?

Why nisione fahari kujua kiingereza ?

Why nisione fahari kujua kiitaliano ?
 
Unaambiwa elekea Mecca wakati kwenu Malampaka bro.

Lazima uwe mtumwa tu.
Inategemea na tafsiri ya utumwa kwako ni ipi.

Kama kuelekea makka ni utumwa kwako ni sawa sio tatizo,wengine hawaoni huo kama ni utumwa.
 
Back
Top Bottom