Udhaifu wa hoja kwamba Mungu alituumba ili tumuabudu

Udhaifu wa hoja kwamba Mungu alituumba ili tumuabudu

Sifuri
Vijana wa kileo bhana.huyu pia kasoma civics ,chemistry,na maths na kafika chuo.familia inamtegemea.! Hana uwezo wa kufikiri hana chochote kichwani zaidi ya cheti chake cha form 4 .kilicho na D nyingi.

Sasa ww kusikia kama mungu anataka umuabudu ndio unakataa kwa kuwa mungu hata usipomuabudu hakuna unachokiongeza kwake ? Ni kweli ukimuabudu mungu au usipo abudu huongezi wala kupunguza ukwasi wa mungu ALLAH . Nikupe mfano mwalimu wako shule anapokupa mtihani ufanye ukipata sifuri au 100 yeye anafaidika nini?? Sana ni ww uliopata A unakuwa daraja la juu na uliepata zero unapata daraja la chini.!!! Hivi vitu mifano yake ni mingi mno wala sio hadi usome havard university ndio ujue kuwa mungu ametaKa tumuabudu yeye kwa faida yetu sisi ili mwisho wa siku akatupe hesabu zetu kama ni mtu wa motoni ataenda motoni kama ni mtu wa peponi ataenda peponi .simple and clear .kama ww unaona haina haja ya kumuabudu Mungu yaan Allah.! Basi fanya hicho kiburi kama unaona labda wewe ndio wa kwanza kuacha ibada.

Duniani hatukuja kutafuta pesa tu na pombe na wanawake
 
bado unaongea upumbavu, na mm ntazidi kukuita mpumbavu, je sodoma na gomola wale hawakuwa binadamu, je farao hakuwa binadamu , je mara ngapi tumeona mifano ya ghadhabu ya MUNGU kwenye vitabu vitakatifu.Kumuhabudu MUNGU anastahili kwa sababu yeye anahitaji heshima na ni muhimu sana kwake, kama wew ilivyokuwa muhimu kutafuta pesa, yeye heshima ni muhimu.kwahiyo kupungukiwa unapungukiwwa pakubwa kwa sababu unapoteza connection naye. na yeye anahitaji heshima kwako. Halafu acha kupotosha watu ili waache kumwabudu Mungu bcoz hakusaidii chochote
Emar tafakari akili yako ndgu
 
hilo la kulala lako mm silijui, ilikuwa mission sababu ya ghadhabu, na lengo tunaonglea jE MUNGU hupata hasira? nahisi jibu umepata
Moyoni mwa mpumbavu ndipo hasira hukaa , tafakari Sana uwezo wako wa kufikiri bila kushikiwa akili
 
Ibada ya Kweli Kwa Mungu Ni SHUKURANI.
Ina maana kwa akili yako unataka kutuambia sisi tunao muabudu Mola kwa sababu hiyo hatujui ya kuwa Shukurani ni katika Ibada...?

Nilichokiona kwako hujui maana ya tamko Ibada na hao Masheikh au Wachungaji hawakukufafanulia hilo.

Kwanye ibada ndiyo kwenye kufaulu na kutengamaa kwa mambo mengine, kwenye kuna utiifu, kwenye ibada kuna shukurani, kwenye ibada kuna wema na mfano wake.

Kwenye ibada kuna masharti na vigezo.
 
bado unaongea upumbavu, na mm ntazidi kukuita mpumbavu, je sodoma na gomola wale hawakuwa binadamu, je farao hakuwa binadamu , je mara ngapi tumeona mifano ya ghadhabu ya MUNGU kwenye vitabu vitakatifu.Kumuhabudu MUNGU anastahili kwa sababu yeye anahitaji heshima na ni muhimu sana kwake, kama wew ilivyokuwa muhimu kutafuta pesa, yeye heshima ni muhimu.kwahiyo kupungukiwa unapungukiwwa pakubwa kwa sababu unapoteza connection naye. na yeye anahitaji heshima kwako. Halafu acha kupotosha watu ili waache kumwabudu Mungu bcoz hakusaidii chochote
Hasira haijengi unaposema kitabu cha mungu unamaana kwamba hakikuandikwa kwamikono yabinadam nakama kimeandikwa namungu mungu asingeluhusu watu wavitoe copy kwa mashine zinazo hifadhi mpaka picha za xx yeye angevishusha kwawingi wajawake tuviokote
Nakama vimandikwa nawatu nakupritiwa hayo nimawazo binafsi yakibinadam kuhusu mungu naweza sema bible na Quran havina tofauti navitabu vya yeriko nyerere
 
Wewe jibu swali , USIPO MUABUDU MUNGU ANA PUNGUKIWA NA KITU GANI? UKIMUABUDU MUNGU ANAONGEZEKEWA NA KITU GANI?
Hapungukiwi na chochote wala haongezewi chochote bali ni utiifu kwake na kuonyesha shukurani ya wewe kuumbwa na kupewa muongozo wa kuweza kuishi na kufikia lengo la wewe kuumbwa kikamilifu.
 
Nakama vimandikwa nawatu nakupritiwa hayo nimawazo binafsi yakibinadam kuhusu mungu naweza sema bible na Quran havina tofauti navitabu vya yeriko nyerere
Kwani maneno ya Mola hayawezi kuandikwa na binadamu ?

Kingine usijenge hoja kwa dhana, kwamba kama hivi ingekuwa hivi, tukikuuliza uthibitishe hutaweza.

Naomba unijibu swali nililo kuuliza.
 
nasikitika jinsi mafundisho maovu ya upotoshji wa neno la MUNGU yanavyokuwa kwa kasi, iyo juu yako mm siijui luthu aliongoka kwa utakatifu wake, hilo b,sijawai kuona hivyo jijibu mwenyewe kulingana na upumbavu wako
Hii Ni kuonyesha wa Africa tumefahamu kuwa dini zililetwa kutu brain wash tu , tunamrejea Mungu wetu ambae Hana tabia za kinadam Kama wivu na hasira
 
Hapungukiwi na chochote wala haongezewi chochote bali ni utiifu kwake na kuonyesha shukurani ya wewe kuumbwa na kupewa muongozo wa kuweza kuishi na kufikia lengo la wewe kuumbwa kikamilifu.
Thank you bro. Haya ndo majibu niliyo kuwa nayatafuta. Nimejifunza kitu

Stay blessed
 
Kwani maneno ya Mola hayawezi kuandikwa na binadamu ?

Kingine usijenge hoja kwa dhana, kwamba kama hivi ingekuwa hivi, tukikuuliza uthibitishe hutaweza.

Naomba unijibu swali nililo kuuliza.
Hapo nimejalibu kukutanua kwamba sodoma nagomola nihadith Kama Hadith za watoto wamama ntilie nanyinginezo ila mungu waukuu nimungu aliyewekwa kwenye dhana potofu mungu wamizim yeye anakujia kwandoto kuku saidia dawa yamagonjwa nataarifa kuhusu yajayo back to Africa
 
Hapo nimejalibu kukutanua kwamba sodoma nagomola nihadith Kama Hadith za watoto wamama ntilie nanyinginezo ila mungu waukuu nimungu aliyewekwa kwenye dhana potofu mungu wamizim yeye anakujia kwandoto kuku saidia dawa yamagonjwa nataarifa kuhusu yajayo back to Africa
Nataka tujadili hili jambo kielimu, usiandike kama uko kijiweni na wajinga.

Naomba unithibitishie ya kuwa hadithi za Sodoma na Gomora ni kama hadithi za watoto wa mama ntilie, kisha uniambie ni nani wa mwanzo kuelezea hadithi za Sodoma na Gomora na uniambie muandishi wa hadithi hizo ni nani.

Kingine swali langu la msingi hujajibu nimekuuliza hivi kwani maneno ya Mola hayawezi kuandikwa na Mwanadamu ?
 
Nataka tujadili hili jambo kielimu, usiandike kama uko kijiweni na wajinga.

Naomba unithibitishie ya kuwa hadithi za Sodoma na Gomora ni kama hadithi za watoto wa mama ntilie, kisha uniambie ni nani wa mwanzo kuelezea hadithi za Sodoma na Gomora na uniambie muandishi wa hadithi hizo ni nani.

Kingine swali langu la msingi hujajibu nimekuuliza hivi kwani maneno ya Mola hayawezi kuandikwa na Mwanadamu ?
Kama wewe nimwanaume natumai umenielewa vyakutosha
 
Kumuabudu Mungu ni faida yetu mahusiano yetu na Mungu ni kwa faida yetu usipo mwabudu hapati yeye hasara ila wewe
 
Niliwauliza swali hili wachungaji Na mashekhe wakaishia kunipa vitisho.

Mungu ametuumba ili tumuabudu.
1. Je tusipo muabudu atapungukiwa na kitu Gani?

JIBU SAHIHI NI KWAMBA HATOPUNGUKIWA NA KITU CHOCHOTE KILE KWA SABABU MUNGU HAITAJI KITU CHOCHOTE KILE KUMKAMILISHA.

2. Je tukimuabudu Mungu kitu Gani kitaongezeka kwake?

JIBU NI HAKUNA KITU CHOCHOTE KITAKACHO ONGEZEKA KWAKE.

Mungu Ni yule Yule Jana leo Na hata milele. Binadamu huwezi kufanya chochote duniani ukaongeza wala kupunguza chochote kwa Mungu.

WEWE BINADAMU KUMUABUDU MUNGU AU KUTOKUMUABUDU MUNGU MEAN THE SAME THING TO GOD.

Hupunguzi Wala huongezi chochote.

JE KWA SABABU HII TUSIMUABUDU MUNGU?

Ishu sio KUMUABUDU MUNGU ishu ni kwanini unamuabudu Mungu.

Kama una muabudu Mungu Kwa saabu una fuata Hilo andiko kwamba amekuumba ili umuabudu ur just wasting ur time.

Ibada ya Kweli Kwa Mungu Ni SHUKURANI.

Kwamba nikitafakari kwamba Mungu ameniumba amenileta duniani ameniumba binadamu n.k then nasema MWENYEZI MUNGU NAKUSHUKURU KWA YOTE.

Waasisi wa hoja kwamba Mungu alituumba ili tumuabudu walimshusha Mungu kwenye level za ubinadamu . Yani walifanya kama vile Mungu Na yeye Ni muhitaji
Umeongea jambo kubwa na la msingi ila subiri uone wehu watakavyokuja kupinga hoja hii
 
Haya ndio maafa ya kuacha mafunzo ya dini na kuanza kutumia kichwa chako kumjadili mungu.

Sasa ni wewe ndiye ambaye uliwauliza vingozi wa dini halafu wewe ndiye ukawapa majibu!!!......Sasa haya wewe umeyatoa wapi?

Halafu kichwa Cha mada unakanusha kuwa lengo sio kumuabudu halafu kwenye mada unasema kumshuru, sasa kushukuru ni kufanya nini?
Kuabudu Ni kushkuru? Dah huwa unajisomeaga kweli?
 
Back
Top Bottom