Emar
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,789
- 2,965
hilo la kulala lako mm silijui, ilikuwa mission sababu ya ghadhabu, na lengo tunaonglea jE MUNGU hupata hasira? nahisi jibu umepataJibu swali. Usikwepe swali
Una amini Mungu alifanya mission ya kuteketeza mji mzima wa Sodoma Na Gomora Na kuwaokoa watu watatu ambao Ni Luthu Na bintize wawili ili mwisho WA siku Lutu alale Na binti zake?