Udhaifu wa hoja kwamba Mungu alituumba ili tumuabudu

Udhaifu wa hoja kwamba Mungu alituumba ili tumuabudu

hahaha basi,neno limekuingia hapo nina amani, ila ndugu badili mtazamo, MBINGUNI KUZURI SANA, HAKUNA HASARA KAMA KWENDA MOTONIhuna kitu kipya cha Mimi kujifunza
 
hahaha basi,neno limekuingia hapo nina amani, ila ndugu badili mtazamo, MBINGUNI KUZURI SANA, HAKUNA HASARA KAMA KWENDA MOTONI
Get off my dvck
 
Wacha kumkufuru Mungu. Mungu ni upendo hawezi kuwa Na nia ovu kiasi hicho. Hana nia haja Wala sababu ya kukuchoma Moto kiumbe wake.
Halafu naona weee jamaa kama dish limeyumba, Kuna uzi umesema Mungu kamuua Dr Mwele ili kumkomoa mange asimlipue mwamposa.
Huku nako una uzi mwingine kabisa, kwani umekuaje mbona haeleweki?
 
Halafu naona weee jamaa kama dish limeyumba, Kuna uzi umesema Mungu kamuua Dr Mwele ili kumkomoa mange asimlipue mwamposa.
Huku nako una uzi mwingine kabisa, kwani umekuaje mbona haeleweki?
Okay
 
Shukurani ninayo izungumzia hapa ni kuwa grateful and thankfully in ur heart that the Lord God has created you.
Yaani, Mungu alituumba ili tuwe grateful and thankful kwake au? Swali ni kwamba, tusipokuwa thankful and grateful anapungukiwa nini?
 
Yaani, Mungu alituumba ili tuwe grateful and thankful kwake au? Swali ni kwamba, tusipokuwa thankful and grateful anapungukiwa nini?
Usiniwekee maneno mdomoni mkuu Mungu hajatuumba ili tuwe grateful. Sababu kwanini ametuumba anaijua mwenyewe..

Umshukuru usimshukuru hapungukiwi Wala kuongezekewa Na chochote..
Just live ur life homie
 
... usipofaya hivyo atapungukiwa na nini (kwa mujibu wa maelezo yako ya awali)? Hatufanyi jambo kwa ajili ya kumwongezea au kumpunguzia Mungu lolote; tunafanya kwa sababu tunatakiwa kufanya hivyo.
hahahahaah amina ,nashukuru sana acha upumbavu lakini , utaingia motoni

Mi nafikiri wenzako wanakugonga
Nyie ndugu zangu, mnapandishana hasira na mnatukanana bure tu, huyo Mungu mnaemtetea hayupo, hivyo hajawahi kuumba chochote, na ndiyo maana mafundisho yake, au hayo maandiko yanayosemekana yametoka kwake yanajichanganya na kujipinga yenyewe, maana ni hadithi za kutunga tu!

Acheni kutukanana kisa mila na tamaduni za wayahudi na waarabu, niwatakieni siku njema.
 
Haya ndio maafa ya kuacha mafunzo ya dini na kuanza kutumia kichwa chako kumjadili mungu.

Sasa ni wewe ndiye ambaye uliwauliza vingozi wa dini halafu wewe ndiye ukawapa majibu!!!......Sasa haya wewe umeyatoa wapi?

Halafu kichwa Cha mada unakanusha kuwa lengo sio kumuabudu halafu kwenye mada unasema kumshuru, sasa kushukuru ni kufanya nini?
 
Nyie ndugu zangu, mnapandishana hasira na mnatukanana bure tu, huyo Mungu mnaemtetea hayupo, hivyo hajawahi kuumba chochote, na ndiyo maana mafundisho yake, au hayo maandiko yanayosemekana yametoka kwake yanajichanganya na kujipinga yenyewe, maana ni hadithi za kutunga tu!

Acheni kutukanana kisa mila na tamaduni za wayahudi na waarabu, niwatakieni siku njema.
Qur-an imeteremshwa takriban miaka 1400 iliyopita, na hii challenge ya kuleta mfano wake haijapata kutatuliwa mpaka Leo, na sio mfano qu-an nzima, mfano wa sura moja tu.

Sasa wewe kama unasema ni hadhithi za kutunga hebu tunga mfano wake tuione.
 
Nyie ndugu zangu, mnapandishana hasira na mnatukanana bure tu, huyo Mungu mnaemtetea hayupo, hivyo hajawahi kuumba chochote, na ndiyo maana mafundisho yake, au hayo maandiko yanayosemekana yametoka kwake yanajichanganya na kujipinga yenyewe, maana ni hadithi za kutunga tu!

Acheni kutukanana kisa mila na tamaduni za wayahudi na waarabu, niwatakieni siku njema.
Hii ni miongoni mwa hoja dhaifu sana.
 
NONSENSE

Huyo Mungu kama anapenda sana sifa,na ana nguvu za kufanya atakalo, basi angewaumba viumbe perfect wenye uwezo wa kumuimbia,kumsifia na kumfanyia atakalo muda wowote pasipo kuwaforce kama hiv anavyotuforce watu tumsifu wakat wapo wasiopenda hii tabia ya kusifia Huyo ambaye wanaona hana msaada kwa jamii[emoji23][emoji23].

Ukweli mchungu huyu mungu wa dini ana madhaifu mengi sana,..

Kuna wale ambao huimba na kuomba kuwa wanamuinua na kumbariki[emoji23][emoji23] yaan umbariki aliyekuumba? Umuinue aliye juu yako? Umbariki mwenye umiliki wa kila kitu? eti jina lake libarikiwe sjui jina lake litukuzwe, yaan kashindwa kujitukuza yeye mwenyewe kwa nguvu zake na ushahidi kwa wanadamu, anategemea sisi tumtukuze bila kuujua uo ukuu wake zaid ya kusimuliwa stori za kihuni na wachungaji & mashekhe upumbavu huu.

Haya mafundisho feki waliyotukalilisha wazaz&viongoz wa dini, imefika mahala wajitathimini wao na mafundisho yao, kama vip wakiona makosa warekebishe ili mafundisho hayo yaendane sawa na kizazi cha kila baada ya muda fulani, hususani kizaz hiki chenye watu wanaohoji na kutaka undani wa mambo uwekwe wazi bila janja janja.

Haya mafundisho ya huyo Mungu wa dini zote, ukiyasoma kwa kutoa mahaba ya dini na kutanguliza akili mbele, basi hakika utamkama huyo Mungu na dini zake, maana anajipinga mwenyewe kupitia sheria zake za hovyo, pia maneno yake yamejawa mikanganyiko sana.

Think outside the box
1643995979743.jpg
 
Qur-an imeteremshwa takriban miaka 1400 iliyopita, na hii challenge ya kuleta mfano wake haijapata kutatuliwa mpaka Leo, na sio mfano qu-an nzima, mfano wa sura moja tu.

Sasa wewe kama unasema ni hadhithi za kutunga hebu tunga mfano wake tuione.
The Qoran is an Abrogation of the bible.

Ni mtu alichukua maneno ya kwenye biblia, mengine kama yalivyo, mengine akayabadili badili na mengine akaongezea ya kwake. Qur-an ni kama biblia tu, ina mikanganyiko mingi na haiwezi kueleweka. Hivi vitabu viwili, Biblia na Qur an, unaweza ukavitumia kuhalalisha kitu chochote unachotaka, unaweza ukavitumia kuhalalisha dhuluma, ukavitumia kuhalalisha utumwa na hata mauaji!

Imani ambayo kwangu naona ina misingi mizuri ni Ubudha, japo nako kuna pumba pumba nyingi lakini ni afadhali kuna logic kuliko kwenye uislam na ukristo, Mwanzilishi wake Sidharta Guitama Budha alijaribu kuweka misingi angalau inayo eleweka, siyo uwongo wa kitoto kama uliopo kwenye Biblia na Quran.

Mimi ukristo na uislamu nina ujua vizuri, ila, mambo ya imani ni vigumu sana mtu kukuelewa, ni kama mamia ya watu wanaofurika kwa Mwamposa ukiwaambia huo ni utapeli hawawezi kukuelewa,

vivyo hivyo hata wewe, kama ni mfuasi mzuri wa dini huwezi kuelewa. Tutakuwa tunapoteza muda tu. Ni bora tukautumia huu muda kufanya mambo mengine.
 
The Qoran is an Abrogation of the bible.

Ni mtu alichukua maneno ya kwenye biblia, mengine kama yalivyo, mengine akayabadili badili na mengine akaongezea ya kwake. Qur-an ni kama biblia tu, ina mikanganyiko mingi na haiwezi kueleweka. Hivi vitabu viwili, Biblia na Qur an, unaweza ukavitumia kuhalalisha kitu chochote unachotaka, unaweza ukavitumia kuhalalisha dhuluma, ukavitumia kuhalalisha utumwa na hata mauaji!

Imani ambayo kwangu naona ina misingi mizuri ni Ubudha, japo nako kuna pumba pumba nyingi lakini ni afadhali kuna logic kuliko kwenye uislam na ukristo, Mwanzilishi wake Sidharta Guitama Budha alijaribu kuweka misingi angalau inayo eleweka, siyo uwongo wa kitoto kama uliopo kwenye Biblia na Quran.

Mimi ukristo na uislamu nina ujua vizuri, ila, mambo ya imani ni vigumu sana mtu kukuelewa, ni kama mamia ya watu wanaofurika kwa Mwamposa ukiwaambia huo ni utapeli hawawezi kukuelewa,

vivyo hivyo hata wewe, kama ni mfuasi mzuri wa dini huwezi kuelewa. Tutakuwa tunapoteza muda tu. Ni bora tukautumia huu muda kufanya mambo mengine.
Sawa bhudha, lakini usitukane dini za wengine basi au hivi ndivyo mnavyofundishwa kutokana na hiyo misingi mizuri mliowekewa kwenye huo ubhudha?
 
Niliwauliza swali hili wachungaji Na mashekhe wakaishia kunipa vitisho.

Mungu ametuumba ili tumuabudu.
1. Je tusipo muabudu atapungukiwa na kitu Gani?

JIBU SAHIHI NI KWAMBA HATOPUNGUKIWA NA KITU CHOCHOTE KILE KWA SABABU MUNGU HAITAJI KITU CHOCHOTE KILE KUMKAMILISHA.

2. Je tukimuabudu Mungu kitu Gani kitaongezeka kwake?

JIBU NI HAKUNA KITU CHOCHOTE KITAKACHO ONGEZEKA KWAKE.

Mungu Ni yule Yule Jana leo Na hata milele. Binadamu huwezi kufanya chochote duniani ukaongeza wala kupunguza chochote kwa Mungu.

WEWE BINADAMU KUMUABUDU MUNGU AU KUTOKUMUABUDU MUNGU MEAN THE SAME THING TO GOD.

Hupunguzi Wala huongezi chochote.

JE KWA SABABU HII TUSIMUABUDU MUNGU?

Ishu sio KUMUABUDU MUNGU ishu ni kwanini unamuabudu Mungu.

Kama una muabudu Mungu Kwa saabu una fuata Hilo andiko kwamba amekuumba ili umuabudu ur just wasting ur time.

Ibada ya Kweli Kwa Mungu Ni SHUKURANI.

Kwamba nikitafakari kwamba Mungu ameniumba amenileta duniani ameniumba binadamu n.k then nasema MWENYEZI MUNGU NAKUSHUKURU KWA YOTE.

Waasisi wa hoja kwamba Mungu alituumba ili tumuabudu walimshusha Mungu kwenye level za ubinadamu . Yani walifanya kama vile Mungu Na yeye Ni muhitaji
99% ya Ubinadamu ni Roho.
Akili ndo kwa mbaali inatumika kutafsiri signal za Roho.

Kila kitu ni maajabu kwenye akili ya Mwanadamu.

But kabla ya Mwanadamu kuzaliwa kunakuwa na DESIRE OF THE SOUL...

THAT DESIRE PRODUCES A PURPOSE OF LIVING...

Sasa ili kupata signal zitakazokusaidia kutafsiri PURPOSE ya kuishi kwako unahitaji KUSALI.

AU KUABUDU...

Siyo ili Mungu apate chochote kutoka kwako hapana..

Ni ili wewe uweze ku-GROW...

NA KWA SABABU ROHO YAKO NI SEHEMU YA MUNGU....BASI MUNGU ANATUKUZWA KUPITIA KUKUA KWAKO...SI ILI UMUONGEZEE KITU...LAKINI UTUKUFU WAKE UNAWEKA ALAMA KUPITIA KWAKO.

Hata hivyo,Hiyo ni sehemu ndogo ya majibu stahiki....GOD IS ALL WHAT IS and what is NOT.
 
Niliwauliza swali hili wachungaji Na mashekhe wakaishia kunipa vitisho.

Mungu ametuumba ili tumuabudu.
1. Je tusipo muabudu atapungukiwa na kitu Gani?

JIBU SAHIHI NI KWAMBA HATOPUNGUKIWA NA KITU CHOCHOTE KILE KWA SABABU MUNGU HAITAJI KITU CHOCHOTE KILE KUMKAMILISHA.

2. Je tukimuabudu Mungu kitu Gani kitaongezeka kwake?

JIBU NI HAKUNA KITU CHOCHOTE KITAKACHO ONGEZEKA KWAKE.

Mungu Ni yule Yule Jana leo Na hata milele. Binadamu huwezi kufanya chochote duniani ukaongeza wala kupunguza chochote kwa Mungu.

WEWE BINADAMU KUMUABUDU MUNGU AU KUTOKUMUABUDU MUNGU MEAN THE SAME THING TO GOD.

Hupunguzi Wala huongezi chochote.

JE KWA SABABU HII TUSIMUABUDU MUNGU?

Ishu sio KUMUABUDU MUNGU ishu ni kwanini unamuabudu Mungu.

Kama una muabudu Mungu Kwa saabu una fuata Hilo andiko kwamba amekuumba ili umuabudu ur just wasting ur time.

Ibada ya Kweli Kwa Mungu Ni SHUKURANI.

Kwamba nikitafakari kwamba Mungu ameniumba amenileta duniani ameniumba binadamu n.k then nasema MWENYEZI MUNGU NAKUSHUKURU KWA YOTE.

Waasisi wa hoja kwamba Mungu alituumba ili tumuabudu walimshusha Mungu kwenye level za ubinadamu . Yani walifanya kama vile Mungu Na yeye Ni muhitaji
Vijana wa kileo bhana.huyu pia kasoma civics ,chemistry,na maths na kafika chuo.familia inamtegemea.! Hana uwezo wa kufikiri hana chochote kichwani zaidi ya cheti chake cha form 4 .kilicho na D nyingi.

Sasa ww kusikia kama mungu anataka umuabudu ndio unakataa kwa kuwa mungu hata usipomuabudu hakuna unachokiongeza kwake ? Ni kweli ukimuabudu mungu au usipo abudu huongezi wala kupunguza ukwasi wa mungu ALLAH . Nikupe mfano mwalimu wako shule anapokupa mtihani ufanye ukipata sifuri au 100 yeye anafaidika nini?? Sana ni ww uliopata A unakuwa daraja la juu na uliepata zero unapata daraja la chini.!!! Hivi vitu mifano yake ni mingi mno wala sio hadi usome havard university ndio ujue kuwa mungu ametaKa tumuabudu yeye kwa faida yetu sisi ili mwisho wa siku akatupe hesabu zetu kama ni mtu wa motoni ataenda motoni kama ni mtu wa peponi ataenda peponi .simple and clear .kama ww unaona haina haja ya kumuabudu Mungu yaan Allah.! Basi fanya hicho kiburi kama unaona labda wewe ndio wa kwanza kuacha ibada.

Duniani hatukuja kutafuta pesa tu na pombe na wanawake
 
tatizo lenu, mpo busy kushughurika na MUNGU, wakati hampo katika level zozote naye, hata kujiongezea unywele hamuwezi,, hata kuongeza dk moja kwenye maisha yako, hata kujicontrol usipate njaa au usinye huwezi, basi jibu ni moja , acha upumbavu, pumbavu wewe, hata usipo msifu , ama kumwabudu atabaki wa kusifiwa, mawe na hata miti na upepo unamsifu, so usijione mwamba na sifa zako za kinafkiiii, sisi tutasifu hata milele
Umetumia hasira jalibu kufafanua kuhusu hoja hapo utaokoa jambo
 
Vijana wa kileo bhana.huyu pia kasoma civics ,chemistry,na maths na kafika chuo.familia inamtegemea.! Hana uwezo wa kufikiri hana chochote kichwani zaidi ya cheti chake cha form 4 .kilicho na D nyingi.

Sasa ww kusikia kama mungu anataka umuabudu ndio unakataa kwa kuwa mungu hata usipomuabudu hakuna unachokiongeza kwake ? Ni kweli ukimuabudu mungu au usipo abudu huongezi wala kupunguza ukwasi wa mungu ALLAH . Nikupe mfano mwalimu wako shule anapokupa mtihani ufanye ukipata sifuri au 100 yeye anafaidika nini?? Sana ni ww uliopata A unakuwa daraja la juu na uliepata zero unapata daraja la chini.!!! Hivi vitu mifano yake ni mingi mno wala sio hadi usome havard university ndio ujue kuwa mungu ametaKa tumuabudu yeye kwa faida yetu sisi ili mwisho wa siku akatupe hesabu zetu kama ni mtu wa motoni ataenda motoni kama ni mtu wa peponi ataenda peponi .simple and clear .kama ww unaona haina haja ya kumuabudu Mungu yaan Allah.! Basi fanya hicho kiburi kama unaona labda wewe ndio wa kwanza kuacha ibada.

Duniani hatukuja kutafuta pesa tu na pombe na wanawake
Umetoka kapa.. ungekuwa mwanafunzi ningekupa sifuri.
 
NONSENSE

Huyo Mungu kama anapenda sana sifa,na ana nguvu za kufanya atakalo, basi angewaumba viumbe perfect wenye uwezo wa kumuimbia,kumsifia na kumfanyia atakalo muda wowote pasipo kuwaforce kama hiv anavyotuforce watu tumsifu wakat wapo wasiopenda hii tabia ya kusifia Huyo ambaye wanaona hana msaada kwa jamii[emoji23][emoji23].

Ukweli mchungu huyu mungu wa dini ana madhaifu mengi sana,..

Kuna wale ambao huimba na kuomba kuwa wanamuinua na kumbariki[emoji23][emoji23] yaan umbariki aliyekuumba? Umuinue aliye juu yako? Umbariki mwenye umiliki wa kila kitu? eti jina lake libarikiwe sjui jina lake litukuzwe, yaan kashindwa kujitukuza yeye mwenyewe kwa nguvu zake na ushahidi kwa wanadamu, anategemea sisi tumtukuze bila kuujua uo ukuu wake zaid ya kusimuliwa stori za kihuni na wachungaji & mashekhe upumbavu huu.

Haya mafundisho feki waliyotukalilisha wazaz&viongoz wa dini, imefika mahala wajitathimini wao na mafundisho yao, kama vip wakiona makosa warekebishe ili mafundisho hayo yaendane sawa na kizazi cha kila baada ya muda fulani, hususani kizaz hiki chenye watu wanaohoji na kutaka undani wa mambo uwekwe wazi bila janja janja.

Haya mafundisho ya huyo Mungu wa dini zote, ukiyasoma kwa kutoa mahaba ya dini na kutanguliza akili mbele, basi hakika utamkama huyo Mungu na dini zake, maana anajipinga mwenyewe kupitia sheria zake za hovyo, pia maneno yake yamejawa mikanganyiko sana.

Think outside the boxView attachment 2118764
Wewe unafikiri Mungu alitakiwa awe vp au afanye vp ili awe hana madhaifu?
 
Back
Top Bottom