“Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
” Kutoka 20:5 , kitoka 34:14, Kumbukumbu la Torati 5:9, Kumbukumbu la Torati 4:24
“kwani Bwana, Mungu wako, aliye katikati yako ni Mungu mwenye wivu; isije ikawaka juu yako hasira ya Bwana, Mungu wako, akakuangamiza kutoka juu ya uso wa nchi.
”Kumbukumbu la Torati 6:15
Nahumu 1:2
Yoshua 24:19
Hayo yote ni kwamjibu wa biblia sio mm