Udhaifu wa hoja kwamba Mungu alituumba ili tumuabudu

Udhaifu wa hoja kwamba Mungu alituumba ili tumuabudu

Post za kiduanzi mods wanazipitisha

Ukiandika hoja za maana wanafuta

Maxence Melo twakutegemea

kwanini umeamua kupoteza watu kwa kujifanya unajua zaidi ya aliye kuumba, je wewe , unafahamu dk 1,zaidi unafahamu hata tumboni kwa mama yako ulikaaje na kwanini ulikaa kwa staili hiyo,aliye kuumba anakwambia umsifu n kumuabudu , na jibu ni kwasababu anastahili, Rais anapewa heshima kwa sababu anastahili na MUNGU anasifiwa na kuhabudiwa kwa sababu anastahili. So ukishindwa kufanya anavyo itaji usitake msahada kwake. Iyo independence mechanism ya kuingiza na kutoa hewa bila kuitaji nishati ya kuiboost isikupe kiburi, hii siku utaikumbuka na kwambia acha upuuzi
Umeanza vitisho Tena badala ya hoja.
Vitisho vyako vinaonyesha ulivyo Na ufahamu mdogo kuhusu Mungu, unadhani Mungu ni mwanadamu kama wewe kwamba Kwa kuwa nimeuliza maswali haya basi Mungu atakasirika. Kama unawaza hivyo nimekudharau Sana mkuu. Hivi unadhani Mimi kiumbe binadamu nina uwezo wa kumkasirisha Mungu?

Ukiwa Na uwezo WA kumkasirisha Mungu maana yake Ni kwamba una uwezo WA Ku control hisia za Mungu kitu ambacho Hakuna mwanadamu mwenye nacho.


Umeshindwa kujibu swali kwamba Je usipo muabudu Mungu atapungukiwa Nini?

Na ukimuabudu ataongezekewa Na Nini?

Point yangu Ni kwamba Mungu hahitaji chochote kutoka kwako Kwa Sababu huna chochote cha kumpa Mungu
 
Hivi,kuokoka maana yake ni kumtetea Mungu na kupambana na wale walio kinyume na uokovu?
Lugha ngumu na yenye ukakasi ikiambatana na vitisho dhidi ya aliye kinyume na uokovu imekuwa kawaida sana,kwanini?
Uokovu umetuharibu na kutufanya tuamini miujiza ya kuishi maisha ya raha kaburini,tumesahau misingi ya ubinadamu kisa tu tumejengewa misingi ya nafsi huko "peponi" kuishi kwa raha mstarehe...
 
MIUNGU..( wingi ) alafu watu wa zamani naweza kuwaita ni wase*** wametuingiza chaka.
Screenshot_2022-02-12-10-15-29-39.jpg
 
Wewe ni kichaa Ni wapi nimeandika Hakuna Mungu?

Una muacha katibu una mfuata mwenyekiti.

Wewe jibu swali , USIPO MUABUDU MUNGU ANA PUNGUKIWA NA KITU GANI? UKIMUABUDU MUNGU ANAONGEZEKEWA NA KITU GANI?

Kama huna majibu kaa kimya acha utoto
Mathayo 4;10 msujudie Mungu wako, umwabudu yeye peke yake...... KUMWABUDU MUNGU KUNA MPA UTUKUFU NA HESHIMA,
 
Sijasema kuabudu kuna shida ila nimeonyesha udhaifu WA kwamba Mungu alituumba ili tumuabudu. By the way nashukuru Kwa Sababu umekubaliana na hoja yangu kwamba ibada has nothing to do with God.

Mungu sio muhitaji wa kitu chochote kile
Tendo lolote la mwanadamu lina mapungufu ikiwemo shukrani
Sijasema kuabudu kuna shida ila nimeonyesha udhaifu WA kwamba Mungu alituumba ili tumuabudu. By the way nashukuru Kwa Sababu umekubaliana na hoja yangu kwamba ibada has nothing to do with God.

Mungu sio muhitaji wa kitu chochote kile
Tendo lolote la mwanadamu lina mapungufu ikiwemo kuabudu na kushukuru. By the way hata unayoita shukrani inweza kuwa component ya kuabudu. Otherwise kuabudu ni nini? Na kushukuru ni nini?
 
Tendo lolote la mwanadamu lina mapungufu ikiwemo shukrani

Tendo lolote la mwanadamu lina mapungufu ikiwemo kuabudu na kushukuru. By the way hata unayoita shukrani inweza kuwa component ya kuabudu. Otherwise kuabudu ni nini? Na kushukuru ni nini?
Shukurani kama inatoka moyoni inakuwa perfect kabisa
 
Umeanza vitisho Tena badala ya hoja.
Vitisho vyako vinaonyesha ulivyo Na ufahamu mdogo kuhusu Mungu, unadhani Mungu ni mwanadamu kama wewe kwamba Kwa kuwa nimeuliza maswali haya basi Mungu atakasirika. Kama unawaza hivyo nimekudharau Sana mkuu. Hivi unadhani Mimi kiumbe binadamu nina uwezo wa kumkasirisha Mungu?

Ukiwa Na uwezo WA kumkasirisha Mungu maana yake Ni kwamba una uwezo WA Ku control hisia za Mungu kitu ambacho Hakuna mwanadamu mwenye nacho.


Umeshindwa kujibu swali kwamba Je usipo muabudu Mungu atapungukiwa Nini?

Na ukimuabudu ataongezekewa Na Nini?

Point yangu Ni kwamba Mungu hahitaji chochote kutoka kwako Kwa Sababu huna chochote cha kumpa Mungu
bado unaongea upumbavu, na mm ntazidi kukuita mpumbavu, je sodoma na gomola wale hawakuwa binadamu, je farao hakuwa binadamu , je mara ngapi tumeona mifano ya ghadhabu ya MUNGU kwenye vitabu vitakatifu.Kumuhabudu MUNGU anastahili kwa sababu yeye anahitaji heshima na ni muhimu sana kwake, kama wew ilivyokuwa muhimu kutafuta pesa, yeye heshima ni muhimu.kwahiyo kupungukiwa unapungukiwwa pakubwa kwa sababu unapoteza connection naye. na yeye anahitaji heshima kwako. Halafu acha kupotosha watu ili waache kumwabudu Mungu bcoz hakusaidii chochote
 
bado unaongea upumbavu, na mm ntazidi kukuita mpumbavu, je sodoma na gomola wale hawakuwa binadamu, je farao hakuwa binadamu , je mara ngapi tumeona mifano ya ghadhabu ya MUNGU kwenye vitabu vitakatifu.Kumuhabudu MUNGU anastahili kwa sababu yeye anahitaji heshima na ni muhimu sana kwake, kama wew ilivyokuwa muhimu kutafuta pesa, yeye heshima ni muhimu.kwahiyo kupungukiwa unapungukiwwa pakubwa kwa sababu unapoteza connection naye. na yeye anahitaji heshima kwako. Halafu acha kupotosha watu ili waache kumwabudu Mungu bcoz hakusaidii chochote
Ni kufuru kusema "Mungu anahitaji"

Kuhitaji ni alama ya upungufu. God is perfectly complete. Hahitaji chochote. Mwanadamu hawezi kamwe kumwongezea wala kupunguza kitu.
 
bado unaongea upumbavu, na mm ntazidi kukuita mpumbavu, je sodoma na gomola wale hawakuwa binadamu, je farao hakuwa binadamu , je mara ngapi tumeona mifano ya ghadhabu ya MUNGU kwenye vitabu vitakatifu.Kumuhabudu MUNGU anastahili kwa sababu yeye anahitaji heshima na ni muhimu sana kwake, kama wew ilivyokuwa muhimu kutafuta pesa, yeye heshima ni muhimu.kwahiyo kupungukiwa unapungukiwwa pakubwa kwa sababu unapoteza connection naye. na yeye anahitaji heshima kwako. Halafu acha kupotosha watu ili waache kumwabudu Mungu bcoz hakusaidii chochote
Dah kumbe naongea na learner. Yani una amini kabisa binadamu ana uwezo WA kumfanya Mungu aghadhibike?

So akili yako inakutuma kuamini kabisa kwamba Mungu aliwachoma Moto watu WA Sodoma Na Gomora halafu akawaokoa watu watatu Tu Yani Lutu Na binti zake wawili ili Lutu azae na binti zake?
 
Nakazia
Ni kufuru kusema "Mungu anahitaji"

Kuhitaji ni alama ya upungufu. God is perfectly complete. Hahitaji chochote. Mwanadamu hawezi kamwe kumwongezea wala kupunguza kitu.
 
kuh
Ni kufuru kusema "Mungu anahitaji"

Kuhitaji ni alama ya upungufu. God is perfectly complete. Hahitaji chochote. Mwanadamu hawezi kamwe kumwongezea wala kupunguza kitu.
Anaitaji kwa sababu anastahili, uhitaji si lazima ama si mapungufu, kuitaji kuendesha gari si lazima. so kwa MUNGU anastahili hivyo anahitaji pili hata yeye amejipambanua wazi , ameshaandaa viumbe na visivyo viumbe vitakavyo timiza jukumu hilo, mathelafi na makerubi, even akajipambanua na akasema hata mawe atayafanya yamwabudu hata miti ama upepo hivyo ni muhimu kwake , so sijakufuru nipo sahihi
 
kuh

Anaitaji kwa sababu anastahili, uhitaji si lazima ama si mapungufu, kuitaji kuendesha gari si lazima. so kwa MUNGU anastahili hivyo anahitaji pili hata yeye amejipambanua wazi , ameshaandaa viumbe na visivyo viumbe vitakavyo timiza jukumu hilo, mathelafi na makerubi, even akajipambanua na akasema hata mawe atayafanya yamwabudu hata miti ama upepo hivyo ni muhimu kwake , so sijakufuru nipo sahihi
Ur still a learner
 
Dah kumbe naongea na learner. Yani una amini kabisa binadamu ana uwezo WA kumfanya Mungu aghadhibike?

So akili yako inakutuma kuamini kabisa kwamba Mungu aliwachoma Moto watu WA Sodoma Na Gomora halafu akawaokoa watu watatu Tu Yani Lutu Na binti zake wawili ili Lutu azae na binti zake?
hebu tuanzie hapa ,wewe akili yako haikutumi hivyo kama haikutumi hivyo, inakutumaje sasa?usikute hukielewi unachokiongea ama umeamua kupotosha kwa makusudi, na kinachoniuma mm why upotoshe kwa makusudi
 
Mathayo 4;10 msujudie Mungu wako, umwabudu yeye peke yake...... KUMWABUDU MUNGU KUNA MPA UTUKUFU NA HESHIMA,
Kunampa from your angle of being not his. Kunakufanya ujue nafasi yake hilo linakutajirisha wewe si yeye. It's all for your good dede
 
Basi Kwa akili yako unajiona kama vile una shindana Na shetani vile and therefore u deserve to be rewarded
aya graduator karibu utupotoshe, ila mithali inasema hekima nyingi hupoteza maarifa, kuwa makini na hekima za kipuuzi
 
hebu tuanzie hapa ,wewe akili yako haikutumi hivyo kama haikutumi hivyo, inakutumaje sasa?usikute hukielewi unachokiongea ama umeamua kupotosha kwa makusudi, na kinachoniuma mm why upotoshe kwa makusudi
Jibu swali. Usikwepe swali
Una amini Mungu alifanya mission ya kuteketeza mji mzima wa Sodoma Na Gomora Na kuwaokoa watu watatu ambao Ni Luthu Na bintize wawili ili mwisho WA siku Lutu alale Na binti zake?
 
Back
Top Bottom